Propaganda hii ni chafu haina tija kwa taifa

Propaganda hii ni chafu haina tija kwa taifa

Status
Not open for further replies.
Ushabiki wa upande mmoja ni mbaya. Tuache watu waseme ukweli wanaoujua. Sidhani kama ni uongo kuhusisha baadhi ya mambo yanayotokea Tanzania na vikundi vya kigaidi. Kwani waliolipua ubalozi wa Tanzania na Kenya hawakuwa na uhusiano na magaidi? Je miononi mwa waliohusika hawakuwa watanzania? Mbona alshabab kila siku wanawasumbua wakenya. Hata kama si matukio yote lakini tukubali kuna harufu ya watu kuanza kutumiwa na vikundi tajwa.
 
Unaweza ukawa na elimu kubwa isikusaidie.Wangapi wana maphd but hopeless katika jamii?Wasomi wa namna hii ndio waliojaa nchini.Wangi wao wakifuatiliwa ni wale wa kuibiwa mitihani,shida sana ndio maana hii nchi haisongi mbele.Tazama kitabu cha mafisadi wa elimu.Watu wa namna hii wako wengi sana hapa nchini.

Mtu hawezi kuwa na elimu halafu isimsaidie, tofautisha elimu na makaratasi yanayoitwa vyeti. Kushindwa kwako tu kujua elimu ni nini ni ishara tosha kuwa huna elimu. Mimi sikusema nina PhD, nilizungumzia ELIMU. Elimu hupimwa kwa ufahamu wa mtu na sio makaratasi. Kwa mfano, kwa maneno ya Ilunga, tayari mtu anamjua kuwa hana elimu na ni lofa. Na wewe uko hivyo pia

Yupi bora anayefuata taratibu na kuridhiwa na wazazi wa binti amwoe au anayejifanya hatakiwi kuoa kisha wanawalawiti watoto wadogo?au unajifanya hujui hii scandal,mpaka papa akapita huku na huku kuwaomba msamaha kwa makosa waliofanya makasisi?Hivi unajua kilicho nyuma ya panzia kilichomfanya Papa kutangaza kujiuzuli?We karangabao!Ukisitajabu ya musa utayaona ya firauni,ndio wewe sasa.Hao ndio viongozi wa dini!Je wale mashoga wa kanisa moja kule uingereza waliopitisha sheria ya kuruhusu mapandre mashoga kuendesha ibada,hivi unajifanya hujui mpaka kanisa hilo Tz waliamua kutoungana nao.

Hapa ndio unadhihirisha ulivyo kichwa maji. Kumbe unajua hiyo ni scandal, which means ni unlawful na ndio maana imefanyika kwa kificho tofauti na mtu anapoamua kumvua nguo mtoto wa miaka 9 na kuhalalisha kitendo chake. Nakubali kuwa kuwa viongozi dhaifu waliokamatwa hasa na shetani kiasi wakafanya machafu hayo, lkn hatujafikia kuwapigia makofi na kuwapongeza kama inavyofanyika upande wenu. Unapooan kanisa la Tanzania limegoma na kulaani maana yake hatupendi, lkn nyinyi mmelaani yaliyofanyika kwenu?

Mambo ya Pope kujiuzulu hayawezi kujulikana na watu wa ubongo mdogo saizi yako.
 
Najua utakuwa umemkusudia Ustaadhi Ilunga.Kwanza huyu ustaadhi anatakiwa apongezwe kwa nasaha zake nzuri anazotoa,tatizo wenzetu hamuelewi mantiki yake ndio maana mnaishinikisa serikali imkamate huyu sheikh kwa kuwa anahamasisha mauaji.Kama utashilikisha akili kwenye nasaha za ustaadhi ilunga utagundua kuwa huyu jamaa ana akili sana,tena ana akili za kipekee hata Serikali yenyewe isha litambua hilo.

Labda tuangalie mantiki ya huyu ustaadhi.Kwanza kuna nadharia imejengeka kuwa masheikh ni magaidi.Endapo sheikh ikiuawa vyombo vyote vya habari vitatangaza kuwa sheikh alikuwa gaidi,hivyo hakuna haja ya kuunda tume ya uchunguzi.Waislamu wanaumia na kuweka visasi moyoni mfano mauaji ya sheikh Abdu Rogo aliyemuelezea ustaadh Ilunga wa kenya,na mauaji ya mwembechai ambayo hayatafutika kwenye vichwa cya waislamu.

Waislamu wameonekana hawana mtetezi,so inabidi kujitetea wenyewe.Katika kujitetea na kujenga heshima ndipo hapo ustaadhi Ilunga alipokuja na jawabu la kuuwawa viongozi wa kiislamu.Kwamba Sheikh akiuawa na waislamu waue mapandre kwa siri au kwa dhahiri,tena kazungumza bila kificho maanabila hivyo huwa somo halieleweki.

Hapo inamaanisha kuwa watu wanaocheza huo mchezo wa kuwaua masheikh hata sio wakristo wa hapa nchini,wataacha huo kwani watajua kuwa akiuawa sheikh mmoja lazima pandre mmoja nae atauwawa.Kwa kujua hivyo watu tutaheshimiana.Wakristo watawalinda waislamu na waislamu watawalinda wakristo.

Hiyo ndiyo mantiki ya ustaadhi Ilunga ambayo kwa baadhi ya watu wachochezi wanashindwa kuielewa hoja hii,wanabaki kuishinikiza tu serikali wamkamte sheikh Ilunga kana kwamba nchi inaongozwa kwa mashinikizo.

Nilikua sijaelewa kwanini unaijiita Kichwa bovu, sasa ndo nimeelewa!
 
Hawa wazungu wenye kuwaaambukiza watoto wetu virusi vya ukimwi thru chanjo siyo magaidi? Wenye kuwapatia silaha waasi wa DRC siyo magaidi? Waliotengeneza ugonjwa wa Ebola siyo magaidi? Aliekuwa Rais wa SA Botha hakuwa Gaidi? Wenye kueneza RV feki siyo magaidi? Wenye kua sekta ya elimu na afya nchini siyo magaidi? Kwanini Mandela walimchukulia kama Gaidi? Sadaam alikuwa Gaidi? Ghadaffi alikuwa Gaidi?
Inasikitisha kuona kuwa mtu yeyote mwenye mapenzi mema ya kuiendeleza jamii ya kiislam nchini kwa sasa anachukuliwa kama Gaidi...Yametokea Ukerewe! Bila haya bila ya kufanya utafiti Mwandishi anaamua kuandika mambo ya uongo yenye kuigawa jamii...

Nalazimika kuungana na Mwanakijiji kuwa sasa yafaa tutengane kwa kila kitu! Hata wale ndugu zangu, marafiki zangu kuanzia sasa tuwe MAADUI rasmi! Nyie Mbaki na Wazungu wenu wazuri wastaarabu wenye kuua kwa madege na missiles SISI tubaki na Waarabu wetu Magaidi wenye kutufundisha kuua kwa upanga! ...TUTENGANE Tu...LIWALO NA LIWE...
 
Nilikua sijaelewa kwanini unaijiita Kichwa bovu, sasa ndo nimeelewa!

Huna tofauti na wenzako wenye uelewa finyi wa mambo,uliyekaa kishabiki ukashindwa kuona mustakabali wa nchi na propaganda chafu zinazoendelea,au ndio wale wale hamkufanya mitihani lakini ndalichako akawafaulisha?Ndio hayo sasa matatizo yake.Hivi tunawataka hawa alshababy ,Bokoharam na Alqaida waingiingie nchini?Kabla hamjashabikia waulizeni wenzenu wakenya watakupa habari yao.
 
Sasa hivi imekuwa kawaida kwa matukio ya mauji yanayotokea hapa nchini kuhusishwa na vikundi vya alqaida , alshabab au bokoharam hata kama mauaji hayo yamefanywa na majambazi au watu waliolipizana kisasi kwa wivu wa mapenzi au kudhulumiana.

Maranyingi uhusiahwaji huu unatawala zaidi kwenye midomo ya viongozi wasiokuwa makini na vyombo vya habari uchwara vilivyo biased kwenye kuriport taarifa inayohusu jamii fulani hasa anapouwawa anakuwa mkristo.Hatusikii kauli kama hizo wauliwaji wanapokuwa waislamu.

Ni muhimu kuchunguza mauaji kwa umakini ili kuepuka kupandikiza chuki kwa imani nyingine,haina tija kwa taifa.Ni mara ngapi majambazi wanauwa watu kwa kutafuta vitu wanavyohitji kwa watu/mtu waliyemuua?Hivi vikundi vya alshababy,bokoharam na alqaida tusiviombee kuingia nchini ni hatari sana.Na huko kuwatajataja ni kama kuwachafua kwa wambia wapo nchini ili hali hakuna vikundi hivyo nchini kwetu.

Unamkuta waziri mzima analopoka eti kuna alshababy,mara bokoharam,au alqaida bila hata uchunguzi.Kumbukeni mnacheza ngoma msiyoijua na ni hatari kwa umoja na mshikamano wa nchi yetu.Yani akiuwa kiongozi wa kristo tu basi kuna alshababy,hv ni viongozi wangapi wa kiislam au waislamu wangapi wameuawa hapa nchini mpaka sasa na hata tume haijaundwa kuchunguza?Inafikia wakati mpaka kuna wengine wanasema waliouwawa wamejitakia!!

Tukumbuke kuwa thamani ya uhai iko kwa wote halikadhalika uchungu wa mauti.Dr Mafingo aliuawa huko Bulongwa makete watu wakawa kimya.Kama tunaamua kupaza sauti juu ya mauaji basi tufanye hivyo kwa watu wote bila kuwa biased.

Be blessed all.

usipende kulalama toa takwimu hususani za hivi karibuni ambapo matukio ya kuuliwa au kupigwa risasi huko zanzibar na mwanza yamejitokeza halfu zitolewa KAULI KUWA HAO NI WAHUNI TU, HIVI KAMA WANGEKUWA NDIO WAISLAMU WANAWINDWA KAMA SWALA NAMNA HIYO KUHARIBIWA BIASHARA ZAO KUCHOMEWA MAKANISA, WAISLAMU SINGEMNGESOMA HITMA JAMANI. HEBU TUSEME UKWELI NDUGU YANGU ACHA KUSEMA HIZO PROPAGANDA. HUO NDO UKWELI. HUU NI MPANGO KAMILI WA AFRICAN ISLAMIC ORGANISATION UNAOTEKELEZA MATAKWA YA OIC YA KUHAKIKISHA IFIKIAPO 2089 TANZANIA INAKUWA FULLY ISLAMIC, MNAFIKIRI HATUJUI? JAMANI AL-SHABABU, ALKAEDA, NA BOKOHARAMU WOTE HAWA NI MAAJENTI WA ORGANISATION OF ISLAMIC COUNTRIES.
MSIWADANGANYE WATU NA KWAZUGA
 
Kuna taarifa pia kuwa al-shabab walikutwa huko tunduru kwa mgangawa kienyeji wamepelekwa na chama cha magamba ili wawashughulikie wanasiasa wakorofi. Sasa unakataa nini kuwa al-shababu wako tanzania kuendeleza undavaundava
 
Kama unataka ujue kweli huu ni uchochezi na kuchafua uislam angalia suala la chuo cha ALJAZEERA ukerewe ambacho gazet moja hapa nchini linakihusisha na alqaeda na alshababi kwa muujibu wa viongoz wa serikali kilichoandikwa na gazet hilo ni uongo mtupu!
 
usipende kulalama toa takwimu hususani za hivi karibuni ambapo matukio ya kuuliwa au kupigwa risasi huko zanzibar na mwanza yamejitokeza halfu zitolewa KAULI KUWA HAO NI WAHUNI TU, HIVI KAMA WANGEKUWA NDIO WAISLAMU WANAWINDWA KAMA SWALA NAMNA HIYO KUHARIBIWA BIASHARA ZAO KUCHOMEWA MAKANISA, WAISLAMU SINGEMNGESOMA HITMA JAMANI. HEBU TUSEME UKWELI NDUGU YANGU ACHA KUSEMA HIZO PROPAGANDA. HUO NDO UKWELI. HUU NI MPANGO KAMILI WA AFRICAN ISLAMIC ORGANISATION UNAOTEKELEZA MATAKWA YA OIC YA KUHAKIKISHA IFIKIAPO 2089 TANZANIA INAKUWA FULLY ISLAMIC, MNAFIKIRI HATUJUI?

Si ndio propaganda mnazolishwa.Nyie mkijiunga na jumuia za kikristo pamoja na makanisa huko ulaya na kupata misaada hamuonekani kuwa mnataka kuichristanize Tanzania.Waislamu wakitaka kujiunga na jumuia za kiislamu nao wapate misaada wanataka kuislamize Tanzania,huo ni ujuha na wala hautawasaidia.Kwenye uislamu hakuna kulazimishani kuingia katika dini.

Angalia takwimu ufarasa wanavyosilimu na kuwa waislam,uislamu unajiuza wenyewe pamoja na mabilioni ya fedha zinazotumika kuuhujumu lakini bado unazidi kutamalaki.Shida yenu ni kuwa kuuawa auwawe mwislam akiuawa mkristo watu hawalali.Kama mna nia ya kukemea mauaji ifanyike hivyo kwa mtu yeyote anaeuwawa bila kangalia dini yake na huo ndio utanzania.
 
Kama unataka ujue kweli huu ni uchochezi na kuchafua uislam angalia suala la chuo cha ALJAZEERA ukerewe ambacho gazet moja hapa nchini linakihusisha na alqaeda na alshababi kwa muujibu wa viongoz wa serikali kilichoandikwa na gazet hilo ni uongo mtupu!

Ndugu hao ndiyo waandishi watanzania wamekaa kichochezi chochezi.Tunashukuru uwepo waradio Imaan vinginevyo wangetupanda hadi kichwani.Ndio maana wanaichukia ile mbaya na wanatamani ifungwe kwa kuwaumbua.Jana gazeti la Mtanzani wameumbuka na uwongo wao sidhani kama watathubutu kuandika habari zao za kupika.

Wanajifanya wanajua kuliko usalama wa taifa!Mhariri pamoja waliomtuma wamepata pigo kubwa.Tuleteeni CD nyingine.
 
Tusikate tamaa, bado tuna nafasi kubwa ya kurekebisha hasa tukiwa wawazi, tuwataje hadharani wale wenye nia mbaya ya amani ya nchi yetu, awe kiongozi wa dini, mwanasiasa, mwanaharakati, au mtu yeyote hakika tutafika. Jana nimemsikiliza SHEIKH wa Dar es Salaam, hakika yule ni kiongozi wa dini ameongea vizuri sana, akasema kuna watu wanataka kuuza SILAHA na wanona njia rahisi kwa Tanzania ambapo amani imetawala ni kupitia dini kwa vile vita ya dini haina mwisho. Viongozi kama Sheikh huyu ni mfano wa kuigwa na tukiwatumia hakika hatutafika kule ambako wabaya wetu wanataka kutufikisha.

Umenena vema, yule sheikh namuona ni kielelezo cha muislamu safi, mwerevu ,mwenye msimamo na asiyeogopa kusema ukweli hata kama utakuwa mchungu kwa watu flani hata serikali, tatizo wabaya wake na wasioipendea mema nchi yetu na wanaopenda kuona tunatumbukia kwenye machafuko hawachelewi kumwita majina mabaya, mara kibaraka blah blah blah
 
Kuna taarifa pia kuwa al-shabab walikutwa huko tunduru kwa mgangawa kienyeji wamepelekwa na chama cha magamba ili wawashughulikie wanasiasa wakorofi. Sasa unakataa nini kuwa al-shababu wako tanzania kuendeleza undavaundava

Wale aliowasema Mwakyembe afu Said MWOVU hakusema kitu
 
mnatumia pesa kuwarubuni watoto wa dini nyingine mnazaa nao holela ili muongezeke kwa idadi, rais mwinyi alijenga msikiti hadi sehemu ambazo hakuna waumini . uumini wa namna hii na hasa wa kiongozi ni lazima ulete mashaka makubwa kwa wasio waislamu. hizo zote ni mbinu chafu, lakini pia masharti nafuu ya dini yenu hasa wa kuoa wanawake wasiopungua wanne ukianzia na mtume mwenyewe ndio unaowafanya muongeze kwa kasi hiyo unayosema. na sisi tunajua mlango wa waendao jeham si haba una wafuais wengi , wauingiao mlango mwembamba ni wachache nao ni wale watakatifu wa bwana. what matters is not how many members do you have but whether they are followers of the true GOD IN WHOM WE TRUST. SOME MEN WITH CHARISMATIC TALENTS ARE FALSE PROPHETS AND PROPHET MUHAMAD IS ONE OF THE FALSE PROPHETS. THIS IS VERY CLEAR FROM THE BIBLE ITSELF . WE DONT BORROW THE FACTS FROM ANYWHERE ELSE.IN FACT PROPHET MUHAMMAD BROUGHT ALOT OF CONFUSIONS INCLUDING THE REVELATION REGARDING HIS ORDAINMENT TO LEAD THE WORLD OF ISLAM AT JABA-LIKHIRA WHERE HE WAS SUFFOCATED TO ALMOST DEATH BY THE ALAH AKBAR HIMSELF AND FORCED TO PROCLAIM ISLAM EVEN WITHOUT ANY KNOWLEDGE OF READING AND WRITING- AN UMI PROPHET.
 
mnatumia pesa kuwarubuni watoto wa dini nyingine mnazaa nao holela ili muongezeke kwa idadi, rais mwinyi alijenga msikiti hadi sehemu ambazo hakuna waumini . uumini wa namna hii na hasa wa kiongozi ni lazima ulete mashaka makubwa kwa wasio waislamu. hizo zote ni mbinu chafu, lakini pia masharti nafuu ya dini yenu hasa wa kuoa wanawake wasiopungua wanne ukianzia na mtume mwenyewe ndio unaowafanya muongeze kwa kasi hiyo unayosema. na sisi tunajua mlango wa waendao jeham si haba una wafuais wengi , wauingiao mlango mwembamba ni wachache nao ni wale watakatifu wa bwana. what matters is not how many members do you have but whether they are followers of the true GOD IN WHICH WE TRUST. SOME MEN WITH CHARISMATIC TALENTS ARE FALSE PROPHETS AND PROPHET MUHAMAD IS ONE OF THE FALSE PROPHETS. THIS IS VERY CLEAR FROM THE BIBLE ITSELF . WE DONT BORROW THE FACTS FROM ANYWHERE ELSE.IN FACT PROPHET MUHAMMAD BROUGHT ALOT OF CONFUSIONS INCLUDING THE REVELATION REGARDING HIS ORDAINMENT TO LEAD THE WORLD OF ISLAM AT JABA-LIKHIRA WHERE HE WAS SUFFOCATED TO ALMOST DEATH BY THE ALAH AKBAR HIMSELF AND FORCED TO PROCLAIM ISLAM EVEN WITHOUT AN KNOWLEDGE OF REDING AND WRITTING- AN UMI PROPHET.
 
funguka mtoa mada!

Hana ufunguo...zaidi ya uchovu wa mawazo...

Alqaeda wameshafanya mashambulizi hapa tanzania ....rejea mlipuko katika ubalozi wa marekani...

Mleta mada ameongozwa na hisia zaidi badala ya kufanya utafiti
 
UAMSHO wameanza kuuwa viongozi wa kanisa wakipinga Muungano, baadaye watauwa majaji kama haitoshi wataanza kuuwa vuongozi wa siasa. Deen gani hii haina mapendo?
 
Tunawashauri waislamu warudi kwenye dini za babu zao kuliko dini ya kuahidiwa pepo za kupata mahurulain 70 na mito ya pombe kiasi wanaona hawana haja ya kuishi hapa duniani bora waende huko kula nchi milele. Ahadi hizi wanazoahidiwa haziwezi kuwafanya waheshimu maisha ya watu. Hii ndio siri ya watu kujilipua katikati ya watu. Mjiulize hivi ni kwanini watu wanojilipua ni miongoni mwa waumini wenu kama sio kutokana na mafundisho potofu ya dini yenu
 
jamaa yangu GOVI MEMBE mwerevu hutawalwa na akili yenye kufikir mambo sahihi kwa wakat sahihi tunajadili mengine we umeleta chokochok humu ndan za kuambatanisha ubaya na iman za watu muislam kuoa wake zaid ya mmoja ni iman yake inamruhusu we kama iman na din yako haijaruhusu kaa na iman yako utulie kila mtu anaabudu kutokana na anavyoamin. haya unamtaja na mtume kuwa kama kielelezo chako, "usiguse imani ya mtu kwa matakwa yako"
 
Kuuwawa auwawe muislam bwana akiuwawa mkristo kelele kila kona.Huu unafiki utaisha lini,mbona waislam wanapouawa kelele hizi hazisikiki,au mwislam kwenu kuuliwa ni halali?

Bado ninasisitizia huu ni upofu. Ni mauaji gani ya Mtanzania wa madhehebu yoyote akiwemo mwislamu yaliyotokea katika mazingira Kama haya watu hawakupiga kelele? Utakuwa mmoja wa unaotaka kutuchonganisha, sina hakika kwamba katika familia yako hauna ndugu wa dini mchanganyiko waislamu na Wakiristu - Mimi nianao, kwa hiyo sikubaliani na mawazo yako ya kichochezi.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom