Propaganda hii ni chafu haina tija kwa taifa

Propaganda hii ni chafu haina tija kwa taifa

Status
Not open for further replies.
Ushabiki wa upande mmoja ni mbaya. Tuache watu waseme ukweli wanaoujua. Sidhani kama ni uongo kuhusisha baadhi ya mambo yanayotokea Tanzania na vikundi vya kigaidi. Kwani waliolipua ubalozi wa Tanzania na Kenya hawakuwa na uhusiano na magaidi? Je miononi mwa waliohusika hawakuwa watanzania? Mbona alshabab kila siku wanawasumbua wakenya. Hata kama si matukio yote lakini tukubali kuna harufu ya watu kuanza kutumiwa na vikundi tajwa.

Na yale mauwaji ya yule professor aliyetoa siri za kanisa kujihusisha na mgodi wa dhahabu kule Songea tuite nini ???
 
Hana ufunguo...zaidi ya uchovu wa mawazo...

Alqaeda wameshafanya mashambulizi hapa tanzania ....rejea mlipuko katika ubalozi wa marekani...

Mleta mada ameongozwa na hisia zaidi badala ya kufanya utafiti

hivi padri aliyeuliwa ni mmarekani ??
 
mnatumia pesa kuwarubuni watoto wa dini nyingine mnazaa nao holela ili muongezeke kwa idadi, rais mwinyi alijenga msikiti hadi sehemu ambazo hakuna waumini . uumini wa namna hii na hasa wa kiongozi ni lazima ulete mashaka makubwa kwa wasio waislamu. hizo zote ni mbinu chafu, lakini pia masharti nafuu ya dini yenu hasa wa kuoa wanawake wasiopungua wanne ukianzia na mtume mwenyewe ndio unaowafanya muongeze kwa kasi hiyo unayosema. na sisi tunajua mlango wa waendao jeham si haba una wafuais wengi , wauingiao mlango mwembamba ni wachache nao ni wale watakatifu wa bwana. what matters is not how many members do you have but whether they are followers of the true GOD IN WHICH WE TRUST. SOME MEN WITH CHARISMATIC TALENTS ARE FALSE PROPHETS AND PROPHET MUHAMAD IS ONE OF THE FALSE PROPHETS. THIS IS VERY CLEAR FROM THE BIBLE ITSELF . WE DONT BORROW THE FACTS FROM ANYWHERE ELSE.IN FACT PROPHET MUHAMMAD BROUGHT ALOT OF CONFUSIONS INCLUDING THE REVELATION REGARDING HIS ORDAINMENT TO LEAD THE WORLD OF ISLAM AT JABA-LIKHIRA WHERE HE WAS SUFFOCATED TO ALMOST DEATH BY THE ALAH AKBAR HIMSELF AND FORCED TO PROCLAIM ISLAM EVEN WITHOUT AN KNOWLEDGE OF REDING AND WRITTING- AN UMI PROPHET.

maneno yako ni kweli kabisa kwani ukristo umeruhusu upendo kila mahali na huu hapa umeingia Afrika

Welcoming Gay Friendly Churches in Africa



[TD="width: 276"] Nigeria [/TD]
[TD="width: 170"] 1 church [/TD]
[TD="width: 202"][/TD]

[TD="width: 83"][/TD]
[TD="width: 276"][/TD]
[TD="width: 170"][/TD]
[TD="width: 202"][/TD]

[TD="width: 83"][/TD]
[TD="width: 276"] MCC Okigwe [/TD]
[TD="width: 170"] Okigwe [/TD]
[TD="width: 202"] MCC [/TD]

[TD="width: 83"][/TD]
[TD="width: 276"][/TD]
[TD="width: 170"][/TD]
[TD="width: 202"][/TD]

[TD="width: 83"][/TD]
[TD="width: 276"][/TD]
[TD="width: 170"][/TD]
[TD="width: 202"][/TD]

[TD="width: 83"][/TD]
[TD="width: 276"] South Africa [/TD]
[TD="width: 170"] 16 churches [/TD]
[TD="width: 202"][/TD]

[TD="width: 83"][/TD]
[TD="width: 276"][/TD]
[TD="width: 170"][/TD]
[TD="width: 202"][/TD]

[TD="width: 201"] MCC Good Hope [/TD]
[TD="width: 173"] Cape Town [/TD]
[TD="width: 202"] MCC [/TD]

[TD="width: 82"][/TD]
[TD="width: 201"] The Full Family Church [/TD]
[TD="width: 173"] Bloemfontein [/TD]
[TD="width: 202"] Non-denominational [/TD]

