Proper recording: Nini kilimbadili Mzee Mwanakijiji?

Proper recording: Nini kilimbadili Mzee Mwanakijiji?

Issue ya ufisadi na ambayo hata revolution ni justifiable,let it alone sanduku la kura,so ndiyo maana nimeshangazwa!
Mkuu ufisadi hupo na ni sababu tosha ya kusema CCM iondoke kama reasoning ni hasira.

Lakini lazima tujiulize je ni nini hasa chanzo chake ukitoa viongozi wa juu ambao utumia mbinu za tender na kuiba kwa maandishi na kugawa rasilimali za taifa. Vile vile rushwa na wizi ni common practice in Tanzania kwenye nchi ambayo sasa inabajeti za matririon kwenye wizara nyingi lazima tujiulize hawa je watadhibitiwa vipi (maana sidhani wote wana hizini ya JK) kwenye kuiba (kama umefuatilia ripoti ya mwisho ya CAG, hela nyingi zinapotea mawizarani pia)

Surely a political party has to address the means to curb those evil deeds ambazo zina contribution kubwa kwenye kuleta poor services. Sasa CDM wanayazungumzia vipi au wana mbinu gani, au wataweka mbinu zipi na zitafanya kazi vipi.

Huo no mfano lakini kuna nyanza nyingi sana tunaweza ziweka na kuzihoji hili kufikia the potential ya taifa letu. So far the motto ni ufisadi na abusive of powers za CCM.

Je wakipewa hiyo dola how are they going to change things, methods and the policing of the resources including money taxes and their spending priorities, do they even know the loopholes that allows tax evasion in the country and how much do we loose on this evasion.

Maswali ni mengi and they need to be adressed kuliko kuwasifia tu kupitia hasira zetu, ingawa lazima wasifiwe kwa kazi waliofikia so far.
 
Hii ni TZ watu wanabadilika kabla mbio hata hazijaanza....sijui wakimaliza mbio vitu vingapi hawataviamini.Hao mafisadi tunaowaona waliingia wakiwa wema sana.Sasa hivi hata wao hawajui wapi vitu vimeanza kuwa grey?Kwa vile walikuwa too naive kwa vitu wasivyovijua wala jitambua wao wenyewe na tamaa zao za tangu utotoni.Ukichangaya na mwanga hafifu basi kuhubiri vita ya ufisadi na kufanya ufisadi ni pua na mdomo.Najiuliza huyu jamaa yupo majuu, halafu kuna vitu kibao havipo clear kabisa katika fikra zake ingawa ktk media tayari ni superstar, sijui akina kajamba nani wakitishiwa na exposure watahimili kutetea vitu sahihi kweli?Eti ananiambia nikading ushahidi wake huko ambapo hata yeye hapajui,imagine anapewa mkataba huyu jamaa wenye maslahi ya nchi?Nilikuwa namsikiliza Le Mutuz ktk TV na kumsoma ktk facebook na huku, alikuwa na jeuri siku za mwanzo kunyamazisha kila mtu around,ila siku zilivyokwenda kuna vitu vikaanza kuwa clear,exposure bila misingi mizuri ni kuzidi haribu fikra na kupanda ujasiri juu ya upotofu.
Mkuu,licha ya kwamba sitaki kuongea mengi kuhusu Mwanakijiji,ila ninachoamini ni kwamba anahitaji kurudisha majeshi bongo kwa muda,aishi na watanzania pale,aone hali halisi kuhusu utendaji wa serikali ya ccm na dola yake.

Najuwa anasema hana haja ya kufanya hivyo kwasababu yeye hataki siasa,na kwamba anchokifanya sasa kinatosha.

Lakini kama anatoa maoni kwenye siasa,na wananchi wanamsikiliza,na kama kiukweli analipenda taifa lake.Ninamshauri apige moyo konde aingize majeshi.Hilo litambadili kwa namna njema.I believe it.

Unyama wa ccm utaona ukienda na kutizama around,utasikitishwa,maisha ya wananchi walio wengi ni ya taabu.Kama umeishi abroad,na ukaingia bongo ukaona hayo mambo,huwezi kuwa na suluhu na ccm hata kidogo.
 
Nimesema unau downplay ufisadi na madhara yake kwasababu ni kama umesahau umasikini wa watanzania uliosababishwa na ufisadi.Ndiyo maana unasema issue ya ufisadi yenyewe haitoshi kwa ccm kuondolewa madarakani.

Ndiyo nikatoa mfano wa kuhusu kujisahau na kuona kama tuna maendeleo sana kwasababu tu marafiki zetu,ndugu ama sisi wenyewe tuna maendeleo.Ni kuwa out of touch.

Ni wapi ambapo nimedownplay ufisadi au kuashiria kuwa ufisadi ni kitu cha kuvumilia au kuvimilika?
 
Mkuu ufisadi hupo na ni sababu tosha ya kusema CCM iondoke kama reasoning ni hasira.
.

Mnajenga premises zenu vibaya ndio maana mna arrive ktk wrong conclusion. Whether una hasiara au hapana kumwondoa mwizi ni right business decision ktk business ,ktk taifa its a matter of life and death.Kwa mkulima wa kawaida ni ule msemo usemao "ukicheka na nyani utavuna mabua"
 
Mzee Mwanakijiji naamini umeshasikia sana hii phrase "drink responsibly"? umeshawahi jiuliza km inaweza kuwa "write responsibly"?.Holywood huwa pia wana "...act responsibly.." kwa nia ya kulinda maslahi na image ya USA superior culture.
 
Mnajenga premises zenu vibaya ndio maana mna arrive ktk wrong conclusion. Whether una hasiara au hapana kumwondoa mwizi ni right business decision ktk business ,ktk taifa its a matter of life and death.Kwa mkulima wa kawaida ni ule msemo usemao "ukicheka na nyani utavuna mabua"
Pengine najenga dhana zangu vibaya (but i do as an individual) na I am open to be corrected.

Lakini maswali ni suala la lazima kwenye kutaka kufahamishwa (from my perspective of gaining information), CCM ni kundi la wahuni silikatai hilo. Na kuitoa madarakani kutokana na ufisadi ni motive tosha kwa jinsi inavyo behave kiubabe na kushindwa kuendesha Taifa.

Lakini I also need to be informed what those changes would look like realistically, kuitoa CCM ni mwanzo lakini pia kuna whole lot bunch of fisadi's in many sectors of our government organs. Some of whom who are not direct CCM members, you may find even CDM followers. The only different between these groups is they differ in the amounts they embezzle depending on their positions.

Maana kuna mpaka walimu wakuu wa primary kwenye shule za serikali ambao ni mafisadi wizi unaanzia hapo lakini unapanda mpaka kwa wakuu wa wizara to the Main players. The size of their taking will differ, but the habit is the same (sasa hao wa chini sio tatizo kweli).

The question still remains how are CDM going to end this mess, maana huwezi sema ufisadi wa mwl mkuu wa primary hau affect the services za hiyo shule.

Hapo sasa ndipo wengine wanapoiangalia CDM, people expect politics ambazo sasa zinazungumzia marekebisho kisera na si lawama za ufisadi, unaweza kumtoa CCM ukamwacha mwl akiendelea kupeta tu, tukawa pale pale for the most part in terms of improving the government services.

What policies are there do address this, huo ni mfano moja kwenye mia moja. Ndio sababu za kusema wasifiwe kwa jitihada zao but much is not in the open.
 
Pengine najenga dhana zangu vibaya (as i do it as an individual) na I am open to be corrected.

Lakini maswali ni suala la lazima kwenye kutaka kufahamishwa (from perspective of gaining information), CCM ni kundi la wahuni silikatai hilo. Na kuitoa madarakani kutokana na ufisadi ni motive tosha kwa jinsi inavyo behave kiubabe na kushindwa kuendesha Taifa.

Lakini I also need to be informed what changes would look like realistically, kuitoa CCM ni moja lakini pia kuna whole lot bunch of fisadi's in many sectors of our government organs who are not direct CCM members, some are even CDM followers and they differ in the amounts they embezzle depending on their positions. Maana kuna mpaka walimu wakuu wa primary kwenye shule za serikali ambao ni mafisadi hiyo inapanda mpaka kwa wakuu wa wizara to the Main players size of their taking will differ, but habit is the same.

The question still remains how are CDM going to end this mess, maana huwezi sema ufisadi wa mwl mkuu wa primary au affect the services za hiyo shule.

Hapo sasa ndipo wanapoiangalia CDM, people expect politics ambazo sasa zinazungumzia marekebisho kisera na si lawama ni ufisadi, unaweza kumtoa CCM ukamwacha mwl akiendelea kupeta tu, tukawa pale pale for the most in terms of improving the government services.
Kama ungekuwa unafuatia mambo kwa makini ungekuwa na majibu.Minyoo yenyewe pia inabeba magonjwa na kusababisha magonjwa kwa kupunguza kinga ya mwili wa host kwa kumdhoofisha .Hao wala rushwa wengi wapo ktk chain ya CCM once supply lines zinakatwa watu wata adapt new ways. Mrema pekee yake alianza beba vitu ktk maofisi na kudaka wala rushwa week hiyo hiyo watu wakawa wanawajibika kama vile wameambiwa amekuwa malaika au mungu aweze tokea multiple places.Hata mtu wa Arusha alikuruputa wakati aikuwa akisikia habari ya mrema chukua kiti dar.hata mikoa isiyo na ndege walihisi bado jamaa anaweza tokea kimaajabu ofisini kwao.Itakuweje CDM wakiingia na watu wengi wasiopenda rushwa huku wamevunja netwrok ya kujuana na za rushwa zinazolindwa namakada wa CCM?
 
Mkuu ufisadi hupo na ni sababu tosha ya kusema CCM iondoke kama reasoning ni hasira.

Lakini lazima tujiulize je ni nini hasa chanzo chake ukitoa viongozi wa juu ambao utumia mbinu za tender na kuiba kwa maandishi na kugawa rasilimali za taifa. Vile vile rushwa na wizi ni common practice in Tanzania kwenye nchi ambayo sasa inabajeti za matririon kwenye wizara nyingi lazima tujiulize hawa je watadhibitiwa vipi (maana sidhani wote wana hizini ya JK) kwenye kuiba (kama umefuatilia ripoti ya mwisho ya CAG, hela nyingi zinapotea mawizarani pia)

Surely a political party has to address the means to curb those evil deeds ambazo zina contribution kubwa kwenye kuleta poor services. Sasa CDM wanayazungumzia vipi au wana mbinu gani, au wataweka mbinu zipi na zitafanya kazi vipi.

Huo no mfano lakini kuna nyanza nyingi sana tunaweza ziweka na kuzihoji hili kufikia the potential ya taifa letu. So far the motto ni ufisadi na abusive of powers za CCM.

Je wakipewa hiyo dola how are they going to change things, methods and the policing of the resources including money taxes and their spending priorities, do they even know the loopholes that allows tax evasion in the country and how much do we loose on this evasion.

Maswali ni mengi and they need to be adressed kuliko kuwasifia tu kupitia hasira zetu, ingawa lazima wasifiwe kwa kazi waliofikia so far.
Siyo kweli kwamba wanasifiwa tu kupitia hasira zetu.Kiukweli wanakuwa critisized hadi nikaona kuwa ni ubinafsi na uonevu.

Chama kilichokaa madarakani kwa miaka 50,kisichowajali wananchi,kuendelea kukipa a benefit of doubt is also doubtfull to some of us!Utatufanya tujiulize kama una manufaa gani na unyama huo na ufisadi.

Mkuu chadema ni chama ambacho bado kinajengwa,na kitazidi kukomaa kama kitaungwa mkono na kuchukuwa madaraka ya nchi.

Sasa kina Mwanakijiji wanataka kikomae kikiwa bado ni chama cha upinzani,ukimwuliza akupe mfano halisi wa vyama vya aina hiyo,i doubt kama ataweza kufanya hivyo.

Kwenye kuhusu maoni ya katiba,kulikuja issue moja ya mwanajeshi aliyesema kuwa mafisadi watakaopatikana na hatia,basi wapigwe risasi!Halafu kuna watu humu wakadai eti mwanajeshi yule ni chadema!

Badala ya kukubaliana kwamba ni kweli kama tunataka kuutokomeza ufisadi,basi adhabu zake(ufisadi), ziwe kali kama tunavyosikia kuhusu kule uchina,tunarudi kwenye kunyoosheana vidole kuhusiana na itikadi ya vyama,kiasi cha kwamba kumekuwa kama ushabiki wa mpira wa miguu,kwa maana kwamba ukiwa ccm,basi kuupinga ufisadi,ni sawa na kukipinga chama chako,na watu wanaridhika na hayo,really?I don't think thats the way to go,nina imani kabisa kwamba kutokana na hapa tulipofikia(ushabiki),basi hatua ya muhimu kabla ya chochote kile ni kuiondoa ccm madarakani,wewe unadhani kwanini huwa kuna mapinduzi?

Tumeona jinsi wabunge wa upinzani walivyo na umakini hata bungeni licha ya upendeleo wa spika.Lakini bado wanazisimamia hoja zao kuliko hata hao ccm walioko madarakani more than 50 years!Why not give them a chance?

Nchi hii nani kasema imehodhiwa na baadhi ya watu?Ama nani kasema watu flani ndo wana haki ya kutawala wanavyotaka bila kuwajibishwa?

Halafu mtu huyo huyo anayesema ccm wapewe nafasi kwasababu chadema hawajajipanga ndo atakuja tena kuulalamikia uozo unaoendelea pale utakapojulikana?

Kiukweli nchi haiko kwenye right track na haijawahi kuwa kwenye right track,hilo tu linatosha kuwaondoa madarakani watawala right away whenever possible!

Kama unaamini(kama ninavyoamini), kwamba kuiondoa ccm itakuwa sawa na uhuru wetu wa pili,then jiulize kuhusu chama cha TANU,je kingewekewa vipimo kama hivi anavyoviweka Mwanakijiji kingeingia madarakani?

Kama unaamini pia kwamba revolution can be justifiable kuuondoa ufisadi,je unataka uambiwe baada ya mapinduzi nini kitafanyika?Is that a fair question?

Certainly that is impossible.Kitu kimoja cha msingi kabisa kinachowaunganisha wananchi ni kuutokomeza umasikini,ujinga na maradhi,na hayo hayatowezekana pasipo kuuondoa ufisadi kwanza.Hilo liko wazi kabisa wala huitaji kuwa a rocket scientist kuliona.

Hayo anayoyazungumzia Mwanakijiji siyo mambo yenye kustahili kukinyima chama cha chadema nafasi ya kuwatumikia wananchi.

Kwani shida ikwapi kama wasipo deliver si tunawaondoa?Sasa kusema tuiache status quo iliyotifikisha hapa tulipo kwenye umasikini uliokithiri siyo kuwa out of touch ni kitu gani?

Mafanikio ya nchi huyaangaliwi kwa kutizama kuhusu familia yako ama marafiki zako(kama wanavyofanya cronies wa ccm).

Hata kama wanakula na kulala vyema/kusaza na kufanya biashara zao vyema,bado hicho siyo kipimo cha kusema Tanzania wananchi wake wana unafuu ama tuna maendeleo.Tunapima kwa kuangalia wengi wa wananchi wanaishi maisha ya namna gani,na wengi wa wananchi wako vijijini.

