Anonymous
Senior Member
- Apr 6, 2006
- 127
- 355
Kupanda kwa mkubwa wa karanga karanga leo kutoka ubrigedia hadi meja jenerali ndani ya miezi aisee nimepigwa na bumbuazi
Anyway katika taaluma ya kijeshi cheo mtu hapandi haraka haraka au kurushwa kwa kigezo cha uwezo au umahiri peke yake bali kuna kitu experience (service)
Wanaohusika kushauri hilo sidhani kama wameshauri (CDF nadhani), ngazi za kijeshi (ranks) zina heshima na mantiki yake kwa kila ngazi
Makakala pamoja na umahiri wake na kipaji mpaka anastaafu hakurushwa rushwa kutoka rank moja kwenda nyingine kwa miezi
Kama mtu analijua jeshi basi atakubaliana nami kuwa katika Merit jeshini maafisa wanafanana tu hawajapigana gap na ndio maana promotion mpaka wakati wa JK zilikuwa zimebase kwenye seniority sababu kwenye merit maafisa hawajapigana gap bali wako wote sawa tu by majority
Anyway katika taaluma ya kijeshi cheo mtu hapandi haraka haraka au kurushwa kwa kigezo cha uwezo au umahiri peke yake bali kuna kitu experience (service)
Wanaohusika kushauri hilo sidhani kama wameshauri (CDF nadhani), ngazi za kijeshi (ranks) zina heshima na mantiki yake kwa kila ngazi
Makakala pamoja na umahiri wake na kipaji mpaka anastaafu hakurushwa rushwa kutoka rank moja kwenda nyingine kwa miezi
Kama mtu analijua jeshi basi atakubaliana nami kuwa katika Merit jeshini maafisa wanafanana tu hawajapigana gap na ndio maana promotion mpaka wakati wa JK zilikuwa zimebase kwenye seniority sababu kwenye merit maafisa hawajapigana gap bali wako wote sawa tu by majority
ᵃʳᵉᵉᵐ