Q-Chief ajipachika jina/a.k.a ya 'Chichi'

figganigga

JF-Expert Member
Oct 17, 2010
25,483
54,853
Msanii wa bongo fleva aliye kuwa anajiita q chief, sasa hivi anajiita CHICHI. Hii a.k.a yake mpya ya chichi imeleta gumzo kitaa baada ya kuonekana hilo jina la chichi linatumika kuwatambulisha mashoga. Bado hajapatika kuelezea kwanini kaamua kujiita chichi. mia
 
Msanii wa bongo fleva aliye kuwa anajiita q chief, sasa hivi anajiita CHICHI. Hii a.k.a yake mpya ya chichi imeleta gumzo kitaa baada ya kuonekana hilo jina la chichi linatumika kuwatambulisha mashoga. Bado hajapatika kuelezea kwanini kaamua kujiita chichi. mia

Huyu dogo si ndio kipindi fulan alikuwa anajiita Savimbi...?.sina uhakika kama haya majina wanayojipachika kama wanajua hata ni nini....wasanii wa bongo bhana.
 
Si alihamia mombasa, ukute washamhemea! Kichogo kinafukuta tu kwa sasa!
 
Sidhani kama CHICHI ni neno/jina linalotambulika kwa mashoga. Unaweza kuwa na source mkuu?
 
Sidhani kama CHICHI ni neno/jina linalotambulika kwa mashoga. Unaweza kuwa na source mkuu?

Mkuu hayo ni maneno ya mjini. mtu akikuambia leo nmekutana na chichi la nguvu au mchichi jua kakutana na shoga. hata wanaume wanao jiuza hawasemi kama wao ni mashoga bali wanasema "mimi ni chichi vipi nije tukae wote?" kama muelewa ushajua anamanisha nini lakini akikuona hujui anakula kona. kuna wimbo ambao huyo savimbi katoa wa kiganda na kinyarwanda amejitaja as chichi-man. mia
 
Mkuu hayo ni maneno ya mjini. mtu akikuambia leo nmekutana na chichi la nguvu au mchichi jua kakutana na shoga. hata wanaume wanao jiuza hawasemi kama wao ni mashoga bali wanasema "mimi ni chichi vipi nije tukae wote?" kama muelewa ushajua anamanisha nini lakini akikuona hujui anakula kona. kuna wimbo ambao huyo savimbi katoa wa kiganda na kinyarwanda amejitaja as chichi-man. mia

Kusema ukweli hii ya kwamba neno CHICHI linaashiria shoga nimelifahamu leo. Ina maana wale washkaji zangu wawili CHICHI ni mashoga? No way!!
 
huyu jamaa nae anatafuta pa kurudia ila awe makini na majina anayojipa wazee wa muji wasije wakamfanyia booking
 

Similar Discussions

0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom