Tetesi: Pukutiko linaendelea...

Huo Bado Ila nyingine ya moto ni kwamba hata waziri Mkuu naye anatolewa soon, Huyu Huyu Nchemba

Keep waiting
Kuna kauli kaitoa Mwigulu leo walati anahutubia Baraza la Maulidi ilinifikirisha sana nikajiuliza bahati mbaya au?
""Wakati fulani nilikua waziri wa mambo ya ndani,nilipobadilishwa nikaita mkutano jimbani,watu walifikiri nitaenda kutoa kauli ngumu,nilivyofika nikasema sisi watoto wa wafugaji ukijiandaa kwenda kuchunga halafu baba akakuambia usiende wewe leo ni zamu ya huyu haukasiriki bali unavua viatu na kufanya kazi nyingine uliyopangiwa,hivi ndivyo ilivyo haya kwenye uongozi".

Hapa lipo jambo sio bure.
 
Anajiandaa. Kisaikoloji😁
 
Mizizi yake was deep!

Wazito wengine wanasababisha catastrophe soon

Naiona Kesho Yenye matumaini,

naanza Kushusha makala ndefu,
Soon

Britanicca
Hapo ni hapana kuu..Kwa wao kudhibitiana ndani kwa ndani ..ni rahisi sana...na wanafahamiana.na wala..hakuna shinikizo la nje lenye kuweza kuwatikisa pia.
Likipigwa tukio Moja tu kama la H.Polepole na Moja la Kifo cha ghafula....wote ni kimya na hautasikia nywinywi yoyote..
Wapo wengi...mpaka wa Jeshi kabisa akina KINANA walijiweka zao kando kimya kimya..!!!
Huwa wanatofautiana kwenye baadhi tu ya vipengere lakini siyo Mfumo mzima waliouchagua..
 

Tena zito haswaa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…