Profesa kijana apewa Ubalozi

Profesa kijana apewa Ubalozi

Definition ya Professor nayo ni muhimu kuzingatiwa. Tanzania Professor ni cheo cha academia unachopata baada ya kuibuka through the ranks, upate Ph.D, ufundishe miaka kadhaa etc. Kuna kupitia kuwa Associate Professor kwanza kabla ya kuwa full Professor.

Marekani Professor maana yake ni mwalimu wa chuo kikuu, unaweza kuwa Professor bila Ph.D. Kuna Professor wetu mmoja wa electives (History) mwaka wa kwanza chuo, tulikuwa tunamuita Dr., tukifikiri kila mwalimu ana Ph.D, akatuambia tusimuite Dr. kwa kuwa bado yeye ni Ph.D candidate hajapata Ph.D yake bado.
Katika ranks hakuna, rank inayoitwa full professor. Kuna associate Professor, na mwisho ni Professor. Kuna wale wenye maringo kama tunaowaona bungeni ndo wanaongeza "full", sijui wanaitoa wapi!
 
Katika ranks hakuna, rank inayoitwa full professor. Kuna associate Professor, na mwisho ni Professor. Kuna wale wenye maringo kama tunaowaona bungeni ndo wanaongeza "full", sijui wanaitoa wapi!
Kuna tofauti kati ya full Professor, Full Professor na Fool Professor.
 
Hatimaye Chuo chetu cha UDSM kimepata kuwa na professor mtoto kuliko wote, amepata ubalozi.
huyu professor ni kijana mdogo sana na ana akili za ziada.

Magufuli anajua kutafuta vichwa, pongezi raisi wetu MAGUFULI

View attachment 1212578
View attachment 1212579
Kuna huyo mwehu limbukeni anaitwa Joseph Yona ni majina feki lakini kwa kuwa ni mwana CCM 0713802226 hii ni namba yake anaomba auanganishwe na magufuli ampe kazi ya kutoa viza chini ya huyo Balozi, anamsifia sana magufuli kwa kuwatukana vyama vya upinzani hususani chadema akiamini ni tiketi ya kupewa cheo Teuzi toka kwa magufuli
 
Magufuli mpe cheo Joseph yona cyprian Musiba Le mutuz kabla laana za kuwatukana wapinzani hazijawanasa vizuri
 
Kuna huyo mwehu limbukeni anaitwa Joseph Yona ni majina feki lakini kwa kuwa ni mwana CCM 0713802226 hii ni namba yake anaomba auanganishwe na magufuli ampe kazi ya kutoa viza chini ya huyo Balozi, anamsifia sana magufuli kwa kuwatukana vyama vya upinzani hususani chadema akiamini ni tiketi ya kupewa cheo Teuzi toka kwa magufuli
Yona amewehuka, analalamika sana CHADEMA walimfanya kitu mbaya msitu wa mabwe pande, ni nini huwa hasemi.
Yeye ndio kiongozi wa timu ya sifa na kuabudu,mpaka anakera.
Anamsifia jiwe sana.
 
Na kuna kijana mwenzetu naye ni kichwa sana pale UDSM.Anaitwa Sabato Nyamsenda.Hiki kichwa ni moja ya bidhaa adimu na adhimu sana.
 
Actually ni Gwamaka Robert Kifukwe.

Kimagharibi mtu ana middle name yake mwenyewe, middle name si first name ya baba.

As in..

John Fitzgeral Kennedy.

Robert Francis Kennedy.

Charles Makongoro Nyerere.

Andrew Burito Nyerere.

Anna Watiku Nyerere.

Anselm Magige Nyerere.

John Guido Nyerere.

Godfrey Madaraka Nyerere.

Rosemary Huria Nyerere.

Pauleta Nyabanane Nyerere.

Hii ni sheria za huko magharibi mkuu?
Haya mahina ya katikati wanatoa wapi?
 
36

Prof Kighoma Malima at 34 Nchini Marekan akitokea Minaki Secondary

Dr Dau alipata Phd akiwa na 28 Nchini Newzeland 1992

Dr Gharib alipata phd ya Nuclear akiwa na 31 Nchini Marekan

Dr Mahiga the same

Kifupi serekali ikiwekeza kwenye elimu na ikifanya kazi ya kuvitamvua vipaji. Kwasasa hakuna aliye busy kuvitambua vipaji sio serekali wala TISS.
 
Hii ni sheria za huko magharibi mkuu?
Haya mahina ya katikati wanatoa wapi?
Wanapewa na wazazi. Hata Nyerere alifanya hivyo. Hata kwetu wazazi wamefanya hivyo.

Hizi habari za kutumia jina la baba kama jina la kati ni tamaduni za mashariki/ Uislamu au kama magharibi Kihispania huko am ako mpaka jina la ukoo wa mama linakuwa kwenye jina, mtu anakuwa na majina kama Pablo Emilio Escobar Gaviria.


Pablo jina lake la kwanza. Given name.

Emilio jina lake la pili. Middle name.

Escobar, jina la famikia upande wa baba.

Gaviria, jina la ukoo upande wa mama.

January bin Yusufu Makamba, kiislamu sawa.

Lakini Kikristo middle name mtu anapewa mwenyewe, ndivyo alivyofanya Nyerere.

Ila sisi naona Ukristo umechanganyika na umashariki.

Kama kawaida, tunachanganya madawa.
 
Magufuli mpe cheo Joseph yona cyprian Musiba Le mutuz kabla laana za kuwatukana wapinzani hazijawanasa vizuri
Yaani uwatukane wapinzani upate laana?

Maajabu
 
Sasa kwenda kuwa Balozi kweli atakuwa na faida huyu jamaa,Bora angepelekwa sehemu za utafiti na vyuo ili asafirishe maarifa kwa kizazi chetu.Hiyo kupata PhD katika umri mdogo inategemeana na sehemu au familia anayotoka,kama wewe umesomea kijiji/ukoo kupata hiyo Degree moja tu mziki mnene.
 
Back
Top Bottom