Ze Heby
JF-Expert Member
- Jun 22, 2011
- 5,252
- 5,319
Wanajamvi salaam.
Kwa utafiti wangu usio rasmi kwenye vyanzo mbali mbali vya habari ikiwemo JamiiForums, nimebaini kwamba ajali nyingi hasa zile mbaya hutokea mida ya usiku. Barabara maarufu kwa ajali kama maeneo ya Mikese imekua ikishuhudia ajali mbaya zinavypelekea vifo vya watu wengi na ulemavu.
Ifahamike kwamba, madereva wengi wanadokeza kwamba usiku hali ya barabara hua ni utulivu sana na hakuna magari mengi, hivyo ingetarajiwa kwamba ajali zingekua chache, lakini ni kinyume chake.
Naleta kwenu tujadili nini kinaweza kua chanzo cha ajali nyingi kua usiku wakati hali iko tulivu na favourable kwa dereva makini
Pumzika kwa amani daktari.
Kwa utafiti wangu usio rasmi kwenye vyanzo mbali mbali vya habari ikiwemo JamiiForums, nimebaini kwamba ajali nyingi hasa zile mbaya hutokea mida ya usiku. Barabara maarufu kwa ajali kama maeneo ya Mikese imekua ikishuhudia ajali mbaya zinavypelekea vifo vya watu wengi na ulemavu.
Ifahamike kwamba, madereva wengi wanadokeza kwamba usiku hali ya barabara hua ni utulivu sana na hakuna magari mengi, hivyo ingetarajiwa kwamba ajali zingekua chache, lakini ni kinyume chake.
Naleta kwenu tujadili nini kinaweza kua chanzo cha ajali nyingi kua usiku wakati hali iko tulivu na favourable kwa dereva makini
Pumzika kwa amani daktari.