GE2025 Punde mtaanza tena kumsifia Samia!

GE2025 Punde mtaanza tena kumsifia Samia!

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025
Wengi wenu sasa hivi mnamchukia Samia kwa sababu Lissu yuko jela.

Mmeshasahau kabisa kuwa hata Mbowe aliwekwa jela kwa tuhuma za ugaidi mwanzoni mwa utawala wa huyu huyu mama yenu.

Mbowe alisota jela takriban miezi nane.

Sasa, itakuwa hivi:

Lissu ataachiwa tu. Anaweza kuachiwa kabla kidogo ya uchaguzi au baada ya uchaguzi Samia akishaapishwa.

Na Lissu atapoachiwa, nyie wote mnaojifanya kumchukia sasa hivi kwa sababu hiyo moja, mtapiga makofi na vigeregere vya shukrani kwa Samia na ‘mtaanza’ kumpenda tena.

Nyie ni watu msio na principles. Na nyie ndo wajinga ambao ndo mtaji mkubwa wa CCM.

Unakasirika leo Lissu kufungwa na unasema kabisa kuwa hiyo ndo sababu yako ya kutokumkubali huyo mama, vipi hao wengine waliofungwa na/ au kutekwa na kuuwawa kabla ya Lissu?

Hayo hayakukufanya usimchukie?

Where is your red line?

CCM wanajua sana kuzichezea akili za wajinga na wapumbavu.

Tundu Lissu yuko jela kimkakati tu. Ataachiliwa muda ukifika.

Na wajinga na wapumbavu mtamshukuru Samia.

‘Ahsante mama’. ‘Mama unaupiga mwingi’.

‘Mama ni msikivu’. ‘Mama ana huruma’.

Blah blah blah.

Hapo mtasahau yote aliyoyapata Mbowe.

Mtamsahau mzee Mawazo.

Mtamsahau Mdude.

Na mtawasahau wengine wote.

Na itakuwa ni mitano tena kwa mama.

Asilimia 98 ya watu nchi hii ni wajinga na wapumbavu tu.
Mkuu punguza ukali basi wa maneno dah😃
 
Wacha dharau mkuu watu siyo wajinga kama unavyowachukulia. Samia ni adui wa Tanganyika hakuna mtanganyika anayemkubali labda hao chawa wake wa mboga mboga ambao amewageuza misukule yake.
Watu ni wajinga sana mkuu, usipinge hilo hata kidogo. Kama mtu anaridhika kwa mkate na chai tu, anaridhika kwa kofia na t-shirt tu, anaridhika kwa 10k-100k tu, kwa nini asiitwe mjinga na mpumbavu.
 
Wengi wenu sasa hivi mnamchukia Samia kwa sababu Lissu yuko jela.

Mmeshasahau kabisa kuwa hata Mbowe aliwekwa jela kwa tuhuma za ugaidi mwanzoni mwa utawala wa huyu huyu mama yenu.

Mbowe alisota jela takriban miezi nane.

Sasa, itakuwa hivi:

Lissu ataachiwa tu. Anaweza kuachiwa kabla kidogo ya uchaguzi au baada ya uchaguzi Samia akishaapishwa.

Na Lissu atapoachiwa, nyie wote mnaojifanya kumchukia sasa hivi kwa sababu hiyo moja, mtapiga makofi na vigeregere vya shukrani kwa Samia na ‘mtaanza’ kumpenda tena.

Nyie ni watu msio na principles. Na nyie ndo wajinga ambao ndo mtaji mkubwa wa CCM.

Unakasirika leo Lissu kufungwa na unasema kabisa kuwa hiyo ndo sababu yako ya kutokumkubali huyo mama, vipi hao wengine waliofungwa na/ au kutekwa na kuuwawa kabla ya Lissu?

Hayo hayakukufanya usimchukie?

Where is your red line?

CCM wanajua sana kuzichezea akili za wajinga na wapumbavu.

Tundu Lissu yuko jela kimkakati tu. Ataachiliwa muda ukifika.

