Protocol za Makamu wa Rais Mteule

Protocol za Makamu wa Rais Mteule

Nilipomuona last time ulinzi wake,( na magari) ulikuwa very light-hearted.
Lakini it is unnatural' kuuliza mtu ana walinzi wangapi.
Do you want to harm him?
Huyu alikua tishio hata kwa magu ndo maana magu alimtupaubaloxini mbali huko.
Hata mama awe makini hata hiyo mi tano tena sijuiii.......
Naomba niishie hapo
 
Uchaguzi bado lakini tayari dola inamchukulia kama ni makamu wa Rais, sababu kwa vyovyote vike CCM lazima washinde.
.hii nchi aisee.
 
Ulizia na ile ofisi ambayo haipo kikatiba na haima tija yoyote na ni mzigo kwa walipakodi inaitwa naibu waziri mkuu.
 
Tanzania Vituko Tupu, Yule Baba Yupo Wa Zanka Ila Fitna Imepigwa Eti Kachoka
Huyu Wa Nyasa Naye Muda Wa Kupewa Hadhi Ya Uteule Bado
Maana Bunge Linapumua Hata Kuvunjwa Bado
Inaonekana wewe' ni kijana wa Dodoma, Hadi Zanka unaijua
 
Unaulizia Cheo cha Makamu Amiri Jeshi mkuu!!??


Mzee wangu angekuwepo Wenda angefurahi MH.ENL
 
Inaonekana wewe' ni kijana wa Dodoma, Hadi Zanka unaijua
Mkuu
Siyo Lazima Uishi Dodoma
Nchi Hii Ni Yetu Sote Tunatembea
Anzia Jeshini Mpaka Arusha Tunapita
Tunajua
Kyerwa , Mulongo Nipo Hapa
 
Back
Top Bottom