Pumzika kwa amani Jesca Mmari

Pumzika kwa amani Jesca Mmari

Chanzo Cha ajali,alikuwa afukuzwa na bodaboda tatu nasikia alikwangua bajaji,bodaboda wakamuungia ,alipofika kwenye Kona gari ikamshinda

Sent from my Infinix X656 using JamiiForums mobile app
Maskini, ndio maana nasema iwe kama elimu kwa tuliobaki !! Siku zote usikimbie ajali wala kutoa maneno ya kushutuma just uwe mpole na kuona mwenye haki ni nani!!? Huenda gari yake ndio iliyoumia
 
Apumzike kwa Amani kama ndio huyu
Screenshot_20211002-221918_WhatsApp.jpg
 
Back
Top Bottom