Proper recording: Nini kilimbadili Mzee Mwanakijiji?

Proper recording: Nini kilimbadili Mzee Mwanakijiji?



Kitwage, ni wasiwasi wako tuu, hawa wote ni ma great thinkes na wanapingana kwa hoja!, ila pia hujanote wote wawili wameshaanga rasmi?.

Alianza kuaga Mwanakijiji kwa kumkaribisha Niko upande wa mabadiliko!.


Ndipo akafuatia na Niko na kuaga Kiitaliano



Ni matumaini ya WOWOWO apost kuwa ameridhika tuendelee na mengine, ila kwenye mabishano haya, wa kujifunza, tumejifunza mengi!.

Pasco.


Mkuu Pasco nilishatoa msimamo wangu kuhusu uzi huu.Nimeuelewa sasa msimamo wa MMM. Anasema hajabadilika ni yuleyule anachotaka kuona ni CCM inaondoka madarakani ila kwanza ahakikishiwe nini hatma ya watanzania baada ya hapo. Nimemfananisha na Thomaso wa Biblia, hataki kuamini kwa maneno na kujaza watu tu kwenye mikutano, bali vitendo vya namna CDM itamaliza makovu yaliyopo sasa.

Utata alioniachia ni kwamba, haoni kama CDM imejipanga kuchukua dola lakini wakati huohuo mwaka 2010 alishiriki kutengeneza ilani ya chama hicho.Kwa maneno mengine kama CDM ingeshinda 2010 angeshiriki kuikabidhi nchi mikononi mwa chama anachoamini hadi leo hakiko tayari kuongoza dola.

Sasa katikati ya msimamo wa Mzee Mwanakijiji kama ameibua mengi kwa wanajamvi wengine nao wana haki ya kutaka ufafanuzi kutoka kwake.
 
Last edited by a moderator:
MM anapaswa atuambie nini kilimtokea, yeye km mwandishi anapaswa kujua kubeba dhamana ya kalamu yake siku zote za maisha yake. Watu wanahama vyama lakini mtu haami mawazo yake. Kina Slaa walihama vyama naamini hawajahama ktk hoja zao na mawazo ya msingi. La sivyo MM atambue sasa tunamjua km tunavyowajua kina Bagenda, Yusufu Halimoja na kadhalika. Watu wa aina hii tunaishi nao, wakisema au kuandika kitu tunawasikiliza na kusoma aya zao lakini kwa mtu makini kamwe hasumbuki kuyatilia maanani maneno au mawazo yao, tena historia huwahukumu km hawatatubu dhambi zao!
 
MM anapaswa atuambie nini kilimtokea, yeye km mwandishi anapaswa kujua kubeba dhamana ya kalamu yake siku zote za maisha yake. Watu wanahama vyama lakini mtu haami mawazo yake. Kina Slaa walihama vyama naamini hawajahama ktk hoja zao na mawazo ya msingi. La sivyo MM atambue sasa tunamjua km tunavyowajua kina Bagenda, Yusufu Halimoja na kadhalika. Watu wa aina hii tunaishi nao, wakisema au kuandika kitu tunawasikiliza na kusoma aya zao lakini kwa mtu makini kamwe hasumbuki kuyatilia maanani maneno au mawazo yao, tena historia huwahukumu km hawatatubu dhambi zao!

Soma posts za mwanzo utaona majibu yameandikwa.
 
Mkuu Pasco nilishatoa msimamo wangu kuhusu uzi huu.Nimeuelewa sasa msimamo wa MMM. Anasema hajabadilika ni yuleyule anachotaka kuona ni CCM inaondoka madarakani ila kwanza ahakikishiwe nini hatma ya watanzania baada ya hapo.
Really?Membe kiukweli ni mtu anayeonekana kana kwamba hana kashfa za ufisadi.Lakini kuna wanaojuwa kuhusu issue ya radar,sema iko chini ya carpet.Usidanganyike,changanya na zako!
https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...tuhamasishe-ccm-imsimamishe-membe-2015-a.html
 
sometimes you really disappoint; after all these years I thought you caught up already..

Msimamo wako unaeleweka wazi sioni sababu ya neno disappointment. Mchango wako katika kuijenga CDM kuwa chama cha kutumainiwa na watanzania hakuna wa kuushusha, unazidi hata walio ndani ya chama hicho tena kwa kiwango kikubwa. Kazi iliyopo mbele ni kuijenga CDM institutionally ili ibebe taswira ya mchukua dola mtarajiwa. Go Mzee Mwanakijiji hata ikiwezekana kwa kukwaruzana na watu itawezekana tu as far as umeshatumia muda wako mwingi kuleta mabadiliko nchini.
 
Last edited by a moderator:
Mkuu Pasco nilishatoa msimamo wangu kuhusu uzi huu.Nimeuelewa sasa msimamo wa MMM. Anasema hajabadilika ni yuleyule anachotaka kuona ni CCM inaondoka madarakani ila kwanza ahakikishiwe nini hatma ya watanzania baada ya hapo. Nimemfananisha na Thomaso wa Biblia, hataki kuamini kwa maneno na kujaza watu tu kwenye mikutano, bali vitendo vya namna CDM itamaliza makovu yaliyopo sasa.

Utata alioniachia ni kwamba, haoni kama CDM imejipanga kuchukua dola lakini wakati huohuo mwaka 2010 alishiriki kutengeneza ilani ya chama hicho.Kwa maneno mengine kama CDM ingeshinda 2010 angeshiriki kuikabidhi nchi mikononi mwa chama anachoamini hadi leo hakiko tayari kuongoza dola.

Sasa katikati ya msimamo wa Mzee Mwanakijiji kama ameibua mengi kwa wanajamvi wengine nao wana haki ya kutaka ufafanuzi kutoka kwake.
Sikuwa napenda tena changia hapa ila nauchukia upotoshaji.
Nashukuru kwa uzi ulioleta na aliyesikia aliyayesema Mzee Mwanakijiji akichanga akili ataona kuwa huyu jamii zaidi ya kuvaa jukumu kama hardcore critics.
-Hakujibu swali yeye anajiweka wapi critics au consultant.Akadai options ni chache.Ila nilikuwa na makusudi kuwa yeye aseme yupo zaidi wapi kwani haweze kuwa equallye kote.
-MMK nilimpa swali aseme kama ameahi fikiria kuandika responsibly akasema ndio ila matendo yake kwa jinsi nilivyokuwa njadili naye ,makusudu kabisa nilitumia njia ya kumfany aajionyeshe,hakuwa hayupo responsible.

-Kwanza si honest player, kamtuhumu Jmushi1 kuwa kamwekea maneno,nami toka katika kazi yake iliyompa umaarufu aliwawekea maneno CDM,hilo hakuweza bisha wala taka jibu vyema.

-MMK yupo deperate sana kupata quickfix ndio maana alikuwa tayarai toka nje discussion kw akuvuruga huku akideka na kujiliza.Na yupo tayrai kuchukua sababu ni sababu bila kujali kuwa anaweza pata jibu ila jibu lile lisiwe sahihi ktk malengo mazima ya anachikitetea.

-NIlimbana pia athibitishe kuwa umati na wingi wa wana CDM ni wa bure kama wa Mrema(ingawa pia mrema anaweza leta case kuwa hakuwa na walinda kura+pia daftari halikuwepo),MMK aliruka kama kangaroo.Nikamwambia CCM wenyewe wana kiri kwa kutorekebisha daftari kwa vile walijua wanaoongezeka si wanaCCM bali wana CDM,wizi wa kura na kuingizwa kura kutoka nje, kuharibumajina ktk ubao huku ili ififanane na y akitambulisho ni dalili kuwa target ni wafuasi wa CDM.Kama kawa majibu yake mwenye akili atajua kuwa MMK anongea asichokijua.

-MMK hakuweza jua proportionality ya chama kuwa na washabiki na wafuasi na kuwa na potential(somoeting) ya kuchukua madaraka.Ndio maana alizitumia kama vitu tofauti sana alipokuwa akijibu kwanini alianza jipa hicho kibaua kwa CDM.

-MMK ni mwana CCM mwenye machungu na CDM na si Democrasia ya nchi km alivyoclaim kipindi cha CCJ,vyama vingine vyote hali zao ni mbaya kuliko CDM .Hana jibu kwanini CDM ambayo ina afadhali na haimsikii kelele zake za kuombea msaada.

MMK alichosema kilifanywa exactly na CCM na CUF na TISS.Na propaganda zake zote zina imply bila doubt kuwa kazi yake ni kuandaa watu kisaikologia kupokea walichopanga CCM.Hana tofauti na wasira,Tendwa, Kova, Mukama.

Wakati anafunga mjadala na mimi alichoandika kirefu kilikuwa kama kilio,kuomba asikilizwe na kukubaliwa fikra zake na mwingine anayeona hisia zake ktk maandishi.NI wazi huyu jamaa alishaona mission yake imekuwa jeopardized.
 
Nilimuuliza kama alishawahi fikira neno "write responsibly aliposikia drink responsibly",alijibu kirahisi sana ila majibu yake ktk adventure yangu na yeye yalithibitisha kabisa hayupo worth it.

Kama walivyo hao watu uliowataja,huwa wanatumia energy zao na title walizojipa kuandika fikra za dunia yao,hasira zao, malengo ya kazi zao za nyuma ya pazia.Wanatengeza demands kwa watanzania ambazo hazipo in a first place.

Na hii ni tabia hata ya wasomi wetu, wao hubuni shida za watanzania kama viwanja vinavyobuni demands na kuziingiza kwa watu halafu baadaye huwatengenezea product ili wanunue.Mwishowe ni kujitengenezea soko.throughout my discussion nilimwambia kazi ya kujenga nchi ni ya "wananchi na si serikali" na kama ndivyo basi si logical kwa "wananchi kuachia pia mambo ya kupanga".

Alikuwa akijibu kwa kurukaruka kama kangaroo akidhani anaongea na wajinga.Hajui dhana yake inapingana hata na mchakato wa katiba ,ambao watu wamepiga kelele sana wananchi ndio wawe wahusika wakuu.Hawa watu wanakosa sana core idea na sense ya integrity kwa vile si waaminifu sana,hawana nia njema na ya uda mrefu.

Behaviour anazozionyesha kila mtu anamwona siye na anchokisimamia sicho.Mbaya zaidi yupo wrong kwa vyote.Sasa kulazimisha watu wafuete upotofu wake kwa nguvu nyingi namna hii ni kukosa uzalendo.

Washabiki wake wengi ni wana CCM,wa zitto na critics wa CDM.hakuna cha kushangaa hapo kwani naye ni mshabiki wa individual Zitto na si chama CDM.Huyu jamaa anaamini CDM ni chama cha kikabila.Ktk quote yangu kwa chapisho lake aliandika wanaoaminika kuwa wasomi wanaminii hivyo, ila kuna sehemu alithibitisha ktk majadiliano yaye.NIliongelea kaskazini akashtuka sana .

SASA KAMA HUYU JAMAA KUNA MAMBO MENGI YA MSINGI ANAAMINI HIVYO NA ANAAMINISHA WATU HIVYO AU HAYUPO TAYARI YATETETEA LINAPOKUJA SUALA LA CDM.KIPI KINAMPA KINAMUUMA HIVYO HADI ATOE USHAURI WA KULAZIMISHA HIVYO?
kwa haraka huyu jamaa moja ya kazi zake ni hizi:

-kujijenga kama super star,undispituted great thinker.
-halafu awa brain wash wana CDM(wanachama,viongozi,washabiki) na wasomi wasiopenda angalia vitu vingaavyo with great suspicions.
-kuwapa framework ya kufikiri waandishi makanjanja ili baadaye aweze frame media jinsi ya kutreat CDM bila wao kujua.

-Kujenga premises za kuja downplaya vitu vyote CDM wanavipinga kwa nguvu na vinavyowapa public support.

-Kuwazimisha wana CDM online,huku akiwa na lile kundi ambalo huwa halichelewi kumpa support huku wakiongezea vitu vile vile wanavyoamini kuwa vikisemwa mara nyingi vinakuwa kweli.Naye ni muumini wa hiyi phylosophy.Utawajua tuu ukiona vitu kama."inagwa mimi ni so and so...ila naamini CDM lazima achange and so and so","sijui wingi wa watu na mashabiki so and so", "CDM...wasipomsikiliza so and so wasijekuja jutia...so and so...".


Kwa ujumla kama TISS wanatuma mtu kama huyu basi ni wazi idara yetu hakuna tena kitu.mafanikio aliyopata online ktk kupotosha watu,vyama, na waandishi wenzake yananipa uchungu sana.Ila hayareflect uwezo wake kabisa.Alichezea imani ya watanzania kwake wakidhani kuwa ni mzalendo au mtaka mapinduzi,ila sivyo.

Huyu jamaa aliwaanda sana CDM wasttle for less ktk uchaguzi mkuu uliopita kwa style ya kusema kuwa kajitahidi sana waelimisha ili waende for the trophy il he was alikuwa akiwaambia wa settle for less huku akiwaelekeza makanjanja nini ch akufikiri na jinsi ya kufikiri,na mwishowe akawa hawafirisha watanzania wote kuwa CDM haikuwa na nia wala Uwezo wa kuchukua Urais.

Kinaniuma alifanikiwa ingawa hakuwa smart kihivyo ila pia aliabuse sana fikra positive za wananchi.Ni vyema CDM wakaingia ktk media rasmi na mwenye nia njema aje kuwa confront hawa jamaa kwa kila angle.Na majukwaani wana CDM waziseme hila za waandishi wa design hii,ama kwa majina ama wanachoandika.
 
Really?Membe kiukweli ni mtu anayeonekana kana kwamba hana kashfa za ufisadi.Lakini kuna wanaojuwa kuhusu issue ya radar,sema iko chini ya carpet.Usidanganyike,changanya na zako!
https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...tuhamasishe-ccm-imsimamishe-membe-2015-a.html

hawa jamaa kwa fikra za CCM na lifestyle yao ufisadi kama huo ni mdogo sana kuwa noticeable na hivyo kuuona kuwa negligible.Kwa ufupi CCM standards zao za ethics zipo chini sana.

Membe alikuwa tayari wakana walibya ili achukue hela zao kwa kuamini ni za Ghaddafi.Sijui kama tutaweza rekebisha mahusiano na walibya.Mbaya hawa CCM na membe hawakufanya juhudi zozote kuwaokoa watanzania waliokuwa wakiadhibiwa kwa kauli zake kipindi ch aukombozi.Wakenya na wengine waliwajibika nasi tukaishia ombaomba lift kwa wengine.

Haya yote kwangu ni issue ambayo nitaishikia bango Membe akiingia ktk kinyang`anyiro.Hiz ni sifa za CCM ambazo hazina utu na membe ni sehemu yake.Hawa wachangiaji wanapenda sana kuwa crooks sidhani kama utaweza waambia kitu zaidi ya kuwatafutia pa kujifunza ethics.Itabidi tuu hata kama mbwa mzee hafundishwi news tricks.
 
The same applies to "he who laugh last, laugh most...!. The end justifies the means, its the end results that maters most not the means, 2015 inakuja, kuna watu watacheka na kuna watu watalia, atakaye cheka mwisho ndiye atakacheka zaidi na atakaye lia mwisho ndiye atakaye lia sana!.
Sijui unamaanisha nini ,ila nadhani umeona nani analia anavvolilia?
 
Siku zote nimekuwa nikisema humu jukwaani, kuwa Chadema ina wanachama, wafuasi, waumini na washabiki, miongoni mwao ni "washabiki maandazi" ambao kwao Chadema ni chama mkombozi na malaika, kimeshushwa duniani kutikomboa Watanzania kama yule MKOMBOZI, ambaye hata yeye alijaribiwa na kupitishwa kwenye tanuru la moto!.

At the end of the day, mtakuja kukuta, watu hasa wanaoisadia Chadema kiukweli, ni hawa wanaoikosoa na kuipitisha kwenye tanuru la moto, kuliko hata hawa wanaoiimbia nyimbo za sifa, shangwe na mapambio!.

Kwa upande wangu, mimi naendelea kuwa huru, sina chama, ila naendelea kusimama na mgombea wangu EL na ikishindikana ni Membe, Chadema angalieni mtamleta nani zaidi ya ZZK maana msimamo "Dr" mimi naujua!.
Pasco.

Kwa haraka huna sifa za kuwashauri CDM.Instead unawawashauri wawe sttel for less kama jamaa zako humu ndani.Zaidi ya mwana halisi ni waandishi wachache sana wanaweza andika kitu kischo na element ya kuwapotosha umma sehemu ili wasiisaidie CDM kufight for the top prize,huku iliwaanda kukubaliana na matokeo yasiyoingia kichwani.
 
Mkuu Nico, japo nakiri wewe ni miongoni mwa ma great thinkers humu, ila upstairs ni mwepesi kama tissues papers!, unashindwa kuelewa issue ndogo kama hii ya "he who laugh last..." na "he who cries most!", no wonder unashindwa kumuelewa Mzee Mwanakijiji kwa simple issues as simple as a,b,c,!.

Kama darasa alilokupiga Mzee Mwanajiji mpaka sasa umeshindwa kulielewa na unaendelea kung'ang'ana, mimi ndio kamwe huta kaa uje unielewe kwa sababu mimi I don't belong huko kwa ma great thinkers!.

Na pia kwa watu wazito wa kuelewa wa type yako, angalau Mzee Mwanakijiji took trouble kukuelewesha, mimi I don't!, huwa siwaeleweshi bali huwapotezea tuu!.
Thanks na tuendelee!.
Pasco.
 




Alianza kuaga Mwanakijiji kwa kumkaribisha Niko upande wa mabadiliko!.


.....

Pasco sikupenda rudi tena na wala hii isiwe ndio nimerudi ktk hii thread.Ila weka mambo sawa.Sidhani kama mwanakijiji ndiye aliyeanza aga kwani mimi nilishaaga bila kusema ktk hii kabla hajajibu kwa kilio kikubwa kilichojificha ktk maandishi yake.Na kama aliyokuwa akijieleza huwa hajui ni kiasi gani maandishi yanabeba hisia.Kwa hiyo si ajabu kusikia kuona kila traces zimwelekeazo.
https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...imbadili-mzee-mwanakijiji-23.html#post4883749

Kwa haraka tuu nikikuhakikishia kuwa mtu mwenye kuona hawezi ona wapi MMK yupo kimadadiliko.Yeye anafight kwa ajili ya uhai wa mfu CCM.Na maandiko yake kila nikisoma napta uchungu kwanini watu hawakuona vitu wazi alivyokuwa akiandika ili kuprogram watu, waandishi wa habari kanjanja, wana CDM na wengine wakubali ku settle for less, na wakubali matokea kwa fikra kuwa wafuasi na wanachama si hoja ya ushindi.kweli ulikuwa kama ganzi kwa watanzania.Kweli hapakuwa na logic kufikiri chama kischokuwa na watu kabisa,na waliopo ni wa kubeba kwa magari kuwa ushindi kwake ni palusible kuliko kinachojaza watu na kuwa na wafuasi wengi sana walio tayari kulinda kura za wale wawapenda kuwa implausible?

Napata kichefuchefu ninaposikia kuwa zilikuwa ni mojawapo ya sababu za MMK na sasa pia narudia.Mimi chaguzi na campaign nilikuwa TZ mikoa mingi tuu nilitembea kipindi chote.ktk kipindi hicho nimeona na kuthibitisha kuwa CDM ina faithfull followers kuliko CCM na vyama shirika vyake.Ndio maana huwepo wake umeongeza idadi ya wapiga kura sana,na wengeweza ongezeka sana kama CCM hawakuamua kataa mabadiliko ya daftari kuwaingiza wale waliokuwa wanataka jiandikisha au rekebisha taarifa zao baad aya kuhama maeneo yao.Hata uchaguzi wa aruemru na Igunga CCM walihimiza pasiwe na mabadiliko kama ishara ya kuhofia hard core CDM`s fans wasipate nafasi.Sioni hoja hii ya wingi si hoja kama ina apply kwa CDM.

Kwa anyefuatilia majibu yake atakuwa ameona nani alikuwepo na yupo katk mabadiliko.Sipo tayari kusettle for less kwa ushawishi wa hawa jamaa wala CDM wenyewe.Ila nitakubali matokeo kwa jinsi yalivyo na uhalali wake utakavyojipambanua.
 
Kwa waliomfuatilia mhusika ni kwamba watamulewa yupo ktk mission.Ni critics(ingawa hakuweza chagua ktk options 2nilizompa) + ana mission ya kubrainwash viongozi wa CDM, wananchi na waandishi kanjanja wasettle for less.write ups zake zinashangaza kwa juhudi zilizoonyeshwa za kubembeleza sana fikra za watu zilale ili yeye azisaidie kufanya kazi.Na kafanya kwa kiasi ambach ni shockingly high.
 
Nilimuuliza kama alishawahi fikira neno "write responsibly aliposikia drink responsibly",alijibu kirahisi sana ila majibu yake ktk adventure yangu na yeye yalithibitisha kabisa hayupo worth it.

Kama walivyo hao watu uliowataja,huwa wanatumia energy zao na title walizojipa kuandika fikra za dunia yao,hasira zao, malengo ya kazi zao za nyuma ya pazia.Wanatengeza demands kwa watanzania ambazo hazipo in a first place.

Na hii ni tabia hata ya wasomi wetu, wao hubuni shida za watanzania kama viwanja vinavyobuni demands na kuziingiza kwa watu halafu baadaye huwatengenezea product ili wanunue.Mwishowe ni kujitengenezea soko.throughout my discussion nilimwambia kazi ya kujenga nchi ni ya "wananchi na si serikali" na kama ndivyo basi si logical kwa "wananchi kuachia pia mambo ya kupanga".

Alikuwa akijibu kwa kurukaruka kama kangaroo akidhani anaongea na wajinga.Hajui dhana yake inapingana hata na mchakato wa katiba ,ambao watu wamepiga kelele sana wananchi ndio wawe wahusika wakuu.Hawa watu wanakosa sana core idea na sense ya integrity kwa vile si waaminifu sana,hawana nia njema na ya uda mrefu.

Behaviour anazozionyesha kila mtu anamwona siye na anchokisimamia sicho.Mbaya zaidi yupo wrong kwa vyote.Sasa kulazimisha watu wafuete upotofu wake kwa nguvu nyingi namna hii ni kukosa uzalendo.

Washabiki wake wengi ni wana CCM,wa zitto na critics wa CDM.hakuna cha kushangaa hapo kwani naye ni mshabiki wa individual Zitto na si chama CDM.Huyu jamaa anaamini CDM ni chama cha kikabila.Ktk quote yangu kwa chapisho lake aliandika wanaoaminika kuwa wasomi wanaminii hivyo, ila kuna sehemu alithibitisha ktk majadiliano yaye.NIliongelea kaskazini akashtuka sana .

SASA KAMA HUYU JAMAA KUNA MAMBO MENGI YA MSINGI ANAAMINI HIVYO NA ANAAMINISHA WATU HIVYO AU HAYUPO TAYARI YATETETEA LINAPOKUJA SUALA LA CDM.KIPI KINAMPA KINAMUUMA HIVYO HADI ATOE USHAURI WA KULAZIMISHA HIVYO?
kwa haraka huyu jamaa moja ya kazi zake ni hizi:

-kujijenga kama super star,undispituted great thinker.
-halafu awa brain wash wana CDM(wanachama,viongozi,washabiki) na wasomi wasiopenda angalia vitu vingaavyo with great suspicions.
-kuwapa framework ya kufikiri waandishi makanjanja ili baadaye aweze frame media jinsi ya kutreat CDM bila wao kujua.

-Kujenga premises za kuja downplaya vitu vyote CDM wanavipinga kwa nguvu na vinavyowapa public support.

-Kuwazimisha wana CDM online,huku akiwa na lile kundi ambalo huwa halichelewi kumpa support huku wakiongezea vitu vile vile wanavyoamini kuwa vikisemwa mara nyingi vinakuwa kweli.Naye ni muumini wa hiyi phylosophy.Utawajua tuu ukiona vitu kama."inagwa mimi ni so and so...ila naamini CDM lazima achange and so and so","sijui wingi wa watu na mashabiki so and so", "CDM...wasipomsikiliza so and so wasijekuja jutia...so and so...".


Kwa ujumla kama TISS wanatuma mtu kama huyu basi ni wazi idara yetu hakuna tena kitu.mafanikio aliyopata online ktk kupotosha watu,vyama, na waandishi wenzake yananipa uchungu sana.Ila hayareflect uwezo wake kabisa.Alichezea imani ya watanzania kwake wakidhani kuwa ni mzalendo au mtaka mapinduzi,ila sivyo.

Huyu jamaa aliwaanda sana CDM wasttle for less ktk uchaguzi mkuu uliopita kwa style ya kusema kuwa kajitahidi sana waelimisha ili waende for the trophy il he was alikuwa akiwaambia wa settle for less huku akiwaelekeza makanjanja nini ch akufikiri na jinsi ya kufikiri,na mwishowe akawa hawafirisha watanzania wote kuwa CDM haikuwa na nia wala Uwezo wa kuchukua Urais.

Kinaniuma alifanikiwa ingawa hakuwa smart kihivyo ila pia aliabuse sana fikra positive za wananchi.Ni vyema CDM wakaingia ktk media rasmi na mwenye nia njema aje kuwa confront hawa jamaa kwa kila angle.Na majukwaani wana CDM waziseme hila za waandishi wa design hii,ama kwa majina ama wanachoandika.

Unamwaga tuhuma nyingi sana kwa Mzee Mwanakijiji bila ushahidi wa moja kwa moja. Hutuelezi kama mjadala huu ndiyo umezaa tuhuma zote hizi au kuna ushahidi mwingine ambao pengine utatuwekea humu jamvini.

Hoja kwamba CDM inatakiwa ijipange kuanzia sasa kuchukua dola na ibehave kama chama tawala tarajiwa sijui wewe unaionaje. Maana ndiyo Mwanakijiji anaisimamia na kwa kweli ni njema kwa CDM.Labda unaweza kutuambia kama ni critique mbaya au laa wakati huohuo ukitakiwa ujue kuwa hatuwezi kujenga kwa kua affirm kila kitu lazima critics ziwepo.

Sasa hayo mengine kama ya Mzee Mwanakijiji kusababisha CDM isishinde urais mwaka 2010 kwa kuwaandaa kusettle for less, mara anaiona CDM kama chama cha kikanda na kikabila, ooh ana msupport Zitto & Co, anafanya kazi TISS nk. nk. unaweza kutusaidia kutupa ushahidi ili na sisi wengine wengi wakiwemo viongozi wa juu wa CDM (Maana nao wanawamini MMM ndiyo maana wakamshirikisa kwenye kuandaa ilani ya chama mwaka 2010) ambao tunatambua kwa dhati sana mchango wa MMM katika mageuzi tuanze kumuangalia kwa jicho la tatu.Maana kama kweli ukituletea ushahidi wa yote haya basi Mzee Mwanakijiji atakuwa against mageuzi.

Kuhusu hoja kwamba aliwandaa CDM kusettle for less, inatia mashaka kidogo maana moja ya andiko la Mzee Mwanakijiji ninalolikumbuka baada ya uchaguzi mkuu wa mwaka 2010 ni la kuulaumu uongozi wa juu wa CDM kwa kujikita katika kusaka viti vya ubunge tu bila kuweka nguvu katika ulinzi wa kura za Urais. Nakumbuka alisema wazi kuwa Dkt. Slaa aliachwa yatima katika hilo na MMM aliishtua CDM kuwa hilo lilitokana na uongozi wote wa juu kuwa majimboni ukihaha kulinda kura.

Alifichua na mbinu iliyotumiwa na CCM kuchelewesha makusudi matokeo ya ubunge maeneo ambako CDM ilikuwa na uhakika wa kushinda na yale ambayo viongozi wa juu wa CDM waligombea. Hata majimbo ya DSM tu, akina JJ Mnyika waliweka nguvu kwenye majimbo zaidi kuliko kura za urais.

Labda kama una ushahidi wa unayoyaandika utuwekee hapa. Otherwise lazima una agenda yako ya siri dhidi ya mageuzi na CDM yenyewe. Kwa wenye kuitakia mema CDM na hata mageuzi yenyewe nchini hoja hii ya Mwanakijiji ni ya kuchukua kama changamoto na kuifanyia kazi si kureact kama unavyofanya wewe.
 
Mkuu Nico, japo nakiri wewe ni miongoni mwa ma great thinkers humu, ila upstairs ni mwepesi kama tissues papers!, unashindwa kuelewa issue ndogo kama hii ya "he who laugh last..." na "he who cries most!", no wonder unashindwa kumuelewa Mzee Mwanakijiji kwa simple issues as simple as a,b,c,!.

Kama darasa alilokupiga Mzee Mwanajiji mpaka sasa umeshindwa kulielewa na unaendelea kung'ang'ana, mimi ndio kamwe huta kaa uje unielewe kwa sababu mimi I don't belong huko kwa ma great thinkers!.

Na pia kwa watu wazito wa kuelewa wa type yako, angalau Mzee Mwanakijiji took trouble kukuelewesha, mimi I don't!, huwa siwaeleweshi bali huwapotezea tuu!.
Thanks na tuendelee!.
Pasco.

Kwa jinsi ulivyonifundisha kuelewa mambo na kukausha.Nilicholewa hapa pia inabidi nipige kimyakimya.
 
Nature ya critics ni ku oppose! Though sometimes inakuwa for good intention! Mimi namuweka mmk kwenye group hili!
Mkuu umweka asipopenda kuwekwa kwani kwake ni too dangerous na kunaweza ibua fikra zaidi.
Hiyo good intention nimeipenda kwani ungetupa hilo swali halafu ukawa unajua opposers wa CDM na supporters wake halfu ukawapa.Ungeshangaa kupata watu wa makundi yote wakisema hivyo.Ila kwa walioona jinsi anavyoenda mbali kushawishi watu wasttel for less,wanaweza sema hiyo good intention ni kwa upande upi.
 
Unamwaga tuhuma nyingi sana kwa Mzee Mwanakijiji bila ushahidi wa moja kwa moja. Hutuelezi kama mjadala huu ndiyo umezaa tuhuma zote hizi au kuna ushahidi mwingine ambao pengine utatuwekeza jamvini.

Hoja kwamba CDM inatakiwa ijipange kuanzia sasa kuchukua dola na ibehave kama chama tawala tarajiwa sijui wewe unaionaje. Maana ndiyo Mwanakijiji anaisimamia na kwa kweli ni njema kwa CDM.Labda unaweza kutuambia kama ni critique mbaya au laa.

Sasa hayo mengine kama ya Mzee Mwanakijiji kusababisha CDM isishinde urais mwaka 2010 kwa kuwaandaa kusettle for less, mara anaiona CDM kama chama cha kikanda na kikabila, ooh ana msupport Zitto & Co, anafanya kazi TISS nk. nk. unaweza kutusaidia kutupa ushahidi ili na sisi wengine ambao tunatambua kwa dhati sana mchango wa MMM katika mageuzi tuanze kumuangalia kwa jicho la tatu.Maana kama kweli ukituletea ushahidi wa yote haya basi Mzee Mwanakijiji atakuwa against mageuzi.

Moja ya andiko la Mzee Mwanakijiji ninalolikumbuka ni la kuulaumu uongozi wa juu wa CDM kwa kujikita katika kusaka viti vya usaka ubunge tu bila kuweka nguvu katika ulinzi wa kura za Urais. Nakumbuka alisema wazi kuwa Dkt. Slaa aliachwa yatima katika hilo na aliishtua CDM kuwa hilo lilitokana na uongozi wote wa juu kuwa majimboni ukihaha kulinda kura.

Alifichua na mbinu iliyotumiwa na CCM kuchelewesha makusudi matokeo ya ubunge maeneo ambako CDM ilikuwa na uhakika wa kushinda na yale ambayo viongozi wa juu wa CDM waligombea. Hata majimbo ya DSM tu, akina JJ Mnyika waliweka nguvu kwenye majimbo zaidi kuliko kura za urais.

Labda kama una ushahidi wa unayoyaandika utuwekee hapa. Otherwise lazima una agenda yako ya siri dhidi ya mageuzi na CDM yenyewe

Ukijenga premises zako vibaya lazima u arrive ktk wrong conclusion. Mbona yote niliyoaeleza yameonekana ktk hii discussion na mengi hakuweza hata jaribu defend?Na wala siongelei personal issue kihivvy hadi iwe tofauti na maswali uliyotaka majibu yake hapa.Kwa alivyojipambanua ali play it safe ili kumaintain credibility yake ktk CDM circles.

Hayo mengine ambayo unapenda mpa credit sikunyimi kufanya hivyo kama hujawahi ona watu wakitoa siri(ila zilizokusudiwa kutumika), ili kujiweka vyma katika position ya kukubalika na kuaminiwa kabla ya kufuatiwa na siri feki au hata mawazo feki.

Believe me, Analysis ya MMK sio nzuri hivyo hata ktk writeup yake aliyokuwa akiwashawishi CDM kwenda for less,kwa kiasi cha kuisaidia CCM kivile na kwa patterns zilezile alizozisema.Pia hana sababu ya msingi kukaa mbali na CDM huku anakiri kuwa ndicho chama pekee chenye matumaini ya watanzania,halafu akataka itwa mzalendo.Kapunguza makali ya ufisadi kwa nguvu zote humu ndani hata pale Jmushi1 alivyomwambia kuwa ufisadi wenyewe tuu unatosha iondoa serikali kw amapinduzi achilia mbali kwa kura.Hapa hata haikusemwa level ya hatri tuliyonayo.hapa lengo la huyu jamaa i kupunguza list ya mambo CDM wamepanga dili nayo wakati wakijiandaa watoa CCM.Watu wameuwa wakimiss a point here kuwa ufisadi ndio Kitu pekee CDM wanategemea.Kwa dynamism ya nchi hii na demands za watanzania ni CCM itoke,ndio maana yeye mwenyewe na wenzake wenye fikra za CCM wanakubalia kuwa CCM "imechokwa".kama tunavyofahamu watu wakichoka kitu wapo tayari kukiondoa kwa gharama yoyote wanayoweza afford.So kiukweli nikwamba MMK anasema kuwa watanzania hawataki CCM itoke tuu kwa vile tuu wameichoka.Kitu ambacho si sahihi logically.Pia kila sehemu watu wanaitisha CCM kuwa wasipofany akitu husika wanahamia CDM.Kuna mengi ya aina hii yanayoonyesha kuwa kweli wananchi wanachotaka sasa hivi kwa haraka ni CCM iondoke,halafu mengine yafuatie.Kwa chama chenye democrasia kinahitaji jikita wasaidia watu wajiletee maendeleao yao wenyewe ,kwa njia zao wenyewe zilizo halali na si kuwamezesha kwa nguvu fikra za wanaojiita wasomi.Miradi mingapi wasome hupigia kelele mijini na ktk vyombo vya habari halafu mwishowe huishia kuwa failure vijijini.sababu kubwa ni kwamba hao wasomi hupeleka vitu kwa fikra zao,na kuwataka watu wafanya kwa jinsi hao wasomi wanadhnai inatakiwa ifanywe.Wasomi wengi waliamini suluhisho la kuepusha migogoro ya binadamu na wanyama pori kama tembo ni kuwahamisha binadamu bila kujua kuwa tembo watasogea tuu kwani vinavyowavutia ni vile walimavyo binadamu na mazingira waliyojenga,hadi pale walipogundua kuwa kuna maendeo hutumia pilipili kuwafukuza tembo.Jamaa ali miss big upana wa democrasia.Sasa atakuwa na msaada gani kwa chama cha democrasia?By the way anawalaumu cdm kwa kitu ambacho ndio msingi wao na wanachokifanya kila siku.Na hana mamlaka ya kusema wafanyavyo ni vibaya wakati wafanyavyo vinamajibu waliyoyataka.

Pengine unaweza kataa ila naweza kuambia nina ushahidi hai wa mtu alishwahi mtongoza binti kwa kumwambia, sidhani kama ungeweza kuwa mke wangu kwa jinsi unavyovaa.next 2 week yule binti alikuwa akitafuta namna ya kufikia viwango alivyokuwa akitaka jamaa.KOSA LA CDM NA WATANZANIA NI KUMSIKILIZA TUU HUYU JAMAA AND SOMWHERE IN BETWEEN WAKAJIKUTA WANAKWENDA KWA FIKRA ZAKE.MARA NYINGINE KISAIKOLOGIA NI SALAMA ZAIDI KWA WATU WENYE FIKRA TOFAUTI KUTOSIKILIZA FIKRA FULANI.TOKA KWA MWANDISHI IRRESPONSIBLE KWANI KAULI ZAKE ZITATUMIKA SANA KUPOTOSHA WATU KWA MIAKA MINGI IJAYO.

Pengine tuu mleta mada tujue lengo la kujiuliza juu ya huyu jamaa na baadaye kuleta hii thread.Kama ni kumwongezea popularity ili next election aweze program watu vizuri basi utakuwa hukufanya responsibly na pia ulisahau kuwa this time around kuna watu hawapo tayari kwa hayo.
 
Back
Top Bottom