luangalila
JF-Expert Member
- Jan 12, 2014
- 6,325
- 6,868
Wadau naomba kujuzwa hivi ni kwanini gharama za madirisha ya PVc ni juu mnoo? Na je kama kuna mtu ana connection na fundi anaye tengeneza PVC Windows kwa bei nafuu embu weka connection fasta.
Achana na vitu vya matajiri, uwe na heshima kidogo tafadhali. Sio kila kitu kiko kwa ajili yakoWadau naomba kujuzwa ivi ni kwann gharama za madirisha ya PVc ni juu mnoo ? Na je kama kuna mtu ana connection na fundi anaye tengenezaPVC Windows kwa bei nafuu embu weka connection fasta
Nipo DsmUpo wapi mkuu?
Mcheki huyo 0714350886
Tutolee ujinga hapaAchana na vitu vya matajiri, uwe na heshima kidogo tafadhali
Sawa boss kumbe ndio maana kibanda cha Mlinzi kili gharimu M 7Boss bei kubwa ni kutokana na bei ya material sio hata fundi...PVC iko juu na pia aluminium imepanda sa hv...kwahyo ogopa matapeli utaibiwa bure
Sawa tajiri lialia, unayeshindwa hata kununua madirisha cheap kabisa ya PVC.Tutolee ujinga hapa
Fikra za kifukara uzizike
Wale si wanatumia wakandarasi... hata wewe nenda kwa mkandarasi mwambie gharama ya kujenga nyumba yako halafu uone.Sawa boss kumbe ndio maana kibanda cha Mlinzi kili gharimu M 7
Mimi ninazo ready made na kwa bei poa kabisa madirisha na milango first class na yote ni double glass.Wadau naomba kujuzwa ivi ni kwann gharama za madirisha ya PVc ni juu mnoo ? Na je kama kuna mtu ana connection na fundi anaye tengenezaPVC Windows kwa bei nafuu embu weka connection fasta
Nataka zasize 5*5 5 pcs , 4*6 2pcs , 6*6 1pcs 2*2 2 pcMimi ninazo ready made na kwa bei poa kabisa madirisha na milango first class na yote ni double glass.
Why do u need double glass?Mimi ninazo ready made na kwa bei poa kabisa madirisha na milango first class na yote ni double glass.
Ngoja nikaone vipimoNataka zasize 5*5 5 pcs , 4*6 2pcs , 6*6 1pcs 2*2 2 pc
Note
Unit ni ft.
Sema utauza bei gani
More securityWhy do u need double glass?
5*5 - 350,000/- . 4*6 - 280,000/-. 6*6 - 450,000/-. 2*2 - 220,000/-Nataka zasize 5*5 5 pcs , 4*6 2pcs , 6*6 1pcs 2*2 2 pc
Note
Unit ni ft.
Sema utauza bei gani
Izo sawa lkn sasa kioo icho sio poa hakivutii..at least kingekuwa na urembo
OK sawa hivyo sinaIzo sawa lkn sasa kioo icho sio poa hakivutii..at least kingekuwa na urembo
5*5 - 350,000/- . 4*6 - 280,000/-. 6*6 - 450,000/-. 2*2 - 220,000/-
Hiyo bei ni kwa moja hivyo zidisha kwa idadi yako
[/QU
Angalia mkuu, vituo vingi vya polisi vimejaa mafundi Aluminium, upvc na wa kuchomelea. Upvc Double Glass kwa Bei hiyo?
Bei zako nafuu sana, ningekuwa nahitaji ningekutafuta.5*5 - 350,000/- . 4*6 - 280,000/-. 6*6 - 450,000/-. 2*2 - 220,000/-
Hiyo bei ni kwa moja hivyo zidisha kwa idadi yako