ankai
JF-Expert Member
- Nov 25, 2017
- 3,282
- 4,259
Kiongozi uko ndoton ama?Kumbuka Russia ndiyo anaongoza kumiliki makombora ya nyuklia kuliko nchi yoyote duniani ana kombora lenye uwezo wa kuiteketeza nchi ya ufaransa waeuropean wanalijua hilo wanaliita SATAN
Sent using Jamii Forums mobile app
