Proper recording: Nini kilimbadili Mzee Mwanakijiji?

Proper recording: Nini kilimbadili Mzee Mwanakijiji?

MMK Sema na hapa mzee wa kuruka vihunzi.haya alisema nani?


"..Hofu yangu ni kuwa kama Chadema inataka kuendelea kuwa "wafunuaji wa ufisadi" inatakiwa iendelee kuwa upinzani na siyo utawala.
Kama inataka kuwa mtawala ni lazima ianze kufikiria katika fikra za mtawala mtarajiwa. Maana yake ni kuwa ianze kuchukua vitendo vya kiharakati na mkakati kuonesha kuwa iko makini katika vita hii dhidi ya ufisadi. Haitoshi kuitisha vyombo vya habari kutuelezea ufisadi zaidi au kusimama na kutuambia habari za "panya" walioko kwenye halmashauri mbalimbali. Karibu kila Mtanzania anayejua kusoma na kuandika sasa hivi anajua kabisa kina na upana wa vitendo vya ufisadi
..."ref KUTOKAHAPA pg 25.

Mheshimiwa unatakiwa pia uandike responsibly bana sio kunywa responsibly tuu.

kipi siyo cha kweli katika hiyo kauli?
 
Walipata Uspika au Uwaziri Mkuu?

Unakwepa nini hapa:Jibu swali kama Ni kauli ya CDM au yako?.walitangaza wanagombea hizo nafasi at first place?Au ni imani yako?.Si ulikuwa ukimlalamikia Jmushi1 kuwa kasema fikra zake na si maneno yako?Unataka kuwa na double standards.Wewe kila sababu unayoona itakusaidia unarukia tuu hata kama inapingana na sabu ya mwanzo au behaviour yako?
 
kipi siyo cha kweli katika hiyo kauli?

kisicho cha kweli ni wewe kukataa pale Jmushi1 alipokuambia kuwa una downplay ufisadi. Vipi ulikuwa hukumbuki flow ya discussion?sasa utakumbuka vipi ulivyoandika miaka kadhaa?Mbona unaanza tuonyesha kuwa kanjanja ndugu yangu?Au mission uliyopewa ni kubwa kuliko uwezo wako?Au ndio ile staili yakusoma chuo bila kumaliza?Mimi sipendi rukwa checklist yangu,nimekuvumilia sana uanvyoruka na kutaka toka ktk topic.Hizo accusations kwa wenzio wanapokubana hembu jikaze uzitoe haraka.

NB:Nasikitika sana kwa blank cheque uliyopewa kupotosha watu humu ndani na nchini.This is a proof kuwa ninahitaji piga tena kelele kuwa hatuhitaji masuperstar ktk jukwaa la fikra ktk nchi hii,kila mtu anahitaji thibitisha asemacho hapo hapo na haruhusiwi mnyamazisha mwingine kwa kelele au kwa jina.
 
k
NB:Nasikitika sana kwa blank cheque uliyopewa kupotosha watu humu ndani na nchini.This is a proof kuwa ninahitaji piga tena kelele kuwa hatuhitaji masuperstar ktk jukwaa la fikra ktk nchi hii,kila mtu anahitaji thibitisha asemacho hapo hapo na haruhusiwi mnyamazisha mwingine kwa kelele au kwa jina.

NI wazi kuwa uelewa wako wa ninachokisema unakupa shida. Ufisadi ni ufisadi na hauwezi kuondolewa na watu wasio na mkakati wa kufanya hivyo. Unafikiri kuwa ufisadi utaondolewa kwa kuchagua CDM tu? au kwa kusubiri wakiingia madarakani ndio tuwaulize watafanya nini kupigana na ufisadi? Hivi wewe ukiulizwa umefanya nini kupigana na ufisadi? Kweli unaweza kufikiria nimedownplay ufisadi? nani aliyefichua ufisadi wa Air Tanzania kununua dege bovu la Airbus 320? Nani aliyefichua mamluki wa Afrika ya Kusini walioingia kupitia Meremeta? Ufisadi wa Bodi ya Mikopo ulifichuliwa na nani? Unaweza hata kulinganisha kimoja ulichofanya wewe au Mushi kushindana na ufisadi na hivyo vitatu tu nilivyovisema?
 
Wakuu naomba nisamehewe maana najua si sahihi hata kidogo kujadili watu lakini kwa hili nafsi imezidiwa nguvu, nimeona nifanye hivyo.

