Morgan Fisherman
JF-Expert Member
- Dec 10, 2017
- 1,894
- 2,228
urusi haijafikia levo ya kupigana na marekani huwez kuwa sirias bossUrusi bado haijfikia levo ya kupambana na marekani kijeshi; isipokuwa marekani nayo imekuwa inapwaya sana katika kipindi cha miaka ishirini na tano iliyopita kwa sababu za siasa za ndani tu. Tangu mapinduzi ya 1994 ya Contract with America, taifa hilo limekuwa halina siasa za ndani zenye mwelekeo wa kitaifa, badala yake limegawanyika sana kiitikadi na hivyo kutokuwa na sera ya pamopja ya nje kama ilivyokuwa kabla ya hiyo Contract with America..
Sent using Jamii Forums mobile app

