Psychoanalysis Trends za Viongozi Wetu, Humbleness ya Rais Samia ni Bonafide Genuine, ni asili yake, ni nature yake, ndivyo alivyo, Ila...

Huyu Mama, atatupatia katiba mpya, ila wakati wa kipindi chake cha pili cha 2025- 2030.
Hivyo nyie wote mnaotaka katiba mpya, kama mnaitaka kwa dhati, then 2025 twende na Mama.
P
What! No, viongozi wetu wanaendesha nchi kwa kundi la utashi binafsi, hawawajali wananchi isipokuwa makundi yao.
Atatupatia katiba kwenye kipindi chake cha pili! Hicho cha pili tayari mmekwisha msimika mkiamini nchi hii ni yenu sisi ni watwana.
 
Poti umeongea kwa kujificha ficha kuna kitu unataka kufikisha ila Masanzu mengi sana....ooh mala macho mala zaidi ya yule
Masanzu = Vichaka
 
Wanabodi,
Moja ya topic ngumu sana humu JF, ni topic za kitu kinachoitwa Trends Readings za psychoanalysis trends, kinacho tokana na ku psychanalyse Trends kisaikolojia kwa kutumia tabia za mtu za nyuma, tabia za sasa kuweza ku détermine tabia kitakachokuja kutokea baadae in near future kwa short term, médium term na long term.

Trends Reading ni Nini, na Zina Kazi Gani, na Zina Faida Gani?.
Kwa kifupi, trends ni mielekeo, hivyo trends readings ni kusoma mielekeo, faida ya kusoma mielekeo, au direction, na kuangalia kule mliko toka, hapo mlipo mlipo, ili kujua kule mnakokwenda. Ni kama somo la Historia, ni kujifunza mambo ya zamani, kule tulikotoka, kulinganisha ya sasa hapa tulipo, hivyo kuweza kujua kule tuendako. History is the study of the past in relation to the present, to determine the future. Hivyo faida kubwa kabisa ya trends reading is the determination of the future. The future haijiji tuu kama kudra ya Mwenyezi Mungu, inakuwa determined na matendo yako ya nyuma, matendo yako ya sasa, hivyo kuipanga kesho yako iweje.

Trends Reading Sio Utabiri, Sio Ubashishiri, Ni Usomaji wa Mienendo na Mielekeo, Matokeo ya Trends ni Uhakika Zaidi Kuliko Utabiri na Ubashiri.
Kuna watu wanachanganya ubashiri, utabiri na trends readings. Japo yote matatu, yanaweza kusema kitatokea nini in future, mtabiri yeye anatumia mizimu kuuliza na kuona kitatokea nini, hawa wanaitwa scorchers, kuna wasoma nyota wanaoweza kukuambia yajayo kwa kusoma nyota yako, hawa wanaitwa astrongers, kama Sheikh Yahaya Hussen. Kuna wabashiri, hawa ni watu wa kubahatisha tuu kama bahati nasibu, Simba na Yanga zikicheza, kuna matokeo matatu tuu, au kushinda, kushindwa na sare. Wabashiri wanabahatisha lolote likitokea, wanakula bingo kwenye betting. Trends Readers, sio wanajimu, sio wabashiri ni watu wa kawaida tuu ambao ni wasoma mielekeo, trends na kuweza kusema kitatokea nini in future kutokan na matendo au matukio ya nyuma, matukio ya sasa na hivyo kujua matukio yajayo.

Trends Readers Humu JF ni Kina Nani na Jee Hizo Trends Zao, Zilikuja Kutokea?
Mimi ni mtu wa mastori mastori, kwa wapenda mastori, sasa kwa faida ya wenzetu wasio penda long stories, mnaweza kuishia hapa, na kwenda kusoma conclusion
Tuanze na Psychoanalysis ni nini na ya kazi gani au inasaidia nini?.

Conclusion
Trends za Samia, zinaonyesha tunaelekea kwenye Tanzania njema yenye rais humber, mpole, nyenyekevu, mstahimilivu, na hata kule UN, tumemshuhudia katika hotuba yake, amehutubia UN akiwa humble vile vile. Once humble, always humble.
Mungu ambariki sana, Mama Samia aendelee na hii humbleness yake asibadilike.

Mtu mcha Mungu, mpole, mnyenyekevu wa type ya Mama Samia, akitibuliwa na akatibuka... JPM atakuwa ni mtakatifu!.

Kama alivyo sema mwenyewe kuhusu uwezo wa macho yake yale, yanaona hayo!, na akasema wazi yeye sio mtu wa kufoka foka na akatoa onyo tusimzengue "mkinizengua, tuta zenguana"
Natoa wito kwa sisi wana Jf, la Watanzania kwa ujumla lets give her time, tumpe muda wa kutosha kuisuka nchi. Lets not take upole wake, unyenyekevu wake na humbleness yake for granted tukaanza kumzengua...

She will be....
Naomba nisimalizie

Nakutakia Jumapili Njema.

Paskali
Aliyetabiri JPM atakua president ni member anaitwa MAGAMBA MATATU cheki hii thread ya mwaka 2012


Pasco acha sifa za kijinga
 
Asante kaka Paskali bandiko ni zuri. Mantiki katika upole na ukarimu wa Rais wetu mpendwa nimeulewa. Once humble, always humble.
 
Mkuu LoyalTzCitizen , huyu Mama, atatupatia katiba mpya, ila wakati wa kipindi chake cha pili cha 2025- 2030.
Hivyo nyie wote mnaotaka katiba mpya, kama mnaitaka kwa dhati, then 2025 twende na Mama.
P
Na hii reply tunasave for coming references
 
Wanabodi,
Moja ya topic ngumu sana humu JF, ni topic za kitu kinachoitwa Trends Readings za psychoanalysis trends, kinacho tokana na ku psychanalyse Trends kisaikolojia kwa kutumia tabia za mtu za nyuma, tabia za sasa kuweza ku détermine tabia kitakachokuja kutokea baadae in near future kwa short term, médium term na long term.

Trends Reading ni Nini, na Zina Kazi Gani, na Zina Faida Gani?.
Kwa kifupi, trends ni mielekeo, hivyo trends readings ni kusoma mielekeo, faida ya kusoma mielekeo, au direction, na kuangalia kule mliko toka, hapo mlipo mlipo, ili kujua kule mnakokwenda. Ni kama somo la Historia, ni kujifunza mambo ya zamani, kule tulikotoka, kulinganisha ya sasa hapa tulipo, hivyo kuweza kujua kule tuendako. History is the study of the past in relation to the present, to determine the future. Hivyo faida kubwa kabisa ya trends reading is the determination of the future. The future haijiji tuu kama kudra ya Mwenyezi Mungu, inakuwa determined na matendo yako ya nyuma, matendo yako ya sasa, hivyo kuipanga kesho yako iweje.

Trends Reading Sio Utabiri, Sio Ubashishiri, Ni Usomaji wa Mienendo na Mielekeo, Matokeo ya Trends ni Uhakika Zaidi Kuliko Utabiri na Ubashiri.
Kuna watu wanachanganya ubashiri, utabiri na trends readings. Japo yote matatu, yanaweza kusema kitatokea nini in future, mtabiri yeye anatumia mizimu kuuliza na kuona kitatokea nini, hawa wanaitwa scorchers, kuna wasoma nyota wanaoweza kukuambia yajayo kwa kusoma nyota yako, hawa wanaitwa astrongers, kama Sheikh Yahaya Hussen. Kuna wabashiri, hawa ni watu wa kubahatisha tuu kama bahati nasibu, Simba na Yanga zikicheza, kuna matokeo matatu tuu, au kushinda, kushindwa na sare. Wabashiri wanabahatisha lolote likitokea, wanakula bingo kwenye betting. Trends Readers, sio wanajimu, sio wabashiri ni watu wa kawaida tuu ambao ni wasoma mielekeo, trends na kuweza kusema kitatokea nini in future kutokan na matendo au matukio ya nyuma, matukio ya sasa na hivyo kujua matukio yajayo.

Trends Readers Humu JF ni Kina Nani na Jee Hizo Trends Zao, Zilikuja Kutokea?
Mimi ni mtu wa mastori mastori, kwa wapenda mastori, sasa kwa faida ya wenzetu wasio penda long stories, mnaweza kuishia hapa, na kwenda kusoma conclusion
Tuanze na Psychoanalysis ni nini na ya kazi gani au inasaidia nini?.

Conclusion
Trends za Samia, zinaonyesha tunaelekea kwenye Tanzania njema yenye rais humber, mpole, nyenyekevu, mstahimilivu, na hata kule UN, tumemshuhudia katika hotuba yake, amehutubia UN akiwa humble vile vile. Once humble, always humble.
Mungu ambariki sana, Mama Samia aendelee na hii humbleness yake asibadilike.

Mtu mcha Mungu, mpole, mnyenyekevu wa type ya Mama Samia, akitibuliwa na akatibuka... JPM atakuwa ni mtakatifu!.

Kama alivyo sema mwenyewe kuhusu uwezo wa macho yake yale, yanaona hayo!, na akasema wazi yeye sio mtu wa kufoka foka na akatoa onyo tusimzengue "mkinizengua, tuta zenguana"
Natoa wito kwa sisi wana Jf, la Watanzania kwa ujumla lets give her time, tumpe muda wa kutosha kuisuka nchi. Lets not take upole wake, unyenyekevu wake na humbleness yake for granted tukaanza kumzengua...

She will be....
Naomba nisimalizie

Nakutakia Jumapili Njema.

Paskali
Hahaha nicheke mimi

Mayala embu muangalie huyu Mama Waziri Mkuu akiongea hapo UNGA alafu mrejee Samia.
 
Wanabodi,
Moja ya topic ngumu sana humu JF, ni topic za kitu kinachoitwa Trends Readings za psychoanalysis trends, kinacho tokana na ku psychanalyse Trends kisaikolojia kwa kutumia tabia za mtu za nyuma, tabia za sasa kuweza ku détermine tabia kitakachokuja kutokea baadae in near future kwa short term, médium term na long term.

Trends Reading ni Nini, na Zina Kazi Gani, na Zina Faida Gani?.
Kwa kifupi, trends ni mielekeo, hivyo trends readings ni kusoma mielekeo, faida ya kusoma mielekeo, au direction, na kuangalia kule mliko toka, hapo mlipo mlipo, ili kujua kule mnakokwenda. Ni kama somo la Historia, ni kujifunza mambo ya zamani, kule tulikotoka, kulinganisha ya sasa hapa tulipo, hivyo kuweza kujua kule tuendako. History is the study of the past in relation to the present, to determine the future. Hivyo faida kubwa kabisa ya trends reading is the determination of the future. The future haijiji tuu kama kudra ya Mwenyezi Mungu, inakuwa determined na matendo yako ya nyuma, matendo yako ya sasa, hivyo kuipanga kesho yako iweje.

Trends Reading Sio Utabiri, Sio Ubashishiri, Ni Usomaji wa Mienendo na Mielekeo, Matokeo ya Trends ni Uhakika Zaidi Kuliko Utabiri na Ubashiri.
Kuna watu wanachanganya ubashiri, utabiri na trends readings. Japo yote matatu, yanaweza kusema kitatokea nini in future, mtabiri yeye anatumia mizimu kuuliza na kuona kitatokea nini, hawa wanaitwa scorchers, kuna wasoma nyota wanaoweza kukuambia yajayo kwa kusoma nyota yako, hawa wanaitwa astrongers, kama Sheikh Yahaya Hussen. Kuna wabashiri, hawa ni watu wa kubahatisha tuu kama bahati nasibu, Simba na Yanga zikicheza, kuna matokeo matatu tuu, au kushinda, kushindwa na sare. Wabashiri wanabahatisha lolote likitokea, wanakula bingo kwenye betting. Trends Readers, sio wanajimu, sio wabashiri ni watu wa kawaida tuu ambao ni wasoma mielekeo, trends na kuweza kusema kitatokea nini in future kutokan na matendo au matukio ya nyuma, matukio ya sasa na hivyo kujua matukio yajayo.