Kwanza nianze kukiri mapema kabisa Mzee Mwanakijiji japo simfahamu na hatujawahi kuonana ni mentor wangu na kwa kiasi kikubwa amenijenga katika ujenzi wa hoja na upanuzi wa uelewa wa masuala mbalimbali.

Nimekuwa nikifuatilia kila anachoandika humu JF na kwenye machapisho mbalimbali kuanzia magazeti ya Tanzania Daima, Mwanahalisi (Mungu asaidie lirudi maana nimeugua kwa kulikosa),Majarida ya Cheche, Kitabu cha Majeruhi wa Mapenzi na mara kadhaa nimeelezwa majina kama Lula Ndali Mwananzela yanayotumiwa kwenye magazeti ya Raia Mwema na Mwananchi ni yeye.Sina hakika katika hili la mwisho.


Hakika nimekuwa sikosi maandiko yake.Nimekuwa nikihangaika sana kuhakikisha sipitwi na anachoandika. Kila Jumatano nimekuwa nikinunua magazeti ya Tanz. Daima, Raia Mwema na Mwanahalisi na Jumapili nimekuwa siachi kununua gazeti la Mwananchi kwa sababu yake. Ninapokosa makala zake nimekuwa naumia sana.

Lakini katika upekuzi wangu humu Jamii Forums (Enzi hizo Jambo Forums) nimekumbana naThread iliyonishtua ya Mh. Freeman Aikael Mbowe (Mwenyekiti wa CDM) aliyoipost JF mwaka 2006 yenye kichwa cha ‘The OnlyThing We Have To Fear……’ mara baada ya kushindwa kwenye uchaguzi wa mkuu mwaka 2005.

Uzi huo wa Mh. Mbowe ambao ni wa kwanza na wa mwisho kwake unaweza kuusoma hapa https://www.jamiiforums.com/jamii-intelligence/947-the-only-thing-we-have-to-fear.html

Kilichonishtua si Mbowe kupost thread JF, la hasha, ni msimamo aliokua nao Mzee Mwanakijiji dhidi ya upinzani na mageuzi kwa ujumla nchini. Katika kuchangia thread hii pamoja na akina Kitila Mkumbo, Mkandara, Nyani Ngabu, John Mnyika kujitahidi kumuelewesha MMM bado alikuwa na msimamo hasi dhidi ya upinzani na ama kwa hakika alikuwa ‘Real pro-CCM’ na naweza kudiriki kusema aliuona upinzani kama uliopoteza dira na usio na uwezo wa kuleta mabadiliko na kuaminiwa na wananchi.Niko tayari kukosolewa.

Moja ya nukuu ya MM kwenye mjadala huo ni hii
“
Lazima tuwaone viongozi hawa wakiongoza ndipo tutavutiwa navyama vyao!! Nilikuwa nakiheshimu Chadema sana, lakini baada ya kampeni zamwaka jana na hadi leo wamenikatisha tamaa!! Sasa naanza kukiangalia kwa karibuCUF huku moyo wangu bado uko CCM!!
“

Kwenye thread hiyo, MM aliitetea CCM dhidi ya maovu yote iliyokuwa ikitupiwa na wapinzani. MM alisimama kidete kupinga madai ya CCM kununua shahada za kupigia kura, kuwanunua viongozi wa upinzani, matumizi makubwa ya nguvu za dola dhidi ya upinzani nk. nk.

Hakika ukitazama michango ya MMM kwenye thread hiyo ya F. Mbowe hasa jinsi alivyokuwa supporter mzuri wa CCM na kuuponda upinzani na harakati za mageuzi huwezi kuamini nini hasa kilitokea Mzee Mwanakijiji akabadilika na kuwa huyu ninayemsoma leo.I mean kuwa against na CCM na doings zake zote.

Wazo moja lililonijia ni labda pengine MM alikuwa anapata maslahi fulani manono kutoka CCM na ndiyo yaliyokuwa yanamuweka kwenye huo msimamo hasi dhidi yamabadiliko na sasa maslahi hayo hayapati tena, yamezibwa na ndiyo sababau ya yeye kubadilika. Vinginevyo nini hasa kilimbadili Mzee Mwanakijiji?

Bongo Bingo.
 
