Huyo ndiye msomi wa mwisho !?What a waste!!
Unamtoa intelligent, young, and energetic individual from a higher learning institution na kumpeleka ubalozini!!?
Nimeeleza hapo juu kwamba definition ya u Professor inatofautiana sehemu na sehemu.
Ni sawa unavyosema Ph.D si u professor, kwa sababu kuna watu ma professor lakini hawana Ph.D, wana Masters degree (Marekani kwa mfano).
Na kuna watu wana Ph.D lakini si ma Professor, ni watafiti kama Gwamaka.
Kwa hivyo, tunavyoongelea hizi habari, ni vizuri kunyambulisha.
Tunaposema Profesa tuna maana gani? Mwalimu wa Chuo Kikuu (kama Marekani) au cheo cha mtu aanayefundisha baada ya kupata Ph.D (kama Tanzania).
Kwa hiyo kigezo cha kuwa Profesa Tanzania ni kipi?Hapo chini ni link ya tovuti ya kitivo cha sheria, UDSM.
Prof Gamaliel Mgongo Fimbo
www.sol.udsm.ac.tz
Hii hapa ni screenshot ya profile ya Prof. Fimbo.
View attachment 1242408
Kama inavyoonekana hapo nilipopapigia mstari, PhD yake kaipata mwaka 1990.
Alikuwa ni profesa kabla ya mwaka 1990.
Kuna dogo mmoja wa Francis Mponjoli Kifukwe alichukua Ph.D akiwa na miaka 26 kama sijakosea.
Sasa kama miaka 43 ni mtoto, huyo wa 26 aitwe vipi?
Unamaanisha GWAMAKA NJOBELO wa MZUMBE?
Kuna dogo mmoja wa Francis Mponjoli Kifukwe alichukua Ph.D akiwa na miaka 26 kama sijakosea.
Sasa kama miaka 43 ni mtoto, huyo wa 26 aitwe vipi?
1976 mtoto? 43yrs old..!!
Kuna kitu hapa mnakisahau, kupata PhD sio kuwa Professor labda kama tunazungumzia jina/cheo Professor wanavyolitumia Marekani.36
Prof Kighoma Malima at 34 Nchini Marekan akitokea Minaki Secondary
Dr Dau alipata Phd akiwa na 28 Nchini Newzeland 1992
Dr Gharib alipata phd ya Nuclear akiwa na 31 Nchini Marekan
Dr Mahiga the same
Prof. Matee wa Muhimbili aliupata akiwa under 40Prof Lipu aliupata akiwa na ngapi?
36
Prof Kighoma Malima at 34 Nchini Marekan akitokea Minaki Secondary
Dr Dau alipata Phd akiwa na 28 Nchini Newzeland 1992
Dr Gharib alipata phd ya Nuclear akiwa na 31 Nchini Marekan
Dr Mahiga the same
36
Prof Kighoma Malima at 34 Nchini Marekan akitokea Minaki Secondary
Dr Dau alipata Phd akiwa na 28 Nchini Newzeland 1992
Dr Gharib alipata phd ya Nuclear akiwa na 31 Nchini Marekan
Dr Mahiga the same
Wewe jaji mfawidhi hujulikani hata jinsia yako halafu unaita watu "watoto"?
Eti "chuo chetu" cha udsm? chuo chenu wewe na nani? inakusaidia nini?
Mpumbavu mkubwa!

Tumejadili yote hayo hapo juu.Kuna kitu hapa mnakishau, kupata PhD sio kuwa Professor labda kama tunazungumzia jina/cheo Professor wanavyolitumia Marekani.
Kule mtu yeyote anaefundisha chuo kikuuu hata kama hana PhD wanamuita Professor.
A PhD is just a PhD, and a 'professorship' is another issue which is something on-top of PhD, I t has something to do with published research papers.
University of Nairobi Prof. George Magoha (Current Cabinet Secretary for Education-Kenya hana PhD)Ushawahi kuisoma prospectus yoyote ya UDSM hususan za miaka ya 80 au 90?
Hususan kuhusu orodha ya academic staff ambayo ilikuwa inachapishwa mwishoni mwa kitabu hicho?
Orodha hiyo ilikuwa ni ya majina ya walimu pamoja na sifa zao za kitaaluma [academic qualifications].
Kama utakuwa umewahi kuisoma basi utajua kuwa, kwa kipindi hicho [sina hakika kwa sasa, huenda mambo yamebadilika], ilikuwa inawezekana mtu kuwa professor au associate professor bila hata ya kuwa na PhD.
Wawili wanaokuja kwenye kumbukumbu zangu [sikumbuki mahsusi ni prospectus za miaka ipi] ni Prof. Ernest Wamba Dia Wamba na Prof. Mgongo Fimbo.
Sikuwahi kuona PhD. mbele ya majina yao.
Labda mkuu Companero kwenye maktaba yake anaweza kutusaidia ikitokea ana hizo prospectus za miaka hiyo niliyoitaja.
Wewe labda uprof wa mitishambaKumbe nikisoma naweza kupata upro nikiwa na umri mdogo zaidi
Nacheeeeka sana, watu wanasema Uprofesa huku mnaleta phd,
Unaweza kupata Phd na usiwe Prof hadi dunia inakupindua
Hata Ben Saa nane alikuwa anamalizia thesis yake under 30
Tanzania haitafaidika na elimu yake.Hatimaye Chuo chetu cha UDSM kimepata kuwa na professor mtoto kuliko wote, amepata ubalozi.
huyu professor ni kijana mdogo sana na ana akili za ziada.
Magufuli anajua kutafuta vichwa, pongezi raisi wetu MAGUFULI
View attachment 1212578
View attachment 1212579
Tulionao ndio wametufikisha hapa.Tanzania haitafaidika na elimu yake.
Mimi nikiwa na 14 nilipata PhD Sheffield36
Prof Kighoma Malima at 34 Nchini Marekan akitokea Minaki Secondary
Dr Dau alipata Phd akiwa na 28 Nchini Newzeland 1992
Dr Gharib alipata phd ya Nuclear akiwa na 31 Nchini Marekan
Dr Mahiga the same