Tuna raisi ambaye serikali yake inaingia mikataba ya hovyo ya rasilimali zetu huku akiendelea kuzunguka na kutembeza bakuli.Hakuna ile hali ya imani kwa wananchi kwamba tuna uongozi na tunapigadi hatua kama taifa,badala yake tuna rudi nyuma in terms of poverty amongst the people.

Hatuangalii maendeleo kwa uzinduzi sijui wa kivuko na mambo sijui ya mabasi ya kasi na train za Dar es Salam!nenda vijijini kuliko na wananchi walio wengi utizame maisha yao ndiyo utajuwa!

Its all about priorities,halafu kuna mtu anaitwa mwanakijiji ambaye kiukweli hayajui maisha ya kweli ya mwanakijiji wa Tanzania,anathubutu kusema ccm waendelee kutawala!

Na ndivyo hivyo ambavyo serikali ya ccm imekuwa ikifanya(kufukarisha wananchi wake),halafu eti mnakuja kusema hali hiyo iendelee kwasababu chadema hawajasema hili ama lile,sasa unataka tuite kitu gani hayo mambo?Ndiyo hayo yanayonishangaza sana tu mkuu wangu!
 
Kama ungekuwa unafuatia mambo kwa makini ungekuwa na majibu.Minyoo yenyewe pia inabeba magonjwa na kusababisha magonjwa kwa kupunguza kinga ya mwili wa host kwa kumdhoofisha .Hao wala rushwa wengi wapo ktk chain ya CCM once supply lines zinakatwa watu wata wata adapt new ways. Mrema pekee yake alianza beba vitu ktk maofisi na kudaka wala rushwa week hiyo hiyo watu wakawa wanawajibika kama vile wameambiwa amekuwa malaika au mungu aweze tokea multiple places.Hata mtu wa Arusha alikuruputa wakati aikuwa akisikia habari ya mrema chukua kiti dar.hata mikoa isiyo na ndege walihisi bado jamaa anaweza tokea kimaajabu ofisini kwao.Itakuweje CDM wakiingia na watu wengi wasiopenda rushwa huku wamevunja netwrok ya kujuana na za rushwa zinazolindwa namakada wa CCM?

I take it umeridhika na mfumo wa sasa kwenye kudhibiti rushwa, isipokuwa aufanyi kazi kutokana na CCM ( pengine kwa hawa majangili wa sasa the policing part is not emphasized), if that is the case why then tunahitaji katiba mpya? wakati tukiwatoa CCM kila kitu muruwa.
 
Ni wapi ambapo nimedownplay ufisadi au kuashiria kuwa ufisadi ni kitu cha kuvumilia au kuvimilika?
Mkuu kwa kusema chadema haitakiwi kuchukuwa madaraka kwasababu hawajajipanga,ama sijui kuelezea watakachokifanya, kuna tofauti gani na kuipa ccm na ufisadi greenlight ya kuendeleza wanayoyafanya through benefit of doubt?

Yani uko radhi status quo ya kifisadi iendelee na ufisadi kwasababu unazoziita "chadema kuokujipanga" na sijui eti kuwa na kambi na mgawanyiko, mkuu halafu unauliza nikuletee kauli ya verbatim na wakati unasomeka kabisa?

Hakuna pahala umesema hivyo word to word(kukumbatia ufisadi),lakini tafsiri yangu inaendana kabisa na makala zako na statement zako,kwamba it equals downplaying ufisadi na madhara yake yaliyoko wazi kabisa.

Ndiyo maana nikaja na mfano wa "revolution justifiable",hizo ni situation ambazo zinaonyesha desparation.So kinyume chake ni kukubaliana na status quo,hence downplaying ufisadi.
 
I take it umeridhika na mfumo wa sasa kwenye kudhibiti rushwa, isipokuwa aufanyi kazi kutokana na CCM ( pengine kwa hawa majangili wa sasa the policing part is not emphasized), if that is the case why then tunahitaji katiba mpya? wakati tukiwatoa CCM kila kitu muruwa.

Sidhani kama nikisema Kagame amejitahidi jenga Rwanda namaanisha nasupport Udictator wake?Ila yale yaliyokwenda mbele.Mrema aliwafanyai ambushi watu waovu na kwa vile uovu ukifuatwa kwa ujasiri hutoweka, watu wengine hawakuwa hata na jeuri pale mrema alipokuwa kinyume na sheria zenye mapungufu.
 
Mkuu kwa kusema chadema haitakiwi kuchukuwa madaraka kwasababu hawajajipanga,ama sijui kuelezea watakachokifanya, kuna tofauti gani na kuipa ccm na ufisadi greenlight ya kuendeleza wanayoyafanya through benefit of doubt?

Yani uko radhi status quo ya kifisadi iendelee na ufisadi kwasababu unazoziita "chadema kuokujipanga" na sijui eti kuwa na kambi na mgawanyiko, mkuu halafu unauliza nikuletee kauli ya verbatim na wakati unasomeka kabisa?

Hakuna pahala umesema hivyo word to word(kukumbatia ufisadi),lakini tafsiri yangu inaendana kabisa na makala zako na statement zako,kwamba it equals downplaying ufisadi na madhara yake yaliyoko wazi kabisa.

Ndiyo maana nikaja na mfano wa "revolution justifiable",hizo ni situation ambazo zinaonyesha desparation.So kinyume chake ni kukubaliana na status quo,hence downplaying ufisadi.

Pia kalalamikia CDM kukomalia ufisadi na mapungufu mengine ya CCM ,Na hii kaitumia sana tuu ktk previous defence zake.
 
Sidhani kama nikisema Kagame amejitahidi jenga Rwanda namaanisha nasupport Udictator wake?Ila yale yaliyokwenda mbele.Mrema aliwafanyai ambushi watu waovu na kwa vile uovu ukifuatwa kwa ujasiri hutoweka, watu wengine hawakuwa hata na jeuri pale mrema alipokuwa kinyume na sheria zenye mapungufu.
Hapo sasa ndipo unapotakiwa kutueleza sheria gani ambazo zinamapungufu na yepi na zitarekebishwa vipi, na zitahakikisha vipi nyanja zote zimezibwa au almost?

Au hata huyo Mrema alitumia mbinu zipi, na kama zipo kwenye sheria. Maana ingawa siafikiani na jambazi, sioni ni sahihi apigwe risasi mapolini na polisi, katiba aisemi hivyo.

Anyway usiku mwema.
 
Umenikumbusha mbali sana, ndio mchakato wenyewe wa mabadiliko huo. Hakuna kisichobadilika isipokuwa mabadiliko
Kwa kweli MM hakuwa pekee aliyekuwa sceptic na vyama pinzani na haswa haswa CHADEMA. Hata mimi nilikuwa kada wa CCM na 1995 sikumwelewa kabisa Hayati Baba wa Taifa alipokifagilia CHADEMA kama chama makini lakini matukio yaliyofuata yalinihamisha toka CCM na kujiunga na CHADEMA. Kwa kifupi niliamua kuiacha CCM baada ya kugundua kimetekwa na wezi, vibaka, mafisadi, walaghai na wababaishaji! Sifahamu sababu iliyomfanya MM kuihama CCM lakini kwa jumla CCM ya sasa si ile ya wakulima na wafanyakazi, bali ya wafanyabiashara na walarushwa waliobobea na kuna bei kwa kila nafasi ya uongozi masikini hana nafasi tena katika chama!
 
Hapo sasa ndipo unapotakiwa kutueleza sheria gani ambazo zinamapungufu na yepi na zitarekebishwa vipi, na zitahakikisha vipi nyanja zote zimezibwa au almost?

Au hata huyo Mrema alitumia mbinu zipi, na kama zipo kwenye sheria. Maana ingawa siafikiani na jambazi, sioni ni sahihi apigwe risasi mapolini na polisi, katiba aisemi hivyo.

Anyway usiku mwema.

Km nilivyokupa mfano wa Mrema na Kagame kuwapongeza kwa wa walicho achieve na si jinsi gani walivyo achieve.

Hayo mapungufu ya sheria na katiba si jukumu la CDM pekee,wala mimi kama unavyokomaa nami ndio maana Kuna tume ya katiba ambayo ipo busy sana.Pengine tafura report yao uone watanzania walivyoeleza.Hayo ya mrema na sheria alizovunja ua kutumia sidhani kama ni issue ya msingi hapa.
 
Mkuu kwa kusema chadema haitakiwi kuchukuwa madaraka kwasababu hawajajipanga,ama sijui kuelezea watakachokifanya, kuna tofauti gani na kuipa ccm na ufisadi greenlight ya kuendeleza wanayoyafanya through benefit of doubt?

Nimesema CDM haitakiwi kuchukua madaraka kwa sababu haijajipinga? Lakini la pili ni kwanini unafikiria CDM wakiingia madarakani na ufisadi utakwisha au wataumaliza? Ni vitu ambavyo CDM wamesema watafanya wakiingia madarakani kushughulikia ufisadi na kuutokomeza ambavyo havifanywi na CCM au havijafanywa na CCM?


Yani uko radhi status quo ya kifisadi iendelee na ufisadi kwasababu unazoziita "chadema kuokujipanga" na sijui eti kuwa na kambi na mgawanyiko, mkuu halafu unauliza nikuletee kauli ya verbatim na wakati unasomeka kabisa?

Mushi, nimekusoma kwa muda mrefu wakati mwingine unatengeneza vitu kichwani mwako na unafikiria ndivyo mtu anasema. Nikitaka kusema kitu nakisema kilivyo. Badala ya kuhitimisha vitu kichwani ni bora uulize ili upate uhakika wa nini nimekisema.

Hakuna pahala umesema hivyo word to word(kukumbatia ufisadi),lakini tafsiri yangu inaendana kabisa na makala zako na statement zako,kwamba it equals downplaying ufisadi na madhara yake yaliyoko wazi kabisa.

Tafsiri yako inaweza vipi kuwa maneno yangu. Kama sijasema hivyo neno kwa neno unachukua vipi kuwa ndio msimamo wangu kiasi cha kuniona kuwa nataka ufisadi uendelee?

Ndiyo maana nikaja na mfano wa "revolution justifiable",hizo ni situation ambazo zinaonyesha desparation.So kinyume chake ni kukubaliana na status quo,hence downplaying ufisadi.

Haya ni maneno yako siyo ya kwangu.
 
Haya ni maneno yako siyo ya kwangu.
Wakati unataka escape kwa kudai kuwa si maneno yako...kabla ya kuletewa maneno yako yakiizodoa CDM kuwa imeegeme kashfa ya ufisadi.Hembu tunagalia unachofanya ktk article nyingine.Hapa chini kwenye ile KUTOKAHAPA yako

"......Hata hivyo mfumo wetu wa kisiasa ulivyo sasa umetengeneza mazingira mazuri kabisa ya Chadema kuweza kufanya vizuri katika nafasi zote mbili. Kinyume na wale wanaoamini ni muhimu kuongeza idadi ya wabunge ili “kuimarisha ubunge upinzani” mimi ninaamini kama Chadema inataka kuwa na wabunge wengi siyo kwa ajili ya kuongeza 'upinzani Bungeni' bali ni kwa ajili ya kuweza kushika nafasi mbili muhimu sana. Uwaziri Mkuu na Spika wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania...".

Hapa kwenye red palikuwa maneno ya CDM au yako?
 
MMK Sema na hapa mzee wa kuruka vihunzi.haya alisema nani?