Na wajinga na wapumbavu mtamshukuru Samia.

‘Ahsante mama’. ‘Mama unaupiga mwingi’.

‘Mama ni msikivu’. ‘Mama ana huruma’.

Blah blah blah.

Hapo mtasahau yote aliyoyapata Mbowe.

Mtamsahau mzee Mawazo.

Mtamsahau Mdude.

Na mtawasahau wengine wote.

Na itakuwa ni mitano tena kwa mama.

Asilimia 98 ya watu nchi hii ni wajinga na wapumbavu tu.
Umerusha mkojo kwenye siafu, subiri usikie matusi na kejeli. Ila hivyo ndivyo walivyo
 
Wengi wenu sasa hivi mnamchukia Samia kwa sababu Lissu yuko jela.

Mmeshasahau kabisa kuwa hata Mbowe aliwekwa jela kwa tuhuma za ugaidi mwanzoni mwa utawala wa huyu huyu mama yenu.

Mbowe alisota jela takriban miezi nane.

Sasa, itakuwa hivi:

Lissu ataachiwa tu. Anaweza kuachiwa kabla kidogo ya uchaguzi au baada ya uchaguzi Samia akishaapishwa.

Na Lissu atapoachiwa, nyie wote mnaojifanya kumchukia sasa hivi kwa sababu hiyo moja, mtapiga makofi na vigeregere vya shukrani kwa Samia na ‘mtaanza’ kumpenda tena.

Sasa hii ng'ombe inajaribu kusema nini? Kama unampenda huyo maza si utulie?
 
Watu ni wajinga sana mkuu, usipinge hilo hata kidogo. Kama mtu anaridhika kwa mkate na chai tu, anaridhika kwa kofia na t-shirt tu, anaridhika kwa 10k-100k tu, kwa nini asiitwe mjinga na mpumbavu.
amesema watanzania! Ikiwemo na wewe!
 
Ulichosema ni sahihi lakini kwa sasa ni asilimia chache, watu ni waoga hivyo maoni ya mdomoni sio tafsiri halisi ya uelewa wa mambo (wengi wameamua kulinda uhai,vyeo na biashara zao basi)
 
Wacha dharau mkuu watu siyo wajinga kama unavyowachukulia. Samia ni adui wa Tanganyika hakuna mtanganyika anayemkubali labda hao chawa wake wa mboga mboga ambao amewageuza misukule yake.

adui wa tanganyika ni CCM na sio Samia, unaendelea kudhihirisha maelezo ya mleta mada.
 
Haya subiri utaona!

Wamelitengeneza wao tatizo la Lissu na wao ndo watalitatua halafu watapewa pongezi.

Watch this space….
Hiyo sahau. Hakuna atakayemuona wa maana wala kumsifia. Wote utakaowaona wakifanya hivyo basi elewa ni sehemu ya waliotengeneza tatizo.

Na inawezekana tusifike huko jambo lolote laweza kutokea kabla ya matarajio yao. Machozi ya walio wengi Mungu hawezi kuyaacha hivi hivi. Lazima atuamulie ugomvi.
 
adui wa tanganyika ni CCM na sio Samia, unaendelea kudhihirisha maelezo ya mleta mada.
Ili kuitoa CCM lazima umtoe Samia kwanza madarakani, au unasubria miujiza!? Acha unafiki wa kutaka kumwondoa Samia kwenye Haya yanayoendelea.
 
samia kama yeye hajafikia level ya wizi kama JK au Jiwe, kwa hiyo hio sio hoja. Samia anachukiwa sana sababu ya kuna nguvu kubwa inatumika kumchafua kutoka ndani ya CCM, Chadema na wanaharakati. wananchi wakawaida hasa wa TZ always huwa ni wakufata upepo tu. makosa anayofanya Samia ni makosa amabyo yamekuwa yakifanyika ndani ya CCM kwa miaka mingi tu, hakuna alichoanzisha.
Ww ni mtu mnafiki sana, Samia ni mwanaccm na ni mojawapo ya wahusika wa huu uozo.
 