NI wazi kuwa uelewa wako wa ninachokisema unakupa shida. Ufisadi ni ufisadi na hauwezi kuondolewa na watu wasio na mkakati wa kufanya hivyo. Unafikiri kuwa ufisadi utaondolewa kwa kuchagua CDM tu? au kwa kusubiri wakiingia madarakani ndio tuwaulize watafanya nini kupigana na ufisadi? Hivi wewe ukiulizwa umefanya nini kupigana na ufisadi? Kweli unaweza kufikiria nimedownplay ufisadi? nani aliyefichua ufisadi wa Air Tanzania kununua dege bovu la Airbus 320? Nani aliyefichua mamluki wa Afrika ya Kusini walioingia kupitia Meremeta? Ufisadi wa Bodi ya Mikopo ulifichuliwa na nani? Unaweza hata kulinganisha kimoja ulichofanya wewe au Mushi kushindana na ufisadi na hivyo vitatu tu nilivyovisema?

Acha utoto.hapa si suala la nani kafichua?hapa ni jinsi gani unalipa uzito suala la ufisadi na CDM hawa ja claim kuwa wao tuu ndio wana haki ya kupinga hilo.Naomba ujibu post zangu 4 za mwisho.usilete ukangaroo hapa.Kuna moja nimekuandikia kabisa usiiruke.Huku kukimbilia nje ni dalili kuwa huna malengo unataka achieve nini wala hujui unachoongea kama si kazi yako kupotosha watu.
 
Acha utoto.hapa si suala la nani kafichua?hapa ni jinsi gani unalipa uzito suala la ufisadi na CDM hawa ja claim kuwa wao tuu ndio wana haki ya kupinga hilo.Naomba ujibu post zangu 4 za mwisho.usilete ukangaroo hapa.Kuna moja nimekuandikia kabisa usiiruke.Huku kukimbilia nje ni dalili kuwa huna malengo unataka achieve nini wala hujui unachoongea kama si kazi yako kupotosha watu.

ala.. utoto ni upi sasa kama siyo wendawazimu huu; kuna namna ya kulipa uzito suala la ufisadi zaidi ya kuufichua na kuhakikisha watu wanawajibishwa? wewe unalipa vipi uzito suala la ufisadi? kuuchukia moyoni?
 
1.
ala.. utoto ni upi sasa kama siyo wendawazimu huu; kuna namna ya kulipa uzito suala la ufisadi zaidi ya kuufichua na kuhakikisha watu wanawajibishwa? wewe unalipa vipi uzito suala la ufisadi? kuuchukia moyoni?

Sidhani kama kukataa kuwa ufisadi unaweza halalisha serikali kupigwa chini ndio umelipa uzito.
Utoto hujauona?Umeulizwa nini na unajibu nini?
Kwanza jibu haya maswali:Unatia kichefuchefu na kuruka ruka.Tunahitaji sikiliza debate live huku ya waliokupa hifadhi wanavyowapima viongozi wao.hakuna hata kusoma na kuandika kama huku:
2.
Mzee Mwanakijiji naamini umeshasikia sana hii phrase "drink responsibly"? umeshawahi jiuliza km inaweza kuwa "write responsibly"?.Holywood huwa pia wana "...act responsibly.." kwa nia ya kulinda maslahi na image ya USA superior culture.

3.
Wakati unataka escape kwa kudai kuwa si maneno yako...kabla ya kuletewa maneno yako yakiizodoa CDM kuwa imeegeme kashfa ya ufisadi.Hembu tunagalia unachofanya ktk article nyingine.Hapa chini kwenye ile KUTOKAHAPA yako

"......Hata hivyo mfumo wetu wa kisiasa ulivyo sasa umetengeneza mazingira mazuri kabisa ya Chadema kuweza kufanya vizuri katika nafasi zote mbili. Kinyume na wale wanaoamini ni muhimu kuongeza idadi ya wabunge ili "kuimarisha ubunge upinzani" mimi ninaamini kama Chadema inataka kuwa na wabunge wengi siyo kwa ajili ya kuongeza 'upinzani Bungeni' bali ni kwa ajili ya kuweza kushika nafasi mbili muhimu sana. Uwaziri Mkuu na Spika wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania...".

Hapa kwenye red palikuwa maneno ya CDM au yako?
4.
MMK Sema na hapa mzee wa kuruka vihunzi.haya alisema nani?


