Wakati mwingine ujinga wetu una hekima zaidi kuliko upumbavu wenu.
ningependa kama ungemaliza hivi 'Wakati mwingine ujinga wetu una hekima zaidi kuliko werevu wenu'
Wakati mwingine ujinga wetu una hekima zaidi kuliko upumbavu wenu.
Mzee MM, nini maoni yako juu ya chaguzi zinazoendelea ndani ya chama tawala pamoja na madai ya baadhi ya wagombea kuwa kumekuwa na matumizi makubwa ya fedha. Je hii itaathiri uchaguzi mkuu 2015?
ningependa kama ungemaliza hivi 'Wakati mwingine ujinga wetu una hekima zaidi kuliko werevu wenu'
Sidhani kama nilikuweka ktk kundi linalopenda dhana inayoongoza ujinga "ujinga kuwa uongo ukirudiwa rudiwa unakuwa ukweli". Ila kama umejipambanua kuwa ni wenu basi siwezi pinga. Huwezi jenga hoja katika dhana ya kijinga. Pasco alichomaanisha ni kurudiarudia uongo mwishowe kuwa kweli, na habari inayorudiwa kuhusu CDM ina base katika hiyo dhana. Mnapoambiwa mseme mnachotaka kibadilike au nini hawajajipanga mnakuja na blah blah kama si distorted concepts. Nashukuru haya yametoka kwa pasco mwenyewe.Ujinga wetu ni nini basi? Je una athari zaidi ya upuuzi wako na wa wenzako ambao mnataka watu wote waimbe sifa za CDM bila kukosoa au wakosoe sirini kana kwamba ni chama kisichostahili kukosolewa? Ujinga wetu ni nini kudai na kuonesha bila kuwiwa na mtu kuwa CDM kama ilivyo sasa ikishika madaraka tutakuwa na tatizo lile lile ambalo tunalo ndani ya CCM yaani siasa zenye kufuata watu, sera zisizoangaliwa na kuandaliwa vizuri na mfumo mzuri wa kutawala? Ama ujinga wetu nini hasa kulinganisha na upumbavu wa kushabikia chama ilimradi ni chama? Ama ujinga wetu hasa ni nini? Kwamba tunapenda CDM na tunaamini inahitaji kujengwa kujiandaa kushika madaraka ya kuliongoza taifa siyo kutawala? Au ni ujinga gani unaozungumzia ule wa kusema uongozi wa CDM ulivyo sasa umenata kwenye watu kiasi kwamba fikra za kutoka nje zinakutna na ukuta wa kukwamisha ambao ni mgumu kubadilika kama vile ilivyo CCM?
Ama ni ujinga gani ambao tumeudhihirisha zaidi ya kusema kile ambacho tunaamini na kukiweka bayana kwa kila mtu kukiona? Kwamba hatuamini umati wa watu; kwamba kwa vile watu wengi wanajitokeza kwenye mikutano na kuvaa nguo za rangi ya CDM haina maana ni wingi wa kura? Au ni ujinga upi huu?
Au ni huu wakusema kuwa miaka miwili baada ya uchaguzi mkuu wa 2010 na mitatu kabla ya ule wa 2015 CDM bado ni chama kile kile? Kina katiba ile ile, kina mifumo ile ile, kina mwelekeo ule ule na dhana zile zile? Kwamba hakijajionesha kuwa kiko adaptive na adoptive wa siasa mamboleo (modern politics) na badala yake kimeendelea kutumia mifumo ile ile iliyoundwa na CCM. Leo hii bado Kamati Kuu ya CDM ina nguvu za kuinfluence local politics kama vile ilivyo kamati kuu ya CCM? Ama ni ujinga wa watu kusema CDM inahitaji kujipnga, kuboresha miundo mbinu yake, kusasaisha sera na mwelekeo wake, na kutengeneza taasisi zake ambazo zitahakikisha kinatoka kuwa chama cha upinzani wa kuduma na kuwa chama kinachoweza kushika utawala wa nchi.
Wakati mwingine ujinga wetu una hekima zaidi kuliko werevu wenu.
Mwenye masikio na asikie!. Asante sana Mzee Mwanakijiji.Ujinga wetu ni nini basi? Je unaathari zaidi ya upuuzi wako na wa wenzako ambao mnataka watu wote waimbe sifa za CDM bila kukosoa au wakosoe sirini kana kwamba ni chama kisichostahili kukosolewa? Ujinga wetu ni nini kudai na kuonesha bila kuwiwa na mtu kuwa CDM kama ilivyo sasa ikishika madaraka tutakuwa na tatizo lile lile ambalo tunalo ndani ya CCM yaani siasa zenye kufuata watu, sera zisizoangaliwa na kuandaliwa vizuri na mfumo mzuri wa kutawala? Ama ujinga wetu nini hasa kulinganisha na upumbavu wa kushabikia chama ilimradi ni chama? Ama ujinga wetu hasa ni nini? Kwamba tunapenda CDM na tunaamini inahitaji kujengwa kujiandaa kushika madaraka ya kuliongoza taifa siyo kutawala? Au ni ujinga gani unaozungumzia ule wa kusema uongozi wa CDM ulivyo sasa umenata kwenye watu kiasi kwamba fikra za kutoka nje zinakutna na ukuta wa kukwamisha ambao ni mgumu kubadilika kama vile ilivyo CCM?
Ama ni ujinga gani ambao tumeudhihirisha zaidi ya kusema kile ambacho tunaamini na kukiweka bayana kwa kila mtu kukiona? Kwamba hatuamini umati wa watu; kwamba kwa vile watu wengi wanajitokeza kwenye mikutano na kuvaa nguo za rangi ya CDM haina maana ni wingi wa kura? Au ni ujinga upi huu?
Au ni huu wakusema kuwa miaka miwili baada ya uchaguzi mkuu wa 2010 na mitatu kabla ya ule wa 2015 CDM bado ni chama kile kile? Kina katiba ile ile, kina mifumo ile ile, kina mwelekeo ule ule na dhana zile zile? Kwamba hakijajionesha kuwa kiko adaptive na adoptive wa siasa mamboleo (modern politics) na badala yake kimeendelea kutumia mifumo ile ile iliyoundwa na CCM. Leo hii bado Kamati Kuu ya CDM ina nguvu za kuinfluence local politics kama vile ilivyo kamati kuu ya CCM? Ama ni ujinga wa watu kusema CDM inahitaji kujipnga, kuboresha miundo mbinu yake, kusasaisha sera na mwelekeo wake, na kutengeneza taasisi zake ambazo zitahakikisha kinatoka kuwa chama cha upinzani wa kuduma na kuwa chama kinachoweza kushika utawala wa nchi.
Wakati mwingine ujinga wetu una hekima zaidi kuliko werevu wenu.
Ujinga wetu ni nini basi? Je unaathari zaidi ya upuuzi wako na wa wenzako ambao mnataka watu wote waimbe sifa za CDM bila kukosoa au wakosoe sirini kana kwamba ni chama kisichostahili kukosolewa? Ujinga wetu ni nini kudai na kuonesha bila kuwiwa na mtu kuwa CDM kama ilivyo sasa ikishika madaraka tutakuwa na tatizo lile lile ambalo tunalo ndani ya CCM yaani siasa zenye kufuata watu, sera zisizoangaliwa na kuandaliwa vizuri na mfumo mzuri wa kutawala? Ama ujinga wetu nini hasa kulinganisha na upumbavu wa kushabikia chama ilimradi ni chama? Ama ujinga wetu hasa ni nini? Kwamba tunapenda CDM na tunaamini inahitaji kujengwa kujiandaa kushika madaraka ya kuliongoza taifa siyo kutawala? Au ni ujinga gani unaozungumzia ule wa kusema uongozi wa CDM ulivyo sasa umenata kwenye watu kiasi kwamba fikra za kutoka nje zinakutna na ukuta wa kukwamisha ambao ni mgumu kubadilika kama vile ilivyo CCM?
Ama ni ujinga gani ambao tumeudhihirisha zaidi ya kusema kile ambacho tunaamini na kukiweka bayana kwa kila mtu kukiona? Kwamba hatuamini umati wa watu; kwamba kwa vile watu wengi wanajitokeza kwenye mikutano na kuvaa nguo za rangi ya CDM haina maana ni wingi wa kura? Au ni ujinga upi huu?
Au ni huu wakusema kuwa miaka miwili baada ya uchaguzi mkuu wa 2010 na mitatu kabla ya ule wa 2015 CDM bado ni chama kile kile? Kina katiba ile ile, kina mifumo ile ile, kina mwelekeo ule ule na dhana zile zile? Kwamba hakijajionesha kuwa kiko adaptive na adoptive wa siasa mamboleo (modern politics) na badala yake kimeendelea kutumia mifumo ile ile iliyoundwa na CCM. Leo hii bado Kamati Kuu ya CDM ina nguvu za kuinfluence local politics kama vile ilivyo kamati kuu ya CCM? Ama ni ujinga wa watu kusema CDM inahitaji kujipnga, kuboresha miundo mbinu yake, kusasaisha sera na mwelekeo wake, na kutengeneza taasisi zake ambazo zitahakikisha kinatoka kuwa chama cha upinzani wa kuduma na kuwa chama kinachoweza kushika utawala wa nchi.
Wakati mwingine ujinga wetu una hekima zaidi kuliko werevu wenu.
1. umetoa majibu ukwa na hasira
ningependa kama ungemaliza hivi 'Wakati mwingine ujinga wetu una hekima zaidi kuliko werevu wenu'
1. umetoa majibu ukwa na hasira
2.kama uliwahi kushiriki kutunga ilani ya chadema baada ya uchaguzi kuna mahali ulijaribu kuwashauri na wakakataa kufata ushauri wako au hawajaufanyia kazi? (achilia mbali maandiko yako humu mtandaoni)
3.chief naomba ueleze kwa kirefu zaidi katika haya maandiko yako...swali langu haya mambo yanapaswa kuwa yanabadirika kwa mda gani kwa maoni yako nanukuu ''miaka miwili baada ya uchaguzi mkuu wa 2010 na mitatu kabla ya ule wa 2015 CDM bado ni chama kile kile? Kina katiba ile ile, kina mifumo ile ile, kina mwelekeo ule ule na dhana zile zile? ''
4. naomba kujua mzee mpaka sasa kuna tofauti yoyote kati ya ccm na chadema ..naomba mtazamo wako juu ya hili
5. ni wapi unaona chadema mpaka sasa wanafanya vizuri na cm wapi unaona mpaka sasa wamefanya vizuri na wapalinde
Mwenye masikio na asikie!. Asante sana Mzee Mwanakijiji.
P.
Umeandika vyema na kutupa somo wote. Well, MMK nilishmwandikia ktk mjadala huu kuwa kazi za maandishi zinapeleka pia vionjo vya hisia nyingi sana. Hama hasira, sauti ya chini na juu, ubabe, woga, kususa, kukata tamaa, unafiki, harufu, taswira ya maumbile bila tumia picture. Na hii ilikuja pale nilipomsoma kuwa anataka susa. Nilipomjibu karuka hiyo sehemu.1. umetoa majibu ukwa na hasira
2.kama uliwahi kushiriki kutunga ilani ya chadema baada ya uchaguzi kuna mahali ulijaribu kuwashauri na wakakataa kufata ushauri wako au hawajaufanyia kazi? (achilia mbali maandiko yako humu mtandaoni)
3.chief naomba ueleze kwa kirefu zaidi katika haya maandiko yako...swali langu haya mambo yanapaswa kuwa yanabadirika kwa mda gani kwa maoni yako nanukuu ''miaka miwili baada ya uchaguzi mkuu wa 2010 na mitatu kabla ya ule wa 2015 CDM bado ni chama kile kile? Kina katiba ile ile, kina mifumo ile ile, kina mwelekeo ule ule na dhana zile zile? ''
4. naomba kujua mzee mpaka sasa kuna tofauti yoyote kati ya ccm na chadema ..naomba mtazamo wako juu ya hili
5. ni wapi unaona chadema mpaka sasa wanafanya vizuri na cm wapi unaona mpaka sasa wamefanya vizuri na wapalinde
NB: namshukuru sana aliyekupa ushauri wa kurekebisha mstari wa mwisho kabisa....na wewe umeitikia ..hii imenikumbusha jamaa yangu mmoja alikosana na mwenzake na kuandika barua kali sana kwa mkuu ..mkuu akaisoma akagundua mwandishi kaandika akiwa na hasira....baadaya nusu saa akamuita na kumwambia '' nimeosoma barua yako lakini naomba ukarudie kuiandika upya na uniletee tena'' barua ya pili ilikuja ikiwa haina tusi hata moja na ilitafuta usuluhishi zaidi''
kingine jiepusheni na tabia ya kuwa '' intelectual cannibal''.....ongeeni kwa hoja na kilamtu aheshimu majibu ya mwenzake...
Binafsi sina historia kamili ya siasa ya Ndugu "Mtu Huru",Freeman, pamoja na ZZK. Lakini hawa wengine ni watu waliotoka CCM, mifano mizuri ni Dr. Slaa, Dr. Kitila Mkumbo, (Rafiki yangu ninayemheshimu mno). Dr. Lwaitama... Kwa hiyo sijaona jipya hapa. Good morning.
Nikiandika kwa hasira huwezi kunisoma. Was just trying to make a point.
Ni wazi pia MMK ataonyesha tena kutofahamu principals za vitu kwa kukanusha ulichandika akidhani umekosea kujua tone yake ya hasira.
Asante sana, ile kusikia tuu "hamjajipanga" unakaba mpaka kona!, matokeo ya 2015 yatakapotoka si utazimia kabisa?!..Pascoooo oh...Pole sana.Bado tunasoma na kusikila hapa.
bahati mbaya sana; unazungumza kana kwamba unazijua hisia zangu. Hakuna kitu ambacho kimeweza kunifanya niwe na hasira. So usiwe na shaka ndugu yangu. Ukisoma tu ukafikiria mtu kakasirika unashindwa kuelewa dynamics za majadiliano ya kwenye mitandao. Mimi sijui unavyoandika sasa hivi kama una hasira, kinyongo, wivu, husuda n.k Nikianza kufikiria hisia zako kwa kukusoma nitakuwa sikutendei haki.
MMK wana historia huwa wanaangalia viashiria kama hivi kabla y akujiuliza maswali ya msingi yatakayopelekea kufanya utafiti zaidi.Kumbuka hasira huwa inapoteza uvumilivu na subira za watu.Ndipo nilipoangalia mbali na kujiuliza kama kweli ulikuwa ukijibu kitu kinachokuhusu.Nikakuta sivyo ulikuwa ukimjibia pasco kwa papara.Ujinga wetu ni nini basi? Je unaathari zaidi ya upuuzi wako na wa wenzako ambao mnataka watu wote waimbe sifa za CDM bila kukosoa au wakosoe sirini kana kwamba ni chama kisichostahili kukosolewa? Ujinga wetu ni nini kudai na kuonesha bila kuwiwa na mtu kuwa CDM kama ilivyo sasa ikishika madaraka tutakuwa na tatizo lile lile ambalo tunalo ndani ya CCM yaani siasa zenye kufuata watu, sera zisizoangaliwa na kuandaliwa vizuri na mfumo mzuri wa kutawala? Ama ujinga wetu nini hasa kulinganisha na upumbavu wa kushabikia chama ilimradi ni chama? Ama ujinga wetu hasa ni nini? Kwamba tunapenda CDM na tunaamini inahitaji kujengwa kujiandaa kushika madaraka ya kuliongoza taifa siyo kutawala? Au ni ujinga gani unaozungumzia ule wa kusema uongozi wa CDM ulivyo sasa umenata kwenye watu kiasi kwamba fikra za kutoka nje zinakutna na ukuta wa kukwamisha ambao ni mgumu kubadilika kama vile ilivyo CCM?
Ama ni ujinga gani ambao tumeudhihirisha zaidi ya kusema kile ambacho tunaamini na kukiweka bayana kwa kila mtu kukiona? Kwamba hatuamini umati wa watu; kwamba kwa vile watu wengi wanajitokeza kwenye mikutano na kuvaa nguo za rangi ya CDM haina maana ni wingi wa kura? Au ni ujinga upi huu?
Au ni huu wakusema kuwa miaka miwili baada ya uchaguzi mkuu wa 2010 na mitatu kabla ya ule wa 2015 CDM bado ni chama kile kile? Kina katiba ile ile, kina mifumo ile ile, kina mwelekeo ule ule na dhana zile zile? Kwamba hakijajionesha kuwa kiko adaptive na adoptive wa siasa mamboleo (modern politics) na badala yake kimeendelea kutumia mifumo ile ile iliyoundwa na CCM. Leo hii bado Kamati Kuu ya CDM ina nguvu za kuinfluence local politics kama vile ilivyo kamati kuu ya CCM? Ama ni ujinga wa watu kusema CDM inahitaji kujipnga, kuboresha miundo mbinu yake, kusasaisha sera na mwelekeo wake, na kutengeneza taasisi zake ambazo zitahakikisha kinatoka kuwa chama cha upinzani wa kuduma na kuwa chama kinachoweza kushika utawala wa nchi.
Wakati mwingine ujinga wetu una hekima zaidi kuliko werevu wenu.