Public reception ya Mpina imekuwa tofauti na matarajio

Public reception ya Mpina imekuwa tofauti na matarajio

econonist

JF-Expert Member
Joined
Jul 11, 2015
Posts
22,138
Reaction score
32,715
Niwe mkweli, public reception ya Mpina haijawa kubwa kivile kama ilivyotegemewa. Hii ni tofauti na public reception waliyopata Maalim Seif alipoanzisha KAMAHURU na baadaye CUF, Mrema kuhamia NCCR na Lowassa kuhamia CHADEMA. Hawa walipohama walihama na wanachama wa CCM na viongozi wao na jamii iliwapokea kwa kishindo.

Nikija upande wa Mpina naona ni kama yeye yupo tofauti. Kwanza kahamia upinzani pekee yake na Hana kundi la wanachama au viongozi wa CCM aliyo hamia nao upinzani na jamii pia haijampokea Mpina kama mpinzani halisi wa kuiondoa CCM madarakani.

Sababu Kuu tatu zinazo pelekea Mpina kukosa huge Public Reception ni kama ifutavyo:

1. Sababu ya kwanza, Ni kwamba wananchi hawana Imani Tena na wagombea urais wa kutoka CCM kuja upinzani. Historia inaonesha wagombea wengi wa aina hiyo, walirudi CCM baada ya uchaguzi mkuu au walibaki upinzani na kuwa vibaraka wa CCM. Lowassa na Membe walirudi CCM ila Mrema alibaki upinzani kama kibaraka wa CCM. Hivyo basi, wananchi wengi wanaamini Mpina atarudi CCM baada ya uchaguzi mkuu.

2. Sababu ya pili, Kuna vuguvugu la mabadiliko ya Sheria na kanuni za uchaguzi. Hili limefunika ujio wa Mpina kwenda upinzani. Kwamba wengi wanaona Mpina anatumika kupambana na kauli mbili ya No Reform No Election. Kwamba Mpina ni kama chambo ya kuhalalisha ufanyikaji wa uchaguzi mkuu mwaka huu na kuonesha kwamba kasoro zilizopo ni ndogo Sana kuweza kuwafavour CCM dhidi ya upinzani.

3. Timing ya Mpina kuja upinzani. Logic ni kwamba Mpina hakuwa na ambition ya kuwa Rais akiwa CCM Wala kujitangaza, yeye ambition yake ilikuwa ndio ubunge ghafla kaja upinzani anataka urais.
Wengi wanadhani Mpina kaja upinzani kimaslahi. Na kwamba kaja upinzani kwa sababu ya kukatwa kwenye ubunge huko CCM. Kwa kujua kwamba hawezi kuwa Mbunge maana system ya CCM na serikali yake imemkalia kidete ndio kaamua Kuja upinzani. Wengi wanadhani ingekuwa Bora Mpina kuhamia upinzani kipindi ambacho ni Mbunge na sio kipindi ambacho kakatwa kugombea ubunge ndani ya CCM. Na alistahili Kuna upinzani akiwa anafahamika na umma kuwa anataka kugombea urais tangu akiwa ndani ya CCM.


Kwa kumaliza napenda kusema ya kwamba nguvu ya Mpina kwenye ubunge ni kubwa Sana kuliko nguvu kwenye urais. Hivyo basi Mpina angeendelea kugombea ubunge pale Kisesa kwa kupitia upinzani angepita bila shida ila kwenye urais Kuna mambo mengi yatamkwamisha maana Kwa macho ya wengi ni mwanaccm sio mpinzani.
 
Niwe mkweli, public reception ya Mpina haijawa kubwa kivile kama ilivyotegemewa. Hii ni tofauti na public reception waliyopata Maalim Seif alipoanzisha KAMAHURU na baadaye CUF, Mrema kuhamia NCCR na Lowassa kuhamia CHADEMA. Hawa walipohama walihama na wanachama wa CCM na viongozi wao na jamii iliwapokea kwa kishindo.

Nikija upande wa Mpina naona ni kama yeye yupo tofauti. Kwanza kahamia upinzani pekee yake na Hana kundi la wanachama au viongozi wa CCM aliyo hamia nao upinzani na jamii pia haijampokea Mpina kama mpinzani halisi wa kuiondoa CCM madarakani.

