.... ... Kuna wengine tunawachomoa humo kwa sababu .. wanashindwa kujibu hoja hivyo tunawatimua tu. Hoja hujibiwa kwa hoja .....
Program Note:
1. Kundi letu la OZ (Operesheni Zinduka) kwenye Whatsap tayari limeshajaa (watu zaidi ya 100) ndani ya masaa 24! Na kuna wengine wengi ambao bado hawajaingia - tulifanya kwa first come basis). Kama haupo humo ndani tunaangalia utaratibu mwingine. Kuna wengine tunawachomoa humo kwa sababu wanaleta lugha za matusi na wanashindwa kujibu hoja hivyo tunawatimua tu. Hoja hujibiwa kwa hoja - simple as that.
2. Operesheni Zinduka 5 inaendelea kesho na mada moto moto ya kuvunjilia mbali mojawapo ya hoja dhaifu zinazotolewa katika kudai "mabadiliko" ati wanataka (wale waliomkubali Lowassa na mambo yake yote) kuiondoa CCM madarakani ili kuonesha kuwa "Tanzania ni yetu sote". Usikose mada hiyo moto moto. Nipe dakika 10 hivi nitakupa masaa yako 24!
3. Kama kawaida nimeshangaa watu wengine ambao tayari wamemkubali Lowassa na wameshaamua kumpigia nao pia wanaingia OZ... kule ni kwa wale ambao hawajafanya maamuzi tu wanataka kubadilishana mawazo. Tunawakaribisha lakini kama hutazingatia hilo la 1 tutakutimua tu. Siku 14 hatuna wa kumpa maonyo.
MMM
TANZANIA NIYETU SOTE nikweli lakini SI KWAKUMPELEKA MWIZI,FISADI IKULU NEVER, Lowassa na ikulu sawa na SHETANI NA MSIKITI
Hivi ni watu wangapi ambao wameshashawishiwa na hii Operesheni Zinduka?[/QUOTE
NONE
Mzee Mkjj bana, cha kushangaza anasema oz ni kwa wale ambao hawajaamua wakati yeye na mashabiki wa hii oz ni walewale tunaowajua kuwa ni manazi wa chama twawala hivyo walishaamua tayari!!
unafki, uoga, undumilakuwili, ubinafsi. Utawamaliza. Poleni sana. Kila siku ntaendelea kuwakumbuasha kizazi chenu kinapita. Kizazi cha kushangilia familia chache zikoitafuna nchi huku mnawapigia makofi. Hiki kzazi ni kingine na kitaleta heshima tanzania. Poleni sana.
Hivi ninyi kina Mwanakijiji mpo ground kweli au?
Endeleeni na porojo...
Mimi niko Musoma na leo nimeshuhudia, huu mziki Slaa asingeuweza...
Endeleeni kutunga mashairi humu, na tudanganyeni mnavotaka kuwa mko kwenye system...
Na Lowasa tumempa cheti cha ushujaa kuongoza mabadiliko 2015...
Itafika hadi 100 ila hakuna ataekusikia
MMM Mgombea wenu Magufuli kawaacha solemba......Program Note:
1. Kundi letu la OZ (Operesheni Zinduka) kwenye Whatsap tayari limeshajaa (watu zaidi ya 100) ndani ya masaa 24! Na kuna wengine wengi ambao bado hawajaingia - tulifanya kwa first come basis). Kama haupo humo ndani tunaangalia utaratibu mwingine. Kuna wengine tunawachomoa humo kwa sababu wanaleta lugha za matusi na wanashindwa kujibu hoja hivyo tunawatimua tu. Hoja hujibiwa kwa hoja - simple as that.
2. Operesheni Zinduka 5 inaendelea kesho na mada moto moto ya kuvunjilia mbali mojawapo ya hoja dhaifu zinazotolewa katika kudai "mabadiliko" ati wanataka (wale waliomkubali Lowassa na mambo yake yote) kuiondoa CCM madarakani ili kuonesha kuwa "Tanzania ni yetu sote". Usikose mada hiyo moto moto. Nipe dakika 10 hivi nitakupa masaa yako 24!
3. Kama kawaida nimeshangaa watu wengine ambao tayari wamemkubali Lowassa na wameshaamua kumpigia nao pia wanaingia OZ... kule ni kwa wale ambao hawajafanya maamuzi tu wanataka kubadilishana mawazo. Tunawakaribisha lakini kama hutazingatia hilo la 1 tutakutimua tu. Siku 14 hatuna wa kumpa maonyo.
MMM
Program Note:
1. Kundi letu la OZ (Operesheni Zinduka) kwenye Whatsap tayari limeshajaa (watu zaidi ya 100) ndani ya masaa 24! Na kuna wengine wengi ambao bado hawajaingia - tulifanya kwa first come basis). Kama haupo humo ndani tunaangalia utaratibu mwingine. Kuna wengine tunawachomoa humo kwa sababu wanaleta lugha za matusi na wanashindwa kujibu hoja hivyo tunawatimua tu. Hoja hujibiwa kwa hoja - simple as that.
2. Operesheni Zinduka 5 inaendelea kesho na mada moto moto ya kuvunjilia mbali mojawapo ya hoja dhaifu zinazotolewa katika kudai "mabadiliko" ati wanataka (wale waliomkubali Lowassa na mambo yake yote) kuiondoa CCM madarakani ili kuonesha kuwa "Tanzania ni yetu sote". Usikose mada hiyo moto moto. Nipe dakika 10 hivi nitakupa masaa yako 24!
3. Kama kawaida nimeshangaa watu wengine ambao tayari wamemkubali Lowassa na wameshaamua kumpigia nao pia wanaingia OZ... kule ni kwa wale ambao hawajafanya maamuzi tu wanataka kubadilishana mawazo. Tunawakaribisha lakini kama hutazingatia hilo la 1 tutakutimua tu. Siku 14 hatuna wa kumpa maonyo.
MMM
Una mahaba wewe,Slaa alikua anakusanya watu zaidi ya hao tena bila kuwasomba
Hivi ninyi kina Mwanakijiji mpo ground kweli au?
Endeleeni na porojo...
Mimi niko Musoma na leo nimeshuhudia, huu mziki Slaa asingeuweza...
Endeleeni kutunga mashairi humu, na tudanganyeni mnavotaka kuwa mko kwenye system...
Na Lowasa tumempa cheti cha ushujaa kuongoza mabadiliko 2015...