FRANC THE GREAT
JF-Expert Member
- May 27, 2016
- 5,500
- 8,065
Satan 2 Or Any Missile Aina Tofauti Na Rockets Zingine. Ni Delivery Systems Ambazo Zinaweza Kutumika Kubeba Warheads Au Silaha. Sijui Tunachobishana Hapo Ni Kipi? Au Nikuulize Wewe, Unaelewa Nini Maana Ya Missile?We jamaa bana eti SATAN 2 ni delivery system, na RD-263 itakuwa nini!?... Ina maana kusoma kwako kote source hata moja imeshindwa kukwambia dunia ilitikisikaje kwa kilichotokea mwaka 1961?.
Basi kuna mzigo unaitwa 'FATHER OF ALL BOMBS' au "TSAR BOMBA" kalifatirie na lenyewe limeundiwa kabisa ndege yake maalum Tupolev Tu-160 kulideliver. Kuhusj ukubwa wa mlipuko wake hili FOAB ni kwamba lilipunguzwa ukali siku ya majaribio ila specification zake zote zingetumika hali ingekuwa tofauti siku hiyo!.
Namba 2 naona pumba hakuna point, hivi ukiambiwa USA inaweza ipoteza Tz unahisi hilo bomu likipigwa litakung'uta Tz yote!?. Ni kwamba linapiga Governmental area ina maana kama likipigwa basi Dodoma na Moro au Singida zote zinapotea kwenye ramani. France ni Paris kwingine jina tu na ndio maana Hitler alipoingia Paris basi nchi nzima ikawa imepigwa na uongozi ukakimbilia UK, sawa na ambacho Londoners wangefanya jamaa kama angefanikiwa ingia.
Point namba 3 nilishawahi itolea ufafanuzi, Vita ya Nyuklia ni hatua ya mwisho kabisa special wanapopigana wakubwa!. MAD ni ile "tukose wote" hakuna ambaye yupo tayari kuianzisha, na usipotumia nyuklia basi narudia France na Europas ukimtoa UK ni warembo kwa Russia.
Hilo Tsar Bomber Nilishalitolea Ufafanuzi Humu Humu JF Kuhusiana Na Ubishi Huu Huu Kuhusu France. Na Nilieleza Kuwa Hata Bomu Kubwa Kuwahi Kifanyiwa Majaribio Haliwezi Ku-Cover France Nzima. Na Aliyewaambia Kuwa France Nzima Ni Paris Tu Ni Nani?