Pumzika kwa amani Jesca Mmari

Pumzika kwa amani Jesca Mmari

Angeendesha tu mwendo wake wa kawaida anaoweza kucontrol, atakayejipendekezaa mbele yake unampopoa na yeye,, unaenda zako polisi,

Me siku boda boda watajilengasha nitawavunja hiyo miguu wengi tu, labda wanifuate nyuma siyo kujipendekez kuniblock,

Kuna jamaa mmoja land cruiser za porini alimgonga mmoja usiku mkali wakaanza kumfukuza wakapigiana simu kituo cha mbele wamblock, hahaaa jamaa walivyobangi wakajikita barabarani, jamaaa aliwabetua kama mpira wa kona, na akatokomea, wengine walivyoona wenzao walivyofyatuliwa wakageuka mmoja mmoja,
Safi Sana,ndio dawa ya hao washenzi!!
 
Usihukumu kabla ya kujua tatizo,unaambiwa alikuwa spidi akakwangua bajaji ya watu so mwenye akawa anamfukuzia nakumwambia asimame ila yeye akakaidi akakata kona kuelekea bahari beach kutokea tegeta nyuki sasa pale mbele kuna kona kali ikamshinda,akapata ajali na kutokea ktk kioo.Hayo maneno nimesikia leo toka kwa mashuhuda ila kama angesimama na kuelewana na mwenye bajaji sidhani kama yangetokea hayo na pia nasikia ktk gari walikuta chupa za bia so inawezekana alikuwa alcohol
nasema watu wa bodaboda ni washenzi, ni wakupigwa marufuku kabisa, Samia atapata kura nyingi Kama atafutilia mbali bodaboda za abiria
 
Kiukweli pale ni hatari ile kona usipokuwa makini ajali ni dk yoyote
Mwaka huu huu kuna gari ilikwaluza gari nyingine mataa ya tegeta kibaoni sasa badala asimame wayajenge akaanza kukimbia kuelekea bahari beach sasa yule mwingine akamfukuzia so yule jamaa ktk ile kona iliyomuua dada yetu kuna boma la mafremu akayagonga na gari yake kuharibika vibaya sana sidhani kama itafaa tena yule aliyegongwa akafika eneo la tukio na kumwambia nimekusamehe kisha huyo akasepa zake akamwacha jamaa aanze kulipa fremu alizogonga ukizingatia gari ni ya kampuni
 
nasema watu wa bodaboda ni washenzi, ni wakupigwa marufuku kabisa, Samia atapata kura nyingi Kama atafutilia mbali bodaboda za abiria
Ubinafsi ni kitu kibaya sana kwa kuwa wewe unakazi hiyo unayoamini niya kistarabu basi unaona wenzako sio binadamu
Kuna msemo unasema "hakuna gulio linalokosa wazimu" kwenye bodaboda wapo wenye mapungufu lakini waheshimiwe maana wapo wanaojiheshimu na kulea familia zao hivyo usiwe mbinafsi kiasi hicho mkuu
 
Kila nafsi itaonja umauti كل نفس ذائقة الموت

Mtaleta visababu ooh angesimama akaongeanao wayamalize mara ooh cjui nini,,,,cku zake zimefika no way.
Sheikh wangu, jana mi mwenyewe nimepata ajari.. nipo na bike yangu naenda nyumbani mara vuuu oncoming car ikatoka kwenye lane yake nakuja upande wangu.
nashukru nimetoka mzima ila bike imevunjika sana.

IMG-20211002-WA0024.jpg


IMG-20211002-WA0026.jpeg


IMG-20211002-WA0024.jpg
 
Angeendesha tu mwendo wake wa kawaida anaoweza kucontrol, atakayejipendekezaa mbele yake unampopoa na yeye,, unaenda zako polisi,

Me siku boda boda watajilengasha nitawavunja hiyo miguu wengi tu, labda wanifuate nyuma siyo kujipendekez kuniblock,

Kuna jamaa mmoja land cruiser za porini alimgonga mmoja usiku mkali wakaanza kumfukuza wakapigiana simu kituo cha mbele wamblock, hahaaa jamaa walivyobangi wakajikita barabarani, jamaaa aliwabetua kama mpira wa kona, na akatokomea, wengine walivyoona wenzao walivyofyatuliwa wakageuka mmoja mmoja,
Ndio dawa yao hii, bodaboda ni washenzi sana hawa dawa yao ni kuwa jeuri mara mbili yao then unawageuza mishikaki
 
Kwanini ukimbie? Shuka ongea nao myamalize siku hizi wanaelewa si kama zamani
May be alikuwa kalewa, maana kichwa kikiwa stimu huwa tunakuwa na maamuzi ya ajabu sana barabarani! Ilinitokea siku moja pale Sinza mori, nilimkwangua jamaa and badala ya kusimama nikasepa, jamaa alinifukuzia hadi akanikamata geti la chuo kikuu mlimani, and alikuwa bonge la mtu peace, akaniambia nimpe 50k tumalizane, haitaji kingine! Nikaenda kumtolea hela yake tukabadilishana na namba pia, nilijifunza kitu
 
Samahan naomba unieleweshe unaposema "such a beautiful girl"

Unamaanisha kuwa hukutegemea mdada mzuri hivo afariki? Kwamba walio na kawaida ya kufa ni wabaya wa sura ama?
Kwahiyo tunaposema "kafariki akiwa mdogo sana" ina maana wadogo hawategemewi kufa??
 
Kwahiyo tunaposema "kafariki akiwa mdogo sana" ina maana wadogo hawategemewi kufa??
Exactly.
Mtoto mdogo anapokufa lazima tushangae sababu ndio kwanza safari ya maisha ameanza.

Lakin mzee wa miaka 90 anapokufa (mfano Mandela, Mugabe) wala hatushangai sana. Ulishawahi sikia wanasema "oooh kafariki akiwa bado mzee?" Jibu ni hapana.

Sasa wewe unaposema eti "such a beautiful girl" unamaanisha wasichana wazuri hawatakiwi wafe, kwamba wenye haki ya kufa mapema ni wale wenye sura mbaya? Wewe ni nani useme hivo
 
Ni habari nyingine ya majonzi ni binti tuliyekuwa naye India,kuna mengi ambayo hayakuwa sawa kwenye maisha yake sababu ya vijana malofa.
kwa nn asingetafuta mtu anaemfaa km mm?ttzo wanan'gan'ganiaga pasipowafaa.
 
Kiukweli pale ni hatari ile kona usipokuwa makini ajali ni dk yoyote
Ni kona gani hiyo...
Mbona mimi siijui?
Mfano nikiwa pale Tegeta kwa Ndevu kituoni kona inakua direction gani.
 
Back
Top Bottom