Psychedelic Drugs & Consciousness

Mkuu ,hapa panahitaji msaada kwa sababu walio athirika ni wengi.Ipi ni njia sahihi na salama ya kuondoa athari kwa Mtu alie tumia mmea (Bangi) kwa muda mrefu !?.

Msaa mwingine; kwa wale ambao bado wana endelea kutumia hii kitu una wassaidiaje ili kupunguza athari zaidi !?.

Wanasema kinacho muua Mtu ni kile akipendacho ,unapo maliza kuvuta utumie nini kupunguza Sumu !?.

Nna tangulisha Shukrani Mkuu Mk54
Swali zuri kaka, na Mimi nangoja majibu.
 
Hongera sana FEAR ZONE ndio the Real Devil . Yaani ukiweza kuelewa kwamba there is no reason to be afraid, umefaulu.

Kwa Sababu Fear Zone ni mbegu iliyopandwa since day one ya childhood yetu. Ndio maana it is so hard kuondoa fear ya Mtu.
Imagine unaanza kumwambia mtoto sijui ukifa Mungu ataenda kukuchoma moto,utaenda kuteswa kaburini na malaika 70 . Sijui utachomwa moto. So ile creativity ya mtoto out of fear inakuwa imeshauliwa.

Na maisha yake yote ataishi kwa muktadha wa uoga. Hata Zone ya kujifunza hatoisogelea.
Kauli yake mbiu ni umekuja kuabudu. Hivyo elimu yako ni kuabudu tu

Elimu nyingine yoyote ataona inataka kumtoa kwenye maisha ya uzima. Matokeo yake anaishi the whole life akiamini kuishi hivo ndio kutamfanya aingie Uzima.

, anasahau kwamba so many people died ili leo hii yeye kujua dose halisi ya magnisum Sulfate Injection kwa mama mwenye kichaa cha mimba( Eclampsia) , so many people died kupata dose ya Oxytocin ( maji ya uchungu) , so many people died to establish epidural dose ili mama azae kwa upasuaji vyema etc etc . Hizi zote ni knowledge out of fear and comfort zone.

Watoto wako usiwafundishe uoga. Teach them to question, to conform, to believe in themselves to learn as much
As they can .

Tell them kwamba wamekuja kuimilika hii dunia, dunia bila ya wao bado haijakamilika na ndio maana wapo duniani.

Aidha, bila elimu na Maarifa ya elimu out of fear huwezi kumiliki dunia . They should never be caged bird . Let them be .

Uoga ndio umetufikisha hapa kama Taifa.

Uoga ni real devil , hata kama umesoma for as long as upo kwenye zone
Ya uoga, ni katika uhalisia huo maisha yako yatakuwa ni KISANGA

Great things are never easy; great things hufanywa out of fear. Great things hufanywa kwenye zone ya Learning na Growth !
View attachment 1712302
Mkuu mimi kuna hali huwa inanitokea, na haikutokea mwanzo kipindi naanza kutumia mjani.

Kuna kipindi nafikiria jambo ambalo halijatokea bado, lakini naamua kupuuzia. Then siku chache baadaye, jambo hilo linatokea mpaka huwa nashangaa.
 
Mkuu mimi kuna hali huwa inanitokea, na haikutokea mwanzo kipindi naanza kutumia mjani.
Kuna kipindi nafikiria jambo ambalo halijatokea bado, lakini naamua kupuuzia. Then siku chache baadaye, jambo hilo linatokea mpaka huwa nashangaa.
Ukisikia Machale ndio hayo Hapo machalee yamekucheza mkuu
 
Diamond Platinum Nasibu Abdul Juma

Hua anatumia hizi Drugs anapotunga mashahili yake anapofanya Record za Nyimbo zakee

