Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,579
- 161,432
Hata kama bibi yako anasuka mikeka, hicho ni kiwanda tayari
mkuu kule kweli kuna viwanda vingi hata kwa kupita barabarani hali halisi inaonyesha.
na inaonekana ni kwa sababu pwani imeizunguka dar es salaam, hivyo kutoa maeneo makubwa ya kutosha kuwekeza kuliko hapo jijini
ushahidi gani alioutoa au amekuPM mkuuSio kweli mwenzio katoa na ushahidi wewe unaleta habari za kufikirika akili zenu sijui mmerithi kwanani
Hahahahaha hebu niachie hata mbavu moja ndugu yangu. Hahahahaha nimecheka sanahawajui maana ya viwanda wamehesabu hadi frem za maduka
Kumbe hata K ni kiwandaBila vyerehani vinne au mashine yoyote ile. Hata ukiweza kuzalisha chochote kwa kutumia kiwiliwili chako basi ni kiwanda.
Kuna viwanda vya korosho ambavyo toka a mpaka z ya process yote hutegemea mikono ya binaadam.
Kuwa na vyerehani vinne ukajuwa cha kuzalisha, ni kiwanda kidogo cha kujivunia sana. Kwa mwenye kuelewa.
Hatarimkuu umesahau kuorodhesha mobile ki-wonder cha Kibiti. kinazalisha damu kutokana na askari na kuirutubisha ardhi!
🤣😅😆😁😄😃😀Jiwe alikuwa bonge la comedian
NdiooooooooooooJiwe alikuwa bonge la comedian