"..Hofu yangu ni kuwa kama Chadema inataka kuendelea kuwa "wafunuaji wa ufisadi" inatakiwa iendelee kuwa upinzani na siyo utawala.
Kama inataka kuwa mtawala ni lazima ianze kufikiria katika fikra za mtawala mtarajiwa. Maana yake ni kuwa ianze kuchukua vitendo vya kiharakati na mkakati kuonesha kuwa iko makini katika vita hii dhidi ya ufisadi. Haitoshi kuitisha vyombo vya habari kutuelezea ufisadi zaidi au kusimama na kutuambia habari za "panya" walioko kwenye halmashauri mbalimbali. Karibu kila Mtanzania anayejua kusoma na kuandika sasa hivi anajua kabisa kina na upana wa vitendo vya ufisadi
..."ref KUTOKAHAPA pg 25.

Mheshimiwa unatakiwa pia uandike responsibly bana sio kunywa responsibly tuu.

5.
Halafu km nilivyokuuliza kwa kuchomekea.Au unaona aibu rudia ulicho andika?naona kuna ukweli ingawa sikuwa nimesoma vitu vyako virefu na vinavyokosa consisitency.Swali:Umeona shida ya ulichoandika?

"............Wapo wanaoamini (bila sababu ya msingi) kuwa tatizo la Chadema ni "ukabila".Hoja hizi zimerudiwa rudiwa mara kwa mara na licha ya kupewa majibu ya kutosheleza kabisa bado watu wengine (na wengine wana dalili ya usomi) wanaamini kuwa Chadema ni chama cha kikabila...........".ref KUTOKAHAPA uk 5.

Baada ya hapa nataka nitumie hii doc kukupatia nilichodecode kwako.
Kinaniuma sana kuwa kweli ulikuwa very influencial ktk uchaguzi uliopita si kwa yale unayojaribu tuambia,bali yale unayojaribu kutuficha na kujazia mengine kwa uchaguzi ujao.

NB:usi skip swali katika blue kama kawaida yako.Jibu ni rahisi tuu Y/N, linalofuatia linatokana na ulichojibu.

6.
MMK Sema na hapa mzee wa kuruka vihunzi.haya alisema nani?


"..Hofu yangu ni kuwa kama Chadema inataka kuendelea kuwa "wafunuaji wa ufisadi" inatakiwa iendelee kuwa upinzani na siyo utawala.
Kama inataka kuwa mtawala ni lazima ianze kufikiria katika fikra za mtawala mtarajiwa. Maana yake ni kuwa ianze kuchukua vitendo vya kiharakati na mkakati kuonesha kuwa iko makini katika vita hii dhidi ya ufisadi. Haitoshi kuitisha vyombo vya habari kutuelezea ufisadi zaidi au kusimama na kutuambia habari za "panya" walioko kwenye halmashauri mbalimbali. Karibu kila Mtanzania anayejua kusoma na kuandika sasa hivi anajua kabisa kina na upana wa vitendo vya ufisadi
..."ref KUTOKAHAPA pg 25.

Mheshimiwa unatakiwa pia uandike responsibly bana sio kunywa responsibly tuu.

7.
MMK Sema na hapa mzee wa kuruka vihunzi.haya alisema nani?


"..Hofu yangu ni kuwa kama Chadema inataka kuendelea kuwa "wafunuaji wa ufisadi" inatakiwa iendelee kuwa upinzani na siyo utawala.
Kama inataka kuwa mtawala ni lazima ianze kufikiria katika fikra za mtawala mtarajiwa. Maana yake ni kuwa ianze kuchukua vitendo vya kiharakati na mkakati kuonesha kuwa iko makini katika vita hii dhidi ya ufisadi. Haitoshi kuitisha vyombo vya habari kutuelezea ufisadi zaidi au kusimama na kutuambia habari za "panya" walioko kwenye halmashauri mbalimbali. Karibu kila Mtanzania anayejua kusoma na kuandika sasa hivi anajua kabisa kina na upana wa vitendo vya ufisadi
..."ref KUTOKAHAPA pg 25.

Mheshimiwa unatakiwa pia uandike responsibly bana sio kunywa responsibly tuu.

8.
Halafu km nilivyokuuliza kwa kuchomekea.Au unaona aibu rudia ulicho andika?naona kuna ukweli ingawa sikuwa nimesoma vitu vyako virefu na vinavyokosa consisitency.Swali:Umeona shida ya ulichoandika?

