misasa
JF-Expert Member
- Feb 5, 2014
- 17,046
- 13,176
Umenunua cherehani nne nini?
hapana sitaki kuwekeza kwenye textile mkuu na nipo serious nataka kuwekeza kwenye foods mkuu.Umenunua cherehani nne nini?
hapana sitaki kuwekeza kwenye textile mkuu na nipo serious nataka kuwekeza kwenye foods mkuu.Kwahiyo walivyosema kufikia uchumi wa kati walimaanisha tutafika huko kwa vyerehani na waranda mbao?? Je kumaliza tatizo la ajira walimaanisha tukajiajiri kwenye kuranda mbao na kutengeza majiko ya mkaa???Mmeshaambiwa kuwa ukiwa na vyerehani vyako vitatu inahesabika ni kiwanda kidogo
Definition of industry
plural
industries
- 1 : diligence in an employment or pursuit; especially : steady or habitual effort
- 2a : systematic labor especially for some useful purpose or the creation of something of value b : a department or branch of a craft, art, business, or manufacture; especially : one that employs a large personnel and capital especially in manufacturing c : a distinct group of productive or profit-making enterprises the banking industry d : manufacturing activity as a whole the nation's industry
- 3 : work devoted to the study of a particular subject or author the Shakespeare industry
Hakikisha unaajiri vijana wanne then nenda ukasajili kiwanda chako kwa maendeleo ya taifa![]()
hapana sitaki kuwekeza kwenye textile mkuu na nipo serious nataka kuwekeza kwenye foods mkuu.
mbona umeshindwa kuhoji impact ya madini kwa wana kanda ya ziwa?
Unaongea hayo2 kwa sababu huna msamiati wa kukubali au2 basi ulishaamua kuwa hivyo- kwann usitumie muda wako ukajiridhishe? kwani viwanda vinakaa mifukoni? Watz kweli ni shida!!!!!!!!hayo mambo ya siasa ni mabaya sana, eti viwanda 300+, viwanda 300+ maana yake huo mkoa unatakiwa uwe tajiri kupita kiasi na watu wake wawe na kipato cha 1mil+ kwa mwezi, sasa nenda pale TRA ukaone serikali inakusanya mapato kiasi gani kwa hivyo viwanda 300+, au nenda kafanye uchunguzi wa impact za kiuchumi kwenye hivyo viwanda 300++
Tembea uone mkuu. Wewe uko Kishumundu au Rombo midizini unapinga bila kufahamu. Kasi ya ujenzi wa viwanda mkoa wa Pwani ni dhahiri hasa baada ya Dar kujaa.kwa takwimu hizi bila shaka Mkoa wa Pwani utakuwa ni moja ya mikoa ya viwanda vingi sana duniani ila pia utakuwa ni moja ya mkoa wenye viwanda vingi masikini..
Tembea uone mkuu. Wewe uko Kishumundu au Rombo midizini unapinga bila kufahamu. Kasi ya ujenzi wa viwanda mkoa wa Pwani ni dhahiri hasa baada ya Dar kujaa.
Unaongea hayo2 kwa sababu huna msamiati wa kukubali au2 basi ulishaamua kuwa hivyo- kwann usitumie muda wako ukajiridhishe? kwani viwanda vinakaa mifukoni? Watz kweli ni shida!!!!!!!!
Bila vyerehani vinne au mashine yoyote ile. Hata ukiweza kuzalisha chochote kwa kutumia kiwiliwili chako basi ni kiwanda.
Kuna viwanda vya korosho ambavyo toka a mpaka z ya process yote hutegemea mikono ya binaadam.
Kuwa na vyerehani vinne ukajuwa cha kuzalisha, ni kiwanda kidogo cha kujivunia sana. Kwa mwenye kuelewa.
Haya maneno unayaongea ukiwa kwetu tz au ww umezaliwa ulaya muda mrefu2 ila unajaribu2 kulinganisha? bro nchi zetu hazijaendelea ila ndo zinaendelea, wakati mwibgine tuwe na mifano inayofanana na hizi nchi zetu za kiafrika. Pia inawezekana uelewa wako na uzoefu wako ni kwa nchi zilizoendelea wakati meingine lazima ikupe tabu kidogo.Tumia akili kidogo kufikiri na usiwe mpiga makofi au mshangiliaji wa kila jambo kwa kuwa limesemwa, sijakataa uwepo wa Viwanda 300+ ila najiuliza na kujaribu kufananisha eneo lenye viwanda 300+ litakuwa tajiri kiasi gani kwa maana ya miundo mbinu, income kwa watu wake na serikali.. Pwani kila mtu anaijua na binafsi naijua kuliko wewe nina uhakika katika hilo..
Kosa lako huijui dunia na hujawahi hata kuona eneo au mkoa wenye viwanda 50 tu na maendeleo ya watu wake sembuse eneo lenye viwanda 300+ halafu watu wake hawana maji, hospitali za kisasa, shule nzuri na maisha yao ni duni..
Dangote amejenga kiwanda mtwara na kutoa ajira kwa watanzania zaidi ya 200, lakini impact ya hizo ajira 200 kwenye jamii husika ikoje, dar es salaam kuna viwanda vingi saaaaana vya wahindi nk na vimetoa ajira kwa maelfu kwa watanzania lakini je impact ya hizo ajira kwa wazawa ikoje?? au nawe ni wale wanaoshangilia watanzania kulipwa 60000/= kwa mwezi na ukiwa exposed kwenye sumu huku hata PPE hupewi?
Idadi inaendana na mapato otherwise is rubbish, kama ni hivyo kwanini msimwambie rais Pwani ina viwanda 5,000 ili afurahi zaidi.sasa hapo naona unapoteza mwelekeo wa kujadili.
Hoja vipo au havipo katika idadi hiyo?
mapato ya hivyo viwanda, kunufaika kwa wananchi pwani, shule zahanati, ni vitu vingine.
Unajuaa maana ya kiwanda?mjibu kwanza mleta hoja hiiHivi wewe ulishawai fika hata Mkuranga?
SASA HUELWEKI UNAPINGA NINI, Idadi ya viwanda au faida ya viwanda.Idadi inaendana na mapato otherwise is rubbish, kama ni hivyo kwanini msimwambie rais Pwani ina viwanda 5,000 ili afurahi zaidi.
Wachomelea mageti,wafyatuaa tofali,mafundi cherehani naona mmewaingiza kwenye mafanikio yenu ya viwandaaaBado kuna viwanda 80+ vinaendelea kujengwa...Tuliahidi tunatekeleza....hamuangaliagi taarifa ya habari...Mkuu wa mkoa wapwani akiibuka ujue kuna kiwanda anakizindua
Hiyo niliyoweka nyekundu ni definition mpya ya kiwanda..!