Kumbe unalifahamu ilo, alikuwa binti mpole sana aisee sema hawa maninja ndio walimbadilisha sanaMakundi ,ya ulevi ,bangi,madawa vimemsababishia mauti
Kumbe unalifahamu ilo, alikuwa binti mpole sana aisee sema hawa maninja ndio walimbadilisha sanaMakundi ,ya ulevi ,bangi,madawa vimemsababishia mauti
Sasa kukwangua bajaji ndio ukimbie? Labda kama aliigonga vibaya
BalaaaKumbe unalifahamu ilo, alikuwa binti mpole sana aisee sema hawa maninja ndio walimbadilisha sana
Pole sana myNi habari nyingine ya majonzi ni binti tuliyekuwa naye India,kuna mengi ambayo hayakuwa sawa kwenye maisha yake sababu ya vijana malofa.
[emoji16][emoji16][emoji23][emoji23] hapo mwisho ...Mungu amlaze pema!!Yote hayo unaweza kuta sababu ni pombe,amelewa akaendesha gari rafurafu akasababisha ajali,na bado pombe hiyo hiyo ikamwambia usimame kimbia,akakimbia na kwakua pombe iko kichwani umakini ukaondoka akapata ajali na yeye akafariki.
Mimi pia nalewa.
siri ya bodaboda ni rahisi sana, wakikufukuza wewe kama umeshawapita geuza gari urudi unakotoka tena washa taa full wasione hata namba na tembea mwendo wa kawaida utaishia kupishana nao tu.Chanzo Cha ajali,alikuwa afukuzwa na bodaboda tatu nasikia alikwangua bajaji,bodaboda wakamuungia ,alipofika kwenye Kona gari ikamshinda
Sent from my Infinix X656 using JamiiForums mobile app
Bia tamu[emoji16][emoji16][emoji23][emoji23] hapo mwisho ...
Mwisho kabisa
Hata mi nalewa
Pole sana kaka naona umeumizwa sana na kifo cha shemeji yako @jessicammari . Pole kwa shemeji anayeaga hapo pichaniUmempumzisha Jana Jesca mmariView attachment 1966667