Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 80,836
- 93,625
Paschal sijui ugonjwa gani unamtesa kwasasaAmka kunywa supu, ondoa hangover then andika vizuri, muda huo nitakua nimetoka ibadani. Kwasasa naona ni Kvant ndio imeandika sio Wewe
Paschal sijui ugonjwa gani unamtesa kwasasaAmka kunywa supu, ondoa hangover then andika vizuri, muda huo nitakua nimetoka ibadani. Kwasasa naona ni Kvant ndio imeandika sio Wewe
Ungekuwa magereza muda huu wala usingemsifia, huyu bibi ni mtu hatari sn kuliko hata Dikteta aliyepitaMkuu Akasankara , kwani ni yeye?, maadam kesi inasikilizwa, nashauri tusiingilie uhuru wa mahakama, nadhani hata Mama hapendi hizo mambo.
Wewe usiwe kama wale mabeberu kudhania hiyo kesi ni mpango wa Mama.
Mimi kwa maoni yangu, hii wiki inayoanza kesho haiishi kabla DPP hajapeleka Nolle!.
P
Hawezi siku hizi hana hoja ana vioja tupukama alijipendekeza kwa msukuma mwenzie na hakufanikiwa sidhani kama atafanikiwa kwa mama.
Katika watu waliohangaika Sana na uteuzi huyu ni mmoja waoHawezi siku hizi hana hoja ana vioja tupu
Maanake Katiba ni hisani yake na siyo hitaji letuMkuu LoyalTzCitizen , huyu Mama, atatupatia katiba mpya, ila wakati wa kipindi chake cha pili cha 2025- 2030.
Hivyo nyie wote mnaotaka katiba mpya, kama mnaitaka kwa dhati, then 2025 twende na Mama.
PWatanzania, tuunge mkono 2025 ni zamu ya Mwanamke, ila sio lazima awe yeye bali yule aliyepangiwa na 'YEYE', kama ni yeye aliyepangiwa, then ni yeye!
Wanabodi, Kati ya maeneo magumu sana kwenye tasnia ya habari ambayo kwa sisi Tanzania tumelikosa, tunaendelea kulikosa, na kama hawatajitokeza watu wenye uwezo wa kulifanya, tutaendelea kulikosa, ni eneo la "news analysis" uchambuzi wa habari. Kazi kuu za traditional media ni kuhabarisha...www.jamiiforums.com
Ndiyo maana amekuwa mtu wa hovyo kabisaKatika watu waliohangaika Sana na uteuzi huyu ni mmoja wao
kevu wake unatokana na malezi yake bora aliyo yapata.
ni mtu mcha Mungu mwenye hofu ya Mungu, anaye amini kuwa cheo au madaraka vyote hivyo haviwezekani isipokuwa kwa Mkono wa Mungu.
Hivyo kiongozi anayejua hayo kamwe hawezi kuinua mabega juu. Rais Mama Samia ni mfano mzuri sana kwa viongozi wengine wa juu, wa chini na hata wananchi wa kawaida, kama Amiri Jeshi Mkuu anakuwa mnyenyekevu kwa kila mtu kiasi hiki! sembuse mimi na wewe!
kwa wenye akili tayari wamejiongeza lkn kwa wenye akili nusu kikombe wanaweza kujenga dharau na udhaifu kumbe sivyo.
Kiongozi yeyote anayejua maaana ya uongozi lazima awe mnyenyekevu.
Unyeyekevu wake unatokana na malezi yake bora aliyo yapata.
ni mtu mcha Mungu mwenye hofu ya Mungu, anaye amini kuwa cheo au madaraka vyote hivyo haviwezekani isipokuwa kwa Mkono wa Mungu.
Hivyo kiongozi anayejua hayo kamwe hawezi kuinua mabega juu. Rais Mama Samia ni mfano mzuri sana kwa viongozi wengine wa juu, wa chini na hata wananchi wa kawaida, kama Amiri Jeshi Mkuu anakuwa mnyenyekevu kwa kila mtu kiasi hiki! sembuse mimi na wewe!
kwa wenye akili tayari wamejiongeza lkn kwa wenye akili nusu kikombe wanaweza kujenga dharau na udhaifu kumbe sivyo.
Kiongozi yeyote anayejua maaana ya uongozi lazima awe mnyenyekevu.
Mkuu LoyalTzCitizen , huyu Mama, atatupatia katiba mpya, ila wakati wa kipindi chake cha pili cha 2025- 2030.
Hivyo nyie wote mnaotaka katiba mpya, kama mnaitaka kwa dhati, then 2025 twende na Mama.
PWatanzania, tuunge mkono 2025 ni zamu ya Mwanamke, ila sio lazima awe yeye bali yule aliyepangiwa na 'YEYE', kama ni yeye aliyepangiwa, then ni yeye!
Wanabodi, Kati ya maeneo magumu sana kwenye tasnia ya habari ambayo kwa sisi Tanzania tumelikosa, tunaendelea kulikosa, na kama hawatajitokeza watu wenye uwezo wa kulifanya, tutaendelea kulikosa, ni eneo la "news analysis" uchambuzi wa habari. Kazi kuu za traditional media ni kuhabarisha...www.jamiiforums.com
Kwa hiyo Pascal,hii kesi ni mpango wa naniMkuu Akasankara , kwani ni yeye?, maadam kesi inasikilizwa, nashauri tusiingilie uhuru wa mahakama, nadhani hata Mama hapendi hizo mambo.
Wewe usiwe kama wale mabeberu kudhania hiyo kesi ni mpango wa Mama.
Mimi kwa maoni yangu, hii wiki inayoanza kesho haiishi kabla DPP hajapeleka Nolle!.
