Hahahahaaahawajui maana ya viwanda.. frem za duka nahic wamehesabu pia
Hahahahaaahawajui maana ya viwanda.. frem za duka nahic wamehesabu pia
bila kusahau viwanda vya kukamua juis ya miwaWanawajumuisha washona vyerahani, wafyatua matofali, wapika gongo, na mafundi seremala.
Hahahaaaa,mbona vimetajwa vichache vingine vimewekwa kama idadi tuProject Details | Coast Region
Mleta mada weka update kwenye Swali lako...nimekuwekea jibu.
Usichoke kuhoji utekelezaji wa ahadi za JPM.
Ukiwa na mitumbwi miwili...ni kiwanda, yani haijawahi kuwepo serikali ya ajabu kama hiiHata hivyo ni vichache bado viwanda vya kuchoma Mkaa, uvuvi n.k.
Wewe upo huko tarime sijui kahama unaanza kubeza......njoo uzunguke mkoa wa pwani ujionee.....mkuranga tu pekee ina lundo la viwandahayo mambo ya siasa ni mabaya sana, eti viwanda 300+, viwanda 300+ maana yake huo mkoa unatakiwa uwe tajiri kupita kiasi na watu wake wawe na kipato cha 1mil+ kwa mwezi, sasa nenda pale TRA ukaone serikali inakusanya mapato kiasi gani kwa hivyo viwanda 300+, au nenda kafanye uchunguzi wa impact za kiuchumi kwenye hivyo viwanda 300++
Taarifa Za Kupika
Unahesabu viwanda ukiwa ndani ya basi,,,,, kama ndivyo hivyo basi idadi inaweza kuwa kubwa zaidi ya iliyotajwa.mkuu kule kweli kuna viwanda vingi hata kwa kupita barabarani hali halisi inaonyesha.
na inaonekana ni kwa sababu pwani imeizunguka dar es salaam, hivyo kutoa maeneo makubwa ya kutosha kuwekeza kuliko hapo jijini
Hujadownload attachment?Hebu muwe mnatulia mnapojadili mada.Hahahaaaa,mbona vimetajwa vichache vingine vimewekwa kama idadi tu
Uko sawa kabisa, nchi hii ya maoka, Hakuna msomi wa maana Tanzania, kama wapo wanatetea matumbo yao, ukweli wanaujua. Naomba unieleze kiwanda kwa kiingereza kinaitwaje. Nitakusaidia kuungana na wewe kuwa wanachomaanisha.Viwanda vya nini!??
Ifike mahala watu wansoma taarifa za maendeleo ya Mkoa wawe makini..
Hivi neno 'kiwanda' watu wanajua maana yake!??
Taarifa hii mimi siiamini kabisa. Labda kama wamewajumlisha na washona cherehani.
Tuwe wakweli.
MI SIONI UGUMU NA HUJAELEWA WAPI MKUU,hata ukiwa na cherehani 4 tayari una kiwanda,ukiwa na uwezo wa kushona viatu au sandoz zaidi ya 4 kwa siku kiwanda,ukiwa na uwezo wa ku assembly simu kiwanda,ukiwa na uwezo wa kuwa na akina mama nitile 4 wanaotengeneza chakula na kinaliwa kiwanda sasa tatizo liko wapi,kuna watu wana vichwa vigumu sana kuelewa jamani cjui ni sbb ya haya makinikiaViwanda vya nini!??
Ifike mahala watu wansoma taarifa za maendeleo ya Mkoa wawe makini..
Hivi neno 'kiwanda' watu wanajua maana yake!??
Taarifa hii mimi siiamini kabisa. Labda kama wamewajumlisha na washona cherehani.
Tuwe wakweli.
wewe useme vingapi. Wizara ndio inakueleza ambayo ndio inajua.Unahesabu viwanda ukiwa ndani ya basi,,,,, kama ndivyo hivyo basi idadi inaweza kuwa kubwa zaidi ya iliyotajwa.
95% vidogo,4% kati 1% vikubwa!Hujadownload attachment?Hebu muwe mnatulia mnapojadili mada.
Viwanda vyote hivyo lakini ukienda sokoni kununua bidhaa hukuti "made in tanzania"Viwanda vya nini!??
Ifike mahala watu wansoma taarifa za maendeleo ya Mkoa wawe makini..
Hivi neno 'kiwanda' watu wanajua maana yake!??
Taarifa hii mimi siiamini kabisa. Labda kama wamewajumlisha na washona cherehani.
Tuwe wakweli.
hawajui maana ya viwanda.. frem za duka nahic wamehesabu pia
Wazee wa Takwimu zisizo na uhalisia!Hebu tuambiwe na kodi serikali inayokusanya kutoka kwenye hivyo viwandaHakuna kiwanda chochote mangi, serikali hii mpaka sasa haitafanikiwa kwa kuweka kiwanda chochote labda angekuwa mamvi, bodaboda na mama ntilie wangekuwa na benki zao kwa sasa. popooooz
Mkuuu,tuna washona nguo na si washona cherehani.hata huku mitani kwetu ni makosa kuwaita mafundi cherehani usahihi ni fundi nguo.shukraniWanawajumuisha washona vyerahani, wafyatua matofali, wapika gongo, na mafundi seremala.