"............Wapo wanaoamini (bila sababu ya msingi) kuwa tatizo la Chadema ni "ukabila".Hoja hizi zimerudiwa rudiwa mara kwa mara na licha ya kupewa majibu ya kutosheleza kabisa bado watu wengine (na wengine wana dalili ya usomi) wanaamini kuwa Chadema ni chama cha kikabila...........".ref KUTOKAHAPA uk 5.

Baada ya hapa nataka nitumie hii doc kukupatia nilichodecode kwako.
Kinaniuma sana kuwa kweli ulikuwa very influencial ktk uchaguzi uliopita si kwa yale unayojaribu tuambia,bali yale unayojaribu kutuficha na kujazia mengine kwa uchaguzi ujao.

NB:usi skip swali katika blue kama kawaida yako.Jibu ni rahisi tuu Y/N, linalofuatia linatokana na ulichojibu.

9.
kisicho cha kweli ni wewe kukataa pale Jmushi1 alipokuambia kuwa una downplay ufisadi. Vipi ulikuwa hukumbuki flow ya discussion?sasa utakumbuka vipi ulivyoandika miaka kadhaa?Mbona unaanza tuonyesha kuwa kanjanja ndugu yangu?Au mission uliyopewa ni kubwa kuliko uwezo wako?Au ndio ile staili yakusoma chuo bila kumaliza?Mimi sipendi rukwa checklist yangu,nimekuvumilia sana uanvyoruka na kutaka toka ktk topic.Hizo accusations kwa wenzio wanapokubana hembu jikaze uzitoe haraka.

NB:Nasikitika sana kwa blank cheque uliyopewa kupotosha watu humu ndani na nchini.This is a proof kuwa ninahitaji piga tena kelele kuwa hatuhitaji masuperstar ktk jukwaa la fikra ktk nchi hii,kila mtu anahitaji thibitisha asemacho hapo hapo na haruhusiwi mnyamazisha mwingine kwa kelele au kwa jina.
 
Ninapoacha kujibu maswali yako ni kwa sababu yanashangaza kama yameulizwa na mtu mwenye akili: Ila kwa vile inaonekana unahitaji kupewa majibu japo yapo mbele yako nitakujibu.

1: Of course

2: Swali ambalo linajibu; umenukuu maneno ya nani?

3:Hakuna tatizo lolote niliandika mimi.

4: Angalia jibu namba 2

5:Angalia jibu la 4 na 2

Swali: Wewe umefanya nini kushindana na ufisadi Tanzania ili kuonesha umeupa umuhimu mkubwa?
 
Ninapoacha kujibu maswali yako ni kwa sababu yanashangaza kama yameulizwa na mtu mwenye akili: Ila kwa vile inaonekana unahitaji kupewa majibu japo yapo mbele yako nitakujibu.

1: Of course

2: Swali ambalo linajibu; umenukuu maneno ya nani?

3:Hakuna tatizo lolote niliandika mimi.

4: Angalia jibu namba 2

5:Angalia jibu la 4 na 2

Swali: Wewe umefanya nini kushindana na ufisadi Tanzania ili kuonesha umeupa umuhimu mkubwa?

NImeweka vyema namba..No mbili linajileza lenyewe.Ni langu la kupima how responsible upo ktk uandishi.Na nimeliweka hivyo ili uelewe kama uliweza elewa ktk notion ya utangulizi wake.

Haya tirika mengine.Kumbuka sikuachi bila kuclear kila moja.Ni viporo vyako
 
NImeweka vyema namba..No mbili linajileza lenyewe.Ni langu la kupima how responsible upo ktk uandishi.Na nimeliweka hivyo ili uelewe kama uliweza elewa ktk notion ya utangulizi wake.

Haya tirika mengine.Kumbuka sikuachi bila kuclear kila moja.Ni viporo vyako

jibu swali langu; nimeshayajibu ya kwako.
 
Acha mazaha, nimerekebisha ili ujibu vizuri na nimekuambia hilo ila bado hujapenda quote kwa kuelewa.usihofu hakuna swali lako nitaacha.

Jibu langu bado ni lile lile mbona. Hujajibu swali wewe umefanya nini kupiga vita ufisadi Tanzania na kuonesha kuwa unaupa uzito mkubwa kuliko mimi ambaye siyo tu nimeandika dhidi yake lakini pia nimeufichua?
 
