Psychoanalysis Trends za Viongozi Wetu, Humbleness ya Rais Samia ni Bonafide Genuine, ni asili yake, ni nature yake, ndivyo alivyo, Ila...

Mkuu Akasankara , kwani ni yeye?, maadam kesi inasikilizwa, nashauri tusiingilie uhuru wa mahakama, nadhani hata Mama hapendi hizo mambo.
Wewe usiwe kama wale mabeberu kudhania hiyo kesi ni mpango wa Mama.
Mimi kwa maoni yangu, hii wiki inayoanza kesho haiishi kabla DPP hajapeleka Nolle!.
P
Ungekuwa magereza muda huu wala usingemsifia, huyu bibi ni mtu hatari sn kuliko hata Dikteta aliyepita
 
Mkuu LoyalTzCitizen , huyu Mama, atatupatia katiba mpya, ila wakati wa kipindi chake cha pili cha 2025- 2030.
Hivyo nyie wote mnaotaka katiba mpya, kama mnaitaka kwa dhati, then 2025 twende na Mama.
P
Maanake Katiba ni hisani yake na siyo hitaji letu
 
kevu wake unatokana na malezi yake bora aliyo yapata.

ni mtu mcha Mungu mwenye hofu ya Mungu, anaye amini kuwa cheo au madaraka vyote hivyo haviwezekani isipokuwa kwa Mkono wa Mungu.

Hivyo kiongozi anayejua hayo kamwe hawezi kuinua mabega juu. Rais Mama Samia ni mfano mzuri sana kwa viongozi wengine wa juu, wa chini na hata wananchi wa kawaida, kama Amiri Jeshi Mkuu anakuwa mnyenyekevu kwa kila mtu kiasi hiki! sembuse mimi na wewe!

kwa wenye akili tayari wamejiongeza lkn kwa wenye akili nusu kikombe wanaweza kujenga dharau na udhaifu kumbe sivyo.

Kiongozi yeyote anayejua maaana ya uongozi lazima awe mnyenyekevu.

Unyeyekevu wake unatokana na malezi yake bora aliyo yapata.

ni mtu mcha Mungu mwenye hofu ya Mungu, anaye amini kuwa cheo au madaraka vyote hivyo haviwezekani isipokuwa kwa Mkono wa Mungu.

Hivyo kiongozi anayejua hayo kamwe hawezi kuinua mabega juu. Rais Mama Samia ni mfano mzuri sana kwa viongozi wengine wa juu, wa chini na hata wananchi wa kawaida, kama Amiri Jeshi Mkuu anakuwa mnyenyekevu kwa kila mtu kiasi hiki! sembuse mimi na wewe!

kwa wenye akili tayari wamejiongeza lkn kwa wenye akili nusu kikombe wanaweza kujenga dharau na udhaifu kumbe sivyo.

Kiongozi yeyote anayejua maaana ya uongozi lazima awe mnyenyekevu.

Hongereni kwa kupulizia kinyesi perfume. Tuna akili zetu timamu sio wa kutekwa na hizo propaganda za kichovu.
 
Mkuu LoyalTzCitizen , huyu Mama, atatupatia katiba mpya, ila wakati wa kipindi chake cha pili cha 2025- 2030.
Hivyo nyie wote mnaotaka katiba mpya, kama mnaitaka kwa dhati, then 2025 twende na Mama.
P

Sisi tunaitaka katiba mpya sasa, hiyo ya 2025 akupe wewe na wanaccm wenzio na wazanzibari wenzake.
 
Mkuu Babe la mji , duh...!, yaani Pasco ni TISS!, uandishi ni kuzuga tuu!, kiukweli hii kali na kubwa kuliko!. Tiss anayeikosoa serikali yake mitandaoni!.

Kiukweli mimi najihesabu ni mtu mwenye bahati kuzaliwa familia ya TISS kwa baba na mama. Mzee Mayalla ndiye alikuwa RSO wa Mwanza ile 1976 wakati wa sekeseke ya Kesi ya Mauaji Mwanza.

Kwa vile kuna dhana ya mwana wa nyoka ni nyoka, na sisi kwetu tumezaliwa 8, we can't all be nyokas!. Ndugu zangu 5 wako serikalini na sisi watatu tuko sekta binafsi. Siwezi kuwasemea wengine, lakini mimi ningekuwa TISS nisingeweza kupandisha mabandiko kama haya.

P
Sawa mkuu lakini mimi nakufahamu vizuri tokea tukiwa wote Ilboru sekondari,Unajitahidi Sana hongera pia kwa uzalendo wako kwa Nchi yetu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unyeyekevu wake unatokana na malezi yake bora aliyo yapata.

ni mtu mcha Mungu mwenye hofu ya Mungu, anaye amini kuwa cheo au madaraka vyote hivyo haviwezekani isipokuwa kwa Mkono wa Mungu.

Hivyo kiongozi anayejua hayo kamwe hawezi kuinua mabega juu. Rais Mama Samia ni mfano mzuri sana kwa viongozi wengine wa juu, wa chini na hata wananchi wa kawaida, kama Amiri Jeshi Mkuu anakuwa mnyenyekevu kwa kila mtu kiasi hiki! sembuse mimi na wewe!

kwa wenye akili tayari wamejiongeza lkn kwa wenye akili nusu kikombe wanaweza kujenga dharau na udhaifu kumbe sivyo.

Kiongozi yeyote anayejua maaana ya uongozi lazima awe mnyenyekevu.
Mbowe sio gaidi
 
Mtu mcha Mungu, mpole, mnyenyekevu wa type ya Mama Samia, akitibuliwa na akatibuka... JPM atakuwa ni mtakatifu!.
Wanabodi, ni katika kukumbushana tuu, eti sasa ndio kuna watu wanashangaa!. Wangesoma uzi huu kabla, wasinge shangaa!.
Kama alivyo sema mwenyewe kuhusu uwezo wa macho yake yale.... yanaona hayo!, na akasema wazi yeye sio mtu wa kufoka foka na akatoa onyo tusimzengue "mkinizengua, tuta zenguana"
JYN kazengua,.. kazenguliwa!
Wito
, hivyo natoa wito kwa sisi wana Jf, na Watanzania kwa ujumla wetu, lets give her time, tumpe muda wa kutosha kuisuka nchi.
Tumempa muda na sasa kazi imeanza, kazi naendelea!
Lets not take upole wake, unyenyekevu wake na humbleness yake for granted tukaanza kumzengua...

She will be....
Naomba nisimalizie

Paskali
Hata sasa naomba nisimalizie...
P
 
Wanabodi, ni katika kukumbushana tuu, eti sasa ndio kuna watu wanashangaa!. Wangesoma uzi huu kabla, wasinge shangaa!.

JYN kazengua,.. kazenguliwa!

Tumempa muda na sasa kazi imeanza, kazi naendelea!

Hata sasa naomba nisimalizie...
P
Tumekuskia mkuu.

Unajua wewe una uwezo mkubwa sana kaka mkubwa. Tatizo nahisi utawala ule ulikuwa ni moto haswa. Ukaamua kukimbiza bawa lako.

Wewe ni kunguru mjanja Paskali.
 
Heading ndeefu sana iliyochomekewa maneno matano ya lugha ya kigeni pasipo ulazima.
trends, psychoanalysis, bonafide, genuine, dah!
paskal una mbwembwe!

Cha kushangaza baadhi ya wanaokukejeli nao wanajikomba kwa rais kupitia post zao humu jf.

Tofauti yako na wenzako ni moja..wewe ulikuwa loyal kwa awamu ya tano na umeendelea kuwa hivyohivyo kwa awamu ya hii.

Akisifia mayala ni kujipendekeza..wakisifia wengine ni sincerity.
 
Heading ndeefu sana iliyochomekewa maneno matano ya lugha ya kigeni pasipo ulazima.
trends, psychoanalysis, bonafide, genuine, dah!
paskal una mbwembwe!
Mkuu Anonymous Caller , kwanza asante kwa observation yako, kiukweli Kiswahili hakina misamiati ya kutosha, hivyo baadhi ya maneno ya kizungu, ukiyatumia kwa kizungu, yanakolea zaidi.
Mfano naomba unisaidie Kiswahili cha
  1. psychoanalysis
  2. trends
  3. humbleness
  4. bonafide
  5. genuine
P
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom