Psychedelic Drugs & Consciousness

Weed is not a psychedelic drug because it doesn't recreate new connections in the brain the way psychedelics do.
But people are stil debating whether its a psychedelic or not, kwa sababu kwa baadhi ya watu wanaamini wamepata psychedelic experiences, wakati wengine wanaoppose.

So you might still be right kwa sababu nobody has ever proven about this argument.
 
IMG_4089.jpg
 
San Pedro ambayo ni jamii ya katani inakutembeza bila shida.
Psychedelic trip yenye spiritual uplifting kabisa or hallucinations bro

EDIT: Nimejaribu kupitia kidogo, hii ni psychedelic pia. Na kuna baadhi ya jamii wameitumia katika traditional ceremonies. Ingawa inashauriwa kama una historia ya mental illness usijaribu kwa sababu itakupa bad trips. Kudos mkuu
 
But people are stil debating whether its a psychedelic or not, kwa sababu kwa baadhi ya watu wanaamini wamepata psychedelic experiences, wakati wengine wanaoppose. So you might still be right kwa sababu nobody has ever proven about this argument.

Bangi inakupa hallucinogenic experience tuu ya kuwa high (heightening your senses) lakini haikupi permanent change kwenye ubongo wako.

Hizi psychedelics zinachofanya pale zinapoingia ubongoni, zinapunguza mtiririko wa information kupita sehemu zile zilizo zoeleka, kwa kupunguza kiasi cha damu kwenda sehemu hizo. Na hivyo kuufanya ubongo kutengeneza njia nyingine mpya (plasticity) za mawasiliano. Yaani ubongo wako unawekwa kwenye reset mode (natural state), unakuwa na ubongo kama wa mtoto vile.

Ndiyo maana watu waliokuwa na PTSD wakipata dozi moja tuu, wanaacha. Mlevi wa pombe akipata gram zake za uyoga ladha ya pombe inaisha kabisa. Bangi na dawa zote za maabara kama vile adderall, haziwezi fanya hivyo, na hii ndiyo sababu kuu ya psychedelics kuwekwa kwenye schedule 1, zitaua biashara za watu.
 
Mkuu vipi kuhusu dosage, maandalizi na consumption. Kwa sababu nimeifuatilia nimeona ina spiritual benefits kubwa..
kama kweli unataka kutumia hivi vitu bila ya wataalamu (shaman), ni bora ufanye microdosing. Yaani unatumia dozi ndogo sana ( 10% ya ile dozi ya kukufanya utembee) ambayo haikutembezi ila bado inakuwa inatengeneza ile plasticity kwenye ubongo wako taratibu.

Watu wengi sana kama ma CEO kule silicon valley wanafanya microdosing kwaajili ya creativity.
 
Kwan kuna tofauti gan kati ya meditation na yoga?mi najua yoga ni form of meditation...anyway drugs kali ni roofies,LSD,DMT ila kuzipata sasa hapa bongo..labda utapata za kawaida tu na zenyewe mpaka ufoji kuwa na magonjwa ya akili utapata vibali vya kuyanunua kwenye pharmacy kubwa
 
kama kweli unataka kutumia hivi vitu bila ya wataalamu (shaman), ni bora ufanye microdosing. Yaani unatumia dosi ndogo sana ( 10% ya ile dosi ya kukufanya utembee) ambayo haikutembezi ila bado inakuwa inatengeneza ile plasticity kwenye ubongo yako taratibu. Watu wengi sana kule silicon valley wanafanya microdosing kwaajili ya creativity.
Ni kweli mkuu nimeona hata baadhi ya watu online wanashauri sana kuhusu hili, kwa sababu inasaidia kupunguza risk ya bad trip. Asante mkuu.

Huu mmea nauona sana nje ya mji nikiendaga weekend kunyoosha miguu. Nitajaribu kuuandaa nipate benefits kwa sababu kuna mengi natazamia kuyapata kutoka kwenye mmea huu...
 
Jinsi ya kutumia huo mmea wenye DMT inautaalam wake kaka. Inapendeza haya mambo yafanyike chini ya Guidance.
-
Maandalizi yake ni lazima DMT ichanganywe na majani yaliyo na Monoamine Oxidase Inhibitor.
-
Kimsingi ndani ya stomach zetu kuna enzymes inaitwa Monoamine Oxidase ambapo ukitumia huo mmea wa DMT unaenda kuwa deactivated na hiyo enzymes so haupati effect yoyote.
-
Ili kuistopisha hiyo enzymes ya tumboni ni lazima utumie Inhibitor ya hiyo enzymes ambayo ni Monoamine Oxidase Inhibitor kwa Hapo Tanzania inapatikana Kwenye majani ya Tumbaku yale majani mabichi utachanganya na majani ya mmea DMT, then yanachemshwa. Maeneo ya Asia na America walikuwa wanatumia kwa ku Smoke. Uki smoke inapitia Kwenye respiratory system to blood vessels then to brain inaenda ku create hiyo hallucinogenic effect. The best way to get DMT ni kuianda kama Mbege.
-
I don’t recommend yeyote kujaribu hili kwasababu kila kitu kina hitaji guidance: na hapa hatufundishi watu kutumia Psychedic drugs, tuna share taaluma na experience. Kwanza hata kama ukitaka kutumia, where are you going to source those plants, lol.? Ninachojua mimi ni wahindi na wasomali hapo Dar ndio mara nyingi wanakuwa na hii mimea nadhani wanatoa kwao. Wanatumia sana hizi mambo kwa imani zao.
-
Uvutaji wa Bangi ungekuwa unafanywa chini ya guidance , tungekuwa na vijana wenye kujitambua wengi sana na sio wahuni.
-
Nilianza kuvuta Bangi nikiwa Ufaransa chini ya uangalizi wa Professor wangu ambapo tulikuwa zaid ya watu 6, mataifa mbalimbali.
-
Kwenye Backyard yake kuna mimea michache ya bangi, tulichuma nae pamoja ile raw kabisa, yeye ndio aka determine dose yetu ku smoke, na kuna masharti mengi mengi tulipitia kiafya, kichakula na kimwili na kisaikoloji. It was a part of our field studying.
-
It helped us a lot, thanks to him. It uncovered a lot of irregularities in this life.
-
Je Vijana wanaovuta hii mimea kwa TZ, wanazingatia misingi na kanuni? Matokeo yake wanapotea.
-
Mtu anavuta Bangi kuondoka STRESS, that is BS, stress haziwezi kwisha for as long as you are alive.

Njia pekee ya kuondoa Stress ni KUFA.
-
Chochote lazima kifanywe chini ya Utaalam wa technical personnel.nina almost 5 years kama sikosei sijavuta Bangi, but I know I Smoke. Na ukiniona hivi live, unaweza kusema nina Danganya watu kuwa navuta bangi.
-
Huwezi kunijua Sababu nina ethics zote za utumiaji wa mimea na sijawahi kupata any side effects badala yake sijawahi kuumwa ugonjwa wowote.

I just enjoyed for the first time nilipoungana na jamii ya shaman huko Amazon, chini ya Uangalizi wa mzee Bob, nilitumia Ayahuasca, nikaomba peni na papers, nilitumia like 24 papers ndani ya masaa 2, niliyoaandika waliyatoa photocopy na wakaenda kuyatumia maandishi yangu Kwenye Research zao za medical field .
-
It is one of the best experience I had in my life and I feel very much blessed to be an Instrument of the nature in this mundane world.
Mimi natoa warning tu jamani hapa Nendeni polepole...Men at work..Construction inandendelea
 
I Agree. Wakati nipo TZ, kuna rafiki yangu alikuwa addicted na Cocaine , yeye alikuwa akisoma medicine pale MUHAS.

By the time nimerudi TZ, naambiwa bana jamaa kawa Teja. Nilistuka sana.

Nikamfuatilia nikaambiwa yupo methadone center fulani hapo Dar.

Nilikuwa najua watu wote wa Methadone.

Asubuhi yake nikamkuta kweli, kumuona akastuka, akataka kunikwepa. Nilimwambia nimekuja kwa ajili yako.

Baada ya kumeza ile solution yake , nikaondoka nae .

Nilimfanyia Consultation ya maana. Nikamwambia nataka uache kwenda methadone for a week, you have to trust me.

Yeye akawa anaogopa kuacha maana uki miss siku tu jamaa wanaweza kukutema kabisa. Ni lazima kila siku uende na usaini kuwa umekunywa methadone.

Akanielewa, nilikuwa na Ayahuasca yenye DMT na MAOI from overseas na kwakua I came for Special task maramoja.

Nikamuanzishia the smallest dose kwa interval ya siku tatu tatu. Ndani ya wiki mbili nikapunguza dose ya chini kabisa then nikastop.

Nikamwambia vipi,do you still need methadone ? Baada ya wiki nikahakisha Ayahuasca imetoka kabisa ndani ya mwili wake, nikamwambia nenda Center waambie hutaki tena Methadone Sababu wewe sio teja teja and you are fine now .

Alipoenda wakampima pima. Wakamuuliza mda gani hujatumia methadone akasema wiki tatu, wakamwabia ili uache unatakiwa kuja kila siku hapa kwa Muda wa siku 14. Bila ya kutumia chochote ili tufanye observation.

Jamaa akaanza hiyo safari. Na alibadilika, akawa anafanya mazoezi asubuh na jioni.akawa anachomekea looked very smart.

Jamaa wakaprove huyu kapona without knowing how could that be so quickly.

Wakamuomba afanye kazi pale ya kushauri wengine na awe kama mfano.

Nikamwambia NO, rudi shule kasome.

Akabadili na Course. Akasoma Accountant pale Uhasibu maana MUHAS walishamtimua.

now anafanya kazi moja ya Bank kubwa TZ kama Afisa, na alinisaidia sana Kwenye biashara zangu wakati nilipokuwa nahitaji huduma ya kibenk.

amekuwa ni Mtu wa Mungu full maushauri kwa watu na anaonekana he is very bright.

This is true story I am telling kwa hakika.
Always nashauri Culture Conditions ime create condition kubwa snaa kwa uwezo wa maisha yetu. Imemaliza uwezo wa kufikiri na kutuaminisha kuwa mazuri ni kwa wenzetu tu . Na kama huna great endeavors hatuwezi kutoka katika hiyo enslavement ya tamaduni zetu. Funguo ya break our limitations created by culture conditions tunazo, ni namna ya kutumia funguo ndio inahitajika.


Wengi wanakufa na inner secrets zao bila ya kuzi reveal. That is the worst part . Yaani watu wapo duniani kama
Mizoga waiting for their deaths.

Unaamka asubuhi, una enda haja kubwa na ndogo, you take shower, unaingia kwa IST yako , you go to work . Unakunywa chai , unamaliza kazi , una rudi home. Unalala. Asubuhi unaanza cycle ile ile.

Jmosi utaenda church au msikitini. That is our cycle till death.
Narudia tena...the road is under construction,,,nendeni taratibu
 
Kwan kuna tofauti gan kati ya meditation na yoga?mi najua yoga ni form of meditation...anyway drugs kali ni roofies,LSD,DMT ila kuzipata sasa hapa bongo..labda utapata za kawaida tu na zenyewe mpaka ufoji kuwa na magonjwa ya akili utapata vibali vya kuyanunua kwenye pharmacy kubwa

Hakuna Pharmacy kubwa yoyote TZ inayoruhusiwa kuuza au kununua any kind of mind altering drugs.

Mnunuzi mkuu wa hizo Dawa under special permit ya TMDA ni Bohari kuu ya Dawa yaani Medical Stores Department ( MSD) .

Pia, LSD, DMT hazina any medical uses kwa mujibu wa WHO na Wizara ya Afya Maendeleo ya Jamii,Jinsia, Wazee na Watoto.

Dawa zinazonunuliwa kwa special permit ambazo kimsingi zinakuwa abused ni pamoja na Morphine, Ketamine, Pethidine, Fentanyl , Halothane( The Gas), methadone ambazo mnunuzi ni Bohari Kuu ya Dawa kwa mujibu wa Sheria ya JMT na ndio wanaweza kuiba huko mahospitali to experience the partial Transcendence.

In fact these are not psychedelic drugs. Psych means Mind, delic means to reveal your inner secret. In fact You hold something you don’t know, and no one will tell you, you have to find it by yourself. Some people have been helped by Psychedelic plants to find their inner truths.

The best way you can be , is to learn how to use Psychedelic Plants for special purpose.

The only way to withdraw a person from hard drugs is to subject that person into Psychedelic course. This has been a hidden secrets to keep the business of hard drugs alive.

Most of the DMT, LSD in developing countries are laboratory made which makes it worse. The lab made does not even dissolve your little ego.

Only natural and raw plants containing DMT, LSD , Psilocybin is the best way to approach if you have guidance. In addition to that, These plants dissolve your little ego; you had a very good heart and mind to all humans when you were around 0-5 years old. Untill the culture came to distort your minds, teach you how to Judge and discriminate people, think you are better than others, thinking your faith will lead you to heaven, others are misguided, making things less than one or greater than one while we are one.

But remember you are worms food , just a matter of time; A lot of micro organisms are waiting for you on your deathbed. They will destroy your flesh to bones, making you smell fishy and horrible. Think about it .

In view of the above , you therefore need something to make you remember who you are, and make you realize that you have lost your true God given mind. Find it.

I love kids, because they truly live the life, and they have true love until Mind distortation takes place .

Knowledge makes you unfit to be slave, honey.

no one is at any work as you said.

Open your mind to learn new things, the world has a lot to offer than what you have been enslaved to believe.
 
Back
Top Bottom