Wewe unameza kila unachoambiwa bila kujiongeza, umeshaambiwa mapato yanayotokana na hivyo viwanda kama yana reflect idadi ya viwanda, na kama kweli Pwani ina viwanda hivyo wananchi wa mkoa huo wananufaikaje, shule zao zikoje, zahanati zao zikoje nk. ndio maana nasema hizo ni namba tu kama zilivyo namba zingine kwa lengo la kumdanganya rais.wewe useme vingapi. Wizara ndio inakueleza ambayo ndio inajua.
unapinga bila kuwa na mbadala ya unachokipinga...