Pia anapopanda kwenye Stages kupiga Show


All all Disition zake anakua Yuko na Stimulation

For my research Kwasababu but sijasibitisha anatumia Drugs Aina gani Marijuana or what

cc Mshana Jr
Hebu fanya tuzipate

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tipic ni nzuri mkuu na pia umenikumbusha kisa cha bondia mike tyson alipotumia psychedelics katika safari yake ya spiritual awakening akajikuta kageuka kuwa chura na anongeea na chura hahaha anasimulia aliogopa sana pale dawa ilipoanza kufanya kazi kiasi cha kutamani iishe mwilini. Upatika aji wa hizo dawa hapa Tz upoje? Kama unafahamu
Mkuu hizi sio fix kwelii 😂😂.
Kuhusu upatikanaji, mtalaam Mk54 kasema kwenye post yake ya kwanza kabisa. Kama bangi ni haramu, hizi drugs itakua haramu Mara 100.
 
Ha ha. Umenikumbusha mbali. Mara ya kwanza kutumia DMT Yaani Ayahuasca. Nililia sana. Nikaona sijawahi kujitendea haki. Sijawahi kuwatendea haki binadamu wengi. Nikaona nilikuwa na EGO kubwa. Niliomba sana msamaha. I forgave my self and others.

Baadae nikaoneshwa kifo changu. Nikawa siamini. Nikahisi Muda wangu nimeutumia vibaya, nime poteza opportunities nyingi kwa uoga.

Guide wangu alipoona naanza kupata hizo effect , akawa anani guide , yaani nikaanza ku Transcendent Beyond the doubt and odds. Mwisho akanileta kwenye Sky, moon and starts; Aisee, nikasema kweli the world has a lot ambayo our naked eyes can not have that glimpse. Nilifanikiwa kuona the glimpse of life itself.

Niliona mambo ambayo i cannot menton here. Baadae ninakumbuka sipaswi kuipoteza hii chance. Nikaomba pen na Karatasi. Kwa kweli my life from that point , I became a new being. It is hard to stay mad.

Hard to explain.
Brother na wewe ni hazina inayotembea.

Carl Sagan ( one of the most respected astrophysicist in America, Feynman wa space science ) ashawai andika article kuhusu bangi, sema kipindi chake na heshima aliokua nayo aliogopa kuifanya public akaamua kuitunza. Ila kwenye io article, aliisifia bangi mwanzo mwisho. Miaka ya hivi karibuni, wameikuta article yake wamebaki kua amazed na mistari kuhusu bangi.

Jitahidi uandike mkuu.
 
It is true; kwa mfano pia, Creativity ya Pharmaceuticals Industry and Medicine Researchers wanategemea sana Hii mimea.
-
Yaani mtu astue kwanza, apate ile Transcendence ndiyo awaze nini cha kufanya. Baadae Mtu anakuja na majibu na kama ni Dawa atakwambia tufanye hivi hii dawa itatibu : na kweli inatibu ; ukimuuliza inafanye kazi vipi?! Atakwambia sijui. Kwasababu wanapata majibu wakiwa kwenye Transcendance Mode. Sasa wakirudi Kwenye Normal Mode, hawezi kupata Majibu. Unless other researchers waje kufanyia kazi ile idea yake na kuitengeneza kisayansi zaidi.

Ndiyo ile unasikia dawa hii inatibu ugonjwa fulani but mechanism is unknown.

Hollywood wengi wanatoa idea za move za kufa mtu wakistua na psychedelic substance. Nyimbo nyingi za kina The Beatles, Bob Marley na wengine ili waandike mashairi ambayo ni more meaningful and spiritual ni lazima kwanza wa transcendent beyond their minds limit.
-
Na hii ndio Sababu nyimbo zao mpaka leo leo still makes sense to this life.
-
The song like Redemption, unaona kabisa Bob was out of his body. The Movie like The Wizard Oz, it has a lot of hidden message juu ya hizi Psychedelic.

