Pumzika kwa amani Jesca Mmari

Pumzika kwa amani Jesca Mmari

Pole sana Mkuu.
nimeshapoa. jana niliiona mauti mbele yangu.. ndani ya nusu sekunde nilijikuta nimeiruka baroon na kuanguka uko upande wa pili.. kila mmoja alie iona bike ilivyoharibika na akitazama mimi nilivyo ilikuwa ni vitu viwili tofauti.
ndani ya dakika moja ambulance imeshatia mguu na kampuni ya (YOUR SAFETY FIRST) nao wamefika, wananiambia ingia ndani ya gari tukupeleke hospital mimi nawambia niko poa, wao wanakazania twende ukafanye check up hata kama unajihisi uko poa ila hivi vitu ni muhimu zaidi, mi nikachomoa, nikawaambia siendi hospital.
 
Chanzo Cha ajali,alikuwa afukuzwa na bodaboda tatu nasikia alikwangua bajaji,bodaboda wakamuungia ,alipofika kwenye Kona gari ikamshinda

Sent from my Infinix X656 using JamiiForums mobile app
Sasa unawakimbia bodaboda kwa kukwangua bajaji wakati bei ya rangi yake ni elfu 50 tuu. Ona sasa uhai umemtoka kwa sababu ya elfu 50 tuu.
 
Usihukumu kabla ya kujua tatizo,unaambiwa alikuwa spidi akakwangua bajaji ya watu so mwenye akawa anamfukuzia nakumwambia asimame ila yeye akakaidi akakata kona kuelekea bahari beach kutokea tegeta nyuki sasa pale mbele kuna kona kali ikamshinda,akapata ajali na kutokea ktk kioo.Hayo maneno nimesikia leo toka kwa mashuhuda ila kama angesimama na kuelewana na mwenye bajaji sidhani kama yangetokea hayo na pia nasikia ktk gari walikuta chupa za bia so inawezekana alikuwa alcohol

Sisi waswahili huwa tunasema kifo kilikuwa kinamuita...
 
Unafika hadi soko la nyuki hiyo lami inayoshuka kwenda bahari beach. Baada ya kumaliza tu soko unavoshuka kuna hotel inaitwa haniz. Unapoimaliza pana bend ambayo inasababisha wengi wenye kuendesha kasi kuhama lane kidogo ili aweze kulala nayo kona kwa spidi wakati hapana visibility ya kutosha. Uhatari wa hapo ni kuwa wewe unaweza kuwa mwangalifu kuingia kona kwa spidi ndogo ila tatizo ni kwa dreva unayepishana nae kama ni mtu wa spidi mara nyingi utamkuta kajaa upande wako

View attachment 1961170
Hapo wenye uzoefu wetu wa ku drift tuna drift tunakanyga mbele kona hata iwe na hatari gani kama unaweza drift bora drift

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hahahaha nyie raia hatari sana..hicho kipaji ni kwenu petrol heads..sie wengine ni Drive na reverse tu kipaji kinakomea hapo.
Drift uwe na kasubaru kako weeee acha tu ehh unavuta kahandbrake tu mku uku unakadilia na wese kisela [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] ni kama utani ila bala lake unaweza kuparamia watu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa hakila wanawake wengi wa africa hawawezi mikikimikiki ya racing kama wa kizungu kama ikitokea dharula,, wanajawa na upepo, wanaingiwa na uoga asa ikiwa kitu cha ghafla..

Yote kwa yote hakupaswa kukimbia, ni busara ukasimama na kumalizana nao maana ni ngumu sana ukamuacha mtu wa pikpik mwenzio sehem yeyote anapenya
 
Kwa hakila wanawake wengi wa africa hawawezi mikikimikiki ya racing kama wa kizungu kama ikitokea dharula,, wanajawa na upepo, wanaingiwa na uoga asa ikiwa kitu cha ghafla..

Yote kwa yote hakupaswa kukimbia, ni busara ukasimama na kumalizana nao maana ni ngumu sana ukamuacha mtu wa pikpik mwenzio sehem yeyote anapenya
Kifo kikija hakina sijui ungefanya hivi au vile, muda ukifika ni lazima uondoke sisi tutasema ni uzembe lakini nyakati zikifika za kuondoka ndiyo zimefika

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Maskini, ndio maana nasema iwe kama elimu kwa tuliobaki !! Siku zote usikimbie ajali wala kutoa maneno ya kushutuma just uwe mpole na kuona mwenye haki ni nani!!? Huenda gari yake ndio iliyoumia
Mda uo ushikirie roho yako mkononi..unaweza kuchomewa gari na kichapo uka pata ..siku zote hasie nacho huwa ajari
 
Ukiwa na chombo cha moto akili iwe faster katika maamuzi, angeamua kusimama na kuongea kwa heshima, angeepuka kifo. RIP mwanangu.
 
Halaf hii tabia ya hawa boda boda kujichukulia sheria mkononi imezid sasa...yaan ukiwagusa tuu barabaran ugomvi..walah nahitaj silaha sasa rasmi...
 
Back
Top Bottom