binti kiziwi
JF-Expert Member
- Aug 4, 2014
- 15,459
- 42,152
Aiseeee! Japo mimi ni open minded ila hii yako ina bounce! Kuhudumiwa ni kuhudumiwa hakuna definition nyingine acha kukaza kichwa.Wenye ubinafsi ni wale wa chako chako cha Mumeo chenu.
Pili, ni ubinafsi mkubwa kuolewa/ Kuoa ili uhudumiwe,
Kimsingi ukishakuwa mwili mmoja hakuna msamiati kumhudumia MKE au Mume.
Hizo ni kauli za matapeli na wanyonyaji.
Kwenye upendo hakuna kauli kuhudumia, Ila kwenye Utapeli na ubinafsi lazima iwepo sheria za Huduma ili kudhibiti wabinafsi na matapeli.
Ni ngumu kuelewa ninachozungumzia na ndio maana ndoa zitaendelea kupiga mzinga, na kutesa wengi Kwa sababu zimejengwa katika misingi ya ubinafsi na Utapeli. Ndio kuna hayo mambo ya sijui nahudumiwa, sijui nahudumia. Huo ni Utapeli.
Kuhusu furaha ya MKE wangu. Furaha ya MKE wangu haijengwi kwenye mawazo na mitazamo ya kitapeli na Unyonyaji.
Imejengwa kwneye misingi ya Upendo, Haki na Ukweli.
Ndoa inaonekana ni Utapeli na itazidi kuwasumbua wengi Kwa sababu ya mawazo ya namna Hii.
Ndoa ni Upendo. Na upendo hauna mgawanyo wala kipimo.
Somo hili ni Pana, sio ajabu Watu wakasema Wanawake wengi Hawana Upendo Kwa sababu ya like kiitwacho kipimo.
tamthilia za kifilipino zinakuharibu, wanalipwa waleMimi binafsi siafiki watu kutokuoa hiv kuna raha gani kuishi maisha ya kibachela? Ndoa ina raha hasa ukimpata mtu sahihi wa kuishi nae mtabadilishana ideas,kusaidiana kwenye mambo mbalimbali, mtafarijiana kama ni changamoto ni sehemu ya maisha hata uwe umeoa au hujaoa bado utakutana nazo ila mnapokuwa wawili ni rahisi zaidi kuliko pekee yako.
Bibiii hatutajuta kamwe kama wakiendelea kuwa hivi walivyo.endeleeni na kukataa ndoa, siku zote 'majuto ni mjukuu daima huja mwishoni'
Jitunze Sasa Nani akutunze tunaoa bikra overKoma wewe, naona umenitafuta kwenye ile thread nyingine hujaridhika umekuja na huku, call it whatever ila ndio hivyo mwanamke matunzo
what a NONSENSE....πππ
Ukishaingia ndoani mnaongozwa na upendo. Ninyi ni upendo na upendo upo ndani yenu. Hakuna tena sheria ya kupenda a Kwa wanandoa Kwa sababu tayari wao ni Upendo.
Sasa wataonyeshanaje upendo ilhali wapo ndani ya Ndoa?
Ndio maana mnaambiwa ninyi ni matapeli.
Sehemu ya kuonyesha upendo ni kwenye uchumba. Ili muingie kwenye huo upendo (ndoani)
Sasa kama mpaka ndoani kuna kuonyesha na upendo basi hizo ndoa znu ndio Utapeli kabisaaππ
Ndio maana mnataka kuhudumiwa, endeleeni mlipoishia.
Mkiambiwa ndoa zenu ni Utapeli bado mnaokataa.
Ni Sawa MTU yupo msibani alafu anaambiwa aonyeshe majonziπ
Kama kuoa hautaki kaolewe uzae,Wow! seems bro ako huyo shoga alikusimulia jinsi gangstar nilivyomtoboa huko matakoni.
hapa unamaanisha hukatai ndoa,ndoa sio uhuni,Jitunze Sasa Nani akutunze tunaoa bikra over
Hivi nyie wanyonyaji mna mchango gani kwenye ndoaUsikimbie swali, nimekuuliza lini tumejengewa hio mifumo ya sisi kuhudumiwa, karne gani na nani??? ukiniquote jibu hili swali....
eti ndoa ni upendo, na hapo hapo hutaki kumhudumia mkeo,upendo unauonyesha kwa kufanya nini???
Usikimbie swali, nimekuuliza lini tumejengewa hio mifumo ya sisi kuhudumiwa, karne gani na nani??? ukiniquote jibu hili swali....
eti ndoa ni upendo, na hapo hapo hutaki kumhudumia mkeo,upendo unauonyesha kwa kufanya nini???
Kwani wewe personally una mchango gani kwa huyo uliye nae?Hivi nyie wanyonyaji mna mchango gani kwenye ndoa
kuonyeshwa upendo ni wakati wa uchumba tuu....haaa afu unataka tupate elimu ya ndoa, elimu gani hio unayotoa wewe???!Ndio maana nikakuambia hujui maana ya Ndoa. Na hujui ndoa inajengwa na nini.
Kama kwenu tafsiri ya Ndoa hamuijui, hata upendo wenyewe hamuujui, ndio maana badala ya kufanya ndoa iwe ndoa inakuwa ndoano, na Utapeli.
Ipo haja ya Elimu kutolewa, maana nimegundua kuna Watu wengine hawajui hata wanachokitafuta
Ni vema andiko hili limeandikwa na mwanamke.1. Ni vijana wadogo hawajafikisha 35 years old, infact majority wako 30 and under...
2.Financially insecured,ama washawahi kuwa na experience iliyowafanya wafeel vulnerable financially..
3.Wachoyo hata kwa mambo madogo kama sukari, LOL.
4. Most ni introverts wanao struggle ku form relationships,
5. Most ni wana ishu na mama zao, hii imewapelekea kutokuwa na healthy relationships hivyo kupelekea kuchukia zaidi wanawake.
Mnaopinga ndoa simply kuweni na faken life!...acheni upuuzi wa kuinfluence wengine negatively.
Lakini muulize anapataje muda wa kufanya punyeto kutwa mara 3? inamaana muda wa kazi anachukua break ya punyeto? huyu anahitaji msaada wa dhati kabisa japo hajaweza kukiri.Naomba tuelewane, wanaokataa ndoa wana hoja za msingi, lakini sikubaliani na wewe kwenda mbele zaidi kuprotest ukhanisi hili halikubaliki.
Kijana Mdogo wa miaka 18 anayevutiwa na post zako humu akaona wewe ndio role model wake naye aanze kupiga punyeto kutwa Mara 3 nakuhakikishia akifika miaka 25 ni khanisi kamili na hawezi kusimamisha mboo tena.
Kwa hili hapana upotoshaji huu ukomeshwe na hili ni lazima tuchukuwe hatuwa zaidi sisi kama Wazazi.
Hatuwezi kukubali kuona jamii ya Kitanzania inabomolewa na watu wenye ajenda zao za siri, hili halikubaliki.
ππMm Leo had mbavu zimeniuma Kwa kuchekaHii ni zaidi ya Operation Sangara
Sasa Kama hakuna mwenye mchango na mwenzie kwann unaforce uwe mwili mmoja na mtoto wa mwanamke mwenzioKwani wewe personally una mchango gani kwa huyo uliye nae?
what a NONSENSE....
Kwa hio ndoani hakuna kuonyeshana upendo ni kipindi cha uchumba tu...
khaaa halafu kuna mtu atapinga sijui kumjua mjima nikimuona mmojq...
RUBBISH
Eeeenhee punguza 10 pale nifanye JAMBOππMm Leo had mbavu zimeniuma Kwa kucheka