Manfighter
Member
- Jun 22, 2017
- 88
- 43
acheni kujifariji ati karibu na maji yap hayo hata Bandari hamuna ya maana... alafu hizo ni siasa kwa ukweli baada ya dar ni tanga then mwanza kwa viwanda.. hizo ndoto zako bado hazijawa... jua kwamba wawekezaji wa nyumbani wanaobinafxishwa kamwe hawadumu kutunza viwanda.. tanga kule yalixhatokea.. viwanda vilivyobaki ni vya private tena wazungu na wahindi..... xaxa nashangaa mnaposema viwanda mia tatu ikiwa.. mkoa wenye viwanda vingi Tz idadi hyo haijafika.... pwani ikiwa hata tano pia haimo kuwa serious na facts zako....