Sababu Kuu tatu zinazo pelekea Mpina kukosa huge Public Reception ni kama ifutavyo:

1. Sababu ya kwanza, Ni kwamba wananchi hawana Imani Tena na wagombea urais wa kutoka CCM kuja upinzani. Historia inaonesha wagombea wengi wa aina hiyo, walirudi CCM baada ya uchaguzi mkuu au walibaki upinzani na kuwa vibaraka wa CCM. Lowassa na Membe walirudi CCM ila Mrema alibaki upinzani kama kibaraka wa CCM. Hivyo basi, wananchi wengi wanaamini Mpina atarudi CCM baada ya uchaguzi mkuu.

2. Sababu ya pili, Kuna vuguvugu la mabadiliko ya Sheria na kanuni za uchaguzi. Hili limefunika ujio wa Mpina kwenda upinzani. Kwamba wengi wanaona Mpina anatumika kupambana na kauli mbili ya No Reform No Election. Kwamba Mpina ni kama chambo ya kuhalalisha ufanyikaji wa uchaguzi mkuu mwaka huu na kuonesha kwamba kasoro zilizopo ni ndogo Sana kuweza kuwafavour CCM dhidi ya upinzani.

3. Timing ya Mpina kuja upinzani. Logic ni kwamba Mpina hakuwa na ambition ya kuwa Rais akiwa CCM Wala kujitangaza, yeye ambition yake ilikuwa ndio ubunge ghafla kaja upinzani anataka urais.
Wengi wanadhani Mpina kaja upinzani kimaslahi. Na kwamba kaja upinzani kwa sababu ya kukatwa kwenye ubunge huko CCM. Kwa kujua kwamba hawezi kuwa Mbunge maana system ya CCM na serikali yake imemkalia kidete ndio kaamua Kuja upinzani. Wengi wanadhani ingekuwa Bora Mpina kuhamia upinzani kipindi ambacho ni Mbunge na sio kipindi ambacho kakatwa kugombea ubunge ndani ya CCM. Na alistahili Kuna upinzani akiwa anafahamika na umma kuwa anataka kugombea urais tangu akiwa ndani ya CCM.


Kwa kumaliza napenda kusema ya kwamba nguvu ya Mpina kwenye ubunge ni kubwa Sana kuliko nguvu kwenye urais. Hivyo basi Mpina angeendelea kugombea ubunge pale Kisesa kwa kupitia upinzani angepita bila shida ila kwenye urais Kuna mambo mengi yatamkwamisha maana Kwa macho ya wengi ni mwanaccm sio mpinzani.
Kwenda kugombea urahis was a bad move, too soon
Amekosea sana

Bora angeenda ubunge pale pale kwenye jimbo lake
 
Niwe mkweli, public reception ya Mpina haijawa kubwa kivile kama ilivyotegemewa. Hii ni tofauti na public reception waliyopata Maalim Seif alipoanzisha KAMAHURU na baadaye CUF, Mrema kuhamia NCCR na Lowassa kuhamia CHADEMA. Hawa walipohama walihama na wanachama wa CCM na viongozi wao na jamii iliwapokea kwa kishindo.

Nikija upande wa Mpina naona ni kama yeye yupo tofauti. Kwanza kahamia upinzani pekee yake na Hana kundi la wanachama au viongozi wa CCM aliyo hamia nao upinzani na jamii pia haijampokea Mpina kama mpinzani halisi wa kuiondoa CCM madarakani.

Sababu Kuu tatu zinazo pelekea Mpina kukosa huge Public Reception ni kama ifutavyo:

1. Sababu ya kwanza, Ni kwamba wananchi hawana Imani Tena na wagombea urais wa kutoka CCM kuja upinzani. Historia inaonesha wagombea wengi wa aina hiyo, walirudi CCM baada ya uchaguzi mkuu au walibaki upinzani na kuwa vibaraka wa CCM. Lowassa na Membe walirudi CCM ila Mrema alibaki upinzani kama kibaraka wa CCM. Hivyo basi, wananchi wengi wanaamini Mpina atarudi CCM baada ya uchaguzi mkuu.

2. Sababu ya pili, Kuna vuguvugu la mabadiliko ya Sheria na kanuni za uchaguzi. Hili limefunika ujio wa Mpina kwenda upinzani. Kwamba wengi wanaona Mpina anatumika kupambana na kauli mbili ya No Reform No Election. Kwamba Mpina ni kama chambo ya kuhalalisha ufanyikaji wa uchaguzi mkuu mwaka huu na kuonesha kwamba kasoro zilizopo ni ndogo Sana kuweza kuwafavour CCM dhidi ya upinzani.

3. Timing ya Mpina kuja upinzani. Logic ni kwamba Mpina hakuwa na ambition ya kuwa Rais akiwa CCM Wala kujitangaza, yeye ambition yake ilikuwa ndio ubunge ghafla kaja upinzani anataka urais.
Wengi wanadhani Mpina kaja upinzani kimaslahi. Na kwamba kaja upinzani kwa sababu ya kukatwa kwenye ubunge huko CCM. Kwa kujua kwamba hawezi kuwa Mbunge maana system ya CCM na serikali yake imemkalia kidete ndio kaamua Kuja upinzani. Wengi wanadhani ingekuwa Bora Mpina kuhamia upinzani kipindi ambacho ni Mbunge na sio kipindi ambacho kakatwa kugombea ubunge ndani ya CCM. Na alistahili Kuna upinzani akiwa anafahamika na umma kuwa anataka kugombea urais tangu akiwa ndani ya CCM.


Kwa kumaliza napenda kusema ya kwamba nguvu ya Mpina kwenye ubunge ni kubwa Sana kuliko nguvu kwenye urais. Hivyo basi Mpina angeendelea kugombea ubunge pale Kisesa kwa kupitia upinzani angepita bila shida ila kwenye urais Kuna mambo mengi yatamkwamisha maana Kwa macho ya wengi ni mwanaccm sio mpinzani.
Malaya wa kisiasa
 
Niwe mkweli, public reception ya Mpina haijawa kubwa kivile kama ilivyotegemewa. Hii ni tofauti na public reception waliyopata Maalim Seif alipoanzisha KAMAHURU na baadaye CUF, Mrema kuhamia NCCR na Lowassa kuhamia CHADEMA. Hawa walipohama walihama na wanachama wa CCM na viongozi wao na jamii iliwapokea kwa kishindo.

Nikija upande wa Mpina naona ni kama yeye yupo tofauti. Kwanza kahamia upinzani pekee yake na Hana kundi la wanachama au viongozi wa CCM aliyo hamia nao upinzani na jamii pia haijampokea Mpina kama mpinzani halisi wa kuiondoa CCM madarakani.

Sababu Kuu tatu zinazo pelekea Mpina kukosa huge Public Reception ni kama ifutavyo:

1. Sababu ya kwanza, Ni kwamba wananchi hawana Imani Tena na wagombea urais wa kutoka CCM kuja upinzani. Historia inaonesha wagombea wengi wa aina hiyo, walirudi CCM baada ya uchaguzi mkuu au walibaki upinzani na kuwa vibaraka wa CCM. Lowassa na Membe walirudi CCM ila Mrema alibaki upinzani kama kibaraka wa CCM. Hivyo basi, wananchi wengi wanaamini Mpina atarudi CCM baada ya uchaguzi mkuu.

2. Sababu ya pili, Kuna vuguvugu la mabadiliko ya Sheria na kanuni za uchaguzi. Hili limefunika ujio wa Mpina kwenda upinzani. Kwamba wengi wanaona Mpina anatumika kupambana na kauli mbili ya No Reform No Election. Kwamba Mpina ni kama chambo ya kuhalalisha ufanyikaji wa uchaguzi mkuu mwaka huu na kuonesha kwamba kasoro zilizopo ni ndogo Sana kuweza kuwafavour CCM dhidi ya upinzani.

3. Timing ya Mpina kuja upinzani. Logic ni kwamba Mpina hakuwa na ambition ya kuwa Rais akiwa CCM Wala kujitangaza, yeye ambition yake ilikuwa ndio ubunge ghafla kaja upinzani anataka urais.
Wengi wanadhani Mpina kaja upinzani kimaslahi. Na kwamba kaja upinzani kwa sababu ya kukatwa kwenye ubunge huko CCM. Kwa kujua kwamba hawezi kuwa Mbunge maana system ya CCM na serikali yake imemkalia kidete ndio kaamua Kuja upinzani. Wengi wanadhani ingekuwa Bora Mpina kuhamia upinzani kipindi ambacho ni Mbunge na sio kipindi ambacho kakatwa kugombea ubunge ndani ya CCM. Na alistahili Kuna upinzani akiwa anafahamika na umma kuwa anataka kugombea urais tangu akiwa ndani ya CCM.