Trends Readers Humu JF ni Kina Nani na Jee Hizo Trends Zao, Zilikuja Kutokea?
Mimi ni mtu wa mastori mastori, kwa wapenda mastori, sasa kwa faida ya wenzetu wasio penda long stories, mnaweza kuishia hapa, na kwenda kusoma conclusion
Tuanze na Psychoanalysis ni nini na ya kazi gani au inasaidia nini?.

Conclusion
Trends za Samia, zinaonyesha tunaelekea kwenye Tanzania njema yenye rais humber, mpole, nyenyekevu, mstahimilivu, na hata kule UN, tumemshuhudia katika hotuba yake, amehutubia UN akiwa humble vile vile. Once humble, always humble.
Mungu ambariki sana, Mama Samia aendelee na hii humbleness yake asibadilike.

Mtu mcha Mungu, mpole, mnyenyekevu wa type ya Mama Samia, akitibuliwa na akatibuka... JPM atakuwa ni mtakatifu!.

Kama alivyo sema mwenyewe kuhusu uwezo wa macho yake yale, yanaona hayo!, na akasema wazi yeye sio mtu wa kufoka foka na akatoa onyo tusimzengue "mkinizengua, tuta zenguana"
Natoa wito kwa sisi wana Jf, la Watanzania kwa ujumla lets give her time, tumpe muda wa kutosha kuisuka nchi. Lets not take upole wake, unyenyekevu wake na humbleness yake for granted tukaanza kumzengua...

She will be....
Naomba nisimalizie

Nakutakia Jumapili Njema.

Paskali
Umenena mkuu
 
Mtu mcha Mungu, mpole, mnyenyekevu wa type ya Mama Samia, akitibuliwa na akatibuka... JPM atakuwa ni mtakatifu!.


Paskali

Mkuu Mayalla Gawiza!!! ... from the basis of your comparison kwa mtazamo wako without reasonable doubts hapa umemlinganisha SSH na JPM

Ikiwa comparison items zilizotumika ni Jumla ya maneno ("MCHAMUNGU" "MPOLE" "MNYENYEKEVU") kwa upande wa muhusika wa kwanza ambae ni SSH

Dhidi ya neno ("MTAKATIFU") kwa upande wa muhusika wa pili ambae ni JPM

Kwa mlinganisho huo ina maana kuwa ikiwa SSH atabadilika nankuwa MSHENZI, MKALI na KIBURI maneno ambayo ni kinyume cha UCHAMUNGU, UPOLE na UNYENYEKEVU basi JPM atakuwa MTAKATIFU

Lakini kwa kuwa SSH hajabadilika, bado ni MCHAMUNGU, MPOLE na MNYENYEKEVU inamaana JPM hakuwa MTAKATIFU ???

Kwa msingi huo wa kinyume cha ulinganisho huo hivyo JPM alikuwa MSHENZI, MKALI na KIBURI tofauti na alivyo SSH ???

 
Pascal unaongelea kuwa humble wakati things are falling apart....?....kuongoza nchi kuelekea kwenye maendeleo ya kweli lazima uwe aggressive na seriously committed sio lelemama mzee.
Ona wizara ya Nishati....kinachofanyika ni utata mtupu...nani hamjui mafuru na mchechu....unataka kuniambia Tanzania hakuna human resource ya kutosha mpaka urudishe watu ambao walifeli na kufisadi mashirika tena na ushahidi upo wazi?
Sawa tuendelee kusifia kuwa humble....lakini muda utaongea.
 