Jibu langu bado ni lile lile mbona. Hujajibu swali wewe umefanya nini kupiga vita ufisadi Tanzania na kuonesha kuwa unaupa uzito mkubwa kuliko mimi ambaye siyo tu nimeandika dhidi yake lakini pia nimeufichua?
Sasa umejibu vipi maswali tisa kwa majibu matano?Swali lako jibu nitakupa sitaki nitakapokujibu uchukulie kama sababu ya kuhama.Weka chini yake kama unadhani nitaliacha.
 
Sasa umejibu vipi maswali tisa kwa majibu matano?Swali lako jibu nitakupa sitaki nitakapokujibu uchukulie kama sababu ya kuhama.Weka chini yake kama unadhani nitaliacha.

yeah ndio nishajibu yote maana vinginevyo nitakuwa narudia rudia tu; unless kuna swali ambalo hasa ungependa nilijibu lakini nimepitia tena na kukuta yote nimeshayajibu. Jibu tu swali langu ili angalau nijue tunazungumza kama wote tunafanya jitihada za kweli za kupiga vita ufisadi na kuupa uzito unaostahili.
 
1.Sidhani kama kukataa kuwa ufisadi unaweza halalisha serikali kupigwa chini ndio umelipa uzito.
Utoto hujauona?Umeulizwa nini na unajibu nini?
Kwanza jibu haya maswali:Unatia kichefuchefu na kuruka ruka.Tunahitaji sikiliza debate live huku ya waliokupa hifadhi wanavyowapima viongozi wao.hakuna hata kusoma na kuandika kama huku:

2.Mzee Mwanakijiji naamini umeshasikia sana hii phrase "drink responsibly"? umeshawahi jiuliza km inaweza kuwa "write responsibly"?.Holywood huwa pia wana "...act responsibly.." kwa nia ya kulinda maslahi na image ya USA superior culture.

3.Hapa kwenye red palikuwa maneno ya CDM au yako?

4.MMK Sema na hapa mzee wa kuruka vihunzi.haya alisema nani?

5.Swali:Umeona shida ya ulichoandika?

6.

7.

8.

9. Vipi ulikuwa hukumbuki flow ya discussion?sasa utakumbuka vipi ulivyoandika miaka kadhaa?Mbona unaanza tuonyesha kuwa kanjanja ndugu yangu?Au mission uliyopewa ni kubwa kuliko uwezo wako?Au ndio ile staili yakusoma chuo bila kumaliza?
>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>
nimetoa yaliyorudia kwa vile text field ktk device yangu nindogo kuweza una multiple quote.Hembu angalia kama ulijibu
 
Jibu langu bado ni lile lile mbona. Hujajibu swali wewe umefanya nini kupiga vita ufisadi Tanzania na kuonesha kuwa unaupa uzito mkubwa kuliko mimi ambaye siyo tu nimeandika dhidi yake lakini pia nimeufichua?

hivi natakiwa nifanye zaidi yako?Nimeamua kwa dhati kuwabana wapotoshaji kama wewe ambao hawaoni kuwa ufisadi ni tatizo abalo serikali husika inapaswa ondolewa na kuwajibishwa.Nimepiga vita eneo langu la kazi, na pia nimevalia njuga popote nitakapokuwa na access na uwezo wa kufanya kitu.
 
hivi natakiwa nifanye zaidi yako?Nimeamua kwa dhati kuwabana wapotoshaji kama wewe ambao hawaoni kuwa ufisadi ni tatizo abalo serikali husika inapaswa ondolewa na kuwajibishwa.Nimepiga vita eneo langu la kazi, na pia nimevalia njuga popote nitakapokuwa na access na uwezo wa kufanya kitu.

Hahahahah kimsingi hujafanya kitu. Toa mfano hata mmoja wa ulichofanya na kikawa na matokeo ya kuonesha kweli unapiga vita ufisadi. Wakati wengine tumetumia uwezo wetu wote kupambana na ufisadi, na kulisaidia taifa letu wewe unasema katika "serikali husika"? Miye nimekuuliza kuhusu Tanzania. Umefanya nini kupiga vita ufisadi Tanzania na ikaonekana umefanya?
 
