Putin: "I'm Ready for another Cuban-Missile Style Crisis"

Putin: "I'm Ready for another Cuban-Missile Style Crisis"

Kwanini misaada ikipita ndio mwisho wa maduro
Guido alikuwa na amri ya mahakama kutotoka venezuela,kwahiyo kitendo cha kuvuka mpaka jana kuingia colombia anakuwa amekiuka amri ya mahakama,sasa swali kubwa ni kuwa iwapo misaada ikashindikana kuingia anaweza kurudi vipi ,na hata akirudi venezuela kwa njia za panya kama alivyotoka,maduro tayari anayo sababu ya kumweka ndani kwa kukiuka amri ya mahakama,je atamkamata au ataogopa reaction ya marekani na washirika wake?

Sent using my iPhone using jamiiforum app
 
ushabiki wako mbaya sana, marekani hajawahi kupigana na mwanaume , uwa anapigana na wanawake na watoto ndio sahizi yake. unadhani marekani ingekuwa ulaya ingeweza kupambana na jeshi la hittler? russia amepigana na wanaume haswa na hawakujiandaa kwa vita walishtukizwa tu kwa sababu ujerumani aliweka makubaliano na russia ya kusaidiana wakati wa vita na mjerumani akayavunja. ikumbukwe russia aliiona ujerumani kama rafiki hivyo hakujiandaa kupambana naye. sasa hivi kajiandaa vya kutosha kwa vita kuu yeyote , usa ijipange haswa
Wewe unaongea jeshi la leo na jeshi la wakati wa Hitler; ni kama kusema kuwa bado Ujerumani ina jeshi kubwa la kuweza kuiteka Ulaya yote!


urusi haijafikia levo ya kupigana na marekani huwez kuwa sirias boss

Sent using Jamii Forums mobile app

Jeshi la urusi ni bado jeshi la ulinzi wa homeland, siyo jeshi la mashambulizi kimataifa. Urusi haina ubavu wa kuendesha vita ya mbali bila kuwa na kambi ya karibu kwa zaidi ya wiki.
 
Wewe unaongea jeshi la leo na jeshi la wakati wa Hitler; ni kama kusema kuwa bado Ujerumani ina jeshi kubwa la kuweza kuiteka Ulaya yote!




Jeshi la urusi ni bado jeshi la ulinzi wa homeland, siyo jeshi la mashambulizi kimataifa. Urusi haina ubavu wa kuendesha vita ya mbali bila kuwa na kambi ya karibu kwa zaidi ya wiki.
Vietnam syria nani alisimamia show
 
Kuna raia kama watano mpaka sasa wamekufa na majeruhi wengi,
kuna askari baadhi wa venezuela wamedefect,
gari moja iliyokuwa na misaada imechomwa moto,
venezuela wamevunja uhusiano na colombia,pia maduro ametangaza kufungwa kwa anga la venezuela kwa ndege za abiria,
wapinzani wa venezuela watakuwa wameshauliwa na wataalamu maana mamia ya watu wanazingira kambi za jeshi na kuna airport moja tayari iko mikononi mwa wapinzani,

kama hali itaendelea hivi,yale ya syria yanaweza kutokea Venezuela
 
@Richardirakunda,
misaada inatumika tu kama njia ya kuanzisha sekeseke,ndo maana UN na msalaba mwekundu wakajiweka pembeni,
hata watu wanaoipokea,ambao wanadaiwa kuwa katika hatihati ya kufa njaa,majamaa yanaonekana yako well fed,vitambi etc,kwa ufupi wanahitaji mazoezi ya kukata unene,
wakati madura kaagiza tani 300 za chakula,hawa jamaa wana tani chache tu kwenye magari machache tu,eti hizo caton chache za biskuit,nyama za makopo etc ndo zitaondoa tabu ya venezuela ,inshort ni geresha
 
ELINT News
@ELINTNews
7m
Maduro regime burning down aid trucks
and massacring the civilians trying to
desperately get the aid. Awful.
View details ·
ELINT News retweeted
WorldCentralKitchen
@WCKitchen
13m
Replying to @WCKitchen
All aid trucks on the Francisco de Paula
Santander bridge to Venezuela are now
on fire — the cargo was able to be
removed from the last truck and taken
back across the bridge into Colombia.
#Venezuela pic.twitter.com/ivzk2Ai9Db
View conversation ·
ELINT News retweeted
WorldCentralKitchen
@WCKitchen
28m
Replying to @WCKitchen
Second humanitarian aid truck is now
on fire as well. The truck has exploded.
#Venezuela pic.twitter.com/t74mEaYKQd
View conversation ·
ELINT News
@ELINTNews
14m
#BREAKING: Livestream of the
Venezuelan army burning aid trucks on
bridge near Ureña and the Colombian
border, locals managed so salvage some
humanitarian aid pscp.tv/w/
b0GOPjM1NDky…
 
Pro-Maduro forces fired tear gas at two trucks with humanitarian aid and burned the trucks before they entered Venezuela from Colombia.

 
Kwaiyo zile TU-160 zitaanza kazi lini sasa maana maduro tayari ameanza kupotea

Sent using my iPhone using jamiiforum app
 
1550957358594.png


1550957446101.png


1550957893999.png


1550957461370.png
 
Mikwara yote ile vimisaada vimegeuzwa majivu aise

Sent using my iPhone using jamiiforum app
 
Aseh!, huyu Maduro sasa watamchapa na kumpoteza ki kweli kweli.
Unaanzaje kuchoma misaada ya vyakula na madawa wakati kuna wagonjwa na watu wana njaa?!!, 😌😰😳
 
Aiseeee, hawa jamaa kazi kwelikweli
@Richardirakunda,
misaada inatumika tu kama njia ya kuanzisha sekeseke,ndo maana UN na msalaba mwekundu wakajiweka pembeni,
hata watu wanaoipokea,ambao wanadaiwa kuwa katika hatihati ya kufa njaa,majamaa yanaonekana yako well fed,vitambi etc,kwa ufupi wanahitaji mazoezi ya kukata unene,
wakati madura kaagiza tani 300 za chakula,hawa jamaa wana tani chache tu kwenye magari machache tu,eti hizo caton chache za biskuit,nyama za makopo etc ndo zitaondoa tabu ya venezuela ,inshort ni geresha

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna raia kama watano mpaka sasa wamekufa na majeruhi wengi,
kuna askari baadhi wa venezuela wamedefect,
gari moja iliyokuwa na misaada imechomwa moto,
venezuela wamevunja uhusiano na colombia,pia maduro ametangaza kufungwa kwa anga la venezuela kwa ndege za abiria,
wapinzani wa venezuela watakuwa wameshauliwa na wataalamu maana mamia ya watu wanazingira kambi za jeshi na kuna airport moja tayari iko mikononi mwa wapinzani,

kama hali itaendelea hivi,yale ya syria yanaweza kutokea Venezuela


Na hao waliobaki sijui wata support huu unyama wa kuchoma misaada mpaka lini.
On top of that, wamejifungia hakuna kutoka wala mtu kuingia.
Natamani kusikia response ya Putin..
 
Back
Top Bottom