Propaganda hii ni chafu haina tija kwa taifa

Propaganda hii ni chafu haina tija kwa taifa

Status
Not open for further replies.
Umeona eee? kutokana na bandiko lake hakuna shaka yeye ni alshababu.

Tupunguze kula kuku wa kisasa, mayai ya kisasa, kunywa maziwa ya ng'ombe wa kisasa wanaodungwa sindano sasa moja asubuhi na kukamuliwa sasa sita mchana, tunguze kula mboga za majani zilizopigwa dawa leo na kuchumwa kesho. Hivi vyakula vinapunguza uwezo wa kufikiri na kusababisha maradhi mwilini yanyoweza kukufanya uwe mwenye hasira, chuki na kukosa amani masaa yote. Kuna sababu gani ya kumshambulia mleta mada nzuri kama hii?
 
Kimsingi nakubaliana na wewe, tunatatizo la kujump into conclusions, hivi majuzi ilifikia hatua baadhi ya watu wakaanza kudai kuna mkakati wa kuhujumu watu wa mbeya wakifanya reference kwa DR Ulimboka, mtangazaji wa channel ten aliyeuwawa iringa na mtu mwingine kama sikosei.

Hii ni kitu mbaya sana, japo kwa kiasi kikubwa inachangiwa na vyombo vya usalama kutokuchukua hatua za haraka kudhibiti uharifu na kutoa taarifa kwa uma au kuonekana kwamba inaacha kutimiza wajibu wake kwa makusudi.

Nadhani watu wengi wanatoa comments zao sababu ya hasira na kutokulidhishwa na utendaji wa serikali. Hivyo ni vyema tukatafakari kama kuna kitu wananchi tunaweza kufanya kuisadia serikali yetu kutimiza majukumu yake.

Mkuu ni wachache sana wanaweza kuwa na views kama za kwako. Hongera sana. Ila mimi kwa upande wangu naona pia kuna tatizo la baadhi ya makundi ya watu kama wanasiasa na taasisi kudhani kuwa wanaweza kuiongoza Serikali badala ya kuisimamia na kuishauri, jambo ambalo linaweza kupelekea Serikali ione kama inashinikizwa badala ya kushauriwa na hivyo kutoona umuhimu wa kufanyia kazi mashinikizo hayo. Ni vyema wanasiasa, wanaharakati na mkundi mengine yakatambua kuwa mawazo yao yenye hisia za kibinafsi, uchochezi, na kujitafutia umaarufu kamwe hayataijenga nchi na badala yake yataibomoa na watakaoumia ni wananchi.
 
kaka umesema kweli nahisi watz wengi wahaijui vizuri alqaeda na hivyo vikundi vyengine lakushangaza viongozi wetuwanakurupuka kutoa hukumu kabla ya uchunguzi tena wa upande wa zanzibar tuu ni ajabu au ajenda[/QUOTE

Mauji kufanyika kwa viongozi wa dini moja isiwe sababu ya kukimbilia kuhusisha mauaji hayo na AL-QAEDA na vikundi vingine vya kigaidi sababu tu eti vikundi hivi ni vya imani tofauti na wale wanaouawa. Wakati wa mazishi ya PADRE kule zanzibar watu walitumiwa SMS zinazosemekana kutoka kwa kikundi cha UAMSHO kikiahidi kuendelea kutekeleza mauji mengine, sasa tuseme UAMSHO ni AL-QAEDA? Sheikh ILUNGA wa kule GEITA aliyesema ua padre, ueni wachungaji ni BOKOHARAM? madai ya hawa siyo ya waislamu, wana sababu zao binafsi na sidhani kama kuna muislamu ambaye anaungana nao kwa kauli zao.
 