Hizi ni quote zangu mwenyewe kwa kuangalia majibu yako
Sidhani kama kukataa kuwa ufisadi unaweza halalisha serikali kupigwa chini ndio umelipa uzito.
Utoto hujauona?Umeulizwa nini na unajibu nini?

hapa ume brush(sijui kama umeona utoto wako au lah)
Mzee Mwanakijiji naamini umeshasikia sana hii phrase "drink responsibly"? umeshawahi jiuliza km inaweza kuwa "write responsibly"?.Holywood huwa pia wana "...act responsibly.." kwa nia ya kulinda maslahi na image ya USA superior culture.
Hii ni kucheki uwajibiakaji wako .Umejibu ndiyo ila si honest partner hapa.kwani hila zako zipo wazi.
3.
Wakati unataka escape kwa kudai kuwa si maneno yako...kabla ya kuletewa maneno yako yakiizodoa CDM kuwa imeegeme kashfa ya ufisadi.Hembu tunagalia unachofanya ktk article nyingine.Hapa chini kwenye ile KUTOKAHAPA yako

"......Hata hivyo mfumo wetu wa kisiasa ulivyo sasa umetengeneza mazingira mazuri kabisa ya Chadema kuweza kufanya vizuri katika nafasi zote mbili. Kinyume na wale wanaoamini ni muhimu kuongeza idadi ya wabunge ili "kuimarisha ubunge upinzani" mimi ninaamini kama Chadema inataka kuwa na wabunge wengi siyo kwa ajili ya kuongeza 'upinzani Bungeni' bali ni kwa ajili ya kuweza kushika nafasi mbili muhimu sana. Uwaziri Mkuu na Spika wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania...".

Hapa kwenye red palikuwa maneno ya CDM au yako?

Hapa umekubali ni maneno yako ,ila sentence inasingizia kuwa ni nia ya CDM.Unadhisi usio responsible.
4.
MMK Sema na hapa mzee wa kuruka vihunzi.haya alisema nani?


"..Hofu yangu ni kuwa kama Chadema inataka kuendelea kuwa "wafunuaji wa ufisadi" inatakiwa iendelee kuwa upinzani na siyo utawala.
Kama inataka kuwa mtawala ni lazima ianze kufikiria katika fikra za mtawala mtarajiwa. Maana yake ni kuwa ianze kuchukua vitendo vya kiharakati na mkakati kuonesha kuwa iko makini katika vita hii dhidi ya ufisadi. Haitoshi kuitisha vyombo vya habari kutuelezea ufisadi zaidi au kusimama na kutuambia habari za "panya" walioko kwenye halmashauri mbalimbali. Karibu kila Mtanzania anayejua kusoma na kuandika sasa hivi anajua kabisa kina na upana wa vitendo vya ufisadi
..."ref KUTOKAHAPA pg 25.

Mheshimiwa unatakiwa pia uandike responsibly bana sio kunywa responsibly tuu.

Hapa unajiumbua kwa madai yako kupa unaupa ufisadi uzito unaostahili.

5.
Halafu km nilivyokuuliza kwa kuchomekea.Au unaona aibu rudia ulicho andika?naona kuna ukweli ingawa sikuwa nimesoma vitu vyako virefu na vinavyokosa consisitency.Swali:Umeona shida ya ulichoandika?

"............Wapo wanaoamini (bila sababu ya msingi) kuwa tatizo la Chadema ni "ukabila".Hoja hizi zimerudiwa rudiwa mara kwa mara na licha ya kupewa majibu ya kutosheleza kabisa bado watu wengine (na wengine wana dalili ya usomi) wanaamini kuwa Chadema ni chama cha kikabila...........".ref KUTOKAHAPA uk 5.

Baada ya hapa nataka nitumie hii doc kukupatia nilichodecode kwako.
Kinaniuma sana kuwa kweli ulikuwa very influencial ktk uchaguzi uliopita si kwa yale unayojaribu tuambia,bali yale unayojaribu kutuficha na kujazia mengine kwa uchaguzi ujao.

NB:usi skip swali katika blue kama kawaida yako.Jibu ni rahisi tuu Y/N, linalofuatia linatokana na ulichojibu.


