Proper recording: Nini kilimbadili Mzee Mwanakijiji?

Proper recording: Nini kilimbadili Mzee Mwanakijiji?

Ukijenga premises zako vibaya lazima u arrive ktk wrong conclusion. Mbona yote niliyoaeleza yameonekana ktk hii discussion na mengi hakuweza hata jaribu defend?Na wala siongelei personal issue kihivvy hadi iwe tofauti na maswali uliyotaka majibu yake hapa.Kwa alivyojipambanua ali play it safe ili kumaintain credibility yake ktk CDM circles.

Hayo mengine ambayo unapenda mpa credit sikunyimi kufanya hivyo kama hujawahi ona watu wakitoa siri(ila zilizokusudiwa kutumika), ili kujiweka vyma katika position ya kukubalika na kuaminiwa kabla ya kufuatiwa na siri feki au hata mawazo feki.

Sidhani kama hapa tunatafuta nani apate credit na nani asipate. Tukijadili masuala hivyo basi mwisho wake ni kutafuta nani ameshinda kwenye mjadala huu na ndicho ninachokiona.Wazo jema kabisa la thread hii lilikuwa kufahamu nini kimembadili Mzee Mwanakijiji maana huko nyuma baada ya uchaguzi mkuu wa mwaka 2005 alipoteza imani na vyama vya upinzani hususan CDM lakini sasa amerudisha imani baada ya reforms mbalimbali ndani ya CDM, kupoteza imani aliyokuwa nayo kwa JK na uogozi wake lakini pia mikakati ya CDM kuelekea uchaguzi mkuu wa mwaka 2010.

Unazungumzia suala la siri za Mzee Mwanakijiji katika kuhalalisha allegations zako dhidi yake hicho ndicho tunakitaka. Kama unazo zimwage hapa jamvini ili tumjue vizuri vinginevyo umekuwa ukiibuwa madai mazito ambayo yanakosa supportive verifications.

Believe me, Analysis ya MMK sio nzuri hivyo hata ktk writeup yake aliyokuwa akiwashawishi CDM kwenda for less,kwa kiasi cha kuisaidia CCM kivile na kwa patterns zilezile alizozisema.Pia hana sababu ya msingi kukaa mbali na CDM huku anakiri kuwa ndicho chama pekee chenye matumaini ya watanzania,halafu akataka itwa mzalendo.Kapunguza makali ya ufisadi kwa nguvu zote humu ndani hata pale Jmushi1 alivyomwambia kuwa ufisadi wenyewe tuu unatosha iondoa serikali kw amapinduzi achilia mbali kwa kura.

Kosa kubwa ambalo naliona kwako na kwa watu wengine ni kuamini kwamba ili kweli uwe mpenda mabadiliko lazima uwe ndani ya CDM, ushiriki shughuli zote kama mwanachama, usikosoe jambo lolote linalotendwa na CDM na zaidi usiwe na msimamo tofauti. Ni lazima utambue kuwa, CDM si Malaika lazima kuna makosa ya msingi itafanya, itakosolewa zaidi na zaidi as far as inataka ridhaa ya kuongoza dola.Kama unaliona hili ni kukidhoofisha chama utakuwa wa kushangaza kidogo.
Hapa hata haikusemwa level ya hatri tuliyonayo.hapa lengo la huyu jamaa i kupunguza list ya mambo CDM wamepanga dili nayo wakati wakijiandaa watoa CCM.Watu wameuwa wakimiss a point here kuwa ufisadi ndio Kitu pekee CDM wanategemea.Kwa dynamism ya nchi hii na demands za watanzania ni CCM itoke,ndio maana yeye mwenyewe na wenzake wenye fikra za CCM wanakubalia kuwa CCM "imechokwa".kama tunavyofahamu watu wakichoka kitu wapo tayari kukiondoa kwa gharama yoyote wanayoweza afford.So kiukweli nikwamba MMK anasema kuwa watanzania hawataki CCM itoke tuu kwa vile tuu wameichoka.Kitu ambacho si sahihi logically.Pia kila sehemu watu wanaitisha CCM kuwa wasipofany akitu husika wanahamia CDM.Kuna mengi ya aina hii yanayoonyesha kuwa kweli wananchi wanachotaka sasa hivi kwa haraka ni CCM iondoke,halafu mengine yafuatie.Kwa chama chenye democrasia kinahitaji jikita wasaidia watu wajiletee maendeleao yao wenyewe ,kwa njia zao wenyewe zilizo halali na si kuwamezesha kwa nguvu fikra za wanaojiita wasomi.Miradi mingapi wasome hupigia kelele mijini na ktk vyombo vya habari halafu mwishowe huishia kuwa failure vijijini.sababu kubwa ni kwamba hao wasomi hupeleka vitu kwa fikra zao,na kuwataka watu wafanya kwa jinsi hao wasomi wanadhnai inatakiwa ifanywe.Wasomi wengi waliamini suluhisho la kuepusha migogoro ya binadamu na wanyama pori kama tembo ni kuwahamisha binadamu bila kujua kuwa tembo watasogea tuu kwani vinavyowavutia ni vile walimavyo binadamu na mazingira waliyojenga,hadi pale walipogundua kuwa kuna maendeo hutumia pilipili kuwafukuza tembo.Jamaa ali miss big upana wa democrasia.Sasa atakuwa na msaada gani kwa chama cha democrasia?By the way anawalaumu cdm kwa kitu ambacho ndio msingi wao na wanachokifanya kila siku.Na hana mamlaka ya kusema wafanyavyo ni vibaya wakati wafanyavyo vinamajibu waliyoyataka.

Sioni ni wapi uko tofauti na Mzee Mwanakijiji.Kwanza mnakubaliana wote CCM imechoka inapaswa kupumzishwa, mnakubaliana wote CDM ndiyo chama kilichobeba matumaini ya watanzania katika kuongoza harakati za kuiondoa CCM madarakani lakini pia hata hoja ya Ufisadi mnashabahiana vilevile. Unless kama utakuja na hoja tofauti katika haya hasa ile inayotilia shaka mwenendo wa Mzee Mwanakijiji katika mambo haya.

Tatizo liko wapi hasa? Mzee Mwanakijiji kutaka kasi ya CDM katika kujipanga kuwa chama mbadala cha CCM kwa kuonesha beyond doubt kwamba kiko tayari kumaliza makovu yote ya CCM na kuwahakikishia wananchi maisha bora baada ya hapo? Unaweza sema CCM iondoke sawa itaondoka, then what next? Ndicho anachohoji MMM na ana haki zote za kuendelea na msimamo huo na wewe ukabaki na wako wa CCM itoke kwanza, mambo mengine baadaye.


Pengine unaweza kataa ila naweza kuambia nina ushahidi hai wa mtu alishwahi mtongoza binti kwa kumwambia, sidhani kama ungeweza kuwa mke wangu kwa jinsi unavyovaa.next 2 week yule binti alikuwa akitafuta namna ya kufikia viwango alivyokuwa akitaka jamaa.KOSA LA CDM NA WATANZANIA NI KUMSIKILIZA TUU HUYU JAMAA AND SOMWHERE IN BETWEEN WAKAJIKUTA WANAKWENDA KWA FIKRA ZAKE.MARA NYINGINE KISAIKOLOGIA NI SALAMA ZAIDI KWA WATU WENYE FIKRA TOFAUTI KUTOSIKILIZA FIKRA FULANI.TOKA KWA MWANDISHI IRRESPONSIBLE KWANI KAULI ZAKE ZITATUMIKA SANA KUPOTOSHA WATU KWA MIAKA MINGI IJAYO.

Sasa kama unakiri binti alibadilika ili kukidhi vigezo vya jamaa alivyotaka ili amuoe kwa nini usikubali dhana ya CDM kujipanga na kubadilika katika kumeet standards za kuwa chama chenye uwezo wa kushika dola kweli? Maana hii hoja ndiyo imekuwa ikiimbwa kwenye thread hii.Nadhani unakubali kuwa wananchi wengi bado wana wasiwasi na mabadiliko na wanapaswa kuandaliwa na kuhakikishiwa 'salama' yao baada ya mabadiliko tunayoyaimba. Hiyo ndiyo kazi inayofanywa na M4C na operesheni zingine lakini hilo pekee halitoshi lazima kuwe na Institutional strategies za CDM kuwa full ready kucontrol dola na kubadili mifumo mibonu iiyopo sasa.

Pengine tuu mleta mada tujue lengo la kujiuliza juu ya huyu jamaa na baadaye kuleta hii thread.Kama ni kumwongezea popularity ili next election aweze program watu vizuri basi utakuwa hukufanya responsibly na pia ulisahau kuwa this time around kuna watu hawapo tayari kwa hayo.

Kama umesoma thread yangu nimeeleza MMM anafanya kazi kubwa sana katika kuyaendea mabadiliko nchini. Katika makala na maandiko karibu yote niliyosoma sijawahi kuona usaliti kwenye harakati, amekuwa well focused ataunga mkono anachoamini ni chema katika kuelekea mageuzi na atapinga kwa hoja pale anapoona mambo hayaendi sawa.Amekuwa akifanya hivyo. Hata huo ufisadi unaosema, amekuwa key player katika kuufichua kuliko hata wanasiasa wakubwa unaowafahamu wewe. Sijui kama kuna mwenye kupinga haya
 
Ukijenga premises zako vibaya lazima u arrive ktk wrong conclusion. Mbona yote niliyoaeleza yameonekana ktk hii discussion na mengi hakuweza hata jaribu defend?Na wala siongelei personal issue kihivvy hadi iwe tofauti na maswali uliyotaka majibu yake hapa.Kwa alivyojipambanua ali play it safe ili kumaintain credibility yake ktk CDM circles.

Hayo mengine ambayo unapenda mpa credit sikunyimi kufanya hivyo kama hujawahi ona watu wakitoa siri(ila zilizokusudiwa kutumika), ili kujiweka vyma katika position ya kukubalika na kuaminiwa kabla ya kufuatiwa na siri feki au hata mawazo feki.

Sidhani kama hapa tunatafuta nani apate credit na nani asipate. Tukijadili masuala hivyo basi mwisho wake ni kutafuta nani ameshinda kwenye mjadala huu na ndicho ninachokiona.Wazo jema kabisa la thread hii lilikuwa kufahamu nini kimembadili Mzee Mwanakijiji maana huko nyuma baada ya uchaguzi mkuu wa mwaka 2005 alipoteza imani na vyama vya upinzani hususan CDM lakini sasa amerudisha imani baada ya reforms mbalimbali ndani ya CDM, kupoteza imani aliyokuwa nayo kwa JK na uogozi wake lakini pia mikakati ya CDM kuelekea uchaguzi mkuu wa mwaka 2010.

Unazungumzia suala la siri za Mzee Mwanakijiji katika kuhalalisha allegations zako dhidi yake hicho ndicho tunakitaka. Kama unazo zimwage hapa jamvini ili tumjue vizuri vinginevyo umekuwa ukiibuwa madai mazito ambayo yanakosa supportive verifications.

Believe me, Analysis ya MMK sio nzuri hivyo hata ktk writeup yake aliyokuwa akiwashawishi CDM kwenda for less,kwa kiasi cha kuisaidia CCM kivile na kwa patterns zilezile alizozisema.Pia hana sababu ya msingi kukaa mbali na CDM huku anakiri kuwa ndicho chama pekee chenye matumaini ya watanzania,halafu akataka itwa mzalendo.Kapunguza makali ya ufisadi kwa nguvu zote humu ndani hata pale Jmushi1 alivyomwambia kuwa ufisadi wenyewe tuu unatosha iondoa serikali kw amapinduzi achilia mbali kwa kura.

Kosa kubwa ambalo naliona kwako na kwa watu wengine ni kuamini kwamba ili kweli uwe mpenda mabadiliko lazima uwe ndani ya CDM, ushiriki shughuli zote kama mwanachama, usikosoe jambo lolote linalotendwa na CDM na zaidi usiwe na msimamo tofauti. Ni lazima utambue kuwa, CDM si Malaika lazima kuna makosa ya msingi itafanya, itakosolewa zaidi na zaidi as far as inataka ridhaa ya kuongoza dola.Kama unaliona hili ni kukidhoofisha chama utakuwa wa kushangaza kidogo.
Hapa hata haikusemwa level ya hatri tuliyonayo.hapa lengo la huyu jamaa i kupunguza list ya mambo CDM wamepanga dili nayo wakati wakijiandaa watoa CCM.Watu wameuwa wakimiss a point here kuwa ufisadi ndio Kitu pekee CDM wanategemea.Kwa dynamism ya nchi hii na demands za watanzania ni CCM itoke,ndio maana yeye mwenyewe na wenzake wenye fikra za CCM wanakubalia kuwa CCM "imechokwa".kama tunavyofahamu watu wakichoka kitu wapo tayari kukiondoa kwa gharama yoyote wanayoweza afford.So kiukweli nikwamba MMK anasema kuwa watanzania hawataki CCM itoke tuu kwa vile tuu wameichoka.Kitu ambacho si sahihi logically.Pia kila sehemu watu wanaitisha CCM kuwa wasipofany akitu husika wanahamia CDM.Kuna mengi ya aina hii yanayoonyesha kuwa kweli wananchi wanachotaka sasa hivi kwa haraka ni CCM iondoke,halafu mengine yafuatie.Kwa chama chenye democrasia kinahitaji jikita wasaidia watu wajiletee maendeleao yao wenyewe ,kwa njia zao wenyewe zilizo halali na si kuwamezesha kwa nguvu fikra za wanaojiita wasomi.Miradi mingapi wasome hupigia kelele mijini na ktk vyombo vya habari halafu mwishowe huishia kuwa failure vijijini.sababu kubwa ni kwamba hao wasomi hupeleka vitu kwa fikra zao,na kuwataka watu wafanya kwa jinsi hao wasomi wanadhnai inatakiwa ifanywe.Wasomi wengi waliamini suluhisho la kuepusha migogoro ya binadamu na wanyama pori kama tembo ni kuwahamisha binadamu bila kujua kuwa tembo watasogea tuu kwani vinavyowavutia ni vile walimavyo binadamu na mazingira waliyojenga,hadi pale walipogundua kuwa kuna maendeo hutumia pilipili kuwafukuza tembo.Jamaa ali miss big upana wa democrasia.Sasa atakuwa na msaada gani kwa chama cha democrasia?By the way anawalaumu cdm kwa kitu ambacho ndio msingi wao na wanachokifanya kila siku.Na hana mamlaka ya kusema wafanyavyo ni vibaya wakati wafanyavyo vinamajibu waliyoyataka.

Sioni ni wapi uko tofauti na Mzee Mwanakijiji.Kwanza mnakubaliana wote CCM imechoka inapaswa kupumzishwa, mnakubaliana wote CDM ndiyo chama kilichobeba matumaini ya watanzania katika kuongoza harakati za kuiondoa CCM madarakani lakini pia hata hoja ya Ufisadi mnashabahiana vilevile. Unless kama utakuja na hoja tofauti katika haya hasa ile inayotilia shaka mwenendo wa Mzee Mwanakijiji katika mambo haya.

Tatizo liko wapi hasa? Mzee Mwanakijiji kutaka kasi ya CDM katika kujipanga kuwa chama mbadala cha CCM kwa kuonesha beyond doubt kwamba kiko tayari kumaliza makovu yote ya CCM na kuwahakikishia wananchi maisha bora baada ya hapo? Unaweza sema CCM iondoke sawa itaondoka, then what next? Ndicho anachohoji MMM na ana haki zote za kuendelea na msimamo huo na wewe ukabaki na wako wa CCM itoke kwanza, mambo mengine baadaye.


Pengine unaweza kataa ila naweza kuambia nina ushahidi hai wa mtu alishwahi mtongoza binti kwa kumwambia, sidhani kama ungeweza kuwa mke wangu kwa jinsi unavyovaa.next 2 week yule binti alikuwa akitafuta namna ya kufikia viwango alivyokuwa akitaka jamaa.KOSA LA CDM NA WATANZANIA NI KUMSIKILIZA TUU HUYU JAMAA AND SOMWHERE IN BETWEEN WAKAJIKUTA WANAKWENDA KWA FIKRA ZAKE.MARA NYINGINE KISAIKOLOGIA NI SALAMA ZAIDI KWA WATU WENYE FIKRA TOFAUTI KUTOSIKILIZA FIKRA FULANI.TOKA KWA MWANDISHI IRRESPONSIBLE KWANI KAULI ZAKE ZITATUMIKA SANA KUPOTOSHA WATU KWA MIAKA MINGI IJAYO.

Sasa kama unakiri binti alibadilika ili kukidhi vigezo vya jamaa alivyotaka ili amuoe kwa nini usikubali dhana ya CDM kujipanga na kubadilika katika kumeet standards za kuwa chama chenye uwezo wa kushika dola kweli? Maana hii hoja ndiyo imekuwa ikiimbwa kwenye thread hii.Nadhani unakubali kuwa wananchi wengi bado wana wasiwasi na mabadiliko na wanapaswa kuandaliwa na kuhakikishiwa 'salama' yao baada ya mabadiliko tunayoyaimba. Hiyo ndiyo kazi inayofanywa na M4C na operesheni zingine lakini hilo pekee halitoshi lazima kuwe na Institutional strategies za CDM kuwa full ready kucontrol dola na kubadili mifumo mibonu iiyopo sasa.

Pengine tuu mleta mada tujue lengo la kujiuliza juu ya huyu jamaa na baadaye kuleta hii thread.Kama ni kumwongezea popularity ili next election aweze program watu vizuri basi utakuwa hukufanya responsibly na pia ulisahau kuwa this time around kuna watu hawapo tayari kwa hayo.

Kama umesoma thread yangu nimeeleza MMM anafanya kazi kubwa sana katika kuyaendea mabadiliko nchini. Katika makala na maandiko karibu yote niliyosoma sijawahi kuona usaliti kwenye harakati, amekuwa well focused ataunga mkono anachoamini ni chema katika kuelekea mageuzi na atapinga kwa hoja pale anapoona mambo hayaendi sawa.Amekuwa akifanya hivyo. Hata huo ufisadi unaosema, amekuwa key player katika kuufichua kuliko hata wanasiasa wakubwa unaowafahamu wewe. Sijui kama kuna mwenye kupinga haya
 
Unamwaga tuhuma nyingi sana kwa Mzee Mwanakijiji bila ushahidi wa moja kwa moja. Hutuelezi kama mjadala huu ndiyo umezaa tuhuma zote hizi au kuna ushahidi mwingine ambao pengine utatuwekea humu jamvini.

Hoja kwamba CDM inatakiwa ijipange kuanzia sasa kuchukua dola na ibehave kama chama tawala tarajiwa sijui wewe unaionaje.
Maana ndiyo Mwanakijiji anaisimamia na kwa kweli ni njema kwa CDM.Labda unaweza kutuambia kama ni critique mbaya au laa wakati huohuo ukitakiwa ujue kuwa hatuwezi kujenga kwa kua affirm kila kitu lazima critics ziwepo.

Sasa hayo mengine kama ya Mzee Mwanakijiji kusababisha CDM isishinde urais mwaka 2010 kwa kuwaandaa kusettle for less, mara anaiona CDM kama chama cha kikanda na kikabila, ooh ana msupport Zitto & Co, anafanya kazi TISS nk. nk. unaweza kutusaidia kutupa ushahidi ili na sisi wengine wengi wakiwemo viongozi wa juu wa CDM (Maana nao wanawamini MMM ndiyo maana wakamshirikisa kwenye kuandaa ilani ya chama mwaka 2010) ambao tunatambua kwa dhati sana mchango wa MMM katika mageuzi tuanze kumuangalia kwa jicho la tatu.Maana kama kweli ukituletea ushahidi wa yote haya basi Mzee Mwanakijiji atakuwa against mageuzi.

Kuhusu hoja kwamba aliwandaa CDM kusettle for less, inatia mashaka kidogo maana moja ya andiko la Mzee Mwanakijiji ninalolikumbuka baada ya uchaguzi mkuu wa mwaka 2010 ni la kuulaumu uongozi wa juu wa CDM kwa kujikita katika kusaka viti vya ubunge tu bila kuweka nguvu katika ulinzi wa kura za Urais. Nakumbuka alisema wazi kuwa Dkt. Slaa aliachwa yatima katika hilo na MMM aliishtua CDM kuwa hilo lilitokana na uongozi wote wa juu kuwa majimboni ukihaha kulinda kura.

Alifichua na mbinu iliyotumiwa na CCM kuchelewesha makusudi matokeo ya ubunge maeneo ambako CDM ilikuwa na uhakika wa kushinda na yale ambayo viongozi wa juu wa CDM waligombea. Hata majimbo ya DSM tu, akina JJ Mnyika waliweka nguvu kwenye majimbo zaidi kuliko kura za urais.

Labda kama una ushahidi wa unayoyaandika utuwekee hapa. Otherwise lazima una agenda yako ya siri dhidi ya mageuzi na CDM yenyewe. Kwa wenye kuitakia mema CDM na hata mageuzi yenyewe nchini hoja hii ya Mwanakijiji ni ya kuchukua kama changamoto na kuifanyia kazi si kureact kama unavyofanya wewe.
Hapo kwenye bold,hivi mnaposema chadema ijipange kama chama tawala mnamaanisha kitu gani?Una mfano gani Tanzania wa chama tawala zaidi ya ccm?

Na ccm imeshajipanga vipi kiutawala zaidi ya kifisadi?Ebu kuweni specific mnapotoa huo mfano wa kujipanga kama chama tawala,unajuwa hao mafisadi walivyojipanga kama watawala na unataka chadema waige?
 
Hapo kwenye bold,hivi mnaposema chadema ijipange kama chama tawala mnamaanisha kitu gani?Una mfano gani Tanzania wa chama tawala zaidi ya ccm?

Na ccm imeshajipanga vipi kiutawala zaidi ya kifisadi?Ebu kuweni specific mnapotoa huo mfano wa kujipanga kama chama tawala,unajuwa hao mafisadi walivyojipanga kama watawala na unataka chadema waige?

Mkuu fuatilia posts za nyuma.Hili limeelezwa vizuri ingawa kwa mitizamo tofauti.
 
Mkuu fuatilia posts za nyuma.Hili limeelezwa vizuri ingawa kwa mitizamo tofauti.
Swali ni simple,ni mfano gani wa chama tawala Tanzania ambao ni wa kupigiwa na chadema?Mimi sijapitia posti za nyuma peke yake,bali nimepitia hata hizo makala zote.
 
bado mpo kwenye ''proper recording''!!!?............
 
Swali ni simple,ni mfano gani wa chama tawala Tanzania ambao ni wa kupigiwa na chadema?Mimi sijapitia posti za nyuma peke yake,bali nimepitia hata hizo makala zote.

Hakuna anayesema CDM iige kinachofanywa na CCM, sasa itakuwa na maana gani ya kuiondoa CCM then? Kinachozungumzwa hapa ni CDM kujipanga kuwa chama tawala, kisijekuanza kujipanga kikiwa madarakani tayari.Hoja ni je CDM ijipange mapema kabla ya kuingia madarakani au ije kuanza kujipanga ikishashika dola? Sasa watu wanahoji kwa nini CDM isioneshe utayari huo sasa maana isijekuwa ni kutaka kuiondoa CCM tu wakati hakuna mikakati kuwakomboa watanzania baada ya hapo. Kuna baya gani hapo linaloweza kumfanya mtu atokwe povu na kuanza kuitana majina ya kila aina? Kwi! kwi! kwi!
 
Hakuna anayesema CDM iige kinachofanywa na CCM, sasa itakuwa na maana gani ya kuiondoa CCM then? Kinachozungumzwa hapa ni CDM kujipanga kuwa chama tawala, kisijekuanza kujipanga kikiwa madarakani tayari.Hoja ni je CDM ijipange mapema kabla ya kuingia madarakani au ije kuanza kujipanga ikishashika dola? Sasa watu wanahoji kwa nini CDM isioneshe utayari huo sasa maana isijekuwa ni kutaka kuiondoa CCM tu wakati hakuna mikakati kuwakomboa watanzania baada ya hapo. Kuna baya gani hapo linaloweza kumfanya mtu atokwe povu na kuanza kuitana majina ya kila aina? Kwi! kwi! kwi!
Acha kujitekenya na kisha kujichekesha mkuu!

Nimekuuliza swali simple sana,lakini unarukaruka tu.

Ni chama gani tawala hapo Tanzania ambacho unataka chadema waige mfano wake wa utawala?Sasa nini kigumu hapo kujibu?

Kama unafikiri kabla ya kutype,sidhani kama utapata shida kunijibu swali hilo.Umesema wa act kama watawala ama chama tawala,nipe mfano.Simple!
 
Acha kujitekenya na kisha kujichekesha mkuu!

Nimekuuliza swali simple sana,lakini unarukaruka tu.

Ni chama gani tawala hapo Tanzania ambacho unataka chadema waige mfano wake wa utawala?Sasa nini kigumu hapo kujibu?

Kama unafikiri kabla ya kutype,sidhani kama utapata shida kunijibu swali hilo.Umesema wa act kama watawala ama chama tawala,nipe mfano.Simple!

Nani anasema CDM iige ya chama tawala hapa? Swali lako nimelijibu vema kwenye post hapo juu. Kinachozungumzwa hapa si CDM kuiga au kupata mbinu kutoka CCM bali CDM kuonesha umbadala kwa kujipanga kuwa chama tawala, kisijekuanza kujipanga kikiwa madarakani tayari.Sasa watu wanatofautina katika hoja ya Je CDM ijipange mapema kabla ya kuingia madarakani au ije kuanza kujipanga ikishashika dola?

Kwa ufupi swali ni, Ni ipi mikakati ya CDM katika kuendesha dola iwapo watapewa nafasi hiyo? Kuna baya gani katika swali hilo linaloweza kumfanya mtu atokwe povu na kuanza kuitana majina ya kila aina?
 
Nani anasema CDM iige ya chama tawala hapa? Swali lako nimelijibu vema kwenye post hapo juu. Kinachozungumzwa hapa si CDM kuiga au kupata mbinu kutoka CCM bali CDM kuonesha umbadala kwa kujipanga kuwa chama tawala, kisijekuanza kujipanga kikiwa madarakani tayari.Sasa watu wanatofautina katika hoja ya Je CDM ijipange mapema kabla ya kuingia madarakani au ije kuanza kujipanga ikishashika dola?

Kwa ufupi swali ni, Ni ipi mikakati ya CDM katika kuendesha dola iwapo watapewa nafasi hiyo? Kuna baya gani katika swali hilo linaloweza kumfanya mtu atokwe povu na kuanza kuitana majina ya kila aina?
Duuh!Hivi kumbe swali gumu sana hili?lol!

Ok,unaposema kijipange kuwa chama tawala,ni mfano gani unaweza kunipatia?Labda hapo tutarahisisha zaidi.

Maana kama wewe ni mtanzania,ni lazima utakuwa na mfano mzuri tu wa jinsi chama tawala kinavyojipanga.Nipatie mfano tu nitashukuru.

Natanguliza shukrani.

Angalizo
:Nilidhani wewe utanijibu kama alivyosema Mwanakijiji kwamba anataka ajuwe watafanya nini kuhusu Usalama wa Taifa,na polisi.Nilikubaliana naye kwa kumjibu kwamba ni kweli taasisi hizo zinahitaji overhaull.Chamsingi ninachoamini mimi,ni kwamba tunahitaji katiba mpya,kwasababu hata taasisi hizo ziliundwa kwa nia njema kabisa,lakini badala yeke zinafanya shughuli zake kichama zaidi.Katiba mpya ikipatikana kwanza,the we can build our plans accordingly,sidhani kama chadema wanaweza kusema kila kitu na wakati hawajui kama watakuwa wanavunja katiba mpya itakayokuwepo,ama huamini hilo?Kwamba kujipanga kunahitaji kufanyika bila kuvunja katiba ya nchi?Na je hatusubiri katiba mpya?
 
Duuh!Hivi kumbe swali gumu sana hili?lol!

Ok,unaposema kijipange kuwa chama tawala,ni mfano gani unaweza kunipatia?Labda hapo tutarahisisha zaidi.

Maana kama wewe ni mtanzania,ni lazima utakuwa na mfano mzuri tu wa jinsi chama tawala kinavyojipanga.Nipatie mfano tu nitashukuru.

Natanguliza shukrani.

Angalizo
:Nilidhani wewe utanijibu kama alivyosema Mwanakijiji kwamba anataka ajuwe watafanya nini kuhusu Usalama wa Taifa,na polisi.Nilikubaliana naye kwa kumjibu kwamba ni kweli taasisi hizo zinahitaji overhaull.Chamsingi ninachoamini mimi,ni kwamba tunahitaji katiba mpya,kwasababu hata taasisi hizo ziliundwa kwa nia njema kabisa,lakini badala yeke zinafanya shughuli zake kichama zaidi.Katiba mpya ikipatikana kwanza,the we can build our plans accordingly,sidhani kama chadema wanaweza kusema kila kitu na wakati hawajui kama watakuwa wanavunja katiba mpya itakayokuwepo,ama huamini hilo?Kwamba kujipanga kunahitaji kufanyika bila kuvunja katiba ya nchi?Na je hatusubiri katiba mpya?

Hapo kwenye RED, ndiyo jinsi chama kinavyojipanga kuchukua dola.Kinajiandaa kabla katika kuleta mabadiliko ya kimfumo katika kada mbalimbali za uendeshaji dola ili kitofautiane na kilichokuwepo.Maana ndiyo sababu hasa ya kukiondoa chama tawala, kimeshindwa. Sasa hoja iliyopo ni Je hayo yafanyike sasa kabla CDM haijashika dola au CDM ianze kuyafanyia kazi ikishakuwa madarakani?

Angalizo katika hili nimeshasema huko nyuma kwamba lifanyike in covert manner I mean kwa usiri kupitia Idara ya Sera, Utafiti na Mipango ya CDM (Kama ipo), ili kuepuka mikakati hiyo kuvuja na kuchukuliwa na CCM hivyo kuzidi kukijengea uhalali wa kuzidi kutawala au kuigeuza CDM 'Think Tank' ya CCM

Tunapopsema kujiandaa kushika dola tunalenga kuishtua CHADEMA kuanza kuangaza mambo hayo tuendako 2015. Swali langu liko palepale, kuna baya gani kukishtua chama kufanya hayo hadi mtu afikie hatua ya kutokwa povu na kuita watu majina ya kila aina?
 
Hapo kwenye RED, ndiyo jinsi chama kinavyojipanga kuchukua dola.Kinajiandaa kabla katika kuleta mabadiliko ya kimfumo katika kada mbalimbali za uendeshaji dola ili kitofautiane na kilichokuwepo.Maana ndiyo sababu hasa ya kukiondoa chama tawala, kimeshindwa. Sasa hoja iliyopo ni Je hayo yafanyike sasa kabla CDM haijashika dola au CDM ianze kuyafanyia kazi ikishakuwa madarakani?

Angalizo katika hili nimeshasema huko nyuma kwamba lifanyike in covert manner I mean kwa usiri kupitia Idara ya Sera, Utafiti na Mipango ya CDM (Kama ipo), ili kuepuka mikakati hiyo kuvuja na kuchukuliwa na CCM hivyo kuzidi kukijengea uhalali wa kuzidi kutawala au kuigeuza CDM 'Think Tank' ya CCM

Tunapopsema kujiandaa kushika dola tunalenga kuishtua CHADEMA kuanza kuangaza mambo hayo tuendako 2015. Swali langu liko palepale, kuna baya gani kukishtua chama kufanya hayo hadi mtu afikie hatua ya kutokwa povu na kuita watu majina ya kila aina?
Ok,mkuu,kwanza sijui una refer kitu gani unaposema kuna mtu ameitwa majina na kunawaotokwa mapovu,hilo swali kama kuna mtu unamwuliza,basi huna haja ya kulirudia rudia unaponi quote.Jisimamie na umwulize huyo unayeona anatoa povu na kuita majina.Uliza directly maana sikuelewi.

Pili,unasema chadema wafanye kwasiri,mbona wewe na Mwanakijiji hamkufanya kwa siri?Ama siri ina maana gani?Na kama ni kwa siri,wewe unajuaje kwamba hawajafanya hivyo?(kujipanga kwa siri)

Kwamba chama kinatakiwa kiwe na mipango kabla ya kuchukuwa madaraka,hilo liko wazi,na nimeshasema huko nyuma kwamba nakubaliana na hilo.Lakini pia nadhani hukuona nilivyomwuliza maswali Mwanakijiji ambayo hakuyajibu.

Kwa mfano ameshasema kwamba chadema hawawezi kujipanga sasa hivi ili kuweza kuchukuwa madaraka 2015,kwa maana kwamba ni too late.

Sasa labda na yeye anajuwa kwamba hawajafanya lolote,na nikwamwambia kuwa kutokana na makala zake,ni wazi yeye anaona chadema hawajajipanga kiuongozi,hayo mengine ya covert ni wewe unayasema.

Mwisho,nimesema kwamba kipaumbele ni katiba mpya,kwasababu hiyo itadetermine mambo mengi zaidi ya kuhusu mwelekeo wa Taifa letu(pamoja na mikakati ya vyama).

Tuanze na katiba kwanza na si criticism ambazo hazijenga bali zinabomoa.Kumbuka kuna criticism zenye kujenga na zile zenye kubomoa.
 
Ok,mkuu,kwanza sijui una refer kitu gani unaposema kuna mtu ameitwa majina na kunawaotokwa mapovu,hilo swali kama kuna mtu unamwuliza,basi huna haja ya kulirudia rudia unaponi quote.Jisimamie na umwulize huyo unayeona anatoa povu na kuita majina.Uliza directly maana sikuelewi.

Pili,unasema chadema wafanye kwasiri,mbona wewe na Mwanakijiji hamkufanya kwa siri?Ama siri ina maana gani?Na kama ni kwa siri,wewe unajuaje kwamba hawajafanya hivyo?(kujipanga kwa siri)
Kwamba chama kinatakiwa kiwe na mipango kabla ya kuchukuwa madaraka,hilo liko wazi,na nimeshasema huko nyuma kwamba nakubaliana na hilo.Lakini pia nadhani hukuona nilivyomwuliza maswali Mwanakijiji ambayo hakuyajibu.

Sasa kama unakubaliana na hilo tatizo ni nini hasa? Maana uko kwenye kundi la wanaounga hoja ya MMM yaani Chama kioneshe utayari wa kuongoza dola kabla hakijakamata madaraka dhidi ya wale wanaotaka Chama kikamate dola kwanza kisha kujipanga baadaye.

Kwa mfano ameshasema kwamba chadema hawawezi kujipanga sasa hivi ili kuweza kuchukuwa madaraka 2015,kwa maana kwamba ni too late.

Atakuja mwenyewe Mzee Mwanakijiji kulifafanua ana maanisha nini.Maana bado kuna miaka miwili na ushee kuelekea uchaguzi mkuu wa mwaka 2015 na CDM si kwamba imelala inaendelea na programu zake.Sasa projection za MMM zimewezaje kuona CDM iko too late?

Sasa labda na yeye anajuwa kwamba hawajafanya lolote,na nikwamwambia kuwa kutokana na makala zake,ni wazi yeye anaona chadema hawajajipanga kiuongozi,hayo mengine ya covert ni wewe unayasema.

Sasa kama kweli Mzee Mwanakijiji amesema CDM hawajafanya lolote imekuwaje huyohuyo akasema CDM ndicho chama pekee kwa sasa kimebeba matumaini ya mabadiliko kwa Watanzania? Sidhani kuna mtu atasimama aseme CDM haijafanya lolote kama unavyoaminisha. Hapo kwenye RED ndipo hata mimi nimetofautiana na Mwanakijiji lakini kama ilivyo wewe nimekubaliana naye katika hoja ya CDM kuweka mapema mikakati ya jinsi ya kuongoza dola kabla haijakabidhiwa madaraka.Siamini katika 'Ondoa CCM kwanza kisha mengine yatafuata'

Mwisho,nimesema kwamba kipaumbele ni katiba mpya,kwasababu hiyo itadetermine mambo mengi zaidi ya kuhusu mwelekeo wa Taifa letu(pamoja na mikakati ya vyama).Tuanze na katiba kwanza na si criticism ambazo hazijenga bali zinabomoa.Kumbuka kuna criticism zenye kujenga na zile zenye kubomoa.

Hili la mwisho la Katiba ndilo watu wangetegema kuiona CDM ikitilia mkazo sasa hivi. Maoni ya Katiba hiyo mpya tarajiwa (Kama itakuwa mpya kweli) yanakusanywa sasa hivi. Swali ni Je CDM inatumia vipi fursa hiyo kushaiwishi na kuleta mabadiliko ya kimfumo?
 
WOWOWO,naomba urekebishe hiyo posting yako ya mwisho uliyoniquote ili niweze kuelewa umequote kitu gani,ebu ipitie upya na kama umeridhika unijulishe kabla sijakujibu,maana ninataka kukujibu,lakini naomba ufanye hayo marekebisho machache.
Take your time please.
 
WOWOWO,naomba urekebishe hiyo posting yako ya mwisho uliyoniquote ili niweze kuelewa umequote kitu gani,ebu ipitie upya na kama umeridhika unijulishe kabla sijakujibu,maana ninataka kukujibu,lakini naomba ufanye hayo marekebisho machache. Take your time please.
Mkuu jmushi1, hilo la kusema Chadema haijajipanga kuchukua madaraka, ni dai dhaifu linaloweza kutolewa tu na watu wale waleee...! - wanaoamini Tanzania haiwezekani bila CCM na wasioitakia mema Chadema...eti kujipanga!

Kila wakati kwenye vikao vya bajeti mawaziri vivuli kutoka chama kikuu cha upinzani, Chadema, huwasilisha bungeni bajeti na mipango mbadala ambayo malengo yake si tu kuonesha mapungufu katika mipango ya serikali bali na njia bora zaidi za kuyashughulikia...je huku si kujipanga?

Kila wakati wa kampeni Chadema hutoa ilani ya uchaguzi ikionesha mipango na ahadi iwapo itakabidhiwa madaraka ya nchi na namna itakavyoweza kuzisimamia na kuzitekeleza kwa umakini zaidi ya waliopo madarakani...je huku si kujipanga?

Chama chochote kile mpaka kipate usajili ni kwamba kimetekeleza yote yaliyooanishwa kikatiba, kikanuni na kiuongozi, je Chadema kama chama cha siasa haina katiba? Haina sera? Haina viongozi? Je huku nako si kujipanga?

Sote nafikiri tunakubaliana kwamba kwa kiasi kikubwa Chadema imetekeleza kwa ufanisi mkubwa jukumu lake kuu la kuikosoa serikali na ushahidi upo kuwa mapendekezo mengi ya Chadema serikali imeyakubali ama kwa kuyakopi au kwa kuachana na mipango isiyokuwa na tija kwa taifa...je ni kwa vipi Chadema haijajipanga?

Chadema hivi sasa wamefanikiwa kujijenga na kueneza moto wake nchi nzima na hakuna tena sehemu ndani ya taifa hili ambako Chadema haijulikani...je kuna kujipanga zaidi ya hapo?

Ama mimi sielewi maana ya kujipanga au hili dude kujipanga ni msamiati mpya ambao unatambulika hapa Tanzania tu. Je yupo yeyote yule anaweza kunipa undani wa kujipanga, Chadema wafanye nini zaidi ya wanachofanya? Kama kujipanga ni ku"manufacture" viongozi dhaifu kama Kikwete, nachoka!
 
Sidhani kama hapa tunatafuta nani apate credit na nani asipate. Tukijadili masuala hivyo basi mwisho wake ni kutafuta nani ameshinda kwenye mjadala huu na ndicho ninachokiona.Wazo jema kabisa la thread hii lilikuwa kufahamu nini kimembadili Mzee Mwanakijiji maana huko nyuma baada ya uchaguzi mkuu wa mwaka 2005 alipoteza imani na vyama vya upinzani hususan CDM lakini sasa amerudisha imani baada ya reforms mbalimbali ndani ya CDM, kupoteza imani aliyokuwa nayo kwa JK na uogozi wake lakini pia mikakati ya CDM kuelekea uchaguzi mkuu wa mwaka 2010.
Sidhani kam animeongelea suala la kupewa credits,ila ungekuwa unafuatilia MMK kuna sehemu alikuwa anapambana kwa ajili ya self esteem.Sidhani kama kuna sehemu nimecare kuhusu watu wananipercieve vipi.Mjadala wote nilikuwa nijitahidi mfanya ajiseme mwenyewe,na kwa kiasi kikubwa kajisema sana.So kwa walioweza angalia vyema alichoandika wanapata mengi zaidi ya anayoyasema.
Unazungumzia suala la siri za Mzee Mwanakijiji katika kuhalalisha allegations zako dhidi yake hicho ndicho tunakitaka. Kama unazo zimwage hapa jamvini ili tumjue vizuri vinginevyo umekuwa ukiibuwa madai mazito ambayo yanakosa supportive verifications.
Sidhani kama ni allegions just for the sake,hayo yapo wazi kwa alichoandika ktk hii thread na alichotuambia tukasome kwa vile alikuwa so busy hawezi tutafutia links zake au hata summarize.

Kosa kubwa ambalo naliona kwako na kwa watu wengine ni kuamini kwamba ili kweli uwe mpenda mabadiliko lazima uwe ndani ya CDM, ushiriki shughuli zote kama mwanachama, usikosoe jambo lolote linalotendwa na CDM na zaidi usiwe na msimamo tofauti. Ni lazima utambue kuwa, CDM si Malaika lazima kuna makosa ya msingi itafanya, itakosolewa zaidi na zaidi as far as inataka ridhaa ya kuongoza dola.Kama unaliona hili ni kukidhoofisha chama utakuwa wa kushangaza kidogo.
Sidhani kama ningedhani hivyo kwa wengine halafu mimi mwenyewe si mwanachama.Pia bado hujaelewa nilichoandika.Niliandika kuwa MMK anaamini kuwa CDM ndio mpinzani pekee potential, na anajua watanzania wapo desperate wanahitaji matumaini.Sasa yeye bado anayo stance kuwa yupo mbali na CDM,pamoja na kwamba anajipa sifa kuwa ni mwanamapinduzi, huku mara nyingine akijipa "uana CDM" kwa kutumia neno "TU...." ,na mara nyingine hata huo ushauri haupo , shutuma kali sana dhini ya CDM km adui vile wakati akichangia maeneo fulani, halafu bado anajiita mwana mapinduzi.Wanamapinduzi wa kweli husupport wenzao kwa vile wanaamini ktk umoja.Huyu jamaa amekuwa akiji distance na CDM sana, huku akijipaa role ya mkombozi, lakini hayupo tayari kwa mambo fulani muhimu sana.Logically ni vitu vinavyopingana.
Sioni ni wapi uko tofauti na Mzee Mwanakijiji.Kwanza mnakubaliana wote CCM imechoka inapaswa kupumzishwa, mnakubaliana wote CDM ndiyo chama kilichobeba matumaini ya watanzania katika kuongoza harakati za kuiondoa CCM madarakani lakini pia hata hoja ya Ufisadi mnashabahiana vilevile. Unless kama utakuja na hoja tofauti katika haya hasa ile inayotilia shaka mwenendo wa Mzee Mwanakijiji katika mambo haya.
wengi wangependa CCM itoke,wengine walishakata tamaa kuwa inaweza toka,hawa huon upinzani kuwa unakimbizana bure CCM haitaachia nchi.CCM nao huamini kuwa ni makosa kuwapa upinzani hata kama watashinda(huona upinzani wanacheza) na hii nortiona ndio jamaa anaineza kwa kutumia lugha tofauti.ndio maana alishauri sana watu wa opt for less..Kinaniuma sana.
Tatizo liko wapi hasa? Mzee Mwanakijiji kutaka kasi ya CDM katika kujipanga kuwa chama mbadala cha CCM kwa kuonesha beyond doubt kwamba kiko tayari kumaliza makovu yote ya CCM na kuwahakikishia wananchi maisha bora baada ya hapo? Unaweza sema CCM iondoke sawa itaondoka, then what next? Ndicho anachohoji MMM na ana haki zote za kuendelea na msimamo huo na wewe ukabaki na wako wa CCM itoke kwanza, mambo mengine baadaye.
teh teh..huyu jamaa ni kama mkandara,mchambuzi na wengine huwa idea zao ni ziileziile.Ukiwabana waseme na watoe sababu kwa vipimo vinavyoeleweka kuwa CDM hawajajipanga au walivyojipanga si siwa, wanaishia tisha watu,susa, deka, tumia usupa sta waliojijengea humu ndani, na mara nyingine wanashinda kwa wafuasi wao kuwatetea sana wakiamini kuwa huwezi kuwa tofauti na ukawa sawa.Si ktk ulimwengu wa kawaida tuu wafuasi wa mtu wanaweza nyamazisha wengine hata katk cyberworld hayo hutokea,na haya yamewapa san advantage hawa jamaa.

Kwanini hitimisho lake lilikuwa kama kilio ,huku akiomba mambo yake fulani niyakubali na si vinginevyo?mimi sina kadi ya CDM ingawa kura yangu wanayo,na view zangu positively zinawalenga.Ni kwa vile alijua hatoweza tena wapotosha watu kirahisi hapa,kwani hapa ndipo ilipo nguvu yake kabla hajakwena kwenye magazeti na website yake+forum.

nimekuwa nikitumia mfano wa minyoo kwa vile niliujua nitautumia sana.hembu uliza hilo swali lako kwa namna hii .Unaweza sema minyoo iondoke,sawa itatoka.then what next?. Hembu niambie linasound vipi?
Sasa kama unakiri binti alibadilika ili kukidhi vigezo vya jamaa alivyotaka ili amuoe kwa nini usikubali dhana ya CDM kujipanga na kubadilika katika kumeet standards za kuwa chama chenye uwezo wa kushika dola kweli? Maana hii hoja ndiyo imekuwa ikiimbwa kwenye thread hii.Nadhani unakubali kuwa wananchi wengi bado wana wasiwasi na mabadiliko na wanapaswa kuandaliwa na kuhakikishiwa 'salama' yao baada ya mabadiliko tunayoyaimba. Hiyo ndiyo kazi inayofanywa na M4C na operesheni zingine lakini hilo pekee halitoshi lazima kuwe na Institutional strategies za CDM kuwa full ready kucontrol dola na kubadili mifumo mibonu iiyopo sasa.
umejiuliza kama huyu mwanamume alikuwa player tuu?Wewe hizo standards unazozisema zimekuwa approved na body gani ya standards imeapprove?Salama ipi unaisema?na wewe unaamini kuwa CDM si chama salama?Sishangai kwa nini unanua kirahisi proganda.CDM watu hadi vilema wanakuwa ktk ikutano yao na hawadhuriki,wakati CCM wanapanda majukwaani na bunduki,chaguzi za kina mama wanagombana, vijana hivyohivyo.MMK pia anaamini mengi ya proganda za watu juu ya CDM.
CDM wanabadilika,na wasichobadilisha basi ni kile kilichopangwa vyema kiasi cha kufanya kibaki ili kije tumika.CCM ni mahushuda wa mabadiliko kwa mitigation steps wanazojitahidi fanya bila improvement.

mi sijui ni kipi mnadhani CDM hawawezi ongoza mabcho CCM wanaweza.CCm chama kimejaa vihiyo kila mahali, BOT,mahakama KUU, wizarani lakini bado nchi inakwenda.Rais mwenyewe kaachia nchi ktk autopilot.Sas ndio unataka sema CDM wanashindwa?Place dont make jokes here.
Kama umesoma thread yangu nimeeleza MMM anafanya kazi kubwa sana katika kuyaendea mabadiliko nchini. Katika makala na maandiko karibu yote niliyosoma sijawahi kuona usaliti kwenye harakati, amekuwa well focused ataunga mkono anachoamini ni chema katika kuelekea mageuzi na atapinga kwa hoja pale anapoona mambo hayaendi sawa.Amekuwa akifanya hivyo. Hata huo ufisadi unaosema, amekuwa key player katika kuufichua kuliko hata wanasiasa wakubwa unaowafahamu wewe. Sijui kama kuna mwenye kupinga haya

Utasem amabadiliko sana ila unasahau kuwa hata wana CCM na wengine wanamwona kaleta mabadiliko,na mabadiliko yao wanayoyaona ni ktk kuwa program wapinzani na watanzania wa settle for less.Hayo ni mabadiliko sana ktk njia za CCM.sijui unaweza tuthibitishia sivyo kwa niaba yake?Nimekupa mifano hapo juu ya jinsi mtu asiye na nia njema na anafanya kazi maalumu anavyoweza jijengea position za kuwa kati ya maadui na kuwafanya wafuate yake.Hivyo alivyofichua mwana kijiji kama vimekushawishi pengine unaweza nawe jaribu tushawishi kuwa haikuwa decoy tuu.
 
Nani anasema CDM iige ya chama tawala hapa? Swali lako nimelijibu vema kwenye post hapo juu. Kinachozungumzwa hapa si CDM kuiga au kupata mbinu kutoka CCM bali CDM kuonesha umbadala kwa kujipanga kuwa chama tawala, kisijekuanza kujipanga kikiwa madarakani tayari.Sasa watu wanatofautina katika hoja ya Je CDM ijipange mapema kabla ya kuingia madarakani au ije kuanza kujipanga ikishashika dola?

Kwa ufupi swali ni, Ni ipi mikakati ya CDM katika kuendesha dola iwapo watapewa nafasi hiyo? Kuna baya gani katika swali hilo linaloweza kumfanya mtu atokwe povu na kuanza kuitana majina ya kila aina?

Hizi mna vigezo gani vya kujua kuwa wamejipanga au lah?Fikra zenu tuu.Mbona hata nyie kuna mengi katk familia hamjajipanga na pengine hamjui.
 
Hapo kwenye RED, ndiyo jinsi chama kinavyojipanga kuchukua dola.Kinajiandaa kabla katika kuleta mabadiliko ya kimfumo katika kada mbalimbali za uendeshaji dola ili kitofautiane na kilichokuwepo.Maana ndiyo sababu hasa ya kukiondoa chama tawala, kimeshindwa. Sasa hoja iliyopo ni Je hayo yafanyike sasa kabla CDM haijashika dola au CDM ianze kuyafanyia kazi ikishakuwa madarakani?
Kam mpo usalama wa taifa mnaweza jiangalia na kuchukua hatua,wenzenu walio penda haki wametenda hiyo haki na siku za miwsho wa CCM CDM wakiingia ,basi waovu wajue kuwa lazima hizo taasisi zivunjwe kabisa na kujengwa upya.Sasa badala ya kupiga kelele in public ili CDM wajicommit kwa level ya kuwaudhi hawa jamaa ili watete uhai wao,mtakuwa hamjitendeni haki.
Angalizo katika hili nimeshasema huko nyuma kwamba lifanyike in covert manner I mean kwa usiri kupitia Idara ya Sera, Utafiti na Mipango ya CDM (Kama ipo), ili kuepuka mikakati hiyo kuvuja na kuchukuliwa na CCM hivyo kuzidi kukijengea uhalali wa kuzidi kutawala au kuigeuza CDM 'Think Tank' ya CCM
sasa mbona unaji contradict wewe mwenyewe achilia mbali na huyo jamaa yako?kwani hapa mnajuaje kuwa sivyo mpendavyo tuu ndivyo CDM wameona vinahitaji fichwa?sasa kam auanjua CCM hawana idea mpya na wanategemea pata CDM kwanini usiwe mzalendo ukawasiliana nao na kuwapa mawazo yao ,kimya kimya.MMK anayo access na watu wa CDM sana ila kwa vile nia yake sivyo basi huishia tumia public domain kufanya kazi yake maalum.
Tunapopsema kujiandaa kushika dola tunalenga kuishtua CHADEMA kuanza kuangaza mambo hayo tuendako 2015. Swali langu liko palepale, kuna baya gani kukishtua chama kufanya hayo hadi mtu afikie hatua ya kutokwa povu na kuita watu majina ya kila aina?
mnaweza endelea ishtua ila msitegemee huo mshtuko kwani kwa CDm hiyo si mahati nasibu na hivyo hawatoweza shtuka.NCCR,CUF,TLP hao watashtuka na kuanza aahidi mbigu na nchi kwa macheche.CDm wamefanya kazi mambo yote yanayoonekana.Sasa huo mshtuko wenu wa kutaka muwaaribie ili wasettle for less sidhani kama utawashtua.CDm wanajua wanachokifanya,wanajua walipo wakichezea kitu lawama zao ni kubwa kuliko watakazopewa majizi wa CCM.Wanajua kuwa wana mzigo mkubwa sana wa kukamilisha jukumu la mapinduzi.Kama hujui hilo nenda mbeya siku CDM wana mkutano kule,nenda Arusha yote.Nenda mbeya,nenda iringa..ktk hiyo mikutano kuwa mtembezi sikia maneno ya watu,nenda bara za karibu.Sikiliza watu wanaoongea, usikie wanaongea kuhusu nini na kwa hisia gani.hapo ndipo utakapojifikiria vyema kuhusu mnachoongea humu.
 
Ok,mkuu,kwanza sijui una refer kitu gani unaposema kuna mtu ameitwa majina na kunawaotokwa mapovu,hilo swali kama kuna mtu unamwuliza,basi huna haja ya kulirudia rudia unaponi quote.Jisimamie na umwulize huyo unayeona anatoa povu na kuita majina.Uliza directly maana sikuelewi.

Pili,unasema chadema wafanye kwasiri,mbona wewe na Mwanakijiji hamkufanya kwa siri?Ama siri ina maana gani?Na kama ni kwa siri,wewe unajuaje kwamba hawajafanya hivyo?(kujipanga kwa siri)

Kwamba chama kinatakiwa kiwe na mipango kabla ya kuchukuwa madaraka,hilo liko wazi,na nimeshasema huko nyuma kwamba nakubaliana na hilo.Lakini pia nadhani hukuona nilivyomwuliza maswali Mwanakijiji ambayo hakuyajibu.

Kwa mfano ameshasema kwamba chadema hawawezi kujipanga sasa hivi ili kuweza kuchukuwa madaraka 2015,kwa maana kwamba ni too late.

Sasa labda na yeye anajuwa kwamba hawajafanya lolote,na nikwamwambia kuwa kutokana na makala zake,ni wazi yeye anaona chadema hawajajipanga kiuongozi,hayo mengine ya covert ni wewe unayasema.


Mwisho,nimesema kwamba kipaumbele ni katiba mpya,kwasababu hiyo itadetermine mambo mengi zaidi ya kuhusu mwelekeo wa Taifa letu(pamoja na mikakati ya vyama).

Tuanze na katiba kwanza na si criticism ambazo hazijenga bali zinabomoa.Kumbuka kuna criticism zenye kujenga na zile zenye kubomoa.

Kuna watu wanapiga kelele sana kuhusu CDM kujipanga, na mengine mengi tuu,na sijui wanajuana na nani wa CDM.ila linapokuja suala la kwanini wasiwasilishe maoni yao kupitia channel husika,hapo ndio shida zinakuja.MMK yeye kajitete kuwa kawapigia kelele sana ila hawamsikii.Hakutaka fikiria kuwa mawazo yake si lazima yachukuliwe kama Kuna sehemu yanaleta shida ktk uahsilia.Na si busara wao kumwambia wazi kuwa hayafai.Sasa kuja jukwaani na kupiga kelele hizi zote ni ishara kuwa hakuna nia njema.Kuna sehemu MMK amechangia vitu ,ni kama mkandara sijui wanadhani kuna thread ni siri au nini?yaani unakuta shutuma za wazi na mbaya sana dhini ya CDM.Yaani ni kama matusi kwa adui.Halafu sehemu nyingine ndio hawa malaika washauri,masiha wa kuwaokoa CDM, na pengine wanajipambanua kama wana CCM.


Huko kutojipanga kwa jinsi jamaa wasemavyo kuna impresion kuwa kwa vile hawajafuata guidelines zao.Halafu kama vile CDM wamefika hapo kibahati nasibu na si kwa kufanya kazi.Nina experience nzuri sana na watu wanaopenda jipa nafasi ya mshauri kwa wengine ambao walitoka sifuri hadi hapo wanapokuwa noticeable,wengi wao wanataka kuzoea tuu ili wapate pa kukuangusha halafu waseme alikuwa anaringha sana,sasa kaanguka.NImejaribu wauliza wapi theories zao ziliwahi saidia chama chochote hata kuwa cha pili toka mkiani?Hawana majibu yenye kichwa wala miguu.Niliwahi wapa mfano wa washauri wa biashara.Hawa washauri wengi hushindwa washawishi wafanyabiashara waliotafuta hela kwa akili ya kuzaliwa na uzoefu unajengeka ktk kazi.Huwa wanakuja na vitu ambavo ni wazi havi apply ktk aina ya business na wateja.Utakuta hao wasomi wakikomaa sana wakati wanayeongea naye aliwahi jaribu na hakupata matokeo mazuri.

CDM wana uzoefu wa mambo waliyokutana nayo na matokeo yake.Nadhani hawa jamaa wanahitaji opt kutowapigia kura CDM tuu kuliko lazimisha wanavyotaka.
 
Back
Top Bottom