P
Hili nakuunga mkonoMkuu Cannabis , japo ni kweli kuna baadhi ya Trends huwa hazitokei. Ila trend hii #COVID19 - Visions & Trends Readings: Unaweza Usiamini Hili, "Namuona Baba Askofu Mpinga Chanjo, Ukichanjwa Chanjo ya Corona!" hii itatokea.
Just take it from me, Askofu Gwajima atachanja tuu, its only a matter of time
P
Sawa mkuu lakini mimi nakufahamu vizuri tokea tukiwa wote Ilboru sekondari,Unajitahidi Sana hongera pia kwa uzalendo wako kwa Nchi yetu.Mkuu Babe la mji , duh...!, yaani Pasco ni TISS!, uandishi ni kuzuga tuu!, kiukweli hii kali na kubwa kuliko!. Tiss anayeikosoa serikali yake mitandaoni!.
Kiukweli mimi najihesabu ni mtu mwenye bahati kuzaliwa familia ya TISS kwa baba na mama. Mzee Mayalla ndiye alikuwa RSO wa Mwanza ile 1976 wakati wa sekeseke ya Kesi ya Mauaji Mwanza.
Kwa vile kuna dhana ya mwana wa nyoka ni nyoka, na sisi kwetu tumezaliwa 8, we can't all be nyokas!. Ndugu zangu 5 wako serikalini na sisi watatu tuko sekta binafsi. Siwezi kuwasemea wengine, lakini mimi ningekuwa TISS nisingeweza kupandisha mabandiko kama haya.
TISS Ikanushe tuhuma za uvamizi, utekaji, utesaji na mauaji!. Wasijadiliwe na Bunge kwa uwazi bali wachunguzwe, wakithibitika wafumuliwe!
Wanabodi Naendelea na zile mada zangu za "Kwa Maslahi ya Taifa", ambazo ni mada za uzalendo kutoka kwa mzalendo wa kweli wa taifa hili. Mada ya leo ni kujadili moja ya Idara zetu nyeti sana, hapa nchini kwetu, hii ni idara yetu ya Usalama wa Taifa, TISS. Introduction ya Mada Hii ni mada very...www.jamiiforums.com
P
Kesi ikiwa mahakamani, tusiidadili tukaingilia uhuru wa mahakama.Kwa hiyo Pascal,hii kesi ni mpango wa nani
Mbowe sio gaidiUnyeyekevu wake unatokana na malezi yake bora aliyo yapata.
ni mtu mcha Mungu mwenye hofu ya Mungu, anaye amini kuwa cheo au madaraka vyote hivyo haviwezekani isipokuwa kwa Mkono wa Mungu.
Hivyo kiongozi anayejua hayo kamwe hawezi kuinua mabega juu. Rais Mama Samia ni mfano mzuri sana kwa viongozi wengine wa juu, wa chini na hata wananchi wa kawaida, kama Amiri Jeshi Mkuu anakuwa mnyenyekevu kwa kila mtu kiasi hiki! sembuse mimi na wewe!
kwa wenye akili tayari wamejiongeza lkn kwa wenye akili nusu kikombe wanaweza kujenga dharau na udhaifu kumbe sivyo.
Kiongozi yeyote anayejua maaana ya uongozi lazima awe mnyenyekevu.
hata mke wake hajawahi kusema hivyo, sembuse wewe!Mbowe sio gaidi
Wanabodi, ni katika kukumbushana tuu, eti sasa ndio kuna watu wanashangaa!. Wangesoma uzi huu kabla, wasinge shangaa!.Mtu mcha Mungu, mpole, mnyenyekevu wa type ya Mama Samia, akitibuliwa na akatibuka... JPM atakuwa ni mtakatifu!.
JYN kazengua,.. kazenguliwa!Kama alivyo sema mwenyewe kuhusu uwezo wa macho yake yale.... yanaona hayo!, na akasema wazi yeye sio mtu wa kufoka foka na akatoa onyo tusimzengue "mkinizengua, tuta zenguana"
Tumempa muda na sasa kazi imeanza, kazi naendelea!Wito
, hivyo natoa wito kwa sisi wana Jf, na Watanzania kwa ujumla wetu, lets give her time, tumpe muda wa kutosha kuisuka nchi.
Hata sasa naomba nisimalizie...Lets not take upole wake, unyenyekevu wake na humbleness yake for granted tukaanza kumzengua...
She will be....
Naomba nisimalizie
Paskali
Tumekuskia mkuu.Wanabodi, ni katika kukumbushana tuu, eti sasa ndio kuna watu wanashangaa!. Wangesoma uzi huu kabla, wasinge shangaa!.
JYN kazengua,.. kazenguliwa!
Tumempa muda na sasa kazi imeanza, kazi naendelea!
Hata sasa naomba nisimalizie...
P
Mkuu Relief Mirzska , kwanza asante sana kwa compliments, halafu imetokea....naomba nisimalizie... ila mimi sio kunguru, kunguru ni muoga sana, mimi sio muoga kama kunguru ila tuu niko makini kutokwenda kwenye extreme.Tumekuskia mkuu.
Wewe ni kunguru mjanja Paskali.
Mkuu Anonymous Caller , kwanza asante kwa observation yako, kiukweli Kiswahili hakina misamiati ya kutosha, hivyo baadhi ya maneno ya kizungu, ukiyatumia kwa kizungu, yanakolea zaidi.Heading ndeefu sana iliyochomekewa maneno matano ya lugha ya kigeni pasipo ulazima.
trends, psychoanalysis, bonafide, genuine, dah!
paskal una mbwembwe!