Hismastersvoice
JF-Expert Member
- Jan 26, 2013
- 18,664
- 22,256
What! No, viongozi wetu wanaendesha nchi kwa kundi la utashi binafsi, hawawajali wananchi isipokuwa makundi yao.Huyu Mama, atatupatia katiba mpya, ila wakati wa kipindi chake cha pili cha 2025- 2030.
Hivyo nyie wote mnaotaka katiba mpya, kama mnaitaka kwa dhati, then 2025 twende na Mama.
P
Atatupatia katiba kwenye kipindi chake cha pili! Hicho cha pili tayari mmekwisha msimika mkiamini nchi hii ni yenu sisi ni watwana.