Profile la kijana mkataa ndoa


Matapeli wataupingaje Utapeli
 
Ukiwekwa mdahalo wa wanaokataa ndoa washindi ni hao kutokana na wewe kuwa kwenye kundi hilo,ina maana judgment yako iko biased tayari, kwa hio sasa hivi hamkatai ndoa tena mnataka walio bikira? makuubwa.
[emoji848] seems hujaelewa kabisa main point yangu iko wapi aiseee....!!!
 
Nimeshamtolea na mfano kuwa kwanini humu threads za wanandoa wengi zinaelezea mabaya kuliko mazuri? Je hao watu wana-pretend? lakini bado naona anakaza fuvu tu ila naamini ukweli anaujua.
Ukweli ni upi????utaje,kama ni kuelezea mabaya nimekuuliza kwa nini humu JF relatively wanaozungumzia mabaya ni wengi kuliko wanaozungumzia mazuri,naona hujanibu?
[emoji848] seems hujaelewa kabisa main point yangu iko wapi aiseee....!!!
Iseme ilipo...
 

Nilimuambia usingekubali.

Labda anajua ni kimbwa hivyo hahitaji kuwa really kwacho. Anakifanyia pusi!pusi!
Wewe kimbwa au Ngedere unaweza kumchukulia Seriously?
 
Nilimuambia usingekubali.

Labda anajua ni kimbwa hivyo hahitaji kuwa really kwacho. Anakifanyia pusi!pusi!
Wewe kimbwa au Ngedere unaweza kumchukulia Seriously?
sasa kimbwa kukipa soda si ndio unafiki wenyewe huo?,tufanye mimi ni kimbwa kweli does that mean mkeo ni mnafiki kweli? khaa
 

Kwa hizo tabia zako we utakuwa unatombewa tu
 
 
Wengi ni mashoga
 
Tufanye usawa hakuna, ila hizi sheria zilitungwa na wanawake pekee?? si ni jopo la wanaume pia ndio walitunga hizo sheria?? na mbona kuna wanaume wenzenu kibao tu wanaoa ingawa wanajua kabisaa wakiachana mali zinagawanywa pasu? au ni wajinga nyie ndio werevu sana???!
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…