Next Level
JF-Expert Member
- Nov 17, 2008
- 3,153
- 176
- Thread starter
- #61
Hahahahaha!
Nakumbuka kipindi kile mchezo wa tausi wa kina mjuba na siti ulikuwa unapendwa kishenzi bongo na tulikuwa tunaangalia kila jumapili usiku pale mbele na dining hall karibu na bweni la ujamaa.
Jamaa alikera kichizi!
Daaah enzi za tausi ilikuwa tausi kweli.......ilikuwa kale ka intro ka tausi kakianza tu....utasikia machizi wanakimbia mabwenini kulekea pale nje bwaloni ha!ha!ha!..Tausi ndege wangu, ndege wangu wa fahari.......acha tu!.....Sitasahau pale mahali aiseee!