The Movie like American Beauty.
-
Siri kubwa ya Steve Jobs, ipo kwenye Psychedelic. Alisafiri hadi India, under spiritual guidance, Job contacted DMT and LSD as a natural plant. He also learned about the Power Within.
-
It is so fascinating
-

Hawa Spirutual Teachers , kama mapadri, wachungaji wenye nguvu, psychedelics ndio siri yao kubwa.

Sent using Jamii Forums mobile app
Umemaliza mkuu!!
Ni vile hizi knowledge zinafichwa sana ndani ya jamii zetu. But to be creative, lazima uwe kwenye transcendence..

Kama vile invention ya lugha ilivo play a huge role kwenye civilization ya binadamu , naamini pia Psychedelic drugs zitaplay a huge role kwenye hii modern civilization. Watu wanahitaji guidance tu on how to use them!!
 
Umemaliza mkuu!!
Ni vile hizi knowledge zinafichwa sana ndani ya jamii zetu. But to be creative, lazima uwe kwenye transcendence..

Kama vile invention ya lugha ilivo play a huge role kwenye civilization ya binadamu , naamini pia Psychedelic drugs zitaplay a huge role kwenye hii modern civilization. Watu wanahitaji guidance tu on how to use them!!
Ukiona ziko exposed sasa tambua wenzetu tayari wameshagundua kitu kipya lakini sio mbaya bado tunazihitaji
 
Hapana ,usifanye hivyo maana hauwezijua breki zako zita shikia wapi.Inaweza kukupeleka kwenda next level tukakukosa.Kuna Watu walikuwa wakitumwa kuwasha Sigara leo ndio zime waua.Achana na hiyo mambo Mkuu.
Very unlikely
 
Ujue kwenye movies hizi vitu vinaongelewa sana

Kuna movie moja nimesahau jina, majamaa walikua wakinywa dawa flani wanakua na akili sana, sema ilikua kwa siri sana ntagoogle iyo movie niwaletee jina

Plus "doctor strange' yule ancient one kila alichokua anaongea ni chakula ya ubongo maana ni kitu kipya

Hawa wazungu wanajua aya sana tofauti na sisi wengi wetu ndio tumejulia hapa kwenye uzi huu
 
Jamaa analikua anataka andika kitabu, amekwama na watu wanasubiria, jamaa yake ndio akampa akamwambia this might help, from there maisha ya mchizi yalibadrika kabisa, kuna sehemu alisema i was blind but now i can see yaaani iyo pill ni version na mada hii kabisa
images.jpg
images%20(1).jpg
 
Mkuu ,hapa panahitaji msaada kwa sababu walio athirika ni wengi.Ipi ni njia sahihi na salama ya kuondoa athari kwa Mtu alie tumia mmea (Bangi) kwa muda mrefu !?.

Msaada mwingine; kwa wale ambao bado wana endelea kutumia hii kitu una wassaidiaje ili kupunguza athari zaidi !?.

Wanasema kinacho muua Mtu ni kile akipendacho ,unapo maliza kuvuta utumie nini kupunguza Sumu !?.

Nna tangulisha Shukrani Mkuu Mk54

Njia pekee ya kuacha matumizi ya Bangi ni kuamua. Just decide.

Charity begins at Home. You need to decide kwanza.

Halafu Bangi haina shida kuacha au kupunguza thought unaweza kupata ile waanaita withdraw syndrome kwa kipindi kifupi tu.

Ingekuwa anatumia Hard drugs like Cocaine au Heroin ningesema hapo anahitaji msaada wa dhati . Maana hard drugs addiction yake ni kubwa sana na kama hawajakuwahi ndio Safari.
-
Kwa kuwa zile ni Devil in the chemical form, Mimi mwenyewe nilikuwa nalazimika kuwapa hao addicts Morphine Injection ambayo ni strongly controlled drug ili watulie na ukikutwa nayo na DCEA lazima ufanywe mfano
-
. Hii ilikuwa ni kinyume na taratibu za kazi but sometimes as a human nilikuwa nafeel their pain. Yaani akiwa « Arosto » mwili wake unakuwa na maumivu makali mnooo as if anachunwa ngozi.

He feels so much pain na viungo vyake vina kakamaaa ; the only way ili atulie ni apate Cocaine au Heroin. It is so painful to see the truth man . So ukimchoma Morphine Injection like one Vial, he will kiss your ass na atakuona wewe ndio Mungu wake.

My point , kuacha bangi ni sawa na kutoa unywele kwenye maziwa despite of some withdrawa syndrome ambazo zinavumilika na huisha permanently.

2. Read the below
 
Mkuu ,hapa panahitaji msaada kwa sababu walio athirika ni wengi.Ipi ni njia sahihi na salama ya kuondoa athari kwa Mtu alie tumia mmea (Bangi) kwa muda mrefu !?.

Msaada mwingine; kwa wale ambao bado wana endelea kutumia hii kitu una wassaidiaje ili kupunguza athari zaidi !?.

Wanasema kinacho muua Mtu ni kile akipendacho ,unapo maliza kuvuta utumie nini kupunguza Sumu !?.

Nna tangulisha Shukrani Mkuu Mk54


Tumeona kuwa Kuacha Bangi inahitaji MIND SET Tu. Tho, utakuwa unapata message nyingi in your brain ambazo zinakupush ukavute; unachotakiwa kufanya ni kuzi ignore like you can check movie, jogging , go to worship , talk to friends , sleeping , having sex with Sweetheart.

unaweza kupata insomnia yaani kukosa usingizi Just drink fresh milks , weka mazingira bora ya kulala. Ndani ya week ukiweza kupigana na hizo sms .... you are done.

However, to speed up the process:

1. Tumia Juice ya Fresh leaves za Mint. Unaweza kutengenezea chai yake au ukasaga Juice yake. Only Mint, no majani mengine. Inapendeza Uki mix na Lemon . Make sure unaweka majani ya mint mengi Na Lemon . This is really good

2. Rosemary leaves , Juice yake pia

3. Tarragon leaves - Juice yake

4. Sniffing Jasmine Yaani ule mmea wa Jasmine unaenda kuvuta harufu yake like unavuta kwa ndani and you hold the breath, baadae unaachia breath slow but sure (bid) yaani Mara mbili kwa siku asubuhi na jioni.

5 . Jogging ( kutroti) kila wiki end

6. Coriander leaves- Juice yake
7. Maintain your diet hasa salade na matunda.
8. Make sure unakaa Muda mrefu bila kuvuta like ulikuwa unavuta kila wiki, then try kukaa miezi 3 bila kuvuta huku ukifanya detox kwa mujibu hapo juu. then extend 6 months , then 12 months ......
-

Kwa anaetaka kupunguza kuvuta nae atafuata the same Utaratibu wa detox
-
Ifahamike kwamba hizo detox hapo juu ni kwa wale ambao huvuta Bangi for Recreational.

I don’t have any side effect ya Bangi zaidi imenifanya kuwa mahiri na mchunguzi wa hali ya juu, intuition yangu i admire.

Kwa asilimia kubwa i can see my direction in this life . Ukishatumia mmea unaamka kutoka usingizini. Na hiyo awaken ni infinity , permanent joy.... sasa why do you have to smoke every day wakati umeshaamka kutoka katika hypnotized state of mind.

Hizi mimea ni divine plants na zipo kwa sababu MAALUMU , sio UREMBO wa ardhi bali zimewekwa kwa sababu za msingi sana.

Ukianza kuzi abuse, zinachukia na hasira zake ni kubwa. Ndiyo hizo side effects.

Mimea hii inapenda heshima na nidhamu.... ukiiheshimu nayo itakuheshimu sana
na itakuonesha njia sahihi ya kuwa unachotaka kwa kukufungulia milango.
 
Back
Top Bottom