Pasko kuwa Usalama wa Taifa basi anajionaga Kama Mungu eti anaongeaga yanayokuja kutokea .Sasa kama ni hivo mbona watu wengi hasa wazee wanafahamu haya mambo ya utawala yanaendaje na ni nini kitatokea kwa kipindi gani?Mbona tunajua kiunabii Sasa hivi Taifa letu lipo gizani ? Tatizo lako ni much know unapenda Sana sifa.Tunajua unapewaga briefing uzilete hapa na unafanya uandishi kama cover tu.Tunajua baada ya hili Giza Taifa litapata mwanga .Na pia kuhusu JPM kuwa Rais ni wengi tu walikua wanafahamu Hilo Jambo hivo acha kijikweza.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Aliyetabiri JPM atakua president ni member anaitwa MAGAMBA MATATU cheki hii thread ya mwaka 2012


Pasco acha sifa za kijinga
Mkuu masare, kwanza asante kunitambulisha bandiko la MAGAMBA MATATU, la mwaka 2012. Kwanza nimelisoma, ni kweli amemtaja JPM, lakini kama mmoja miongoni mwa wengi. He/she was not specific. Tembelea bandiko hili, la mwaka 2012 wakati wa upepo wa EL, uangalie nilisema nini kuhusu EL na kusema kama sio EL CCM imsimamishe nani.
Watu trends tulizianza zamani!.
P
 
Pasko kuwa Usalama wa Taifa basi Tunajua unapewaga briefing uzilete hapa na unafanya uandishi kama cover tu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu Babe la mji , duh...!, yaani Pasco ni TISS!, uandishi ni kuzuga tuu!, kiukweli hii kali na kubwa kuliko!. Tiss anayeikosoa serikali yake mitandaoni!.

Kiukweli mimi najihesabu ni mtu mwenye bahati kuzaliwa familia ya TISS kwa baba na mama. Mzee Mayalla ndiye alikuwa RSO wa Mwanza ile 1976 wakati wa sekeseke ya Kesi ya Mauaji Mwanza.

Kwa vile kuna dhana ya mwana wa nyoka ni nyoka, na sisi kwetu tumezaliwa 8, we can't all be nyokas!. Ndugu zangu 5 wako serikalini na sisi watatu tuko sekta binafsi. Siwezi kuwasemea wengine, lakini mimi ningekuwa TISS nisingeweza kupandisha mabandiko kama haya.

P
 
Amka kunywa supu, ondoa hangover then andika vizuri, muda huo nitakua nimetoka ibadani. Kwasasa naona ni Kvant ndio imeandika sio Wewe
Mkuu Bwana PGO, mimi sio mtu wa K vant, mimi ni kijana wa Joni Mtembezi Alama Nyeusi, ni kitu very fine, haina nang over na hauamki nazo, bali stimu hukata after few hours na una kuwa uko fersh kabisa.
P
 
Unyeyekevu wake unatokana na malezi yake bora aliyo yapata.

ni mtu mcha Mungu mwenye hofu ya Mungu, anaye amini kuwa cheo au madaraka vyote hivyo haviwezekani isipokuwa kwa Mkono wa Mungu.

Hivyo kiongozi anayejua hayo kamwe hawezi kuinua mabega juu. Rais Mama Samia ni mfano mzuri sana kwa viongozi wengine wa juu, wa chini na hata wananchi wa kawaida, kama Amiri Jeshi Mkuu anakuwa mnyenyekevu kwa kila mtu kiasi hiki! sembuse mimi na wewe!

kwa wenye akili tayari wamejiongeza lkn kwa wenye akili nusu kikombe wanaweza kujenga dharau na udhaifu kumbe sivyo.

Kiongozi yeyote anayejua maaana ya uongozi lazima awe mnyenyekevu.
Mkuu zandrano , naunga mkono hoja.
P
 
Kitendo cha kubambikia watu mashitaka hakijapokelewa vyema na watanzania. Tutende HAKI siku zote. Kuwaonea watu na kuwaweka watu magerezani huku wewe ukila na kushiba ni kumkosea Muumba mbingu na Dunia.
Mkuu Akasankara , kwani ni yeye?, maadam kesi inasikilizwa, nashauri tusiingilie uhuru wa mahakama, nadhani hata Mama hapendi hizo mambo.
Wewe usiwe kama wale mabeberu kudhania hiyo kesi ni mpango wa Mama.
Mimi kwa maoni yangu, hii wiki inayoanza kesho haiishi kabla DPP hajapeleka Nolle!.
P
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom