Pugu Boys Secondary School a.k.a Pond boys

Hapo kny bold sio Juma wasiwasi....mzee wa midevu na mtaalam wa Lugha na ushairi.....nywele zake alikuwa anapaka black....! Du hao marehemu hata sikuwa nimesikia habari hizo isipokuwa Msungu (RIP).....!

Kuna mwingine alikuwa anitwa Juma....huyu alikuwa anadeal na misosi.....ha!ha!ha! mtaalam wa mambo ya MNAZI....kazi kwelikweli!....Hujalipa ada....no Kidishi cha msosi!

Umesahau na wale kina mama wauza maji,mbogamboga na samaki,bweni la mapinduzi.Mbu kibao vijana wanapiga msuli wamevaa soksi na wamejifunika neti noma sana.Mabagala noma ana speed tofauti na umbo lake jamaa anakula ndumu yule,wakati anakukimbiza utasia akisema "Kijana ongeza speed na kuovateki".Pugu boy ukimuona ameingiza mkono katika mfuko wa suruali usifikiri anakupa pesa anajikuna fangasi.Nzoi mzee wa Physics jaribu kumwita teacher class ukitaka kumuliza swali utasikia "nani Teacher hivi ndivyo mnavyowanyea wazazi wenu?" "baba unafikiri hapa mnazi mmoja" akiwa anamana umesoma tution mnazi mmoja then unataka kum challenge.Currently Pugu Kuna geti na kaukuta ka kiushikaji.
 
Umesahau na wale kina mama wauza maji,mbogamboga na samaki,bweni la mapinduzi.Mbu kibao vijana wanapiga msuli wamevaa soksi na wamejifunika neti noma sana.Mabagala noma ana speed tofauti na umbo lake jamaa anakula ndumu yule,wakati anakukimbiza utasia akisema "Kijana ongeza speed na kuovateki".Pugu boy ukimuona ameingiza mkono katika mfuko wa suruali usifikiri anakupa pesa anajikuna fangasi.Nzoi mzee wa Physics jaribu kumwita teacher class ukitaka kumuliza swali utasikia "nani Teacher hivi ndivyo mnavyowanyea wazazi wenu?" "baba unafikiri hapa mnazi mmoja" akiwa anamana umesoma tution mnazi mmoja then unataka kum challenge.Currently Pugu Kuna geti na kaukuta ka kiushikaji.

Giro.....umevunja mbavu zangu mpaka noma kweli! Kwenye mboga, maandazi, diet ....namkumbuka mama mmoja alikuwa anaitwa Mama Pendo....du kale Kapendo...machizi walikuwa wanakamendea kweli!
 
nilipita o'level pale.namkumbuka mwalimu Nampanda,jamaa alikuwa anafundisha kiswahili pia alikuwa mwalimu wa michezo,jamaa anamatusi kama alivyo Juma WASIWASI.

pugu palikuwa poa tatizo maji machafu,mbu kibao.Ila haina noma mazee tumemaliza kikauzukauzu hivyohivyo.
 
pugu ni noma...

Mimi nilihamia pale mwaka 1993 nikiwa form 4, nilisoma mwaka mmoja lakini ilikuwa kama miaka 10. Nakumbuka siku ya kwanza nilipofika pale baada ya chakula niliona kila mmoja anatoa dumu la maji ya kunywa kutoka katika locker lake, kwa siku hii nilipewa maji na rafiki yangu tuliyesoma nae primary school. Then after ilibidi kila jioni baada ya chakula kwenda kunywa maji mwisho wa lami (imagine that distance), jumamosi yake nami nilitoka nyumbani Dar na dumu langu la maji. Yaani ilikuwa ukipanda basi siku ya jumapili kutoka Dar kila mwanafunzi na galon ya maji ya kunywa. IT WAS TERRIBLE!!!!....!!

Nawakumbuka baadhi tuliokaa nao pale Ujamaa 5 or 3 kama sikosei, bweni lililokuwa linakaa wajanja ambao walikuwa na special attention, nawakumbuka jamaa wawili walikuwa wanaitwa WACHINA nimesahau majina yao. Nawakumbuka Peter Shija, Michael Nandonde, David Mahalu.......,

Kama hapa jamvin yupo aliyemaliza f4 mwaka 1993 naomba tukumbushane majina.
 
NL,


Nilionyeshwa Ofisi na kuchukua form zangu na kurudi zangu mjini. Sikuamini kama ile inaweza kuwa secondary, tena PUGU (Pugu jina kubwa). Anyway, mliosoma hapo msijione kuwa nawatukaneni. Nimekuja kukata tamaa zaidi baada ya kuona lile bweni lililomliza Naibu waziri wa Elimu, mama nani sijui....

Mh... ina maana hukuonyeshwa kanisa, maabara na pale tulipokuwa tunafuga ng'ombe?? au kule dispensary???

Attending Iloru, Tambaza and Upanga... i still fancy Pugu kuliko hizo nyingine
DOCEBIT VOS OMNIA!!!!!!!!!
 
Wakuu nasikia yule aliyekuwa Headmaster pale (kati ya 96 to 2000) Bw. Myenge, na aliye wahi kuwa second master Mr. Mzava kipindi hicho hicho, walishafariki?
 
Wakuu nasikia yule aliyekuwa Headmaster pale (kati ya 96 to 2000) Bw. Myenge, na aliye wahi kuwa second master Mr. Mzava kipindi hicho hicho, walishafariki?

Wewe NL wewe..... We talked yesterday!!!! Kwi kwi kwiiiiiiii.... tehe tehe.... Strategic Investor!!
 
Wewe NL wewe..... We talked yesterday!!!! Kwi kwi kwiiiiiiii.... tehe tehe.... Strategic Investor!!

Ha!ha!ha!ha!ha!ha!ha!ha!ha!....................mbavu kwishney kabisa........!
 
Habari wakuu, nashukuru mmenikumbusha fungus wa Pugu. I was there 92/94 PCB na nilikuwa Ujamaa 1. Hivi Charwe na yule dada wa Chemistry jina limenitoka wapo?
 
Habari wakuu, nashukuru mmenikumbusha fungus wa Pugu. I was there 92/94 PCB na nilikuwa Ujamaa 1. Hivi Charwe na yule dada wa Chemistry jina limenitoka wapo?

Dada anaitwa mkandawire, wote hawapo pale nilienda kusalimia one day!!!
 
Dada anaitwa mkandawire, wote hawapo pale nilienda kusalimia one day!!!

Mkandawire ni DADA? Mi namkumbuka yule Mkandawire majasiriamali......mzee wa machemistry......, alikuwa maarufu sana miaka ya 97 hadi 2003 hivi......?
 
Kweli JF kiboko, Enzi zile Mkuu hii misamiati hukuwa nayo.
Ngoja niconsult kamusi yangu.....kwi kwi kwiiii..

H!ha!ha!ha!ha!ha!ha!...kama imekuchemsha hiyo....na je, tukikupiga ''DOCEBIT VOS OMNIA''......JF achana nayo, bado ubunge!
 
Habari wakuu, nashukuru mmenikumbusha fungus wa Pugu. I was there 92/94 PCB na nilikuwa Ujamaa 1. Hivi Charwe na yule dada wa Chemistry jina limenitoka wapo?

Sadly I heard that Charwe passed away from complication of a stroke. I was there as well 91/93 PCB palepale Ujamaa luckily as one of the leaders and hence a privilege of living in some sort of a "private" accommodation.
 
Back
Top Bottom