Madimba jr
JF-Expert Member
- Aug 12, 2017
- 1,581
- 3,170
Kuna kauli kaitoa Mwigulu leo walati anahutubia Baraza la Maulidi ilinifikirisha sana nikajiuliza bahati mbaya au?Huo Bado Ila nyingine ya moto ni kwamba hata waziri Mkuu naye anatolewa soon, Huyu Huyu Nchemba
Keep waiting
Mapigwa miti akili zilishaishia kwenye kupigwa mitiWewe piga ramli,cheza mdudiko vyovyote vile uwezavyo
Nchi kwanza na siyo Mtu kwanza
Nchi iko imara chini ya Dr Samia na hilo linawaumiza sana watu wa Parokia
Anajiandaa. Kisaikoloji😁Kuna kauli kaitoa Mwigulu leo walati anahutubia Baraza la Maulidi ilinifikirisha sana nikajiuliza bahati mbaya au?
""Wakati fulani nilikua waziri wa mambo ya ndani,nilipobadilishwa nikaita mkutano jimbani,watu walifikiri nitaenda kutoa kauli ngumu,nilivyofika nikasema sisi watoto wa wafugaji ukijiandaa kwenda kuchunga halafu baba akakuambia usiende wewe leo ni zamu ya huyu haukasiriki bali unavua viatu na kufanya kazi nyingine uliyopangiwa,hivi ndivyo ilivyo haya kwenye uongozi".
Hapa lipo jambo sio bure.
Machoko ya Samia mmebaki wapweke, mama yenu atafanya kazi na matahira pekee wenye akili kama nchimbi hawawezi kufanya kazi na wapumbavu zero brain.Na nguchiro wa bavicha weengi eti wanaona yeye ni hero...!!
Teh teh teh
JF ina vituko
Huo Bado Ila nyingine ya moto ni kwamba hata waziri Mkuu naye anatolewa soon, Huyu Huyu Nchemba
Keep waiting
Hapo ni hapana kuu..Kwa wao kudhibitiana ndani kwa ndani ..ni rahisi sana...na wanafahamiana.na wala..hakuna shinikizo la nje lenye kuweza kuwatikisa pia.Mizizi yake was deep!
Wazito wengine wanasababisha catastrophe soon
Naiona Kesho Yenye matumaini,
naanza Kushusha makala ndefu,
Soon
Britanicca
Pascal Mayalla baada ya kusema hamtakubali kwa nchimbi kung'oka... Hapa napo una maoni gani kaka mkubwa?Mwigulu anatemwa pia Samia anataka aunde Baraza jipya la mawaziri aanze upya japo kachelewa
Kuna kauli kaitoa Mwigulu leo walati anahutubia Baraza la Maulidi ilinifikirisha sana nikajiuliza bahati mbaya au?
""Wakati fulani nilikua waziri wa mambo ya ndani,nilipobadilishwa nikaita mkutano jimbani,watu walifikiri nitaenda kutoa kauli ngumu,nilivyofika nikasema sisi watoto wa wafugaji ukijiandaa kwenda kuchunga halafu baba akakuambia usiende wewe leo ni zamu ya huyu haukasiriki bali unavua viatu na kufanya kazi nyingine uliyopangiwa,hivi ndivyo ilivyo haya kwenye uongozi".
Hapa lipo jambo sio bure.
Uharibifu wa gaflacatastrophe
Ndo nn
Wewe piga ramli,cheza mdudiko vyovyote vile uwezavyo
Nchi kwanza na siyo Mtu kwanza
Nchi iko imara chini ya Dr Samia na hilo linawaumiza sana watu wa Parokia
Halafu watoto wenyewe midomo mizito kama wamebumba tonge la ugali lenye mlenda.Huyu kama anaondoka ni sahihi, maana PM alikuwa anapandisha watoto jukwaani kuhutubia wananchi
Machoko ya Samia mmebaki wapweke, mama yenu atafanya kazi na matahira pekee wenye akili kama nchimbi hawawezi kufanya kazi na wapumbavu zero brain.
Semq wew moja la uhakikaHakuna ujuacho, unaotea otea tu, unatembela humo humo na upepo !!!! Kipndi cha uchaguzi umeongea vingi sana, 99.7 vilikuwa uongo...
Unatembelea upepo wa kipindi fulani !
Wanafosi watoto wao kwenye system, unahisi viongozi wa aina hii watapenda mabadilikoHalafu watoto wenyewe midomo mizito kama wamebumba tonge la ugali lenye mlenda.