tilmikha
JF-Expert Member
- Feb 27, 2013
- 496
- 604
I quote you very well everything is poison just an appropriate quantity make it not.Roger that, I agree with you. Ukisoma vyema post zangu utaona nimesisitiza sana under guidance.
Hata Mimi I spent 4 weeks and half in Amazon kuwa trained to understand the ultimate divine nature of these psychedelic plants.
Leo hii, mmea common Tu kama Bangi, ni dawa ya magonjwa mengi sana na hutumika sana katika spiritual transcendence beyond all odds, lakini je wangapi wanajua namna ya kutumia bangi, na je unajua unapaswa kutumia kitu gani baada ya ku Smoke Bangi ili kusafisha moshi and after effect.
Hii ndio shida ya vijana wetu wanafanya vitu bila maarifa. Nikikwambia 90% ya politicians Hapo TZ na nchi nyingine wanatumia mmea na mimea Hii , can you believe that.
Bahati mbaya hapa ni social media.
Mmasai anakula nyama everyday, but husikii ana kidney failure, blood pressure etc etc? Lakini ukirudi kwa wachaga wenzangu wengi ni ma pressure, kidney, matatizo ya miguu, hii ni kwa sababu wanapenda kula
Nyama but hawajui kuipika nyama kutoa toxic zote kwanza.
Wamasai wanapenda nyama na wanajua kuitengeneza ili kutoa sumu zote na odds.
Kila kitu ni guidance kaka. Haya mambo hayajawekwa kwa bahati mbaya .