Kwa kumaliza napenda kusema ya kwamba nguvu ya Mpina kwenye ubunge ni kubwa Sana kuliko nguvu kwenye urais. Hivyo basi Mpina angeendelea kugombea ubunge pale Kisesa kwa kupitia upinzani angepita bila shida ila kwenye urais Kuna mambo mengi yatamkwamisha maana Kwa macho ya wengi ni mwanaccm sio mpinzani.
Point namba tatu ni muhimu sana
 
Laana ya ulevi wa madaraka kupindukia alivyokua waziri, mpaka kufikia hatua ya kupima kwa rula samaki waliorostiwa kwa nyanya, kuwanyang'anya mashine za uvuvi na kuchoma nyavu za wavuvi wadogo kiholela, kuangamiza mamilioni ya vifaranga vya kuku vya wafanyabiashara bila kupepesa macho wala kutathimini hasara kwa wahusika ni miongoni mwa mzimu utakaompoteza kisiasa mpina,

sambamba na hayo hasira za kutemwa kwenye baraza la mawaziri bila kutarajia vinamuumiza zaidi, huku yeye binafsi akiamini ni hila za akina Bashe ndizo zilizomfanya atemwe barazani.

So,
anagombea urais kupitia ACT WAZALENDO, ili akipata alipe kisasi 🤣
 
P
Niwe mkweli, public reception ya Mpina haijawa kubwa kivile kama ilivyotegemewa. Hii ni tofauti na public reception waliyopata Maalim Seif alipoanzisha KAMAHURU na baadaye CUF, Mrema kuhamia NCCR na Lowassa kuhamia CHADEMA. Hawa walipohama walihama na wanachama wa CCM na viongozi wao na jamii iliwapokea kwa kishindo.

Nikija upande wa Mpina naona ni kama yeye yupo tofauti. Kwanza kahamia upinzani pekee yake na Hana kundi la wanachama au viongozi wa CCM aliyo hamia nao upinzani na jamii pia haijampokea Mpina kama mpinzani halisi wa kuiondoa CCM madarakani.

Sababu Kuu tatu zinazo pelekea Mpina kukosa huge Public Reception ni kama ifutavyo:

1. Sababu ya kwanza, Ni kwamba wananchi hawana Imani Tena na wagombea urais wa kutoka CCM kuja upinzani. Historia inaonesha wagombea wengi wa aina hiyo, walirudi CCM baada ya uchaguzi mkuu au walibaki upinzani na kuwa vibaraka wa CCM. Lowassa na Membe walirudi CCM ila Mrema alibaki upinzani kama kibaraka wa CCM. Hivyo basi, wananchi wengi wanaamini Mpina atarudi CCM baada ya uchaguzi mkuu.

2. Sababu ya pili, Kuna vuguvugu la mabadiliko ya Sheria na kanuni za uchaguzi. Hili limefunika ujio wa Mpina kwenda upinzani. Kwamba wengi wanaona Mpina anatumika kupambana na kauli mbili ya No Reform No Election. Kwamba Mpina ni kama chambo ya kuhalalisha ufanyikaji wa uchaguzi mkuu mwaka huu na kuonesha kwamba kasoro zilizopo ni ndogo Sana kuweza kuwafavour CCM dhidi ya upinzani.

3. Timing ya Mpina kuja upinzani. Logic ni kwamba Mpina hakuwa na ambition ya kuwa Rais akiwa CCM Wala kujitangaza, yeye ambition yake ilikuwa ndio ubunge ghafla kaja upinzani anataka urais.
Wengi wanadhani Mpina kaja upinzani kimaslahi. Na kwamba kaja upinzani kwa sababu ya kukatwa kwenye ubunge huko CCM. Kwa kujua kwamba hawezi kuwa Mbunge maana system ya CCM na serikali yake imemkalia kidete ndio kaamua Kuja upinzani. Wengi wanadhani ingekuwa Bora Mpina kuhamia upinzani kipindi ambacho ni Mbunge na sio kipindi ambacho kakatwa kugombea ubunge ndani ya CCM. Na alistahili Kuna upinzani akiwa anafahamika na umma kuwa anataka kugombea urais tangu akiwa ndani ya CCM.