Wengi wenu sasa hivi mnamchukia Samia kwa sababu Lissu yuko jela.

Mmeshasahau kabisa kuwa hata Mbowe aliwekwa jela kwa tuhuma za ugaidi mwanzoni mwa utawala wa huyu huyu mama yenu.

Mbowe alisota jela takriban miezi nane.

Sasa, itakuwa hivi:

Lissu ataachiwa tu. Anaweza kuachiwa kabla kidogo ya uchaguzi au baada ya uchaguzi Samia akishaapishwa.

Na Lissu atapoachiwa, nyie wote mnaojifanya kumchukia sasa hivi kwa sababu hiyo moja, mtapiga makofi na vigeregere vya shukrani kwa Samia na ‘mtaanza’ kumpenda tena.

Nyie ni watu msio na principles. Na nyie ndo wajinga ambao ndo mtaji mkubwa wa CCM.

Unakasirika leo Lissu kufungwa na unasema kabisa kuwa hiyo ndo sababu yako ya kutokumkubali huyo mama, vipi hao wengine waliofungwa na/ au kutekwa na kuuwawa kabla ya Lissu?

Hayo hayakukufanya usimchukie?

Where is your red line?

CCM wanajua sana kuzichezea akili za wajinga na wapumbavu.

Tundu Lissu yuko jela kimkakati tu. Ataachiliwa muda ukifika.

Na wajinga na wapumbavu mtamshukuru Samia.

‘Ahsante mama’. ‘Mama unaupiga mwingi’.

‘Mama ni msikivu’. ‘Mama ana huruma’.

Blah blah blah.

Hapo mtasahau yote aliyoyapata Mbowe.

Mtamsahau mzee Mawazo.

Mtamsahau Mdude.

Na mtawasahau wengine wote.

Na itakuwa ni mitano tena kwa mama.

Asilimia 98 ya watu nchi hii ni wajinga na wapumbavu tu.
Una shauri nini kifanyike?
 
Wengi wenu sasa hivi mnamchukia Samia kwa sababu Lissu yuko jela.

Mmeshasahau kabisa kuwa hata Mbowe aliwekwa jela kwa tuhuma za ugaidi mwanzoni mwa utawala wa huyu huyu mama yenu.

Mbowe alisota jela takriban miezi nane.

Sasa, itakuwa hivi:

Lissu ataachiwa tu. Anaweza kuachiwa kabla kidogo ya uchaguzi au baada ya uchaguzi Samia akishaapishwa.

Na Lissu atapoachiwa, nyie wote mnaojifanya kumchukia sasa hivi kwa sababu hiyo moja, mtapiga makofi na vigeregere vya shukrani kwa Samia na ‘mtaanza’ kumpenda tena.

Nyie ni watu msio na principles. Na nyie ndo wajinga ambao ndo mtaji mkubwa wa CCM.

Unakasirika leo Lissu kufungwa na unasema kabisa kuwa hiyo ndo sababu yako ya kutokumkubali huyo mama, vipi hao wengine waliofungwa na/ au kutekwa na kuuwawa kabla ya Lissu?

Hayo hayakukufanya usimchukie?

Where is your red line?

CCM wanajua sana kuzichezea akili za wajinga na wapumbavu.

Tundu Lissu yuko jela kimkakati tu. Ataachiliwa muda ukifika.

Na wajinga na wapumbavu mtamshukuru Samia.

‘Ahsante mama’. ‘Mama unaupiga mwingi’.

‘Mama ni msikivu’. ‘Mama ana huruma’.

Blah blah blah.

Hapo mtasahau yote aliyoyapata Mbowe.

Mtamsahau mzee Mawazo.

Mtamsahau Mdude.

Na mtawasahau wengine wote.

Na itakuwa ni mitano tena kwa mama.

