GE2025 Punde mtaanza tena kumsifia Samia!

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025
Nyie ni watu msio na principles. Na nyie ndo wajinga ambao ndo mtaji mkubwa wa CCM.
CCM wanajua sana kuzichezea akili za wajinga na wapumbavu.
Asilimia 98 ya watu nchi hii ni wajinga na wapumbavu tu.
Kwanza naunga mkono hoja, huko nyuma niliwahi kuuliza, Hivi kweli kuna Mtanzania mwenye akili zake timamu anaweza kuichagua tena CCM, kwa Lipi? ndipo nikafanya research Kwanini CCM inaendelea kushinda chaguzi, licha ya kuwa ndio chanzo cha umasikini wa taifa letu, rushwa na ufisadi?!
p
 
Hivi kuna watu bado mnaamini October kuna uchaguzi.
 
Mbowe kasota jela Lema alikimbia nchi na pensi nimeshangazwa na wanaharakakti mchwara wanapo wasema vibaya hao watu ukiwauliza wao je msha wahi walau hata Kulala polisi sababu ya chama kimya wakute jamii forum nikubweka tu Kama sijui manini, sikatai kelele za humu zinawapa presha watawala ni sawa Karisa ila tujitahidi kupunguza mihemko
 
Hakika kuna ujinga mwingi sana kwa Watanzania wengi kwa mambo ya aina hii.
 
Ili kuitoa CCM lazima umtoe Samia kwanza madarakani, au unasubria miujiza!? Acha unafiki wa kutaka kumwondoa Samia kwenye Haya yanayoendelea.

chadema hawawezi kumtoa Samia madarakani, wameshatia mpira kwapani kwenye uchaguzi 2030 samia hatakuepo tena.
 
Ww ni mtu mnafiki sana, Samia ni mwanaccm na ni mojawapo ya wahusika wa huu uozo.

sijakataa kama sio muhusika, ila yeye sio tatizo kuu ni just part of problem. Munatakiwa ku focus kupamabana na tatizo kuu ambalo ni CCM. lakini nyinyi mupo bzy kumshabikia Pole Pole ambae yeye mwenyewe pia ni CCM
 
Hakuna kesi hapo; anakabiliwa na manufactured charges zenye objective ya kumshikilia mpaka baada ya uchaguzi. You can take that to the bank!
 
Mh
 
Hakuna mtz wa kuandamana iwe leo, kesho, kesho kutwa au trh 29 ya mwezi wowote.
 
Hakuna kesi hapo; anakabiliwa na manufactured charges zenye objective ya kumshikilia mpaka baada ya uchaguzi. You can take that to the bank!
Genge la CCM halihitaji kesi kuumiza watu.

Kwani jina Ali Kibaomwalikiwa na kosa gani au Mdude??

Kwani Gwajima ana kosa gani??
 
Genge la CCM halihitaji kesi kuumiza watu.

Kwani jina Ali Kibaomwalikiwa na kosa gani au Mdude??

Kwani Gwajima ana kosa gani??
Kwanini unadhani wanateka na kuua wakosoaji wao? This is their most convenient option, because they can easily deny it (as they usually do)!

Kumuua mtu kwa njia za kisheria sio convenient option, kwasababu inatengeneza paper trail ambayo down the road inaweza kugeuka kuwa liability kubwa. Wanachoweza kufanya ni kuwakomoa tu kwa kuwaweka gerezani kwa muda mrefu na kisha kuwaachia kwa nolle prosequi.
 
sijakataa kama sio muhusika, ila yeye sio tatizo kuu ni just part of problem. Munatakiwa ku focus kupamabana na tatizo kuu ambalo ni CCM. lakini nyinyi mupo bzy kumshabikia Pole Pole ambae yeye mwenyewe pia ni CCM
Unazunguka sana ila ww shida Yako ni Polepole.

Ww pambana kwa nafasi Yako, sio lazima kila mtu apambane na system mbovu kama unavotaka ww.

Lengo ni Moja kuondoa systems mbovu either kwa kudeal na Samia or CCM.
 
Wanaenda na upepo, wengine mahaba yamewazidia kwa jiwe mpaka wanamuona mtakatifu..!!
 
Unazunguka sana ila ww shida Yako ni Polepole.

Ww pambana kwa nafasi Yako, sio lazima kila mtu apambane na system mbovu kama unavotaka ww.

Lengo ni Moja kuondoa systems mbovu either kwa kudeal na Samia or CCM.

huwezi kuiondoa system mbovu kwa ku deal na Samia tu.
 
Ameanzisha uozo mwingi sana don't be an imbecile, toto lake pia Abdul unofficially limekiwa sehemu ya TISS(special squad) lile gang la wasiojulikana. Haujawahi kutokea tangu nchi ipate uhuru.
Kwenye wizi, ubadhilifu, ufujaji wa mali ya umma na ufisadi she has done tremendously terrible. Amewazidi predecessors wake wote kwa kiwango kikubwa, mtakuja na utetezi kuwa wizi wake unaonekana zaidi kwa sababu ya kukua kwa technology either way ni mwizi tu tena sana and that's what we're counting.
 
Wacha dharau mkuu watu siyo wajinga kama unavyowachukulia. Samia ni adui wa Tanganyika hakuna mtanganyika anayemkubali labda hao chawa wake wa mboga mboga ambao amewageuza misukule yake.
Kama ninyi si Wajinga na Waoga na mna msimamo kwanini msiandamane hivi sasa wakati Lissu anateseka kwa kesi ya uongo? Mnaishia kubweka mitandaoni na kuwasifia akina Mange na Polepole😅

Udhaifu wa Wabongo unafahamika...kubadilisha mindset ya Mtanzania ni kitu kirahisi sana yakhee...

Hakuna Mbongo mwenye msimamo halisi tangu miaka na miaka, it's ua nature
 
Huo ndiyo ukweli
 

Kama Lissu atasahau au kukubali Kama alivyofanya Mbowe watu wana haki ya kusahau pia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…