Ngalikihinja
JF-Expert Member
- Sep 1, 2009
- 34,637
- 38,018
Mashirika hayo ya umma yanaongoza kwa udini...huku serikali ikiwa kimya....je hii ni sawa kweli? Ukiomba kazi kama jina lako sio john au magdalena hupati kazi hapo...tunaomba serikali ilifanyie kazi suala hili................
Angalia kwenye ngazi ya elimu.... msio akina Magdalena au John taasisi zenu zina vyuo vikuu vingapo? Sekondari za kueleweka ngapi?