Giro
JF-Expert Member
- Feb 9, 2009
- 359
- 22
Hapo kny bold sio Juma wasiwasi....mzee wa midevu na mtaalam wa Lugha na ushairi.....nywele zake alikuwa anapaka black....! Du hao marehemu hata sikuwa nimesikia habari hizo isipokuwa Msungu (RIP).....!
Kuna mwingine alikuwa anitwa Juma....huyu alikuwa anadeal na misosi.....ha!ha!ha! mtaalam wa mambo ya MNAZI....kazi kwelikweli!....Hujalipa ada....no Kidishi cha msosi!
Umesahau na wale kina mama wauza maji,mbogamboga na samaki,bweni la mapinduzi.Mbu kibao vijana wanapiga msuli wamevaa soksi na wamejifunika neti noma sana.Mabagala noma ana speed tofauti na umbo lake jamaa anakula ndumu yule,wakati anakukimbiza utasia akisema "Kijana ongeza speed na kuovateki".Pugu boy ukimuona ameingiza mkono katika mfuko wa suruali usifikiri anakupa pesa anajikuna fangasi.Nzoi mzee wa Physics jaribu kumwita teacher class ukitaka kumuliza swali utasikia "nani Teacher hivi ndivyo mnavyowanyea wazazi wenu?" "baba unafikiri hapa mnazi mmoja" akiwa anamana umesoma tution mnazi mmoja then unataka kum challenge.Currently Pugu Kuna geti na kaukuta ka kiushikaji.