"..Hofu yangu ni kuwa kama Chadema inataka kuendelea kuwa "wafunuaji wa ufisadi" inatakiwa iendelee kuwa upinzani na siyo utawala.
Kama inataka kuwa mtawala ni lazima ianze kufikiria katika fikra za mtawala mtarajiwa. Maana yake ni kuwa ianze kuchukua vitendo vya kiharakati na mkakati kuonesha kuwa iko makini katika vita hii dhidi ya ufisadi. Haitoshi kuitisha vyombo vya habari kutuelezea ufisadi zaidi au kusimama na kutuambia habari za "panya" walioko kwenye halmashauri mbalimbali. Karibu kila Mtanzania anayejua kusoma na kuandika sasa hivi anajua kabisa kina na upana wa vitendo vya ufisadi
..."ref KUTOKAHAPA pg 25.

Mheshimiwa unatakiwa pia uandike responsibly bana sio kunywa responsibly tuu.
 
Nimesema CDM haitakiwi kuchukua madaraka kwa sababu haijajipinga? Lakini la pili ni kwanini unafikiria CDM wakiingia madarakani na ufisadi utakwisha au wataumaliza? Ni vitu ambavyo CDM wamesema watafanya wakiingia madarakani kushughulikia ufisadi na kuutokomeza ambavyo havifanywi na CCM au havijafanywa na CCM?

Mushi, nimekusoma kwa muda mrefu wakati mwingine unatengeneza vitu kichwani mwako na unafikiria ndivyo mtu anasema. Nikitaka kusema kitu nakisema kilivyo. Badala ya kuhitimisha vitu kichwani ni bora uulize ili upate uhakika wa nini nimekisema.

Tafsiri yako inaweza vipi kuwa maneno yangu. Kama sijasema hivyo neno kwa neno unachukua vipi kuwa ndio msimamo wangu kiasi cha kuniona kuwa nataka ufisadi uendelee?

Haya ni maneno yako siyo ya kwangu.

Halafu km nilivyokuuliza kwa kuchomekea.Au unaona aibu rudia ulicho andika?naona kuna ukweli ingawa sikuwa nimesoma vitu vyako virefu na vinavyokosa consisitency.Swali:Umeona shida ya ulichoandika?

"............Wapo wanaoamini (bila sababu ya msingi) kuwa tatizo la Chadema ni "ukabila".Hoja hizi zimerudiwa rudiwa mara kwa mara na licha ya kupewa majibu ya kutosheleza kabisa bado watu wengine (na wengine wana dalili ya usomi) wanaamini kuwa Chadema ni chama cha kikabila...........".ref KUTOKAHAPA uk 5.

Baada ya hapa nataka nitumie hii doc kukupatia nilichodecode kwako.
Kinaniuma sana kuwa kweli ulikuwa very influencial ktk uchaguzi uliopita si kwa yale unayojaribu tuambia,bali yale unayojaribu kutuficha na kujazia mengine kwa uchaguzi ujao.

NB:usi skip swali katika blue kama kawaida yako.Jibu ni rahisi tuu Y/N, linalofuatia linatokana na ulichojibu.
 
Wakati unataka escape kwa kudai kuwa si maneno yako...kabla ya kuletewa maneno yako yakiizodoa CDM kuwa imeegeme kashfa ya ufisadi.Hembu tunagalia unachofanya ktk article nyingine.Hapa chini kwenye ile KUTOKAHAPA yako

"......Hata hivyo mfumo wetu wa kisiasa ulivyo sasa umetengeneza mazingira mazuri kabisa ya Chadema kuweza kufanya vizuri katika nafasi zote mbili. Kinyume na wale wanaoamini ni muhimu kuongeza idadi ya wabunge ili "kuimarisha ubunge upinzani" mimi ninaamini kama Chadema inataka kuwa na wabunge wengi siyo kwa ajili ya kuongeza 'upinzani Bungeni' bali ni kwa ajili ya kuweza kushika nafasi mbili muhimu sana. Uwaziri Mkuu na Spika wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania...".

Hapa kwenye red palikuwa maneno ya CDM au yako?

Walipata Uspika au Uwaziri Mkuu?
 
Back
Top Bottom