Profile la kijana mkataa ndoa

1.Keanu reeves ni dhaifu eeh
2.Mondi ni dhaifu eeeh
3.Dangote ni dhaifu eeeh
4.Mike adenuga ni dhaifu eeeh
5.Musk ni dhaifu eeeeh
6.Eminem ni dhaifu eeeeeh
7.Dr dre ni dhaifu eeeh huyu alisheherekea divorce yake kabisa
8.Ronaldo ni dhaifu eeh huyu hajaoa ana mchumba tu
9.Rema ni dhaifu eeeh
10. Wizkid ni dhaifu eeeh huyu anazalisha analea no strings attached
11.Burna boy ni dhaifu eeeh
12.Don jazzy ni dhaifu eeeh
13.chief adeleke ni dhaifu eeeh

In short hizi ni pumba za kutoka ruvuma hata kuku hawali asee
 
Hakuna cha lengo maalum zaidi ya Kukataa Wizi na Unyonyaji.
 

Kumbe hujui hata ulichokuwa unajadili.
Kwa kukusaidia tuu,
Lengo kuu la Uzi ni Ndoa.
Hiyo profile ya mkataa ndoa Ipo ndani ya mada ya Ndoa.

Aya yako ya mwisho, hiyo ipo Kwa makahaba, ndio maana nikakuambia unashindwa kutofautisha ndoa na ukahaba.
Ndoa inahusu Mume na MKE ambao ni mwili mmoja.
Lakini ukahaba unaouzungumzia wewe ni huo wa cha MKE ni cha MKE, alafu cha mume ni chawote. Hiyo ndio biashara ya ukahaba ilivyo. Popote Duniani.

Nenda kwenye madanguro Huko utaona nikisemacho. Sasa siku hizi Watu wamegeuza nyumba kuwa danguro alafu wanaita Ndoa. Ajabu hii
 
Hizo ndoa zinavowapeleka mputa mputa πŸ˜‚na wake zenu walivo cheap siku hizi hadi raha
Wanapenda sana kunyonya mbooo zetu hasa hasa hawa ambao mume wao kawapa mpaka magari ya kutembelea just imagine unajilia bure unahepa 😹😹😹😹😹
 
Acha tu kaka me mpaka nasikitika yan wanatoa malalamiko na kuwapondea waume zao mara mme wangu ananuna nuna mara mme wang mlevi sana mara hanidekezi yan mambo kibaoπŸ˜‚
Wanapenda sana kunyonya mbooo zetu hasa hasa hawa ambao mume wao kawapa mpaka magari ya kutembelea just imagine unajilia bure unahepa 😹😹😹😹😹
 
Uliwafikiria Mapadri kabla ya kuleta huu uzi?.

Kama Mapadri wameikataa ndoa sisi ni nani hadi tusiikatae?

Msimamo ni ule ule HATUTAKI, kwani ni lazima? πŸ˜‚πŸ˜‚
Unasikiaga kashfa za mapadri kuvilawiti vivulana?

Huna padre unayemjuwa ambaye amezaa na mwanamke Kwa siri?

Hata Dr Slaa humjuwi?
 
Acha tu kaka me mpaka nasikitika yan wanatoa malalamiko na kuwapondea waume zao mara mme wangu ananuna nuna mara mme wang mlevi sana mara hanidekezi yan mambo kibaoπŸ˜‚
Daaah mimi kwa vitu nilivyoona na umri wangu huu mdogo itoshe kusema wake za watu ni wazuri sana kwa kweli πŸ˜’

No expense is needed hata kukuzalia anakubali kabisa yaani sijui ikoje hii kitu

Rip in advance kwa wanaume wanaopenda ndoa na sio kuzagumuana na kuzalisha na kulea

Ila wacha tuwasaidie tu tufanyaje sasa πŸ˜‘
 

Wewe endelea kuwa in denial,chake kitabaki kuwa chake na chako ni cha wote,mdivorce huyo mkeo ukumbane na hii harsh reality labda akili itakukaa sawa.

Again mimi nimeleta profile la mkataa ndoa, wewe ulipaswa kulipinga au kukubali, ingekua ishu ni ndoa nisingeileta hii topic hapa, nilitaka tujadili hizo criteria nilizoweka hapa
 
For sure asilimia 90 wanajutia NDOA ila wanajifanya kukaza Fuvu
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…