Pumzika kwa amani mdogo wangu

Pumzika kwa amani mdogo wangu

Pole sana swahiba. Mungu amrehemu mdogo wetu na mtoto wa swahiba wetu PakaJimmy

Huu ni mtihani mgumu sana wa maisha
 
Poleni sana inaumiza sana, roho inatamani to fight back ila mwili umefikia kikomo, hii miili ya kinyonge sana
 
Pole sana tuzidi kuwaombea marehemu wetu M/Mungu apumzishe roho zao pema peponi...Amiin
 
Miongoni mwa wanafunzi Walio tangulia mbele zahaki Ni my Young Sister Sabrinah
Daaah allah akujalie uwe miongoni mwa watakao iyona pepo inshaallah

Pole dhazati na kwa wanafunzi wenzio walio tutoka na Walimu wao

Daaah 6/5/2017 sitahi sahau hii siku
e7486b1cab15ab6671476e2fcb14de35.jpg



Kifo Kifo Kifo Nisikufuru Mdogo wangu ulikuwa Nandoto zakuja kuwa Raisi Zime zima ghafla

Eemungu fariji moyo wangu moyo wangu daaah[emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24]
Poleni sana mkuu inauma mno
Daa,,,ila marehemu naye daa,r.i.p[emoji24] [emoji24]
 
Ametukuka Mwenyezi Mungu ambaye katika utukufu wake Upo ufalme wote. Na Yeye ni Mwenyezi Mungu muweza wa Yote.
Pokea Pole zetu mimi na Familia yangu. "Inna Lillahi wainna illayhi rajiunn!!"
 
Dah inauma sana acheni tu aisee pole sana yani haielezeki kabisa
 
Miongoni mwa wanafunzi Walio tangulia mbele zahaki Ni my Young Sister Sabrinah
Daaah allah akujalie uwe miongoni mwa watakao iyona pepo inshaallah

Pole dhazati na kwa wanafunzi wenzio walio tutoka na Walimu wao

Daaah 6/5/2017 sitahi sahau hii siku
e7486b1cab15ab6671476e2fcb14de35.jpg



Kifo Kifo Kifo Nisikufuru Mdogo wangu ulikuwa Nandoto zakuja kuwa Raisi Zime zima ghafla

Eemungu fariji moyo wangu moyo wangu daaah[emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24]
.....imeniliza, duu....poleni sana
Pole sana tuzidi kuwaombea marehemu wetu M/Mungu apumzishe roho zao pema peponi...Amiin
 
Binadamu alieumbwa kwa udongo sikuzake zakuishi sionyingi nikitambo kidogo tu.

R.I.P kwa watoto wote walio poteza maisha katika ajaliile mbaya, kilajambo alifanyalo MUNGU anakusudinalo, poleni, poleni, polenisana familia zote MUNGU afape moyo mkuu. Daah, so sad.
 
Back
Top Bottom