Kwenye red unakubali CDM wan amajibu ya kutosha ni watu tuu ndio hawaridhiki, na umetaja watu wenye dalili za wasomi ndio wanaonekana kuamini kuwa CDM ni chama cha Kikabila,hii kwa kiasi fulani inapingana pia na notion yako kuwa inawakwepa wasomi.Ila wasomi wa kweli na si wa dalili pia wasio wasomi nao hawana shida kuwaelewa kwa hilo.

Document yako ya niliyochukua hizi quote ilikuwa influencial lakini CCM na CUF walibehave exactly kama ulivyokuwa ukisema,kwa kila level ya mipango yao,kwa mategemeo ya ulichoandika kuwashawishi CDM wafanye kama ulivyotaka wewe.

Humu ndani umeshshutumiwa sana kuwa ni agent, na document yako imendikwa ina very had hoc fashion,pakiwa na bloc za idea ambazo zilikuwa nani aya ku derail CDM,na kuprogram watu wakubali kuwa CDM ilikuwa ikiwaza Waziri mkuu na speaker.How can you prove kwetu kuwa hukuwa agent na ulikwenda kwa maelekezo ya CCM na facilities zake?
.
kisicho cha kweli ni wewe kukataa pale Jmushi1 alipokuambia kuwa una downplay ufisadi. Vipi ulikuwa hukumbuki flow ya discussion?sasa utakumbuka vipi ulivyoandika miaka kadhaa?Mbona unaanza tuonyesha kuwa kanjanja ndugu yangu?Au mission uliyopewa ni kubwa kuliko uwezo wako?Au ndio ile staili yakusoma chuo bila kumaliza?Mimi sipendi rukwa checklist yangu,nimekuvumilia sana uanvyoruka na kutaka toka ktk topic.Hizo accusations kwa wenzio wanapokubana hembu jikaze uzitoe haraka.

NB:Nasikitika sana kwa blank cheque uliyopewa kupotosha watu humu ndani na nchini.This is a proof kuwa ninahitaji piga tena kelele kuwa hatuhitaji masuperstar ktk jukwaa la fikra ktk nchi hii,kila mtu anahitaji thibitisha asemacho hapo hapo na haruhusiwi mnyamazisha mwingine kwa kelele au kwa jina.

Hapa hujajibu kitu.
 
Hahahahah kimsingi hujafanya kitu. Toa mfano hata mmoja wa ulichofanya na kikawa na matokeo ya kuonesha kweli unapiga vita ufisadi. Wakati wengine tumetumia uwezo wetu wote kupambana na ufisadi, na kulisaidia taifa letu wewe unasema katika "serikali husika"? Miye nimekuuliza kuhusu Tanzania. Umefanya nini kupiga vita ufisadi Tanzania na ikaonekana umefanya?

Sipendi shindana na wewe kwa vile hata kama nilifanya kitu kidogo sana bado nitakushinda,kwani wewe scripts zako zinaonyesha ufisadi uliutumia tuu kujenga profile ili ufanye kazi inayoshukiwa na watu humu ndani.Agent..na kila mtu yupo comfused na materials yako yanaweza fanya kazi wapi zaidi ya CCM.Na walichofanya CCM na CUF ni exactly ulichokuwa ukihubiri.

This time hutapata hiyo blank cheque ya upotoshaji.You would have to prove everything.Sasa unataka hubiri your next big idea kuwa hawajajipanga.Ili CCM wafanyanye unachoenda sema next directly.But i am afraid hiyo nafasi haipo tena.

Nilipokuwa nakuuliza huo uspeaker na uwaziri mkuu "ulikuwa ni lengo la CDM kama walivyosema wao ?" majibu yako yakawa wazi ni wewe tuu umebuni na kuandika kwa mbwembwe.Nikakuuliza kama unaandika responsibly ukajibu ndio kuonyesha jinsi ulivyokosa ethics.Na umekuwa mwongo all over this discussion.Huna hata hofu ya kutumia sababu yoyote ili ikusaidie kwa muda huo.Huwezi kuwa responsible halafu hujui responsibilities.

Otherwise we had a nice adventure im going through your works ,analyzing lots of funny and crazy plots with irrational and inconsistent ideas.Inachekesha sana kusoma kitu ulichoandika wakati vikijieleza ulikuwa unafikri nini na nini uliweza shawishi kambi zote,uliyokuwa ukiitafuna na uliyokuwa ukiitafunia.pengine watu watajiuliza wapi ungeweza tumia njia bora zaidi.

Ahsante.
 
Back
Top Bottom