MACHAFUKO KATI YA WAISLAMU NA WAKIRISTO GEITA, MCHUNGAJI ACHINJWA HADI KUUAWA




[TABLE="class: cms_table_cms_table_tr-caption-container, align: center"]
[TR]
[TD="class: cms_table_cms_table_tr-caption, align: center"]Hivi ndivyo anavyoonekana Majeruhi Yasin Rajabu na hapa akiwa amelazwa katika wod namba 8 Hospitali ya wilaya ya Geita kwaajili ya kupatiwa matibabu.[/TD]
[/TR]
[/TABLE]




[TABLE="class: cms_table_cms_table_tr-caption-container, align: center"]
[TR]
[TD="class: cms_table_cms_table_tr-caption, align: center"]Hivi ndivyo anavyoonekana Majeruhi Said Ntahompagaze aliyejeruiwa mguu wakati wa vurugu za waislam na wakristu wachache zilizotokea leo katika kijiji cha Buseresere wilayani Chato mkoani Geita na kusababisha shughuli mbalimbali kusimama.[/TD]
[/TR]
[/TABLE]




[TABLE="class: cms_table_cms_table_tr-caption-container, align: center"]
[TR]
[TD="class: cms_table_cms_table_tr-caption, align: center"]Majeruhi Vicent Damon akiwa amelazwa wod na 8 hospitali ya wilaya ya Geita aliyejeruiwa wakati wa vurugu za waislam na wakristu wachache zilizotokea leo katika kijiji cha Buseresere wilayani Chato mkoani Geita na kusababisha shughuli mbalimbali kusimama.[/TD]
[/TR]
[/TABLE]




[TABLE="class: cms_table_cms_table_tr-caption-container, align: center"]
[TR]
[TD="class: cms_table_cms_table_tr-caption, align: center"]Majeruhi Sadick Yahaya.[/TD]
[/TR]
[/TABLE]




[TABLE="class: cms_table_cms_table_tr-caption-container, align: center"]
[TR]
[TD="class: cms_table_cms_table_tr-caption, align: center"]Majeruhi Ramadan aliyejeruiwa wakati wa vurugu za waislam na wakristu wachache zilizotokea leo katika kijiji cha Buseresere wilayani Chato mkoani Geita na kusababisha fukuto kubwa la vurugu zilizosababisha shughuli mbalimbali kusimama.[/TD]
[/TR]
[/TABLE]



Machafuko makubwa yametokea leo katika kijiji cha Buseresere Wilayani Chato Mkoani Geita kati ya waslam na wakristu na kupelekea watu 10 kujeruhiwa vibaya kwa mapanga huku mchungaji wa kanisa la Pentekoste Assemblies of God Mathayo Kachila (45) akipoteza maisha kwa kuchinjwa na watu wanaodaiwa ni waumini wadini ya kiislam kisha mwili wake kutelekezwa kwenye vibanda vya maduka ambavyo vilikuwa jirani na eneo hilo.



Habari na picha kwa hisani ya Gsengo Blog

MUTAUWANA SANA MWAKA HUU WATANGANYIKA UBAYA NA CHUKI ZENU ZIDI YA WAZANZIBARI ZITAKURUDIENI WENYENU KWA EWEZO WA M/MUNGU KILA UBAYA MULIOKUSUDIA PROPAGANDA NA AGENDA CHAFU DHIDI YA WAZANZIBARI HAMUTOFANIKIWA


Hivi watanganyika wakiuana, wazanzibar watapona kweli?
 
Sasa hivi imekuwa kawaida kwa matukio ya mauji yanayotokea hapa nchini kuhusishwa na vikundi vya alqaida , alshabab au bokoharam hata kama mauaji hayo yamefanywa na majambazi au watu waliolipizana kisasi kwa wivu wa mapenzi au kudhulumiana.

Maranyingi uhusiahwaji huu unatawala zaidi kwenye midomo ya viongozi wasiokuwa makini na vyombo vya habari uchwara vilivyo biased kwenye kuriport taarifa inayohusu jamii fulani hasa anapouwawa anakuwa mkristo.Hatusikii kauli kama hizo wauliwaji wanapokuwa waislamu.

Ni muhimu kuchunguza mauaji kwa umakini ili kuepuka kupandikiza chuki kwa imani nyingine,haina tija kwa taifa.Ni mara ngapi majambazi wanauwa watu kwa kutafuta vitu wanavyohitji kwa mtu waliyemuua?Hivi vikundi vya alshababy,bokoharam na alqaida tusiviombee kuingia nchini ni hatari sana.Na huko kuwatajataja ni kama kuwachafua kwa wambia wapo nchini ili hali hakuna vikundi hivyo nchini kwetu.

Unamkuta waziri mzima analopoka eti kuna alshababy,mara bokoharam,au alqaida bila hata uchunguzi.Kumbukeni mnacheza ngoma msiyoijua na ni hatari kwa umoja na mshikamano wa nchi yetu.Yani akiuwa kiongozi wa kristo tu basi kuna alshababy,hv ni viongozi wangapi wa kiislam au waislamu wangapi wameuawa hapa nchini mpaka sasa na hata tume haijaundwa kuchunguza?Inafikia wakati mpaka kuna wengine wanasema waliouwawa wamejitakia!!

Tukumbuke kuwa thamani ya uhai iko kwa wote halikadhalika uchungu wa maiti.Dr Mafingo aliuawa huko Bulongwa makete watu wakawa kimya.Kama tunaamua kupaza sauti juu ya mauaji basi tufanye hivyo kwa watu wote bila kuwa biased.

Be blessed all.

Mleta mada kwa sasa hivi majina ya Alshaabab, boko haram na alqaeda ndo majina makuu katika ugaidi wa kiislamu. Ili kukata mzizi wa fitina, pengine una jina la hicho kikundi kipya cha kigaidi kilichoibuka Znz, tunaomba ututajie. Na ni kwa nini ukimbilie kukataa kuwa kuuwa viongozi wa dini ya kikristo wasiokuwa na hatia sio ugaidi?
 
Habari za kuaminika kutoka uchunguzi wa kifo cha Padri Mushi...Inasemekana alikuwa kwenye drug cartel..na mauji haya ni vurugu za ndani ya kikundi. Aliyemsikiliza kamanda wa polisi Zanzibar jana akihojiwa BBC atakuwa amesikia hili
 
Kumbe tuna watu wa wazi kabisa wanaochochea mauaji na badala yake tunakimbilia kusema ni magaidi. vyombo vya habari na watu wanaochochea vurugu ndiyo wa kushughulikiwa mapema iwezekanavyo kabla ya kurukia kusema ni ni AL-QAEDA, BOKOHARAM n,k
Unajuaje kama hawakutumwa na vikundi hivyo kuchochea!
 
Sasa hivi imekuwa kawaida kwa matukio ya mauji yanayotokea hapa nchini kuhusishwa na vikundi vya alqaida , alshabab au bokoharam hata kama mauaji hayo yamefanywa na majambazi au watu waliolipizana kisasi kwa wivu wa mapenzi au kudhulumiana.

Maranyingi uhusiahwaji huu unatawala zaidi kwenye midomo ya viongozi wasiokuwa makini na vyombo vya habari uchwara vilivyo biased kwenye kuriport taarifa inayohusu jamii fulani hasa anapouwawa anakuwa mkristo.Hatusikii kauli kama hizo wauliwaji wanapokuwa waislamu.

Ni muhimu kuchunguza mauaji kwa umakini ili kuepuka kupandikiza chuki kwa imani nyingine,haina tija kwa taifa.Ni mara ngapi majambazi wanauwa watu kwa kutafuta vitu wanavyohitji kwa mtu waliyemuua?Hivi vikundi vya alshababy,bokoharam na alqaida tusiviombee kuingia nchini ni hatari sana.Na huko kuwatajataja ni kama kuwachafua kwa wambia wapo nchini ili hali hakuna vikundi hivyo nchini kwetu.

Unamkuta waziri mzima analopoka eti kuna alshababy,mara bokoharam,au alqaida bila hata uchunguzi.Kumbukeni mnacheza ngoma msiyoijua na ni hatari kwa umoja na mshikamano wa nchi yetu.Yani akiuwa kiongozi wa kristo tu basi kuna alshababy,hv ni viongozi wangapi wa kiislam au waislamu wangapi wameuawa hapa nchini mpaka sasa na hata tume haijaundwa kuchunguza?Inafikia wakati mpaka kuna wengine wanasema waliouwawa wamejitakia!!

Tukumbuke kuwa thamani ya uhai iko kwa wote halikadhalika uchungu wa maiti.Dr Mafingo aliuawa huko Bulongwa makete watu wakawa kimya.Kama tunaamua kupaza sauti juu ya mauaji basi tufanye hivyo kwa watu wote bila kuwa biased.

Be blessed all.

Sheikh Ilunga anawasumbua mno!!
Akili yako haiko huru.....
Lini Imam kauawa kwenye ugomvi wa wakristo na waislam? au shehe?......

We unaongelea kuuawa wandamanaji na polisi.....! kwani wachungaji na padri walikuwa kwenye maandamano na wameuawa na polisi?...
 
Mkuu jifunze kusoma alama za nyakati.
Walipokuwa wanauwawa maalbino waliuwawa in the name of uchawi, hakuna aliyesema mbona mnashikia bango mauaji ya albino na kuacha vibaka wanao chomwa moto. Tulikemea kwa umoja na yamepungua sana

Walipokuwa wanauwa vikongwe kwa sababu za kiimani za uchawi hakuna aliyesema tumekazania vikongwe na kuacha mauaji ya vichanga, tmekemea pamoja na yameisha

Walipokuwa wanauwawa watu na kuchunwa ngozi hakuna aliyesema mbona hatuzungumzii mauaji mengine. Tulisimama pamoja kupinga na yakaisha

Lakini sasa wanauwawa watu wa dini fulani kwa imani za kidini unataka tusiangalie hivyo bali tuone ni sawa na mauaji ya muislamu aliyeuwawa kwa sababu nyingine mbali na dini

Kwanini mauaji haya hatusimamami pamoja kupinga hili? Kwanini tunatafuta sana visingizio kama kuhalalisha kwakuwa kunamauaji ya yaliotekea ya mtu wa dini nyingne?

Kinachotokea kipo wazi kabisa hakihitaji intelijensia yoyote kujua kitu gani kinaendelea dhidi ya ya dini fulani

Kama kweli wewe ni mpenda amani basi tusimame pamoja kukemea mauaji,vurugu na uchomaji moto na uchochezi wowote, na mambo haya yatakwisha na hizo hisia na tetesi za elshababu na elikaaeda zitakufa zenyewe
Lakini kupoteza muda kutetea mauaji na vurugu haziusiani na elkaeda hakusaidii chochote kwa sasa wala hakuonyesheshi kukerwa kwako na mashambulizi yanayoendelea bali kunaonyesha kuwatetea alkaida and the co.

Tuacheni unafiki tusimame pamoja kupinga hili tukiwa wazi kabisa na si kulitetea kwa mlango wa nyuma
 
Sasa hivi imekuwa kawaida kwa matukio ya mauji yanayotokea hapa nchini kuhusishwa na vikundi vya alqaida , alshabab au bokoharam hata kama mauaji hayo yamefanywa na majambazi au watu waliolipizana kisasi kwa wivu wa mapenzi au kudhulumiana.

Maranyingi uhusiahwaji huu unatawala zaidi kwenye midomo ya viongozi wasiokuwa makini na vyombo vya habari uchwara vilivyo biased kwenye kuriport taarifa inayohusu jamii fulani hasa anapouwawa anakuwa mkristo.Hatusikii kauli kama hizo wauliwaji wanapokuwa waislamu.

Ni muhimu kuchunguza mauaji kwa umakini ili kuepuka kupandikiza chuki kwa imani nyingine,haina tija kwa taifa.Ni mara ngapi majambazi wanauwa watu kwa kutafuta vitu wanavyohitji kwa mtu waliyemuua?Hivi vikundi vya alshababy,bokoharam na alqaida tusiviombee kuingia nchini ni hatari sana.Na huko kuwatajataja ni kama kuwachafua kwa wambia wapo nchini ili hali hakuna vikundi hivyo nchini kwetu.

Unamkuta waziri mzima analopoka eti kuna alshababy,mara bokoharam,au alqaida bila hata uchunguzi.Kumbukeni mnacheza ngoma msiyoijua na ni hatari kwa umoja na mshikamano wa nchi yetu.Yani akiuwa kiongozi wa kristo tu basi kuna alshababy,hv ni viongozi wangapi wa kiislam au waislamu wangapi wameuawa hapa nchini mpaka sasa na hata tume haijaundwa kuchunguza?Inafikia wakati mpaka kuna wengine wanasema waliouwawa wamejitakia!!

Tukumbuke kuwa thamani ya uhai iko kwa wote halikadhalika uchungu wa maiti.Dr Mafingo aliuawa huko Bulongwa makete watu wakawa kimya.Kama tunaamua kupaza sauti juu ya mauaji basi tufanye hivyo kwa watu wote bila kuwa biased.

Be blessed all.


KURAN haiongopi, imeshasema hawa mila yao ni moja hawatowapendeni na hawatoacheni kukupigeni vita, wakijaribu kuuporomosha UISLAM, lakini bahati mbaya ALLAH kisha sema, nimekukamilishieni dini yenu na nimeridhia UISLAM kuwa dini yenu, na nitairinda na nitapindua hila zao zote...
 
Nimegundua kitu kimoja toka kuuawa kwa Padre Mushi,kitendo cha Nchimbi kusema wahusika ni MAGAIDI kuna watu kimewauma na kuwakaa sana. Kwa haraka sana utagundua kuwa kwa Nchimbi kutaja magaidi watu moja kwa moja wamechukulia kama anahusisha na DINI yao hata kama wauaji waliact kivyao.
 
I salute you Kichwa Mbovu.

Umesema kitu ambacho maofisa wakuu wa serikali na hata wenye dhamana ya usalama wamekuwa wanashindwa kuitofautisha kutoka katika ukweli na dhana ambayo haina malengo bali kuelemea upande mmoja.

Mauaji ya Dr Mafingo, Sheikh wa wilaya huko Mtwara nk yanayohusu waislam hutasikia kauli ya aina hiyo kutoka kwa IGP, Rais, Waziri hata maaskofu, ngoja sasa auawe mkiristo, utasikia alshababy, alqaida, nk. Hali hii si shwari kwa mustakabali wa nchi yetu katika kujenga umoja ambawo unaelekea kukosa mashiko pale waislam wanapolalamika kuhusu dhulma. Serikali na wakristo watapinga au kukaa kimya bila kujibu hoja badala yake wataomba serikali iifungie radio imani. Huu si uadilifu wa kiuchamungu. MuchamUngu atatetea haki hata kama ni chungu kwake au inapelekwa kwa adui yake.

Tazama jinsi magazeti yanavyotoa taarifa za matukio ya kiislam au waislam na yale ya kikirito na wakristo. Ukisoma habari ya waislam ujue imetoka bakwata hapo utaiona kwenye magazeti ya mwanachi, mtanzania, majira nipashe, nk. lakini itoke kwa wasiokuwa bakwata hata kama ni kubwa vipi -ukibaatka ni magazeti ya kiislam tu ndo yataandika. Upendeo hu wa wazi hauna tija kwa amani ya nchi

Tazama anapofariki kiongozi wa wakristo -ikulu na mawaziri wote wataamia huko, ngoja iwe ni kiongozi wa waislam na ambaye siye bakwata-hutomwona rais , waziri au yeyote kuhudhuria. Sheikh Bacho alikuwa ni kiongozi mkubwa wa waislam -kiongozi wa serikali hakuna aliyehudhuria maziko yake, hakuna gazeti la bara lililoripoti hata moja. Huu utaratibu unaamusha hasira na kufikiri zaidi ya kawaida kwa watendewa. Amani haijengwi hivyo. Tukiacha unafiki unaofanywa na seriali na viongozi wa makanisa ,amani itajengejeka tu, amani siyo zao la propaganda, ni zao la uadilifu tu.

Lakini pia dhulma ikiachwa ni kwa faida yetu sote, vinginevyo ni maafa kwetu sote, hivyo tuacha ushabiki wa kidini huku tukijificha chini ya mwavuli amani.
 
nahisi kuna watu wanawataka sana hao jamaa waingie tz tumuombe mungu,waingie kama hatujafunga na kusali waondoke
 
Sasa hivi imekuwa kawaida kwa matukio ya mauji yanayotokea hapa nchini kuhusishwa na vikundi vya alqaida , alshabab au bokoharam hata kama mauaji hayo yamefanywa na majambazi au watu waliolipizana kisasi kwa wivu wa mapenzi au kudhulumiana.

Maranyingi uhusiahwaji huu unatawala zaidi kwenye midomo ya viongozi wasiokuwa makini na vyombo vya habari uchwara vilivyo biased kwenye kuriport taarifa inayohusu jamii fulani hasa anapouwawa anakuwa mkristo.Hatusikii kauli kama hizo wauliwaji wanapokuwa waislamu.

Ni muhimu kuchunguza mauaji kwa umakini ili kuepuka kupandikiza chuki kwa imani nyingine,haina tija kwa taifa.Ni mara ngapi majambazi wanauwa watu kwa kutafuta vitu wanavyohitji kwa mtu waliyemuua?Hivi vikundi vya alshababy,bokoharam na alqaida tusiviombee kuingia nchini ni hatari sana.Na huko kuwatajataja ni kama kuwachafua kwa wambia wapo nchini ili hali hakuna vikundi hivyo nchini kwetu.

Unamkuta waziri mzima analopoka eti kuna alshababy,mara bokoharam,au alqaida bila hata uchunguzi.Kumbukeni mnacheza ngoma msiyoijua na ni hatari kwa umoja na mshikamano wa nchi yetu.Yani akiuwa kiongozi wa kristo tu basi kuna alshababy,hv ni viongozi wangapi wa kiislam au waislamu wangapi wameuawa hapa nchini mpaka sasa na hata tume haijaundwa kuchunguza?Inafikia wakati mpaka kuna wengine wanasema waliouwawa wamejitakia!!

Tukumbuke kuwa thamani ya uhai iko kwa wote halikadhalika uchungu wa maiti.Dr Mafingo aliuawa huko Bulongwa makete watu wakawa kimya.Kama tunaamua kupaza sauti juu ya mauaji basi tufanye hivyo kwa watu wote bila kuwa biased.

Be blessed all.
Wanaotajwa ni
  1. Alqaeda
  2. Alshabab
  3. Bokoharam au magaidi in general

sasa kwanini unawatetea watu hao au ndo amegusa penyewe,au we unawafahamu.Inapotokea problem ili uweze kusolve huwa inatengenezwa hypothesis inaweza kuwa positive au negative kulingana na matokeo ya research sasa kwanini unaanza kuhofu kabla ya utafiti,nawe kama una hypothesis yako weka ila mwisho ndo itajulikana.Kama unawajua wauaji ni vizuri ukawassist wapelelezi ili kukata mzizi wa fitina.
 
Namuunga mkono mtoa mada. Padri kuawa si lazima awe kauawa na mwislamu. Huo ni upotoshaji mkubwa sana na vyombo vya habari bila kujua madhara yake inaandika habari za uchochezi zaidi kwa kuhusisha kifo cha padri na udini. Hata maaskofu na wanachi wengine wanakosea wanapotoa kauli juu ya kifo cha padri cha kuwaomba waumini wa kikristu wasilipize kisasi, hii ni sawa na ku-conclude kuwa aliyemuua padri ni mwislamu. Ikitokea aliye muua padri ni mtu aliyekuwa analipiza kisasa chochote-cha kibiashara(kudhulumiana) au cha kuchukuliana wanawake itakuaje. Labda mimi nafikiri kifo chake kimetokana na kisasi cha kibiashara au cha kimapenzi- then who is right. Tuache vyombo vya usalama vifanye kazi yake. Nakauli za ugaidi za waziri ni upuuzi mtupu-ame-panic. Aliongozwa na nini kusema hivyo, au anawakaribisha hao magaidi. Je, tuna rasilimali za kutosha kujiingiza kwenye matatizo hayo?
 
Hebu sikia viongozi na redio za watu wa imani moja wanasema viongozi wa upande mwingine wauawe!! Kabla serikali kuchukua hatua wanaanza kuuawa!!mmoja mmoja utasemaje au kufikiriaje? Pia jumbe za maandishi zinaambatana pamoja na mihadhara!utaamua lipi?

Najua utakuwa umemkusudia Ustaadhi Ilunga.Kwanza huyu ustaadhi anatakiwa apongezwe kwa nasaha zake nzuri anazotoa,tatizo wenzetu hamuelewi mantiki yake ndio maana mnaishinikisa serikali imkamate huyu sheikh kwa kuwa anahamasisha mauaji.Kama utashilikisha akili kwenye nasaha za ustaadhi ilunga utagundua kuwa huyu jamaa ana akili sana,tena ana akili za kipekee hata Serikali yenyewe isha litambua hilo.

Labda tuangalie mantiki ya huyu ustaadhi.Kwanza kuna nadharia imejengeka kuwa masheikh ni magaidi.Endapo sheikh ikiuawa vyombo vyote vya habari vitatangaza kuwa sheikh alikuwa gaidi,hivyo hakuna haja ya kuunda tume ya uchunguzi.Waislamu wanaumia na kuweka visasi moyoni mfano mauaji ya sheikh Abdu Rogo aliyemuelezea ustaadh Ilunga wa kenya,na mauaji ya mwembechai ambayo hayatafutika kwenye vichwa cya waislamu.

Waislamu wameonekana hawana mtetezi,so inabidi kujitetea wenyewe.Katika kujitetea na kujenga heshima ndipo hapo ustaadhi Ilunga alipokuja na jawabu la kuuwawa viongozi wa kiislamu.Kwamba Sheikh akiuawa na waislamu waue mapandre kwa siri au kwa dhahiri,tena kazungumza bila kificho maanabila hivyo huwa somo halieleweki.

Hapo inamaanisha kuwa watu wanaocheza huo mchezo wa kuwaua masheikh hata sio wakristo wa hapa nchini,wataacha huo kwani watajua kuwa akiuawa sheikh mmoja lazima pandre mmoja nae atauwawa.Kwa kujua hivyo watu tutaheshimiana.Wakristo watawalinda waislamu na waislamu watawalinda wakristo.

Hiyo ndiyo mantiki ya ustaadhi Ilunga ambayo kwa baadhi ya watu wachochezi wanashindwa kuielewa hoja hii,wanabaki kuishinikiza tu serikali wamkamte sheikh Ilunga kana kwamba nchi inaongozwa kwa mashinikizo.
 
Hivi mtu akisema kuwa kundi la UAMSHO linahusika kwa mauaji ya Zanzibar, hiyo nayo ni propaganda? Mbona wanakiri katika vipeperushi vyao kuhusika kwao???
 
Wanaotajwa ni
  1. Alqaeda
  2. Alshabab
  3. Bokoharam au magaidi in general

sasa kwanini unawatetea watu hao au ndo amegusa penyewe,au we unawafahamu.Inapotokea problem ili uweze kusolve huwa inatengenezwa hypothesis inaweza kuwa positive au negative kulingana na matokeo ya research sasa kwanini unaanza kuhofu kabla ya utafiti,nawe kama una hypothesis yako weka ila mwisho ndo itajulikana.Kama unawajua wauaji ni vizuri ukawassist wapelelezi ili kukata mzizi wa fitina.

We si umesikia taarifa zinazokuja sasa hivi,inasemekana mambo ya madawa ya kulevya....si siku nyingi tutasikia mengi.Ukweli hujitenga na uwongo,ni suala la muda tu.
 
Hivi mtu akisema kuwa kundi la UAMSHO linahusika kwa mauaji ya Zanzibar, hiyo nayo ni propaganda? Mbona wanakiri katika vipeperushi vyao kuhusika kwao???

Wewe unauhakika gani kama vipeperushi vile vimeandaliwa na jumuia heshimika ya uamsho?
 
Kwani wewe imani yako ni Al Qaeda? Kama wamesingiziwa Boko Haram, wewe unaumwa wapi?

Kwa kifupi umeshajua kuwa una uhusiano nao kwa namna fulani na ndio maana unalalama.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom