Freeland
JF-Expert Member
- Jan 24, 2012
- 14,481
- 10,233
ni nanilizaboni ndio nani huyo
ni nanilizaboni ndio nani huyo
Ni maoni yake kama NDOTO za LEMA.
amemgusa uwenda................................
Angalau wale tuliokuwa tumekata tamaa ya kutokuwepo maprofesa Tanzania imani imerejea sasa!Ujumbe huu ni wa kipekee.....ukilenga kutahadharisha. Asiyesikia la mkuu huvunjika guu.....wahenga walisema mavi ya kale hayanuki......
Hawawezi kusikia alichokiandika bali watasoma alichokiandikaKwny Mitandao au Makongano wapi watu wengi zaid watasikia alichoandika/ kusema?
Angeyasema haya live kwenye makongamano ningemuona muungwana kwelikweli lakini kuandika kwenye mitandao tena ambao wananchi wengi hawawezi pata ujumbe bado namuona walewale tu, [HASHTAG]#POPO[/HASHTAG].
But there are Island Countries,Zanzibar is among the many!This country is not an island!
Ukiona mpaka Jongwe Prof Shivji kaongea!!Ujue si salama tena.
Hawa ni wale wasomi wanaosema kwa mizania,yaani hajipendekezi na wala haonei mtu.Licha ya kuwa Shivji alikuwa ni mfuasi mzuri wa Mwalimu,lkn bado alimkosoa kwa maandiko na kwa kauli.
Kwani huyu Sizonje haoni kuwa tupo ktk zama mpya?Kuziba uhuru wa habari ni sawa na kumzuia mtu mwenye tumbo linalouma kwa gesi "kupumua",mpe muda apumue ili apate ahueni.
Haakuna kitu kizuri kama "Uhuru",hakuna binadamu asiyependa kupewa nafasi kuongea na kueleezea hisia zake.Hata mke nyumbani,mpe kila kitu,pesa,magari na chakula...lkn ukimzuia hata kufika mtaa wa pili,unaweza kumkuta nyuma ya uzio na kijana wa shamba akipitishwa kwenye tundu la seng'enge
Mimi, ww na yule tutafikisha ujumbe huu kwenye jamiiAngeyasema haya live kwenye makongamano ningemuona muungwana kwelikweli lakini kuandika kwenye mitandao tena ambao wananchi wengi hawawezi pata ujumbe bado namuona walewale tu, [HASHTAG]#POPO[/HASHTAG].
[emoji35] umemaliza[emoji57]Angeyasema haya live kwenye makongamano ningemuona muungwana kwelikweli lakini kuandika kwenye mitandao tena ambao wananchi wengi hawawezi pata ujumbe bado namuona walewale tu, [HASHTAG]#POPO[/HASHTAG].
Hii ni dhahiri wananchi accross all cadres of life are tired!.
The country is boiling, and it is boiling very fast!. Cool heads need seat and ponder and reflect where are we heading to?!
This country is not an island!