Pumzika kwa amani Jesca Mmari

Pumzika kwa amani Jesca Mmari

Chanzo Cha ajali,alikuwa afukuzwa na bodaboda tatu nasikia alikwangua bajaji,bodaboda wakamuungia ,alipofika kwenye Kona gari ikamshinda

Sent from my Infinix X656 using JamiiForums mobile app

Hii ilishamtokea mshakji mmoja alikuwa afisa Uhamiaji ofisi ya mkoa wa Arusha.
Naye alipata ajali na kufariki kutokana na Gari yake kumshinda kutokana na mbio hizohizo za kukimbia ajali aliyosababisha
 
Hii ilishamtokea mshakji mmoja alikuwa afisa Uhamiaji ofisi ya mkoa wa Arusha.
Naye alipata ajali na kufariki kutokana na Gari yake kumshinda kutokana na mbio hizohizo za kukimbia ajali aliyosababisha

Ikitokea issue kama hizo njia salama ni kuendesha gari hadi kituo cha polisi au kama una Mguu wa Kuku unapiga hewani kuwatisha hao walevi wa bodaboda.
 
Leo nimepata habari ya kifo chako kili chotokea Jana usiku,mhimbili hospital,chanzo Cha kifo ni ajali mbaya uliyopata ,Jana usiku maeneo ya tegeta nyuki usiku,rip Jesca Mmari

Sent from my Infinix X656 using JamiiForums mobile app
Ni habari nyingine ya majonzi ni binti tuliyekuwa naye India,kuna mengi ambayo hayakuwa sawa kwenye maisha yake sababu ya vijana malofa.
 
BODABODA zingepigwa marufuku hapa nchini, mijitu ya BODABODA haina akili kabisa
Usihukumu kabla ya kujua tatizo,unaambiwa alikuwa spidi akakwangua bajaji ya watu so mwenye akawa anamfukuzia nakumwambia asimame ila yeye akakaidi akakata kona kuelekea bahari beach kutokea tegeta nyuki sasa pale mbele kuna kona kali ikamshinda,akapata ajali na kutokea ktk kioo.Hayo maneno nimesikia leo toka kwa mashuhuda ila kama angesimama na kuelewana na mwenye bajaji sidhani kama yangetokea hayo na pia nasikia ktk gari walikuta chupa za bia so inawezekana alikuwa alcohol
 
Maskini, ndio maana nasema iwe kama elimu kwa tuliobaki !! Siku zote usikimbie ajali wala kutoa maneno ya kushutuma just uwe mpole na kuona mwenye haki ni nani!!? Huenda gari yake ndio iliyoumia
Kukimbia eneo la ajali inategemea ukubwa wa ajali. Kuna mifano mingi sana ya watu kuuawa baada ya ajali kutokea. Lazima utafute upenyo ukimbilie kwenye usalama. Maongez yafanyike kwa usalama. Boda boda wengi wanajulikana fujo zao.
 
madereva matumizi ya barabara hasa usiku ni mabovu sana watu wana overspeed ,overtaking zisizo na tahadhari,kuvuka taa nyekundu,kutowajali watumiaji wengine wa barabara,kutumia vilevi bora hata mchana wanawaogopa askari ila usiku ni changamoto kwa kweli.
 
Usihukumu kabla ya kujua tatizo,unaambiwa alikuwa spidi akakwangua bajaji ya watu so mwenye akawa anamfukuzia nakumwambia asimame ila yeye akakaidi akakata kona kuelekea bahari beach kutokea tegeta nyuki sasa pale mbele kuna kona kali ikamshinda,akapata ajali na kutokea ktk kioo.Hayo maneno nimesikia leo toka kwa mashuhuda ila kama angesimama na kuelewana na mwenye bajaji sidhani kama yangetokea hayo na pia nasikia ktk gari walikuta chupa za bia so inawezekana alikuwa alcohol
Hakufunga mkanda
 
Back
Top Bottom