Asilimia 98 ya watu nchi hii ni wajinga na wapumbavu tu.
No, 98% is an understatement. Kama watu wasio wajinga na wapumbavu kwenye nchi wangekuwa 2% (i.e., watu 1,200,000), CCM ingekuwa ama imeshang’oka madarakani au inatawala kwa kuzingatia Rule of Law. Hata watu theluthi moja tu ya watu 1,200,000 (i.e., watu 400,000) wakiamua kuing’oa Serikali, wanaing’oa mapema asubuhi.
 
Wengi wenu sasa hivi mnamchukia Samia kwa sababu Lissu yuko jela.

Mmeshasahau kabisa kuwa hata Mbowe aliwekwa jela kwa tuhuma za ugaidi mwanzoni mwa utawala wa huyu huyu mama yenu.

Mbowe alisota jela takriban miezi nane.

Sasa, itakuwa hivi:

Lissu ataachiwa tu. Anaweza kuachiwa kabla kidogo ya uchaguzi au baada ya uchaguzi Samia akishaapishwa.

Na Lissu atapoachiwa, nyie wote mnaojifanya kumchukia sasa hivi kwa sababu hiyo moja, mtapiga makofi na vigeregere vya shukrani kwa Samia na ‘mtaanza’ kumpenda tena.

Nyie ni watu msio na principles. Na nyie ndo wajinga ambao ndo mtaji mkubwa wa CCM.

Unakasirika leo Lissu kufungwa na unasema kabisa kuwa hiyo ndo sababu yako ya kutokumkubali huyo mama, vipi hao wengine waliofungwa na/ au kutekwa na kuuwawa kabla ya Lissu?

Hayo hayakukufanya usimchukie?

Where is your red line?

CCM wanajua sana kuzichezea akili za wajinga na wapumbavu.

Tundu Lissu yuko jela kimkakati tu. Ataachiliwa muda ukifika.

Na wajinga na wapumbavu mtamshukuru Samia.

‘Ahsante mama’. ‘Mama unaupiga mwingi’.

‘Mama ni msikivu’. ‘Mama ana huruma’.

Blah blah blah.

Hapo mtasahau yote aliyoyapata Mbowe.

Mtamsahau mzee Mawazo.

Mtamsahau Mdude.

Na mtawasahau wengine wote.

Na itakuwa ni mitano tena kwa mama.

Asilimia 98 ya watu nchi hii ni wajinga na wapumbavu tu.
Kwanza watu HAWACHUKII watu wanachukia MATENDO ya ovyo ya WATU, kama UONEVU, UTEKAJI, UFISADI, WIZI, MAUAJI.

Samia kwangu mambo yote yuko sawa isipokuwa UFISADI holela, Kupora Kura na Unnecessary Utekaji.

Kuhusu Lissu kuachiwa, kila mtu mwema anatamani iwe hivyo, kwasababu anaonewa tu, maana hana HATIA.

Suala la.kuwa na matumaini kuwa ataachiwa wengi manhisi hivyo, maana hata Azory gwanda, Soka, Chaula Na wote waliotekwa bado mna matumaini watarudi.

Ila GENGE la CCM la sasa halina aibu, kabisa, linaweza kumnyonga, maana kama.walimpiga risasi 46, hawashindwi kumnyonga. Akili hakuna.
 
Mtetezi umeibuka. Hakuna mtu aliyechafuliwa na kusingiziwa kama jiwe. Hata wizi mnaousema ni ule wa kuambiwa tu. CAG kabanwa kabaki kuwa chawa,siku akiwa huru akafunguka hutaamini ufisadi unaotendeka awamu hii
samia kama yeye hajafikia level ya wizi kama JK au Jiwe, kwa hiyo hio sio hoja. Samia anachukiwa sana sababu ya kuna nguvu kubwa inatumika kumchafua kutoka ndani ya CCM, Chadema na wanaharakati. wananchi wakawaida hasa wa TZ always huwa ni wakufata upepo tu. makosa anayofanya Samia ni makosa amabyo yamekuwa yakifanyika ndani ya CCM kwa miaka mingi tu, hakuna alichoanzisha.
 
Back
Top Bottom