Putin: "I'm Ready for another Cuban-Missile Style Crisis"

Putin: "I'm Ready for another Cuban-Missile Style Crisis"

NPT inatambua mataifa 5 kuwa nuclear states sababu ndio yaliyosaini mkataba, ila sio ndio mataifa makubwa.
Kwahiyo Mataifa Matano Makubwa Kinyuklia Kwa Maoni Yako Ni Yapi Na Kwa Sababu Zipi Ndugu?
 
US wanachohangaika ni nini? Maduro ameshasema anapokea msaada lakini si kutoka US. Sasa US anacholazimisha ni nini?

Kama ana huruma sana si aondoe vikwazo alivyowawekea! Kama ana haja ya kutoa misaada aipeleke Yemen huko au kwa Wapalestina.
 
FRANC THE GREAT delivery system ni nyenzo zinazotumika kulifikisha Bomu eneo husika so hizi delivery system inaweza kuwa Ndege, Magari, Submarine, Trains, Drones na Warships hizi zote ni delivery systems.
Then tukija kwa Minuteman I, Minuteman II na SATAN 1, SATAN 2 hizi sio delivery system ni mabomu halisia.
Kwa mantiki unayoitumia kusema eti SATAN 2 na MINUTEMAN ni delivery system unakuwa unachekesha sana!. Hebu nikuulize unajua smart bomb gani ambalo halitumii rocket fuel!?..
 
Kwahiyo Mataifa Matano Makubwa Kinyuklia Kwa Maoni Yako Ni Yapi Na Kwa Sababu Zipi Ndugu?
Hakuna mataifa makubwa 5 kinyuklia.Ukishamiliki Mabomu ya Nyuklia wewe ni taifa la kuogopwa hata kama kwako umasikini ni 98%.
 
FRANC THE GREAT delivery system ni nyenzo zinazotumika kulifikisha Bomu eneo husika so hizi delivery system inaweza kuwa Ndege, Magari, Submarine, Trains, Drones na Warships hizi zote ni delivery systems.
Then tukija kwa Minuteman I, Minuteman II na SATAN 1, SATAN 2 hizi sio delivery system ni mabomu halisia.
Kwa mantiki unayoitumia kusema eti SATAN 2 na MINUTEMAN ni delivery system unakuwa unachekesha sana!. Hebu nikuulize unajua smart bomb gani ambalo halitumii rocket fuel!?..
Kama Hujayaelewa Yale Maelezo Niliyotoa Mwanzo Kuhusu Hizo Delivery Systems Tunaweza Kubishana Bure Tu Kumbe Tatizo Ni Understanding! Nimeeleza Vizuri Tu Jinsi Gani Hizi Systems Zinaweza Kubeba Silaha 'Warheads' Na Kuzipeleka Kwenye Targets. Nadhani Hujasoma Hapo Vizuri Maana Kila Kitu Kiko Clear Kabisa!

TUMALIZE UBISHI;

Kuna Vitu Lazima Uvifahamu Hapo Kwanza Kabla Ya Mambo Mengine. Kuna; Missile, Warhead, Payload, Throw-Weight, Warheads Miniaturization, MIRV (Multiple Independently Targetable Reentry Vehicle) n.k. Na Ndio Maana Usipovielewa Hivi Vitu Na Utendaji Kazi Wake Utaishia Tu Kusema "Yote Ni Mabomu Tu!"

Haya Makombora; ICBM, Cruise Missiles n.k. Ni Delivery Systems Kwa Ajili Ya Silaha Na Yanakuwa Na Sehemu Au Ujazo Wa Kuweka 'Mzigo' Ama Silaha Kwa Lugha Ya Wenzetu "Payload" Ambapo Kila Missile Inakuwa Na Ujazo Wake Ili Iweze Kusafiri Na Ku-Deliver Hicho Kilichopakiwa. Missile Moja Inauwezo Wa Kubeba Warhead Moja Au Payload Yenye Multiple Warheads (Warheads Zaidi Ya Moja) Na Aina Hii Ya Payload Yenye Warheads Zaidi Ya Moja Ni MIRV (Multiple Independently Targetable Reentry Vehicle) Mfano; MINUTEMAN III, TRIDENT I, TRIDENT II, RS-28 SARMAT (SATAN 2), R-36M (SS-18) (SATAN), UGM-73 POSEIDON n.k. Kapitie Vizuri Kuhusu Hizo ICBMs Sababu Sometimes Wanasayansi Wanaweza Kuwa Na Designs Za Vitu Just To Confuse Laypersons!

Kwa Upande Wa Warheads Zenyewe, Kuna Processes Hufanyika Kama Vile Warheads Miniaturization Ili Kuweza Kupata Suitable Quantity Of Warheads Ikiwemo Kupunguza Pia Ukubwa Na Uzito Wa Silaha (Warheads) Na Pia Kupata Multiple Warheads Ili Kuweza Kuzi-Fit Katika Hizo Missiles Ambapo Kuna Involvement Ya Aina Flani Za Chain Reaction Katika Maswala Ya Nuclear Physics Huko.

Hizo Smart Bombs Ni Tofauti Na ICBMs Kuanzia Kimuundo Hadi Kiutendaji Kazi. Hizo Smart Bombs Ni Precision-Guided Na Zinaendeshwa Na Mionzi Au Mawimbi (Radio) Kwa Kutumia Tu Ile Kasi Ya Uelekeo Wake Na Mostly Hazina Self-Propulsion System Na Pia Zipo Precision-Guided Munitions Zenye Laser-Guided Rockets Ambapo Hizo Smart Bombs Zinakuwa Monitored Au Zinaongozwa Kupitia External Devices. Mifano Ya Smart Bombs Ni Kama Vile GBU-24, CBU-107 n.k. Ambazo Hazitumii Rockets Ama Fuels Sababu Hazina Propulsion System.

Kwa Upande Wa Ballistic Missiles (ICBM) Ni Kuwa Zinatumia Self-Propulsion Systems Kama Vile Solid-Fuel Rockets Au Liquid-Propellant Rockets Na Pia Jet Engines Kwa Upande Wa Cruise Missiles Na Zinakuwa Na Inbuit-Guidance Systems Au On-Board Guidance Systems (Lina Uwezo Wa Kujiongoza Lenyewe).
 
Hakuna mataifa makubwa 5 kinyuklia.Ukishamiliki Mabomu ya Nyuklia wewe ni taifa la kuogopwa hata kama kwako umasikini ni 98%.
Kuwa Na Nukes Au Mabomu Ya Nyuklia Haitoshi Pekee. Kuna Vitu Huwa Vinakuwa Considered Ili Kuonesha How Nuclear Capable Nchi Inaweza Kuwa Ukiachana Na Huo Mkataba Wa NPT Unatambua Mataifa Matano.

Kuna Vitu Kama Number Of Deployed Warheads, Number Of Total Warheads Or Nuclear Stockpiles, Delivery Methods n.k. Mfano Kuna Kitu Kinaitwa Nuclear Triad. Huu Ni Muundo Wa Kijeshi Na Kiulinzi Unaohusisha Platforms Tatu Tofauti Za Kiulinzi Wa Nyuklia; (Ardhini) Land-Launched Nuclear Missiles, (Majini) Nuclear-Missile-Armed Submarines Pamoja Na (Angani) Strategic Aircraft Zenye Nuclear Missiles Ambao Zinaipa Uwezo Mkubwa Zaidi Nchi Kuweza Kufanya "Second Strike" Au Ku-Respond Dhidi Ya Shambulizi Kutoka Nchi Nyingine, Hata Kama Adui Atakuwa Ame-Target Moja Ya Platform Center Yako Iliyopo Kwa Ajili Ya Retaliation, Kwa Maana Hiyo Inaifanya Nchi Moja Kuwa More Deterrent Kuliko Nchi Nyingine.

Kwa Maana Hiyo Hata Kama Una Silaha Za Nyuklia Kama Nchi Yako Ni Less Deterrent, Kuna Uwezekano Mkubwa Ukawa Completely Annihilated Hata Kabla Hujajibu Mashambulizi Na Ni Mbaya Zaidi Kama Adui Yako Atajua Maficho Au Sehemu Zilipo Silaha Zako Anaweza Kuzi-Target Tu Zenyewe. Pia Unaweza Kuwa Na Mabomu Ya Nyuklia Lakini Usiwe Na Nyenzo Bora Za Kuyatuma Kwenye Targets Ukaishia Ku-Concede Attack.

China, France, USA, UK, Russia Wapo Very Advanced Katika Maswala Ya Nuclear, Nuclear Tactics, Delivery Methods And Systems, Wana Delivery Sytems (ICBM) Zenye Ranges Zaidi Ya KM 10,000 Na Hao Wote Wana More Than 200 Nuclear Warheads. Hawa Hata Wakipigana Hakuna Kitakachobaki, Ila Tu Tusiombe Haya Madhara Yatokee Maana Pengine Ndio Utakuwa Mwisho Wa Dunia.

Kuna Nchi Nyingine Kama Pakistan, India, Israel Na NK Pia Wana Nukes Lakini Huwezi Kuwaweka Sawa Na Hao Watano Wakwanza Ukilinganisha Stockpiles Zao, Delivery Methods Na Nuclear Tactics Walizonazo.

It's One Thing To Build A Nuclear Bomb. It's Another Thing Entirely To Deliver The Weapon To Its Intended Target And Detonate It Successfully!
 
Kuna watu humu ndani wanaichukulia Russia kama Nigeria, South Africa, Kenya, Rwanda au Uganda. Russia ni habari nyingine, huyo mchina techlojia yote anapewa toka Russia, kiuchumi Russia aliyumba hivyo kumfanya akashindwa kuendeleza project zake nyingi. Hivyo aliamua kuwa anauza tekinolojia kwa mchina. Mchina alichoweza kutengeneza na hakina ubora ni simu ya Huawei, Techno,Itel nk. Kama hauamini kuwa tekinolojia wanatengeneza wengine china wamekeza viwanda tu angalia simu ya Iphone inatengenezwa wapi? Ushawahi ona mchina anatumia Huawei ana Techno? Kama vyao ni bora mbona hawavitukii? Angalia gari zao kama Howo na Faw kuingiza gia lazima uwe umeshiba na bado gari haina uwiano kati ya gearbox na engine kuna mzumo wa nguvu toka katika difu. Angalia gari za Mrusi kama Kamaz nani anauwezo wa kununua? Hali kadhari gari za Mmarekani International truck hakuna anayeweza kununua. Hivyo Russia na America biashara za mabarabara na madaraja walishaachaga izo vitu, hizo kazi wa wachina na wajerumani na wengine wenyine
 
Katika watu waliokuwa wanauziwa tekinolojia na Russia ni muhindibpiabila muhindi akawa mnafiki kwa kutaka kula Russia na Amerca
 
Kuna watu humu ndani wanaichukulia Russia kama Nigeria, South Africa, Kenya, Rwanda au Uganda. Russia ni habari nyingine, huyo mchina techlojia yote anapewa toka Russia, kiuchumi Russia aliyumba hivyo kumfanya akashindwa kuendeleza project zake nyingi. Hivyo aliamua kuwa anauza tekinolojia kwa mchina. Mchina alichoweza kutengeneza na hakina ubora ni simu ya Huawei, Techno,Itel nk. Kama hauamini kuwa tekinolojia wanatengeneza wengine china wamekeza viwanda tu angalia simu ya Iphone inatengenezwa wapi? Ushawahi ona mchina anatumia Huawei ana Techno? Kama vyao ni bora mbona hawavitukii? Angalia gari zao kama Howo na Faw kuingiza gia lazima uwe umeshiba na bado gari haina uwiano kati ya gearbox na engine kuna mzumo wa nguvu toka katika difu. Angalia gari za Mrusi kama Kamaz nani anauwezo wa kununua? Hali kadhari gari za Mmarekani International truck hakuna anayeweza kununua. Hivyo Russia na America biashara za mabarabara na madaraja walishaachaga izo vitu, hizo kazi wa wachina na wajerumani na wengine wenyine
Mbona ofisini kwetu gari za kamaz zipo nyingi tu

Huawei na tecno zinatofautiana ubora kulingana na kipato chako mchina now anapiga mpaka copy ya iPhone na ni nzuri tu alafu kuilinganisha ujerumani na China ni makosa angalia chuma cha kijeruman mv riemba ina miaka zaidi ya mia lkn bado ipo

Sent using my iPhone using jamiiforum app
 
Naomba ieleweke kuwa hakuna vita kubwa ya dunia itakayotokea kwa sasa...Hzo zote ni vita baridi tu hakuna Super power anayetaka vita na mkubwa mwenzake..Wanajua madhara yake,Hyo vita ya pili tu ya dunia ilileta madhara ya muda mrefu..Tutaendelea tu kusikia Migogoro kati yao lakini vita sifikirii

Sent using Jamii Forums mobile app
 
More Sanctions on Maduro..

"..Trump administration freeze the assets of Venezuela’s state oil giant PDVSA — a move meant to further cut Maduro’s international cash flow..
..Venezuelan opposition leader Juan Guaidó has sought assurances that the United States could use force if necessary, but the vice president did not set a red line for that decision or hint at what he would recommend to Trump.."

Kazi kweli kweli.
Hii shughuli isije geuka tu, na kuzua makubwa kwa giants wa, East Vs West.
 
Mbona ofisini kwetu gari za kamaz zipo nyingi tu

Huawei na tecno zinatofautiana ubora kulingana na kipato chako mchina now anapiga mpaka copy ya iPhone na ni nzuri tu alafu kuilinganisha ujerumani na China ni makosa angalia chuma cha kijeruman mv riemba ina miaka zaidi ya mia lkn bado ipo

Sent using my iPhone using jamiiforum app
Hivi ushawahi kuona mzungu au hata mchin amwenyewe anatumia Huawei au Techno. Ukienda Uingereza Techno ipo? Izo simu kwa ajili ya dunia ya tatu ndugu.

Mchina tekinolojia nyingi anapewa toka Russia kubali ama kataa
 
Watu wanachukulia Russia kama mtot mdogo. Huko Ulaya ukiangalia ligi zao makampuni ya Kirusi mengi yameweka matangazo kama Gazprom, aeroflot nk. Then wamchukulia huyo mtu wa kawaida sana, mwaka 2014 baada ya kuichukua Cremia toka Ukraine, Obama na wenzake walimwekea vikwazo vya kiuchumi vya nguvu sana wakitegemea kombe la dunia asingeweza maliza kutengeneza viwanja na accomodation nyingine. Lakini wakaishangaza dunia pamoja na vikwazo vyote kombe la dunia likawa la mfano wako na kipeee kila kitu kikawa muruaaaa!!!!!!
Vikwazo kamwekee Zimbabwe tu nk
 
Back
Top Bottom