OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 49,389
- 104,519
Hii ni bodi ya Wataalamu Manunuzi na Ugavi. Imeshindwa kutoa matokeo ya mitihani ya watahiniwa tangu mwaka jana mpaka jana. Ikiwa ni mitihani ya vikao vitatu mfululizo yaani Agosti na November 2020 na Juni 2021.
Wameshindwa kwa sababu Rais hajateua mwenyekiti wa bodi ambaye kisheria yeye na bodi yake ndio wanaidhinisha matokeo. What a shame to the appointing authority.
Yaani rais amepata muda mpaka kuteua mkuu wa wilaya ambaye wilaya inaweza kufanya kila kitu bila yeye, lakini akaona sio kitu kuteua mwenyekiti wa professional body ambayo imeshindwa kutoa matokeo ya mitihani kwa sababu yake.
Bongo Bahati mbaya sana.