Kwa kumaliza napenda kusema ya kwamba nguvu ya Mpina kwenye ubunge ni kubwa Sana kuliko nguvu kwenye urais. Hivyo basi Mpina angeendelea kugombea ubunge pale Kisesa kwa kupitia upinzani angepita bila shida ila kwenye urais Kuna mambo mengi yatamkwamisha maana Kwa macho ya wengi ni mwanaccm sio mpinzani.
Pandikizi Hilo
 
Niwe mkweli, public reception ya Mpina haijawa kubwa kivile kama ilivyotegemewa. Hii ni tofauti na public reception waliyopata Maalim Seif alipoanzisha KAMAHURU na baadaye CUF, Mrema kuhamia NCCR na Lowassa kuhamia CHADEMA. Hawa walipohama walihama na wanachama wa CCM na viongozi wao na jamii iliwapokea kwa kishindo.
Michezo mingi imeishajulikana kwa uzembe. Na kwa kweli sasa imenyesha tunaona vizuri sana panapovuja.
 
Niwe mkweli, public reception ya Mpina haijawa kubwa kivile kama ilivyotegemewa. Hii ni tofauti na public reception waliyopata Maalim Seif alipoanzisha KAMAHURU na baadaye CUF, Mrema kuhamia NCCR na Lowassa kuhamia CHADEMA. Hawa walipohama walihama na wanachama wa CCM na viongozi wao na jamii iliwapokea kwa kishindo.

Nikija upande wa Mpina naona ni kama yeye yupo tofauti. Kwanza kahamia upinzani pekee yake na Hana kundi la wanachama au viongozi wa CCM aliyo hamia nao upinzani na jamii pia haijampokea Mpina kama mpinzani halisi wa kuiondoa CCM madarakani.

Sababu Kuu tatu zinazo pelekea Mpina kukosa huge Public Reception ni kama ifutavyo:

1. Sababu ya kwanza, Ni kwamba wananchi hawana Imani Tena na wagombea urais wa kutoka CCM kuja upinzani. Historia inaonesha wagombea wengi wa aina hiyo, walirudi CCM baada ya uchaguzi mkuu au walibaki upinzani na kuwa vibaraka wa CCM. Lowassa na Membe walirudi CCM ila Mrema alibaki upinzani kama kibaraka wa CCM. Hivyo basi, wananchi wengi wanaamini Mpina atarudi CCM baada ya uchaguzi mkuu.

2. Sababu ya pili, Kuna vuguvugu la mabadiliko ya Sheria na kanuni za uchaguzi. Hili limefunika ujio wa Mpina kwenda upinzani. Kwamba wengi wanaona Mpina anatumika kupambana na kauli mbili ya No Reform No Election. Kwamba Mpina ni kama chambo ya kuhalalisha ufanyikaji wa uchaguzi mkuu mwaka huu na kuonesha kwamba kasoro zilizopo ni ndogo Sana kuweza kuwafavour CCM dhidi ya upinzani.

3. Timing ya Mpina kuja upinzani. Logic ni kwamba Mpina hakuwa na ambition ya kuwa Rais akiwa CCM Wala kujitangaza, yeye ambition yake ilikuwa ndio ubunge ghafla kaja upinzani anataka urais.
Wengi wanadhani Mpina kaja upinzani kimaslahi. Na kwamba kaja upinzani kwa sababu ya kukatwa kwenye ubunge huko CCM. Kwa kujua kwamba hawezi kuwa Mbunge maana system ya CCM na serikali yake imemkalia kidete ndio kaamua Kuja upinzani. Wengi wanadhani ingekuwa Bora Mpina kuhamia upinzani kipindi ambacho ni Mbunge na sio kipindi ambacho kakatwa kugombea ubunge ndani ya CCM. Na alistahili Kuna upinzani akiwa anafahamika na umma kuwa anataka kugombea urais tangu akiwa ndani ya CCM.


Kwa kumaliza napenda kusema ya kwamba nguvu ya Mpina kwenye ubunge ni kubwa Sana kuliko nguvu kwenye urais. Hivyo basi Mpina angeendelea kugombea ubunge pale Kisesa kwa kupitia upinzani angepita bila shida ila kwenye urais Kuna mambo mengi yatamkwamisha maana Kwa macho ya wengi ni mwanaccm sio mpinzani.
Baada ya press ya Leo ataanza kupata public attention maana ndio kwanza amejitambulisha.

Ana kazi ya kufanya kumfunika kiroboto
 
Mpina ni pandikizi. Itajulikana tu pale uchaguzi ukimalizika. Atarudi CCM
 
Kwa kumaliza napenda kusema ya kwamba nguvu ya Mpina kwenye ubunge ni kubwa Sana kuliko nguvu kwenye urais. Hivyo basi Mpina angeendelea kugombea ubunge pale Kisesa kwa kupitia upinzani angepita bila shida ila kwenye urais Kuna mambo mengi yatamkwamisha maana Kwa macho ya wengi ni mwanaccm sio mpinzani
 
Laana ya ulevi wa madaraka kupindukia alivyokua waziri, mpaka kufikia hatua ya kupima kwa rula samaki waliorostiwa kwa nyanya, kuwanyang'anya mashine za uvuvi na kuchoma nyavu za wavuvi wadogo kiholela, kuangamiza mamilioni ya vifaranga vya kuku vya wafanyabiashara bila kupepesa macho wala kutathimini hasara kwa wahusika ni miongoni mwa mzimu utakaompoteza kisiasa mpina,

sambamba na hayo hasira za kutemwa kwenye baraza la mawaziri bila kutarajia vinamuumiza zaidi, huku yeye binafsi akiamini ni hila za akina Bashe ndizo zilizomfanya atemwe barazani.

So,
anagombea urais kupitia ACT WAZALENDO, ili akipata alipe kisasi 🤣
Sija mwona mpinzani wakushindana na mama, waache wamsindikize, angebaki kiseasa atulie tu Wenda huko mbele angepata uteuzi. Umri bado unamruhusu.
 
Niwe mkweli, public reception ya Mpina haijawa kubwa kivile kama ilivyotegemewa. Hii ni tofauti na public reception waliyopata Maalim Seif alipoanzisha KAMAHURU na baadaye CUF, Mrema kuhamia NCCR na Lowassa kuhamia CHADEMA. Hawa walipohama walihama na wanachama wa CCM na viongozi wao na jamii iliwapokea kwa kishindo.

Nikija upande wa Mpina naona ni kama yeye yupo tofauti. Kwanza kahamia upinzani pekee yake na Hana kundi la wanachama au viongozi wa CCM aliyo hamia nao upinzani na jamii pia haijampokea Mpina kama mpinzani halisi wa kuiondoa CCM madarakani.

Sababu Kuu tatu zinazo pelekea Mpina kukosa huge Public Reception ni kama ifutavyo:

1. Sababu ya kwanza, Ni kwamba wananchi hawana Imani Tena na wagombea urais wa kutoka CCM kuja upinzani. Historia inaonesha wagombea wengi wa aina hiyo, walirudi CCM baada ya uchaguzi mkuu au walibaki upinzani na kuwa vibaraka wa CCM. Lowassa na Membe walirudi CCM ila Mrema alibaki upinzani kama kibaraka wa CCM. Hivyo basi, wananchi wengi wanaamini Mpina atarudi CCM baada ya uchaguzi mkuu.

2. Sababu ya pili, Kuna vuguvugu la mabadiliko ya Sheria na kanuni za uchaguzi. Hili limefunika ujio wa Mpina kwenda upinzani. Kwamba wengi wanaona Mpina anatumika kupambana na kauli mbili ya No Reform No Election. Kwamba Mpina ni kama chambo ya kuhalalisha ufanyikaji wa uchaguzi mkuu mwaka huu na kuonesha kwamba kasoro zilizopo ni ndogo Sana kuweza kuwafavour CCM dhidi ya upinzani.

