Protase Rugambwa: Askofu Mwandamizi Anayeripoti Kituo chake cha Kazi Jimboni Tabora 25 Juni 2023

Huenda uko sahihi, but usahihi wako ni kwa kutokujua

Nafasi za uongozi nyingi ROMA, ni miaka 10, then unapewa majukumu mengine

Pia askofu wa Tabora anaweza kufa muda wowote, kwa hali aliyonayo. Hivyo utaratibu wa kanisa ni kumuandaa mrithi mapema

Hapo awali ilisubiriwa hadi askofu afe au astaafu ndipo mwingine ateuliwe. Lakini kwa sasa, kanisa linaziba ufa huo mapema ili kusiwe na ukosefu wa huduma za kiaskofu jimboni
Ruzoka anaumwa nini hadi akaribie kufa?
 
Ukisikisikia makachero wabobevu wa kimataifa,ndiyo hao sasa,halafu mtu anataka kulibeza kanisa katoliki,thubutu uone.Lipo kila mahali,likitenda kazi yake mchana na usiku,popote pale,kuanzia kitongojini hadi levo ya dunia.
Jamaa ni noma sana, kukubalika namna hiyo sio mchezo
 
NIONYESHE mahali panaposema askofu wa Katoliki akizeeka wanamtoa kumwahi kabla ya kufa

Na unionyeshe mahala panaposema nafasi za uongozi Vatican ni miaka kumi kumi

Ili tujue kwamba kweli taratibu zimefuatwa kumrudishwa Rugambwa kwao alikotokea

Unajua Mwafrika unaweza kumfurusha mahala na asijue wala asijiulize kwa nini kafurushwa.... hahahahaaaaa...... wanadhani wanapendwaaaaa na mzungu.... mataifa mengine wanahoji kila kitu na haki zao na maslahi yao. Mwafrika kalala zzzziiiiiiiii..... Vatican City na Tabora Dayosisi wapi na wapi !!!!!
Time will tell (itunze hii)
 
Hapana. Yule Rugambwa wa kwanza ni Mhaya wa wilaya ya Bukoba, huyu Rugambwa wa Pili ni Mnyambo wa wilaya ya Karagwe
π™·πšŠπš πšŠ 𝚠𝚊𝚝𝚊𝚠𝚊 𝚜𝚊𝚊 πš—πš’πš’πš—πšπš’πš—πšŽ πš‘πšžπš πšŠ πš πšŠπš—πšŠπšŒπš‘πšŠπšπšžπšŠ πš–πšŠπš“πš’πš—πšŠ 𝚒𝚊 𝚞𝚝𝚊𝚠𝚊
 
Time will tell (itunze hii)
espy umeona nilichosema! Sasa ni kadinali rasmi
0fd222f0-4477-46af-95ae-45f334078d60.jpeg
 
Back
Top Bottom