Putin: "I'm Ready for another Cuban-Missile Style Crisis"

Putin: "I'm Ready for another Cuban-Missile Style Crisis"

Air Tanzania kuna mzigo mwingine mzuri toka Russia huo zaidi ya Airbus
 
Hakuna mzungu anaetumia tecno bt Huawei wapo wanaotumia
Pia mchina anaunda vitu kulingana na pesa yako mfano ni tecno phantom ni bora saana kuliko ata Samsung prime 5
Hivi ushawahi kuona mzungu au hata mchin amwenyewe anatumia Huawei au Techno. Ukienda Uingereza Techno ipo? Izo simu kwa ajili ya dunia ya tatu ndugu.

Mchina tekinolojia nyingi anapewa toka Russia kubali ama kataa

Sent using my iPhone using jamiiforum app
 
Anazo Warheads Zaidi Ya 300. Na Mainly Ni Kwa Ajili Ya Deterrence. Hata Urusi Naye Ni Kwa Ajili Hiyo Ndio Maana Anaishia Kuzungumza Tu Maana Wanajua Kwamba Hata Yeye Hayupo Salama Sababu Ya Kitu Kinachoitwa Mutual Assured Destruction.
Mkuu uko well informed na una nidhamu ya majadiliano. Kudos bro

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hakuna mzungu anaetumia tecno bt Huawei wapo wanaotumia
Pia mchina anaunda vitu kulingana na pesa yako mfano ni tecno phantom ni bora saana kuliko ata Samsung prime 5

Sent using my iPhone using jamiiforum app
Kiongozi acha utani. kweli Techno Phantom ulinganishe na Samsung. Simu inayojisikia tu leo naamua kuzima kutwa inajizima ukipeleka kwa fundi ndo kabisa inaenda malikizika hahahaha
 
Kuwa Na Nukes Au Mabomu Ya Nyuklia Haitoshi Pekee. Kuna Vitu Huwa Vinakuwa Considered Ili Kuonesha How Nuclear Capable Nchi Inaweza Kuwa Ukiachana Na Huo Mkataba Wa NPT Unatambua Mataifa Matano.

Kuna Vitu Kama Number Of Deployed Warheads, Number Of Total Warheads Or Nuclear Stockpiles, Delivery Methods n.k. Mfano Kuna Kitu Kinaitwa Nuclear Triad. Huu Ni Muundo Wa Kijeshi Na Kiulinzi Unaohusisha Platforms Tatu Tofauti Za Kiulinzi Wa Nyuklia; (Ardhini) Land-Launched Nuclear Missiles, (Majini) Nuclear-Missile-Armed Submarines Pamoja Na (Angani) Strategic Aircraft Zenye Nuclear Missiles Ambao Zinaipa Uwezo Mkubwa Zaidi Nchi Kuweza Kufanya "Second Strike" Au Ku-Respond Dhidi Ya Shambulizi Kutoka Nchi Nyingine, Hata Kama Adui Atakuwa Ame-Target Moja Ya Platform Center Yako Iliyopo Kwa Ajili Ya Retaliation, Kwa Maana Hiyo Inaifanya Nchi Moja Kuwa More Deterrent Kuliko Nchi Nyingine.

Kwa Maana Hiyo Hata Kama Una Silaha Za Nyuklia Kama Nchi Yako Ni Less Deterrent, Kuna Uwezekano Mkubwa Ukawa Completely Annihilated Hata Kabla Hujajibu Mashambulizi Na Ni Mbaya Zaidi Kama Adui Yako Atajua Maficho Au Sehemu Zilipo Silaha Zako Anaweza Kuzi-Target Tu Zenyewe. Pia Unaweza Kuwa Na Mabomu Ya Nyuklia Lakini Usiwe Na Nyenzo Bora Za Kuyatuma Kwenye Targets Ukaishia Ku-Concede Attack.

China, France, USA, UK, Russia Wapo Very Advanced Katika Maswala Ya Nuclear, Nuclear Tactics, Delivery Methods And Systems, Wana Delivery Sytems (ICBM) Zenye Ranges Zaidi Ya KM 10,000 Na Hao Wote Wana More Than 200 Nuclear Warheads. Hawa Hata Wakipigana Hakuna Kitakachobaki, Ila Tu Tusiombe Haya Madhara Yatokee Maana Pengine Ndio Utakuwa Mwisho Wa Dunia.

Kuna Nchi Nyingine Kama Pakistan, India, Israel Na NK Pia Wana Nukes Lakini Huwezi Kuwaweka Sawa Na Hao Watano Wakwanza Ukilinganisha Stockpiles Zao, Delivery Methods Na Nuclear Tactics Walizonazo.

It's One Thing To Build A Nuclear Bomb. It's Another Thing Entirely To Deliver The Weapon To Its Intended Target And Detonate It Successfully!
Uko sahihi 100%

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Anafanya ushabiki wa vibanda umiza
Hakuna Missile Inayoweza Kuifuta Nchi Kama Ufaransa. Ninachotaka Kukuambia Ni Kuwa Hata Kama Urusi Awe Na Makombora Mengi Bado Hata Ufaransa Naye Ni Nuclear Power Na Ana Makombora Yanayoweza Kupiga Sehemu Yeyote Duniani (Ni G5 Member Yule). Kwa Maana Hiyo Lazima Atajibu Mapigo.
 
Back
Top Bottom