3. Timing ya Mpina kuja upinzani. Logic ni kwamba Mpina hakuwa na ambition ya kuwa Rais akiwa CCM Wala kujitangaza, yeye ambition yake ilikuwa ndio ubunge ghafla kaja upinzani anataka urais.
Wengi wanadhani Mpina kaja upinzani kimaslahi. Na kwamba kaja upinzani kwa sababu ya kukatwa kwenye ubunge huko CCM. Kwa kujua kwamba hawezi kuwa Mbunge maana system ya CCM na serikali yake imemkalia kidete ndio kaamua Kuja upinzani. Wengi wanadhani ingekuwa Bora Mpina kuhamia upinzani kipindi ambacho ni Mbunge na sio kipindi ambacho kakatwa kugombea ubunge ndani ya CCM. Na alistahili Kuna upinzani akiwa anafahamika na umma kuwa anataka kugombea urais tangu akiwa ndani ya CCM.


Kwa kumaliza napenda kusema ya kwamba nguvu ya Mpina kwenye ubunge ni kubwa Sana kuliko nguvu kwenye urais. Hivyo basi Mpina angeendelea kugombea ubunge pale Kisesa kwa kupitia upinzani angepita bila shida ila kwenye urais Kuna mambo mengi yatamkwamisha maana Kwa macho ya wengi ni mwanaccm sio mpinzani.
We kumbe ni poyoyo tu nilivyosoma tu kuna vuguvugu la kubadilisha vifungu vya sheria.... nimeacha kusoma nimepotea njia. Mpina ni nyau mdg sn hana akili ameshindwa ht kujitathmini, hana mvuto wwte hawezi kuondoka ht na paka CCM. Baada ya uchaguzi utaona atakavyotimuliwa na mwenye chama chake. Hv huyo mshamba ameshachukua fomu? Hakuna msukuma OG anaweza kuwa Rais wa nchi hii, Magu alikuwa mhamiaji(banyamulenge), wasukuma bd sn, ni washamba bado na ukizingatia wana ukabila, Mpina ht Kiswahili chenyewe shida.
 
Sija mwona mpinzani wakushindana na mama, waache wamsindikize, angebaki kiseasa atulie tu Wenda huko mbele angepata uteuzi. Umri bado unamruhusu.
ana hulka ya kiburi na ujuaji usio na athari wala faida.

Aliahidiwa ubunge wa kuteuliwa na Rais mbele ya umma wa wana kisesa na waTanzania wote, but ukaidi wake na ulevi wa umaarufu ukampumbaza eti nae akachukua fomu ya kugombea ubunge.

ile ni dharau kwa mkuu wa nchi 🐒
 
Laana ya ulevi wa madaraka kupindukia alivyokua waziri, mpaka kufikia hatua ya kupima kwa rula samaki waliorostiwa kwa nyanya, kuwanyang'anya mashine za uvuvi na kuchoma nyavu za wavuvi wadogo kiholela, kuangamiza mamilioni ya vifaranga vya kuku vya wafanyabiashara bila kupepesa macho wala kutathimini hasara kwa wahusika ni miongoni mwa mzimu utakaompoteza kisiasa mpina,

sambamba na hayo hasira za kutemwa kwenye baraza la mawaziri bila kutarajia vinamuumiza zaidi, huku yeye binafsi akiamini ni hila za akina Bashe ndizo zilizomfanya atemwe barazani.

So,
anagombea urais kupitia ACT WAZALENDO, ili akipata alipe kisasi 🤣
IMG-20250814-WA0051.jpg
 
We kumbe ni poyoyo tu nilivyosoma tu kuna vuguvugu la kubadilisha vifungu vya sheria.... nimeacha kusoma nimepotea njia. Mpina ni nyau mdg sn hana akili ameshindwa ht kujitathmini, hana mvuto wwte hawezi kuondoka ht na paka CCM. Baada ya uchaguzi utaona atakavyotimuliwa na mwenye chama chake. Hv huyo mshamba ameshachukua fomu? Hakuna msukuma OG anaweza kuwa Rais wa nchi hii, Magu alikuwa mhamiaji(banyamulenge), wasukuma bd sn, ni washamba bado na ukizingatia wana ukabila, Mpina ht Kiswahili chenyewe shida.
Hapo kwenye kuwatukana wasukuma hapana isee, tumzungizie Mpina lakini sio kabila lake, hakuna kabila Bora au kabila duni Tanzania
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom