Promotion za leo jeshini zimenistua

Promotion za leo jeshini zimenistua

Anonymous

Senior Member
Joined
Apr 6, 2006
Posts
127
Reaction score
355
Kupanda kwa mkubwa wa karanga karanga leo kutoka ubrigedia hadi meja jenerali ndani ya miezi aisee nimepigwa na bumbuazi

Anyway katika taaluma ya kijeshi cheo mtu hapandi haraka haraka au kurushwa kwa kigezo cha uwezo au umahiri peke yake bali kuna kitu experience (service)

Wanaohusika kushauri hilo sidhani kama wameshauri (CDF nadhani), ngazi za kijeshi (ranks) zina heshima na mantiki yake kwa kila ngazi

Makakala pamoja na umahiri wake na kipaji mpaka anastaafu hakurushwa rushwa kutoka rank moja kwenda nyingine kwa miezi

Kama mtu analijua jeshi basi atakubaliana nami kuwa katika Merit jeshini maafisa wanafanana tu hawajapigana gap na ndio maana promotion mpaka wakati wa JK zilikuwa zimebase kwenye seniority sababu kwenye merit maafisa hawajapigana gap bali wako wote sawa tu by majority
 
🥈🥉🏅👮‍♂️👮‍♂️🤫😳
 
Mkuu uko sahihi kabisa kwa upande wa jeshi vyeo hua vina panda baada ya muda fulani kulingana na cheo au ngazi uliyopo pia hapa tukumbuke pia kuanzia Afisa mteule daraja la II na kuendelea hawa hupandishwa vyeo na mkuu wa majeshi(RAISI) Pekee. Unapokuja kwa swapa lwa hawa waliipandishwa vyeo jna na mheshimiwa Raisi wapo wanaostahili kupandishww kulingana na vyeo vyao kwa muda huu pia baadhi yao ni wateule ktk nafasi za uongozi ktk serikali kuu hivyo ni sawq kupandishwa vyeo. Pia hawa kitaaluma ni askari jeshi lwa wananchi hivyo ni haki na sawa kwa kupanda kwao, usiseme kwann tawala zilizopita haikua hivi ni kwa sababu walikua na utaratibu wap ktk kuendesha serikali yao. Hongera sana kwao hususani mkuu kambi ya maafisa monduli Arusha.
 
Hongera Sana General Mbuge, kwa Hakika umestahili, Allah akutangulie ktk cheo chako kipya!
 
Mimi naomba kujua kuhusu MASLAHI yao. Ina maana wanakula mishahara Mara mbili?? Kwa maana ya mshahara wa jeshini na wizara?? Naomba wajuvi mnijuze
 
Mnakosea sana mnaposema jenerali tu. Sikatai ni jenerali lakini ni wa ngazi ipi? Semeni Meja jenerali. Ukisema jenerali tupu unamaanisha ni 4star general.

ᵃʳᵉᵉᵐ
Hivi quasim alikua general wa nyota ngapi
 
Back
Top Bottom