[TD="width: 82"][/TD]
[TD="width: 201"] Agapé Revelation Church [/TD]
[TD="width: 173"] Boksburg [/TD]
[TD="width: 202"] Non-denominational [/TD]

[TD="width: 82"][/TD]
[TD="width: 201"] Beth-Haran [/TD]
[TD="width: 173"] Boksburg [/TD]
[TD="width: 202"] Non-denominational [/TD]

[TD="width: 82"][/TD]
[TD="width: 201"] GCC [/TD]
[TD="width: 173"] Doorenfontein [/TD]
[TD="width: 202"] Non-denominational [/TD]

[TD="width: 82"][/TD]
[TD="width: 201"] Word of Life MCC [/TD]
[TD="width: 173"] Durban [/TD]
[TD="width: 202"] MCC [/TD]

[TD="width: 82"][/TD]
[TD="width: 201"] Deo Gloria Family Church KZN [/TD]
[TD="width: 173"] Durban [/TD]
[TD="width: 202"] Non-denominational [/TD]

[TD="width: 82"][/TD]
[TD="width: 201"] Real Life Church [/TD]
[TD="width: 173"] Jeffreys Bay [/TD]
[TD="width: 202"] Non-denominational [/TD]

[TD="width: 82"][/TD]
[TD="width: 201"] Hope and Unity MCC [/TD]
[TD="width: 173"] Johannesburg [/TD]
[TD="width: 202"] MCC [/TD]

[TD="width: 82"][/TD]
[TD="width: 201"] Reformerende Kerk Jhb [/TD]
[TD="width: 173"] Johannesburg [/TD]
[TD="width: 202"] Non-denominational [/TD]

[TD="width: 82"][/TD]
[TD="width: 201"] Die Kapel [/TD]
[TD="width: 173"] Melville [/TD]
[TD="width: 202"] Non-denominational [/TD]

[TD="width: 82"][/TD]
[TD="width: 201"] Beth-Haran Ministries [/TD]
[TD="width: 173"] Potchefstroom [/TD]
[TD="width: 202"] Non-denominational [/TD]

[TD="width: 82"][/TD]
[TD="width: 201"] Eastside Community Church [/TD]
[TD="width: 173"] Pretoria [/TD]
[TD="width: 202"] Interdenominational [/TD]

[TD="width: 82"][/TD]
[TD="width: 201"] Glorious Light MCC [/TD]
[TD="width: 173"] Pretoria [/TD]
[TD="width: 202"] MCC [/TD]

[TD="width: 82"][/TD]
[TD="width: 201"] Agallia Ministries [/TD]
[TD="width: 173"] Pretoria [/TD]
[TD="width: 202"] Non-denominational, Pentecostal [/TD]

[TD="width: 82"][/TD]
[TD="width: 201"] Reforming Church [/TD]
[TD="width: 173"] Pretoria [/TD]
[TD="width: 202"] Non-denominational [/TD]

[TD="width: 82"][/TD]
[TD="width: 201"][/TD]
[TD="width: 173"][/TD]
[TD="width: 202"][/TD]

[TD="width: 82"][/TD]
[TD="width: 201"][/TD]
[TD="width: 173"][/TD]
[TD="width: 202"][/TD]

[TD="width: 82"][/TD]
[TD="width: 272"] Tanzania [/TD]
[TD="width: 173"] 1 church [/TD]
[TD="width: 202"][/TD]

[TD="width: 82"][/TD]
[TD="width: 201"][/TD]
[TD="width: 173"][/TD]
[TD="width: 202"][/TD]

[TD="width: 82"][/TD]
[TD="width: 272"] Pentecostal Evangelistic Church [/TD]
[TD="width: 173"] Mbeya [/TD]
[TD="width: 202"] Non-denominational [/TD]

[TD="width: 82"][/TD]
[TD="width: 272"][/TD]
[TD="width: 173"][/TD]
[TD="width: 202"][/TD]

[TD="width: 82"][/TD]
[TD="width: 272"][/TD]
[TD="width: 173"][/TD]
[TD="width: 202"][/TD]

[TD="width: 82"][/TD]
[TD="width: 272"] Uganda [/TD]
[TD="width: 173"] 1 church [/TD]
[TD="width: 202"][/TD]

[TD="width: 82"][/TD]
[TD="width: 272"][/TD]
[TD="width: 173"][/TD]
[TD="width: 202"][/TD]

[TD="width: 82"][/TD]
[TD="width: 272"] Integrity Uganda [/TD]
[TD="width: 173"] unknown (see web site) [/TD]
[TD="width: 202"] Anglican [/TD]

[TD="width: 82"][/TD]
[TD="width: 272"] Kason Church [/TD]
[TD="width: 173"] Kabale [/TD]
[TD="width: 202"] Non-denominational [/TD]
 
Sasa hivi imekuwa kawaida kwa matukio ya mauji yanayotokea hapa nchini kuhusishwa na vikundi vya alqaida , alshabab au bokoharam hata kama mauaji hayo yamefanywa na majambazi au watu waliolipizana kisasi kwa wivu wa mapenzi au kudhulumiana.

Maranyingi uhusiahwaji huu unatawala zaidi kwenye midomo ya viongozi wasiokuwa makini na vyombo vya habari uchwara vilivyo biased kwenye kuriport taarifa inayohusu jamii fulani hasa anapouwawa anakuwa mkristo.Hatusikii kauli kama hizo wauliwaji wanapokuwa waislamu.

Ni muhimu kuchunguza mauaji kwa umakini ili kuepuka kupandikiza chuki kwa imani nyingine,haina tija kwa taifa.Ni mara ngapi majambazi wanauwa watu kwa kutafuta vitu wanavyohitji kwa watu/mtu waliyemuua?Hivi vikundi vya alshababy,bokoharam na alqaida tusiviombee kuingia nchini ni hatari sana.Na huko kuwatajataja ni kama kuwachafua kwa wambia wapo nchini ili hali hakuna vikundi hivyo nchini kwetu.

Unamkuta waziri mzima analopoka eti kuna alshababy,mara bokoharam,au alqaida bila hata uchunguzi.Kumbukeni mnacheza ngoma msiyoijua na ni hatari kwa umoja na mshikamano wa nchi yetu.Yani akiuwa kiongozi wa kristo tu basi kuna alshababy,hv ni viongozi wangapi wa kiislam au waislamu wangapi wameuawa hapa nchini mpaka sasa na hata tume haijaundwa kuchunguza?Inafikia wakati mpaka kuna wengine wanasema waliouwawa wamejitakia!!

Tukumbuke kuwa thamani ya uhai iko kwa wote halikadhalika uchungu wa mauti.Dr Mafingo aliuawa huko Bulongwa makete watu wakawa kimya.Kama tunaamua kupaza sauti juu ya mauaji basi tufanye hivyo kwa watu wote bila kuwa biased.

Be blessed all.
Kchwa mbovu kama wanasema kuna bokoharamu au alqaida HAO VIONGOZI WANAKOSEA SANA TENA WATAKUWA ZAID YA BOGUS,YAANI YULE MCHUNGAJI GEITA BUSELELE ALIUWAWA NA BOKOHARAM/ALQAIDA? HAWA VIONGOZI HAWANA AKILI,LILE KANISA MBAGALA NA MENGINE HUKO ZANZIBAR NI BOKOHALAM/ALQAIDA? WAACHE KUTUTANIA KWA SABABU WALIOCHOMA KANISA MBAGALA NI WAISLAMU,WALIOMUUA MCHUNGAJI GEITA NI WAISLAMU,WALIOCHOMA MAKANISA ZANZIBAR NI WAISLAMU
 
hakuna anyewazuia msijiunge na OIC kama bakwata, au taasisi ya alnuur. shida ni pale mnapotaka Tanzania ijiunge na hizo taasisi zenu zenye mrengo wa kueneza uislamu hapa tanzania kama nchi. serkali yetu haina dini ila watu wake na sio vinginevyo.
 
Tutajuaje bila shaka waliopigwa karate kule gondo la bongo rc wakati wakiwa na hasira za msahafu kuklojolewa walikuwa si wengine ila wahuni wa dar
 
Bado ninasisitizia huu ni upofu. Ni mauaji gani ya Mtanzania wa madhehebu yoyote akiwemo mwislamu yaliyotokea katika mazingira Kama haya watu hawakupiga kelele? Utakuwa mmoja wa unaotaka kutuchonganisha, sina hakika kwamba katika familia yako hauna ndugu wa dini mchanganyiko waislamu na Wakiristu - Mimi nianao, kwa hiyo sikubaliani na mawazo yako ya kichochezi.
Mfano dr Mafingo aliuawa kule bulongwa makete,tena kwenye hospitali ya kanisa.
 
Naona Mods wanaruhusu post zenye kumkashfu wetu Mtume Mohamad S.W.A...Kitakachofuata JF tusije laumiana baadae...
 
Mtoa mada ni kama amekurupuka kutoka kwenye kijiwe cha wanywa kahawa na kashata.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom